×

Championi

Omog Akubali Kuanza Kazi Na Niyonzima Dar

WAKATI kikosi cha Simba kinaendelea kujifua nchini Afrika Kusini kikijiandaa na msimu ujao wa 2017/18, kiungo mpya wa timu hiyo,...

READ MORE

Baada Ya Kutua Lipuli, Busungu Alishukuru Championi

  JUMATATU iliyopita aliyekuwa straika wa Yanga, Malimi Busungu alifanikiwa kujiunga na timu ya soka ya Lipuli ya mkoani Iringa...

READ MORE

Mzee Kilomoni: Tunaenda Mahakamani Kuzuia Mkutano

BARAZA la Wadhamini la Klabu ya Simba chini ya Mwenyekiti, Hamisi Kilomoni limesema litakwenda mahakamani iwapo viongozi waliokaimu nafasi ya...

READ MORE

Baba: Msuva Anakwenda Hispania

BABA wa winga wa zamani wa Yanga, Happygod Msuva ambaye ni Simon ameibuka na kuwaambia Simba kuwa kama walishindwa kumsajili...

READ MORE

MATIC AMETUA UNITED AISEE

MOJA ya usajili uliokuwa unasubiriwa kwa hamu kubwa ni wa kiungo wa Chelsea Nemanja Matic, kutua Manchester United. Mashabiki waliokuwa...

READ MORE

Omog: Nimemaliza Kazi, Waleteni Yanga

KOCHA wa Simba, Mcameroon, Joseph Omog, amesema kuwa, wiki hii ya mwisho katika kambi yao ya Afrika Kusini, atakuwa akiwapa...

READ MORE

Lwandamina Amaliza Utata Wa Mcameroon, Mnigeria, Awapa Dakika 180 Yanga SC

KOCHA Mkuu wa Yanga Mzambia, George Lwandamina amemaliza mazoezi ya fitinesi na jana jioni alitarajia kupanga vikosi viwili vitakavyocheza mechi...

READ MORE

Manula: Nimekuja Simba Kufanya Kazi

KIPA mpya wa Simba, Aishi Manula ameweka bayana kuwa, atahakikisha anaifanya kazi yake vizuri ipasavyo kwa lengo la kuiwezesha timu...

READ MORE

Kiungo Mpya Yanga Mtambo wa Mabao

YANGA imelamba dume baada ya kukamilisha usajili wa kiungo mpya wa timu hiyo, Raphael Daud kutoka Mbeya City kwani rekodi...

READ MORE

Dallas Wamtwaa Dirk Nowitzki

TIMU ya Dallas Mavericks imetangaza kumsajili staa Dirk Nowitzki kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya NBA. Hata...

READ MORE

Raphael Atua Kambini Yanga

KIUNGO mchezeshaji Raphael Daudi aliyekuwa akiichezea Mbeya City, sasa rasmi amemalizana na Yanga na jana alikuwa safarini kuelekea Morogoro ilipoweka...

READ MORE

BUSUNGU: Njombe Mji Niacheni, Nasaini Ndanda FC

STRAIKA Malimi Busungu yupo katika hatua ya mwisho ya kujiunga na Ndanda FC ya Mtwara ili akaiongezee nguvu kwenye safu...

READ MORE

Cannavaro: Huku Morogoro Tupo Fiti

NAHODHA wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ amesema kambi yao iliyopo Morogoro ipo vizuri na wao wachezaji wapo fiti na amedai...

READ MORE

Kagera Sugar Wampotezea Bokungu

TIMU ya soka ya Kagera Sugar tayari imefunga zoezi la usajili wake wa wachezaji kwa ajili ya msimu ujao wa...

READ MORE

Tukipanda Viongozi Kwa Rushwa Uchaguzi TFF, Tutegemee Kuvuna Soka La Rushwa

KWA muda mrefu nimekuwa niki­andika makala zinazohusiana na rushwa katika soka la nchi yetu kwa lengo la kuutahadharisha umma juu...

READ MORE

Beyonce Aajiri ‘Mabeki Tatu’ Sita

AJIRA! Wasich-ana sita wamepata ajira kwenye familia ya mastaa Beyonce na mumewe Jay Z ambao ni wasanii wakubwa duniani, kwa...

READ MORE

MSUVA: ASANTENI SANA YANGA

NDOTO ya kiungo mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva ya kwenda kucheza soka la kulipwa nje ya nchi ilitimia juzi Jumatano...

READ MORE

Hawa Ndiyo Wataamua Dili la Neymar

AWALI ilionekana ni kama kitu ambacho hakiwezekana lakini muda unavyozidi kusonga, ndivyo ambavyo mambo yanaonekana yanawezekana. Neymar kuihama Barcelona kwenda...

READ MORE

Msuva: Nimetua Salama Morocco

WINGA wa Yanga, Simon Msuva amefika salama nchini Morocco na tayari kupimwa afya kisha akimaliza hapo anatarajiwa kusaini mkataba leo...

READ MORE

Okwi Ala Shavu Ligi Ya Uganda

  STRAIKA mpya wa Simba, Emmanuel Okwi raia wa Uganda, ameng’ara nchini kwao baada ya kutajwa kwenye kikosi bora cha...

