×

Habari

Majaliwa Ampongeza Rais Dkt. Samia kuendeleza mahusiiano ya Kimataifa (Picha +Video)

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali itahakikisha inajiimarisha katika kukuza uchumi wake kwa kutumia rasilimali zilizopo ili kuweza kumudu kutekeleza...

READ MORE

Unataka Pesa Cheza kasino ya mtandaoni sloti ya Dream Catcher

Kama ulikuwa unadhani umeona vingi au kufanya vingi, basi sahau kabisa bado kuna vingi sana huvijui na leo nakusogezea mchongo...

READ MORE

Afrika Kusini Yataka Marekani Iwekwe Vikwazo

  Waziri wa Madini na Rasilimali za Petroli wa Afrika Kusini, Gwede Mantashe ametoa wito kwa nchi za Afrika kusimamisha...

READ MORE

Baraza la Haki za Binadamu UN kuijadili DRC kesho

Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UN) linajiandaa kufanya kikao cha dharura kesho Ijumaa, kuujadili mgogoro wa...

READ MORE

Italian Trade Agency (ITA) Yazindua Mafunzo ya Lab Innova kwa Tanzania

Italian Trade Agency(ITA), ni taasisi ya serikali inayotangaza fursa za uwekezaji kimataifa hususani Italia na kuvutia uwekezaji wa kigeni nchini...

READ MORE

Malawi yaamuru wanajeshi wake kujiandaa kuondoka mashariki mwa Kongo

Rais wa Malawi Lazarus Chakwera ameviagiza vikosi vya ulinzi kuanza kujiandaa kuwaondoa wanajeshi wake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

READ MORE

Benki Kuu ya Uganda Yaibiwa kiasi cha shilingi bilioni 42, Maafisa Tisa Wakamatwa

POLISI nchini Uganda imethibitisha kuwashikilia maafisa tisa wa Wizara ya Fedha kwa uchunguzi wa tuhuma za kudukua mifumo ya benki...

READ MORE

Tukio la kusikitisha: Amuua Mpenzi Wake Naye Ajiua, Kisa Wivu Wa Kimapenzi – Video

Tukio la kusikitisha limetokea katika Mtaa wa Mkudi, Manispaa ya Ilemela, ambapo kijana aitwaye Adam Kailanga (30) amemuua mpenzi wake,...

READ MORE

Tangazo la Nafasi 8,000 za Mafunzo ya Ufundi Stadi katika Fani Mbalimbali

Fomu za maombi zinapatikana katika vyuo vyote vilivyopitishwa na Serikali kutoa ya Ufundi Stadi katika Fani Mbalimbali

READ MORE

Utendaji Kazi Kituo Cha Huduma Kwa Wateja Tanesco Wamkwaza Dkt. Biteko

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ameeleza kutoridhishwa kwake na Kituo cha Huduma kwa wateja cha...

READ MORE

Shigongo Amshauri Trump kusitisha uamuzi wake wa kuzuia misaada Afrika – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amemshauri Rais wa Marekani, Donald Trump kusitisha uamuzi wake wa kuzuia misaada kwa nchi za...

READ MORE

Chuo Cha CBE Chaja na mtaala wa kufundisha PhD ya infomatiki za biashara

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kinatarajia kuanzisha program ya Shahada ya Uzamivu (PhD) katika Infomatiki ya Biashara ili kuleta...

READ MORE

Cecot: Gereza La Kutisha La Wafungwa Wa Magenge Hatari, Hawaoni Jua, Kutoroka Haiwezekaniki Kabisa – Video

Nchi ya El Salvador, iliyoko katika bara la Amerika ya Kati, imechukua moja ya hatua kali zaidi katika vita vyake...

READ MORE

Marekani Kumkaribisha Netanyahu Ni Kudharau Haki

Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International limelaani kitendo cha Marekani cha kumpokea waziri mkuu wa...

READ MORE

EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta ya Petroli na Dizeli

EWURA inatangaza Bei Kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli zitakazotumika hapa nchini kuanzia Jumatano ya tarehe 5 Februari, 2025,...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki maadhimisho ya miaka 48 ya Chama cha Mapinduzi Dodoma (Picha +Video)

Rais Samia Suluhu Hassan amempongeza Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, na kueleza kuwa amethibitisha kwamba mkutano...

READ MORE

Mwanahabari Mkongwe Afariki Dunia Uingereza

Taarifa zilizotolewa na Shirika la Habari la Uingereza (BBC) zinasema mwandishi wa mkongwe nchini ambaye aliwahi kuwa mtangazaji wa BBC,...

READ MORE

Trump Ataka Kuuchukua Ukanda Wa Gaza

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameshitua watu duniani baada ya kutangaza nia yake ya kuchukua udhibiti wa Ukanda wa Gaza...

READ MORE

Idadi Waliyofariki Kwa Kupigwa Risasi Wafikia 10

Polisi nchini Uswidi wamethibitisha kuwa takriban watu 10 wamepoteza maisha katika shambulio la risasi lililotokea kwenye eneo la chuo katika...

