×

Championi

Ajibu: Na Bado Mtanitambua

  MSHAMBULIAJI tegemeo wa Yanga, Ibrajim Ajibu amesema bado hajaonyesha kile kiwango anachokitaka huku akiwaambia wapinzani wao wa Ligi Kuu...

READ MORE

Tshishimbi Apewa Yondani, Dante Wajenge Ukuta Wa Chuma

BAADA ya kutamba katika kiungo, Yanga sasa imeisuka upya safu yake ya ulinzi ikimshirikisha Papy Kabamba Tshishimbi, Kelvin Yondani na...

READ MORE

Mbeya City Jeuri, Wamdharau Okwi

  KESHO Jumapili Simba itakuwa ugenini kucheza na Mbeya City, wenyeji wamedharau kwa kusema hawatishwi na washambuliaji wa Wekundu wa...

READ MORE

Kombinesheni Ya Ajibu, Chirwa Moto Chini

KATIKA kuhakikisha anapunguza tofauti ya idadi ya mabao waliyonayo dhidi ya wapinzani wao wa jadi, Simba, Kocha Mkuu wa Yanga,...

READ MORE

Mavituz Ya Papy Tshishimbi Yazua Sekeseke

WAKATI wapenzi na mashabiki wa soka mkoani Singida wakijiandaa kuiona kwa mara ya kwanza timu yao ya Singida United ikicheza...

READ MORE

Jonas Mkude Sasa Mambo Safi Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Mcameroon, Joseph Omog amesema kuwa kitendo cha kiungo wake, Jonas Mkude cha kuonyesha kiwango cha juu...

READ MORE

Kamati Ya Saa 72 Kuzikalia Kikao Penalti Za Simba

KAMATI ya Saa 72 ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) inatarajia kukutana wakati wowote kuanzia sasa kwa ajili ya kujadili...

READ MORE

Simba Kutua Mbeya Kibabe

WAKATI wikiendi hii kikosi cha Simba kikitarajiwa kuwa ugenini mkoani Mbeya, ambapo kitacheza mechi mbili, kocha mkuu wa timu hiyo,...

READ MORE

Tshishimbi Ahenyeshwa Juani

KATIKA kuhakikisha wachezaji wake wanakuwa na fiziki ya kutosha, kocha Mkuu wa Yanga Mzambia, George Lwandamina, jana aliwakimbiza wachezaji wake...

READ MORE

Niyonzima: Yanga Walinisumbua Sana

KIUNGO wa Simba, Haruna Niyonzima, raia wa Rwanda, amekiri ugumu kukutana na timu yake ya zamani ya Yanga kutokana na...

READ MORE

Tshishimbi Apewa Tuzo Yanga SC

KUNDI kubwa la mashabiki wa Yanga maarufu kama Yanga For Life, jana Jumanne lilitoa zawadi ya fedha na vifaa vya...

READ MORE

Omog Akalia Kuti Kavu Simba SC

SARE wanazoendelea kuzipata Simba huenda zikamuondoa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mcameroon, Joseph Omog. Timu hiyo, ilipata sare yake ya...

READ MORE

Lwandamina: Simba Wamshukuru Manula

KAZI kubwa ya kulinda lango aliyoionyesha uwanjani juzi Jumamosi kipa wa Simba, Aishi Manula imemfanya kocha mkuu wa Yanga, Mzambia,...

READ MORE

Zlatan Ibrahimovic I’m Back!!

WAKATI leo saa 8:30 mchana Manchester United itaivaa Tottenham Hotspur katika Ligi Kuu England, Zlatan Ibrahimovic amesema; “Narudi, kuanzia pale...

READ MORE

Mambo 10 Utayaona Leo Uwanja wa Uhuru…Simba vs Yanga

YANGA na Simba zinakutana leo Jumamosi kila moja ikiwa imepania kushinda mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa...

READ MORE

Lwandamina Vs Omong Rekodi Zinasema

LEO Jumamosi Yanga inaikaribisha Simba katika mchezo namba 58 wa Ligi Kuu Bara katika raundi ya nane ya ligi hiyo...

READ MORE

Ray: Okwi Anazifunga Timu Ndogo Tu

MSANII wa Bongo Movie’s, Vincent Kigosi ‘Ray’ amewaambia mashabiki wenzake wa Yanga kuwa, wasihofi e mabao ya Emmanuel Okwi wa...

READ MORE

Simba Sawa Lakini Ajibu Ni Wakuchungwa

LIGI KUU Bara inaendelea leo kwa mchezo mmoja kati ya mabingwa wa tetezi, Yanga dhidi ya Simba katika mchezo utakaopigwa...

READ MORE

Pluijm: Ajibu, Okwi Watachafua Uhuru

KOCHA wa Singida United, Hans van Der Pluijm amesema ubora wa washambuliaji, Ibrahim Ajibu wa Yanga na Emmanuel Okwi wa...

READ MORE

Niyonzima: Tunawajua, Hawatusumbui

KIUNGO mchezeshaji wa Simba Mnyarwanda, Haruna Niyonzima ametamka kuwa wala hana hofu ya mechi ya leo dhidi ya Yanga, kwani...