READ MORE

Manula Basi Tena Simba SC

WAKATI wachezaji wenzake wakitarajiwa kutambulishwa kwenye sherehe za Simba Day, kipa Aishi Manula atakosa fursa hiyo ndani ya kikosi cha...

READ MORE

Juuko Aikacha Simba SC, Apata Dili Orlando Pirates

BEKI wa Simba, Juuko Murshid raia wa Uganda yupo mbioni kutua kuichezea Orlando Pirates ya Afrika Kusini. Mganda huyo, bado...

READ MORE

Omog: Yaani, Ligi Ianze Hata Kesho

KOCHA Mkuu wa Simba, Joseph Omog raia wa Cameroon, amesema kuwa, kutokana na kila timu zitakazoshiriki Ligi Kuu Bara msimu...

READ MORE

Zlatan Ibrahimovic Kurejea Manchester United

KOCHA wa Manchester United, Jose Mourinho amefunguka kuwa mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic anaweza kusaini mkataba na timu hiyo. Msimu uliopita mshambuliaji...

READ MORE

Mourinho: Pogba Levo ya Messi, Neymar

KOCHA wa Manchester United, Jose Mourinho amesema kiungo wake, Paul Pogba yupo katika daraja moja na Lionel Messi na Neymar....

READ MORE

URAIA WA KARIA UMEKUWA SERA TFF

KWA mwonekano Wallace Karia hana tofauti na raia wengi wa Somalia, ninamaanisha Wasomali. Ninaamini wako viongozi wengi wa soka, serikalini...

READ MORE

MORATA NAISUBIRI MAN UNITED

  TIMU nyingi za Ligi Kuu England zimeonekana kujiandaa vyema sana kwenye kipindi hiki cha usajili jambo ambalo linaonyesha kuwa...

READ MORE

OKWI ANANUKA FEDHA, NDIYE GHALI BONGO

  KUANZIA leo Jumatano, zitakuwa zimebaki takribani siku 11 kabla ya usajili wa dirisha kubwa Tanzania Bara halijafungwa ambapo timu...

READ MORE

Danny Anataka Kuwa Mfungaji Bora Wa Ligi Ya Bongo

“NIMEPANGA kufunga mabao 15 katika msimu ujao wa Ligi Kuu Bara ili niweze kuwa mfungaji bora kama kule nilipotoka.” Hiyo...

READ MORE

UANACHAMA CAF, USIVUNJE MUUNGANO

  NILIWASIKIA mashabiki mbalimbali wa soka kutoka Zanzibar wakilalamika kwenye vyombo vya habari kwamba Shirikisho la Soka Afrika (Caf), halikuwatendea...

READ MORE

GUARDIOLA NA KIKOSI CHA UBINGWA ENGLAND

City ni kati ya timu ambayo msimu uliopita ilishindwa kufanya vizuri pamoja na kwamba ilikuwa chini ya kocha mahiri, Pep...

READ MORE

Singida Kuzivaa Timu za Congo

KATIKA kuhakikisha kuwa timu ya Singida United, inafanya vema katika Ligi Kuu Bara msimu ujao, kocha mkuu wa timu hiyo,...

READ MORE

Hongera Global TV, TPBO Ngumi Zinataka Haki Wanasubiri

  KWANZA kabisa nichukue fursa hii, kuipongeza Kampuni ya Global Publishers kupitia runinga yake ya mtandaoni, Global TV Online, kwa...

READ MORE

Irving Aomba Kumkimbia James

PAMOJA na kwamba kila usajili kwenye Ligi Kuu ya Kikapu Marekani (NBA), umekuwa ukishangaza, lakini kama dili la Kyrie Irving...

READ MORE

Barthez: Nimekuja Kuipa Mafanikio Singida

KATIKATI ya wiki iliyopita, Klabu ya Singida United ilikamilisha dili la kumsajili kipa wa Yanga, Ally Mus­tafa ‘Barthez’ kwa kumpa...

READ MORE

Omog: Niyonzima Anakuja Wamekwisha

TAARIFA za ujio wa kiungo Mnyarwanda, Haruna Niyonzima ndani ya Simba zimemkosha kocha wa timu hiyo, Joseph Omog raia wa...

READ MORE

Shilole Kutoka na Kigoli

MWANAMUZIKI mwenye jina hapa Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ameibuka na kusema kuwa yupo mbioni kutoa Ngoma ya Kigoli mwishoni mwa...

READ MORE

Lwandamina Ambadilishia Mbinu Ajibu

KOCHA Mkuu wa Yanga, George Lwandamina anatarajia kuanza program ya uwanjani, leo Jumatatu maalumu kwa wachezaji wake wapya kushika mfumo...

READ MORE

Mourinho: Sina Mpango Na Bale Kwa Sasa

KOCHA wa Manchester United, Jose Mourinho amese­ma hana mpan­go wa kumsa­jili mshambuliaji wa Real Madrid, Gareth Bale, kwenye kipindi hiki...

READ MORE

Zidane Alia Na Morata Kuondoka Agoma

KOCHA wa Real Madrid, Zinedine Zidane amesema timu yake ina uhaba wa washambuliaji baada ya kumuuza Alvaro Morata kwenda Chelsea....

READ MORE