×

Habari

HAMAS Yasitisha Mchakato Wa Kuwaachia Mateka Wa Israel

Kikundi cha HAMAS kimetangaza kuwa, kinasitisha mchakato wa kuwaachia huru mateka wa Israel uliopangwa kutekelezwa Jumamosi ijayo hadi litakapotolewa tangazo...

READ MORE

Simba Yarejea Kileleni, Chasambi Atoa Gundu

Simba imerejea kwenye kilele cha Ligi ya NBC kwa kufikisha alama 47 baada ya kuwazaba Wajelajela, Tanzania Prisons kwa jumla...

READ MORE

Sudan Kuunda Serikali Ya Mpito Ya Kiraia

Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imetangaza mipango ya kuunda serikali ya mpito. Katika hatua nyingine, wizara hiyo pia...

READ MORE

Yanga Yatimiza Miaka 90 Leo

  Klabu ya Young Africans SC (Yanga SC) leo, tarehe 11 Februari 2025, inasherehekea miaka 90 tangu kuanzishwa kwake mnamo...

READ MORE

Trump Amsamehe Havana Aliyefungwa Kisa Rushwa

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesaini hati ya msamaha kwa aliyekuwa Gavana wa Illinois kwa tiketi ya Chama cha Democrat,...

READ MORE

Lissu Aongoza Mazishi ya Kada wa Chadema Magugu, Manyara – Video

MWILI wa Kamanda Derick Magoma, Mwenyekiti mstaafu wa Chadema Mkoa wa Manyara umezikwa leo, Februari 11, 2025 kijiji cha Matufa,...

READ MORE

Mkongwe Mangwana Aachia Albam Uzeeni

Sam Mangwana (80) ni mwanamuziki mashuhuri wa muziki wa dansi wa rhumba ya Kikongo, ambaye ni mwimbaji kutoka Angola, ameifanya...

READ MORE

Nimemfuma Mama Mkwe Akifanya Vitendo vya Kishirikina Kwenye Chumba Chetu

Naitwa Ema kutokea Mbagala, nimekuwa nikiishi katika hali ya misukosuko ya mara kwa mara, nikijiuliza kwa nini mimi na mume...

READ MORE

NSSF Yatanga Uhakiki Kwa Wastaafu Na Wategemezi Wanaolipwa Pensheni Ya Kila Mwezi

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) unawatangazia wastaafu na wategemezi wote wanaolipwa pensheni ya kila mwezi kuwa kutakuwa...

READ MORE

Wazazi Waishtaki TikTok Haina Huruma

  Familia nne kutoka Uingereza zinazoushtaki mtandao wa kijamii wa TikTok kwa madai ya kusababisha vifo visivyo vya haki vya...

READ MORE

RC Chalamila Ataka Jamii Kutafsiri Kwa Vitendo Maendeleo yanayofanywa na Rais Samia

Asema kwa mfano Rais Dkt Samia ameboresha kwa kiasi kikubwa sekta ya elimu Je? jamii na wadau wengine wa elimu...

READ MORE

Mahakama Yawafunga Breki Donald Trump, Elon Musk

Majaji wa Mahakama Kuu nchini Marekani jana, Jumamosi, walipitisha azimio la kumzuia Mkuu wa Idara ya Ufanisi wa Taasisi za...

READ MORE

Aga Khan Azikwa Nchini Misri

Kiongozi wa kidini wa Jumuiya ya Waislamu wa Kishia Waismaili, Aga Khan IV, alizikwa jana Jumapili, Februari 9, mjini Aswan,...

READ MORE

Askari Waliokimbia Mapigano DRC Kushtakiwa

Wanajeshi 75 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanatarajiwa kufikishwa kizimbani leo wakikabiliwa na mashtaka ya kukimbia mapigano, pamoja na...

READ MORE

Kizaazaa Baada Ya Rubani Kuzimia Ndege Ikiwa Angani

Abiria waliokuwa wakisafiri na ndege ya Shirika la EasyJet kutoka Misri kuelekea Manchester walijikuta katika kizaazaa kikubwa baada ya rubani...

READ MORE

Orodha Ya Watu Hatari Kupita Kiasi Duniani, Watenda Maovu Waliotikisha Dunia Kwa Ukatili – Video

Katika historia ya binadamu, kumekuwa na watu ambao wameacha alama za kikatili zinazodumu kwa vizazi vingi. Hawa ni watu waliohusika...

READ MORE

JWTZ, Marekani na Mataifa Mengine 12 Kufanya Mazoezi ya Pamoja, Wanachi Watakiwa Kutokuwa na Taharuki

Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) limekuwa likishiriki mazoezi mbalimbali ya kijeshi ya pamoja baina yake na majeshi mengine...

READ MORE

Waziri Jafo ataka watanzania wachamkie fursa za AGOA

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk Seleman Jafo, amekitaka Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kujitangaza nje ya mipaka ya...

READ MORE

CRDB Yasaini Mkataba wa Kusimamia Mikopo ya 10% Fedha za Halmashauri

Dodoma, Februari 7, 2025 – Benki ya CRDB imefanikiwa kusaini mkataba wa kusimamia utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya...

READ MORE

Mahakama Yaamuru Dkt Slaa Alifishwe Mahakamani

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru kutolewa kwa amri ya Mwanasiasa Mkongwe, Dkt. Wibroad Slaa (76) kufikishwa mahakamani ifikapo Machi...