READ MORE

Julio: Simba Wamchunge Ajibu, Atawatungua

KOCHA wa Dodoma FC ya Dodoma, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ameitaka timu yake ya zamani ya Simba kuwa makini na mshambuliaji...

READ MORE

Kichuya: Msikonde Wanangu, Yanga Wepesi Tu

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Shiza Kichuya amewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo kuelekea mchezo wao wa leo dhidi ya Yanga,...

READ MORE

Msuva: Ngoma Ngumu Hii, Msidhani Mchezo

KIUNGO wa zamani wa Yanga anayechezea Difaa Al Jadida ya Morocco, Simon Msuva amesema mechi ya leo ya Simba na...

READ MORE

Simba vs Yanga Ni Vita Na Kisasi Uwanja wa Uhuru Kesho

MECHI za Ligi Kuu Bara z i n a t a r a j i a kuendelea wikiendi hii kwa...

READ MORE

Pichaz: Simba Watua Dar Wakitokea Zanzibar

TIMU ya Simba leo imetua kwa ndege jijini  Dar wakitokea Unguja walipokuwa wameweka kambi ya wiki moja kabla ya mchezo...

READ MORE

Ajibu: Nyie Chongeni Lakini Siwaachi

MSHAMBULIAJI tegemeo hivi sasa wa Yanga, Ibrahim Ajibu amewaondoa hofu mashabiki kwa kutamka: “Waacheni watani wetu Simba wachonge na mwisho...

READ MORE

Buswita: Nitawaonyesha Simba Kwa Nini Nimeichagua Yanga

AKITARAJIWA kucheza mechi yake ya kwanza ya watani wa jadi, kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pius Buswita amesema atautumia mchezo ku­waonyeshea...

READ MORE

Yanga vs Simba…Wanaume Wa Kuchungwa

  WAKATI timu za Yanga na Simba ziki­tarajiwa kuvaana Jumamosi, Okto­ba 28, mwaka huu, macho ya mashabiki wengi wa soka...

READ MORE

Omog: Ni Kazi Kuizuia Yanga SC Isikufunge

KOCHA Mkuu wa Simba, Joseph Omog raia wa Cameroon, anaiandaa safu yake ya ulinzi kuhakikisha hairuhusu bao katika mchezo wa...

READ MORE

Ajibu: Nikiifunga Simba Nakwenda Kwa Mashabiki

  STAA wa Yanga, Ibrahim Ajibu, amesema mechi yao ijayo dhidi ya Simba itakuwa ngumu, lakini atahakikisha anaipambania timu yake...

READ MORE

Yondani, Dante Wapewa Mbinu Za Kumzuia Okwi

WAKATI kikosi cha Yanga kikiwa katika maandalizi yake makali ya mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba itakayochezwa Jumamosi...

READ MORE

Pluijm Apanga Kutibua Rekodi Ya Mtibwa

BENCHI la ufundi la timu ya Singida United ya Singida chini ya kocha wake mkuu, Hans van Der Pluijm, raia...

READ MORE

Simba SC Wamuweka Sokoni Kichuya

UONGOZI wa Klabu ya Simba umemuweka sokoni kiungo mshambuliaji wake, Shiza Kichuya kwa kukaribisha ofa kutoka klabu yoyote. Hivi karibuni...

READ MORE

Kiongozi Simba: Yanga Itaifunga Simba Oktoba 28

MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili wa Simba, Zacharia Hans Poppe amesema kama timu yake itaendelea kuonyesha kiwango kama walichocheza dhidi...

READ MORE

Obrey Chirwa, Ajibu Watengenezwa Upya Yanga

  KATIKA kuhakikisha anaimarisha safu yake ya ushambuliaji, Kocha Mkuu wa Yanga, Mzambia, George Lwandamina ameanza kuwasuka upya washambuliaji, Ibrahim...

READ MORE

Bocco Out, Mavugo Ndani Dhidi ya Njombe Mji leo

KOCHA Mkuu wa Simba, Joseph Omog, hana hofu ya kumkosa mshambuliaji wake John Bocco kwani tayari ameshampata mbadala wake atakayeanza...

READ MORE

Saleh Ally: Baada Ya Makinikia, Barua Yangu Kwako Rais Magufuli

MAJUKUMU ya kusimamia utendaji bora katika nchi haliwezi kuwa jambo rahisi au dogo, lakini ningependa kutumia nafasi hii kufikisha ujumbe...

READ MORE

Kocha Mpya Simba Kama Mourinho, Okwi, Mavugo na Boko Kicheko

MUDA mfupi tangu Jack­son Mayanja, raia wa Uganda aliyekuwa Kocha Msaidizi wa Simba kutan­gaza kujiuzulu nafasi hiyo kutokana na kile...

READ MORE

Bifu Zito Conte vs Mourinho, Warushiana Maneno

VITA ya maneno baina ya makocha wakubwa wa timu mbili Chelsea na Manchester United inazidi kukolea, ambapo sasa kuna moto...

READ MORE

Ajibu Amuingiza Mkenge Okwi

MSHAMBULIAJI tegemeo wa Yanga, Ibrahim Ajibu ametoa kauli ambayo inaweza kutafsiriwa kuwa ni kama ‘anamzuga’ mpachika mabao wa Simba, Emmanuel...

READ MORE