READ MORE

Tanzia: Aga Khan Afariki Dunia

Kiongozi Mkuu wa 49 wa Madhehebu ya Shia Ismailia na Mwanzilishi wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan, Mtukufu Aga...

READ MORE

Watu 67 Wauawa Katika Shambulizi Sudan

  Jeshi la Sudan (SAF) limetangaza kuwa, takriban watu 67 wameuawa Jumapili katika shambulizi la mizinga lililofanywa na Vikosi vya...

READ MORE

Mwanaume Aliyeachwa na Wanawake 23, Apata Suluhisho

Kwa miaka mingi, mahusiano ya David kutoka Arusha yalipitia changamoto nyingi, wanawake wengi (zaidi ya 23) kila mara walikuwa wakimuacha...

READ MORE

Rais Samia Atikisa Dodoma: Wananchi Wafurika Barabarani Kushuhudia Tuzo Yake! – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Februali 4, 2025 amewasili na kupokelewa na Viongozi mbalimbali...

READ MORE

Wanaofukuzwa Marekani Hatarini Kupelekwa Magereza Hatari

Serikali ya Marekani imefikia makubaliano ya ajabu na Serikali ya El Salvador ambayo yatairuhusu nchi hiyo kupokea wahamiaji wanaorejeshwa kutoka...

READ MORE

JWTZ Lapokea Ndege ya Kijeshi Kutoka Falme za Kiarabu (UAE)

Dar es salaam, 4 Februari 2025: Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dk. Stergomena Lawrence Tax (Mb) leo...

READ MORE

Kijana Azindua Gari Lisilotumia Mafuta Wala Umeme, Aitwa Ikulu – Video

Zimbabwe inatarajia kuzindua gari lililopewa jina la Saith EV tarehe 10 Februari mwaka huu—gari linalojiendesha lenyewe, lenye kasi ya hadi...

READ MORE

Rais Samia Apokea Tuzo Ya Gates Goalkeeper Award, Hyatt Regency – (Picha+Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Akipokea Tuzo ya Gates Goalkeeper Awards Hyatt Regency Hotel...

READ MORE

Jeshi La Afrika Kusini Halitajitoa DRC

Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ameahidi kuendelea kuisaidia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) licha ya wananchi wa Afrika...

READ MORE

Wanafunzi wawili Walijiteka na Kuomba Fedha Kwa Wazazi, Tunawashikilia

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawashikilia wanafunzi wawili kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo baada ya...

READ MORE

China Yatangaza kuongeza ushuru wa bidhaa zinazotoka Marekani

Serikali ya China leo, Jumanne Februari 4, 2025, imetangaza kuongeza ushuru wa bidhaa zinazotoka Marekani kwa wastani wa asilimia 10...

READ MORE

Wafanyabiashara Wawili kizimbani kwa kumiliki mijusi 226

WAFANYABIASHARA wawili wakazi wa jijini Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi mbili za...

READ MORE

Waziri Chana Asisitiza Ajenda ya Kulinda Wananchi Dhidi ya Wanyamapori Wakali

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amezielekeza halmashauri zote nchini kuchukua jukumu la kulinda wananchi...

READ MORE

Bolt Yazindua Kipengele cha “Trusted Contacts” Kuboresha Usalama wa Abiria na Madereva

Dar es Salaam, TZ: 5 Februari 2025 – Kampuni ya Bolt imezindua kipengele kipya cha “Trusted Contacts” ambacho kitawawezesha abiria...

READ MORE

Paul Kagame: Sifahamu kama wanajeshi Wetu wako Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)

Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema kuwa hajui kama wanajeshi wa nchi yake wako mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

READ MORE

Museveni Awataka DRC Na M23 Wakutane

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesisitiza umuhimu wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC) kufanya mazungumzo ya amani ya moja...

READ MORE

Wananchi, Vikundi vya Kijamii Wete Pemba vyapigwa msasa NMB Kijiji Day

SERIKALI ya Mkoa wa Kaskazini Pemba, imewataka Wananchi na Vikundi vya Kijamii na Ushirika Wilaya ya Wete, kuitumia vema Elimu...

READ MORE

Watumishi Brela Wasisitizwa Uadilifu na Nidhamu Kazini

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) Bw. Godfrey Nyaisa amewataka watumishi wa taasisi hiyo...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Akishiriki Maadhimisho Ya Siku Ya Sheria Nchini (Picha + Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini, Viwanja vya...

READ MORE

Arsenal, PSG, Bayern Zatakiwa Kusitisha Visit Rwanda

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imezitaka klabu za Arsenal, Bayern Munich na Paris St-Germain kusitisha mikataba yao ya udhamini...

READ MORE

Musk: USAID Ni Shirika La Kihalifu, Lifutwe

Bilionea Elon Musk, ambaye anaongoza Kitengo cha Ufanisi wa Serikali ya Donald Trump nchini Marekani, amesema kuwa Shirika la Misaada...

READ MORE