×

Championi

Wazee Wampa Baraka Msuva Kwenda Morocco

Wazee wa Yanga umesema unamtakia mafanikio mema kiungo mshambuliaji wake, Simon Msuva anayetarajia kujiunga na Klabu ya Difaa El Jadidi...

READ MORE

Simba Kucheza Mechi Sauz Wiki Hii

KIKOSI cha Simba ambacho kimepiga kambi nchini Afrika Kusini, ndani ya wiki hii kitaanza kucheza mechi za kirafiki na timu...

READ MORE

Pluijm: Najua Singida United Tunadharaulika Ila Watatukoma

KUELEKEA Ligi Kuu Bara msimu ujao, Kocha Mkuu wa Singida United, Mholanzi Hans Van Der Plujm amesema anafahamu wanadharaulika lakini...

READ MORE

YANGA: KWA MZIKI HUU, WALETENI TU

KOCHA wa Yanga, George Lwandamina amemaliza programu yake ya kwanza ya wiki mbili ya gym huku wachezaji wake wakiwa na...

READ MORE

Lebron, Rose Wanakimbiza Kwa Magari Makali Nba!

KILA Desemba 30, mcheza kikapu nyota LeBron James husherehekea sikukuu yake ya kuzaliwa, sasa ana umri wa miaka 32, lakini...

READ MORE

Mil 30 Zamponza Straika Yanga

DAU la shilingi milioni 30 limemponza mshambuliaji wa Yanga, Anthony Matheo na kusababisha uongozi wa timu kuliweka jina lake kando...

READ MORE

NGOMA YUPO FITI 100% ATUMA SALAMU

STRAIKA wa Yanga, Donald Ngoma ametuma salamu kwa mashabiki wa timu hiyo akisema kuwa yupo fiti asilimia 100 na Jumanne...

READ MORE

Mayanja: Huku Sauz Mambo Yetu Msipime

SIMBA imesema kambi yake ya Afrika Kusini inaendelea vizuri na makocha wamesema itawasaidia kuwajenga wachezaji wao kuhakikisha wanakuwa fiti kuelekea...

READ MORE

UGANDA YAMPIGA MTU 5-1, TAIFA STARS YAONDOLEWA MICHUANO YA AFRIKA

  Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeondolewa katika mbio za kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Afrika kwa...

READ MORE

CHELSEA YAINYOA ARSENAL BILA MAJI

  Chelsea imefanikiwa kulipiza kisasi na kujizolea sifa kufuatia kushindwa kwao katika Kombe la FA miezi miwili iliyopita baada ya...

READ MORE

Morata: Jembe la Conte!

WAKATI Real Madrid ikisema bei ya straika wake Alvaro Morata, 24, inakadiriwa kuwa pauni milioni 60 (Sh bilioni 172), ilionekana...

READ MORE

Simba Waipigia Magoti Azam FC Kwa Manula

 UONGOZI wa Klabu ya Simba, umeipigia magoti Azam FC imruhusu Aishi Manula aweze kushiriki mazoezi na klabu hiyo mapema kwa...

READ MORE

Nyosso: Nenda Kawaambie Nyosso Karudi

BEKI mpya wa Kagera Sugar, Juma Nyosso ameibuka na kuweka wazi kuwa amerejea katika Ligi Kuu Bara kwa lengo moja...

READ MORE

Simba Usajili Huu Mahitaji ya Kocha?

KWENYE mitandao ya kijamii mtu mmoja jana alikuwa anapitisha ujumbe kwa njia ya utani akipanga kikosi kizima cha Simba tena...

READ MORE

Tizi la Pluijm Singida United, Wahenga Kazi Wanayo

  KOCHA Mkuu wa Singida United, Hans van Der Pluijm hataki utani katika kuiandaa timu yake kwani amekuwa akiwafanyisha mazoezi...

READ MORE

Mnyarwanda wa Singida United Awateka Mashabiki

  STRAIKA wa Singida United, Mnyarwanda, Danny Usengimana, ameonekana kuwateka mashabiki wa soka mkoani hapa kutokana na uwezo mkubwa wa...

READ MORE

Utabiri Wa Matokeo Wa Baadhi Ya Mechi Za Wikiendi Hii

HUU ni utabiri wa matokeo wa baadhi ya mechi za wikiendi hii, kuna dondoo za jinsi kampuni za michezo ya...

READ MORE

Ronaldo Anafyatua Tu!

  MIEZI kadhaa iliyopita, Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli aliwahi kunukuliwa akisema kuwa kwa jinsi serikali yake inavyofanya kazi,...

READ MORE

Michael Carrick, Abebeshwa zigo la Cantona, Roy Keane & Rooney

KIUNGO mkongwe mwenye umri wa miaka 35, Michael Carrick ndiye nahodha mpya wa Manchester United, amekabidhiwa majukumu hayo baada ya...

READ MORE

Adebayor Anaitandika Tu Familia Yake!

KATIKA maisha kuna mambo mengi ambayo kwako yanaweza kuwa ni ya ajabu lakini kwa mtu mwingine, au jamii nyingine hicho...