READ MORE

Rais wa kwanza wa Namibia Sam Nujoma Afariki – Video

Rais wa Namibia, Dkt. Nangolo Mbumba, ametangaza kwa huzuni makubwa kifo cha Rais wa kwanza wa Taifa letu, Dkt. Sam...

READ MORE

Mjue Kamanda Nangaa– Mshirika Mkuu Wa M23 Aliyejitokeza Hadharani Licha Ya Kuhukumiwa Kifo – Video

Corneille Nangaa, aliyewahi kuwa mkuu wa Tume Huru ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), amehamasisha mapinduzi makubwa...

READ MORE

EAC na SADC zatangaza hatua mpya za kutafuta amani mashariki mwa DRC -Video

Katika hatua mpya ya kutafuta amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC)...

READ MORE

EU Laonya Vikwazo Vya Marekani Dhidi Ya ICC

Baraza la Umoja wa Ulaya (EU) limeonya kuhusu matokeo ya hatua ya Marekani ya kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya...

READ MORE

Wakulima Mazao ya Misitu, Chakula na Biashara wapewa somo NMB Kijiji Day Njombe

WAKULIMA wa Mazao ya Misitu, Mazao ya Chakula na Biashara, vikiwemo Vikundi vya Kijamii, Vyama vya Ushirika wa Msingi (AMCOS),...

READ MORE

Majaliwa: Anwani Za Makazi Kuchochea Ukuaji Wa Uchumi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mfumo wa anwani za makazi utasaidia kuchochea ukuaji wa uchumi, kuharakisha upatikanaji wa huduma za...

READ MORE

Trump Ata Saini Kuifungia Misaada Afrika Kusini

Rais wa Marekani Donald Trump rasmi ametia saini amri ya kufungia msaada wa kifedha kwa Afrika Kusini, baada ya kutishia...

READ MORE

Rais Kagame Alivyowasili nchini kushiriki Mkutano wa EAC na SADC – Video

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amempokea Rais wa Jamhuri...

READ MORE

Waziri Mkuu DRC Awasili Nchini kushiriki Mkutano wa Dharura wa SADC na EAC

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Judith Suminwa amewasili nchini Tanzania alfajiri ya leo Februari 8, 2025...

READ MORE

Video ya Kusisimua ya Trump huku Mbunge wa Buchosa Eric Shigongo Akiwepo – Video

Rais wa Marekani, Donald Trump, amewataka Wamarekani wamrejee Mungu na kuirejesha dini katika taifa hilo, akidai kuwa wengi wameiacha. Akitangaza...

READ MORE

Ofisi Ya Ras Mkoa Wa Arusha Yaipongeza Halmashauri Ya Wilaya Ya Longido Kwa Usimamizi Mzuri Wa Ukusanyaji Wa Mapato Na Miradi Ya Maendeleo

Longido, Februari 7, 2025 – Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido umepongezwa kwa usimamizi mzuri wa mapato, utekelezaji wa...

READ MORE

Balozi Dkt. Nchimbi Amtembelea Mzee Joseph Butiku

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyekiti wa...

READ MORE

Mkutano wa SADC na EAC Barabara Kufungwa Kwa muda Dar

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema kufuatia Tanzania kuwa Mwenyeji wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi...

READ MORE

Rais Mwinyi: Tusipandishe Bei Za Bidhaa Katika Mwezi Mtukufu Wa Ramadhani

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi amewahimiza Wafanyabiashara kujiandaa na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani...

READ MORE

Tanzania Kuwa Mwenyeji wa Mkutano na Maonesho ya 11 ya Petroli ya Afrika Mashariki

Tanzania itakuwa mwenyeji wa Mkutano na Maonesho ya 11 ya Petroli ya Afrika Mashariki (11TH East African Petroleum Conference and...

READ MORE

NIRC Yasaini Mikataba Ya Ununuzi Mitambo Ya Kuchimba Visima Virefu Nchi Nzima

  Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, imesaini...

READ MORE

Siku Nyingine Ya Kufurahia Early Payout Ya Meridianbet

Leo ni siku nyingine ya kufurahia chaguo jipya lililoletwa kwako na mabingwa wa michezo ya kubashiri Meridianbet la Early payout,...

READ MORE

China yawasilisha malalamishi dhidi ya Marekekani kwa WTO

Ikulu ya Marekani imesema kwamba inafanya tathmini ya kina ya malalamishi yaliyowasilishwa na China kwa Shirika la Kimataifa la Biashara,...

READ MORE

Serikali Kutoa Waraka Kwa Ajili Ya Watumishi Wa Umma Wenye Ulemavu

Serikali inatarajia kutoa waraka utakao waelekeza wakurugenzi wa Halmashauri nchini kutekeleza miongozo inayowahusu watumishi wa Umma wenye ulemavu ili wapate...

READ MORE

Zanzibar Kuwa Mwenyeji Tuzo za Muziki za Trace 2025 kwa Udhamini wa Johnnie Walker

Dar es Salaam, Tanzania – Kampuni ya Serengeti Breweries Limited (SBL) inayo furaha kutangaza kuwa Zanzibar itakuwa mwenyeji wa Tuzo...

READ MORE