READ MORE

Niyonzima Aifuata Simba Afrika Kusini ‘Sauz’

KIUNGO mpya wa Simba, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima, aliyesajiliwa akitokea Yanga, kwa mara ya kwanza ataungana na nyota wenzake wa timu...

READ MORE

Stars Kuifuata Rwanda Leo

KIKOSI cha Taifa Stars kinatarajia kuondoka nchini leo Jumatano kuelekea Rwanda kwa ajili ya kuikabili timu ya taifa hilo, Amavubi....

READ MORE

Simba Wakwamisha Dili la Juuko Kutua Yanga SC

MPANGO wa Yanga kukamilisha usajili wa beki wa kati wa Simba, Mganda, Juuko Murshid, hatimaye umeyeyuka baada ya mabosi wa...

READ MORE

Simba Wamfuata Kiungo Stars…

ILIBAKI kidogo kiungo anayewindwa na Yanga, Raphael Daudi asainishwe na Simba, baada ya viongozi wa timu hiyo ya Simba kumfuata...

READ MORE

Kocha Simba: Okwi, Bocco Watavunja Rekodi Yanga

KOCHA Msaidizi wa Simba, Mganda, Jackson Mayanja, ameweka wazi kuwa ana imani kubwa kuwa washambuliaji wao, Emmanuel Okwi na John...

READ MORE

Lwandamina Ampa Onyo Ajibu

KOCHA wa Yanga, George Lwandamina, raia wa Zambia, amewapiga ‘biti’ wachezaji wake wote akiwemo mshambuliaji mpya, Ibrahim Ajibu aliyetoka Simba...

READ MORE

Pluijm Ataka Vifaa Zaidi Singida United

LICHA ya kufanya usajili wa zaidi ya wachezaji tisa wapya, Kocha Mkuu wa Singida United, Mholan­zi, Hans van Der Pluijm,...

READ MORE

Masikini Dogo Huyu wa Ajax Kama Amekufa Vile

  SIMANZI imerudi tena kwa wache­zaji, viongozi na mashabiki wa Ajax, baada ya kusikia kuwa mpendwa wao, Abdelhak Nouri, yupo...

READ MORE

Kukopi Na Kupesti Hakutaiacha Salama Bongo Fleva

NYIMBO nyingi za Bongo Fleva kwa sasa zinabebwa na ubora wa video ambayo msanii anai­fanya. Hapa unaweza kukuta wimbo wa...

READ MORE

Jaap Stam Beki Kisiki Ambaye Ferguson Alijuta Kumuuza

JAAP Stam alikuwa ni Mholanzi mwenye sura ya kikatili uwanjani na alishiriki kwa kiasi kikubwa kuipa Manches¬ter United ubingwa wa...

READ MORE

Kotei Aibukia Mazoezi Ya Yanga

KIUNGO wa Simba, Mghana, James Kotei, jana Jumapili alivamia mazoezi ya Yanga ya asubuhi katika gym iliyopo kwenye Jengo la...

READ MORE

Mayanga: Siwachukii Wachezaji wa Yanga

KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Salum Mayanga, ameeleza kusikitishwa na uongo unaoendelea kusambazwa kupitia mitandao ya kijamii kuwa anawachukia wachezaji...

READ MORE

Mayanga: Siwachukii wachezaji wa Yanga

  KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Salum Mayanga, ameeleza kusikitishwa na uongo unaoendelea kusambazwa kupitia mitandao ya kijamii kuwa anawachukia...

READ MORE

Tambwe: Ndikumana anakuja Yanga SC

  MSHAMBULIAJI wa Yanga, Amissi Tambwe ametamka kuwa Mrundi mwenzake Yusuph Ndikumana anakuja Jangwani. Kauli hiyo, ameitoa baada ya kuwepo...

READ MORE

Everton Wafurahia Ziara Yao Tanzania

KIKOSI cha Everton kupitia kocha wao, Ronald Koeman, kimesema kimefurahia ziara yao nchini Tanzania iliyobebwa na ukarimu wa watu wake...

READ MORE

Mkude: Kwa Beki Hii, Yanga Watalia

NAHODHA wa Simba, Jonas Mkude amesema kwa beki waliyonayo sasa hivi kikosini mwao, ni wazi watani wao Yanga wataisoma namba...

READ MORE

Koeman: Hali ya Hewa Ilizingua Kidogo

  KOCHA wa Everton, Ronald Koeman amesema timu yake haikuwa katika kasi ya kawaida katika kipindi cha kwanza katika mchezo...

READ MORE

Msuva Aitajirisha Yanga SC

KIUNGO mwenye kasi wa pembeni wa Yanga, Simon Msuva amekubali kuachana na Yanga na kwenda kucheza soka la kulipwa nje...

READ MORE

Yanga Yamfuatilia Kipre Tchetche

  YANGA imeamua kufunga safari na kwenda nchini Ivory Coast kumfuatilia mshambuliaji wa zamani wa Azam FC anayechezea Al Nahdha...

READ MORE

Yanga Yampiga Chini Jerry Muro, Yaibomoa Mbeya City

KATIBU Mkuu wa Yanga, Boniface Mkwasa, jana amemtambulisha rasmi, Dismas Ten kuwa Ofisa wa Habari wa klabu hiyo. Kabla ya...

READ MORE