×

Habari

NMB Yavunja Rekodi ya Ufanisi kwa Matokeo ya Kihistoria ya Mwaka wa Fedha 2024

Matokeo haya mazuri ya kifedha yamechagizwa na utekelezaji makinii wa mkakati wa Benki na uwekezaji endelevu katika kutumia uwezo wa...

READ MORE

Wassira Awasili Geita, Kuzindua Maadhimisho Miaka 48 Ya CCM – Video

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amewasili mkoani Geita kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo...

READ MORE

Lissu Akabidhiwa Ofisi, Afungukia Uchaguzi, Ataka Wanachama Kuungana – Video

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amekabidhiwa leo ofisi yake na Katibu Mkuu wa chama hicho...

READ MORE

Mjue Mwanamke Mrefu na Mfupi Duniani, Washangaza – Video

Wanawake wawili waliovunja rekodi za dunia kwa urefu na ufupi wao hivi karibuni walikutana kwa mara ya kwanza jijini London,...

READ MORE

Selina Gomez Afuta Video Aliyojirekodi Akilia

    Hapo jana, Jumanne ya Januari 28, 2025 staa wa muziki na filamu duniani, Selena Gomez alijirekodi video akiwa...

READ MORE

Trump Apingwa Suala La Kuwahamisha Wapalestina

Taasisi ya Al-Azhar ya Misri, imelaani mpango wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kuwatimua Wapalestina katika eneo la Ukanda...

READ MORE

Sekeseke Laibuka Msibani Baada ya Marehemu Kugoma Kuzikwa

Mji mdogo wa Kisii nchini Kenya ulijikuta katika majonzi na mshangao huku mwili wa Fetty Moraa, anayedaiwa kuuawa na mumewe,...

READ MORE

Mkulima wa Simanjiro Ajishindia Gari Jipya na Magift ya Kugift

Kampuni ya mtandao wa mawasiliano ya Yas, leo imemkabidhi mshindi zawadi ya gari la kwanza aina ya Kia Sorento 0...

READ MORE

Mixx by Yas na Soko la hisa DSE Waingia Makubaliano ya Ushirikiano

  Dar es Salaam 29 Januari 2025: Kampuni ya mtandao wa simu ya Yas Tanzania pamoja na soko la hisa...

READ MORE

Watu 17 Wafariki Goma Wakiwemo Walinda Amani Wanne Kutoka Afrika Kusini

Mapigano makali yameendelea kushuhudiwa katika mji wa Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ambapo waasi wa M23...

READ MORE

Maafisa Waliomfungulia Kesi Trump, Wafutwa Kazi

Maafisa wa Wizara ya Sheria nchini Marekani wamewafuta kazi waendesha mashtaka kadhaa waliozishughulikia kesi za jinai zilizomkabili Rais Donald Trump....

READ MORE

Rais Samia Anaongoza Marais Wa Afrika Kujadili Nishati – (Picha +Video)

Mkutano wa Nishati wa wakuu wa nchi (Misheni 300) unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, jijini...

READ MORE

Lissu, Heche na Naibu Katibu Kuripoti Makao Makuu Mikocheni Kesho

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema) Tundu Lissu anatarajiwa kuripoti makao makuu ya chama hicho Mikocheni...

READ MORE

Kiongozi wa ACT Wazalendo Atangaza Mabadiliko katika Baraza Kivuli la Mawaziri

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Manka Semu, ametangaza mabadiliko katika Baraza Kivuli la Mawaziri la chama hicho baada...

READ MORE

Rais Dkt. Samia ni Shupavu na Mwenye Maono

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Christina Mndeme amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kiongozi shupavu na...

READ MORE

Mkurugenzi Mkuu NSSF Akutana Na Waziri Mkuu Wa Uganda

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Masha Mshomba, tarehe 27 Januari 2025 amekutana na Waziri...

READ MORE

Rais Ruto Alivyowasili Dar kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati

Rais wa Jamhuri ya Kenya, Dkt. William Ruto leo Januari 28, 2025 ameongeza idadi ya Marais wa Afrika waliowasili jijini...

READ MORE

Rais Samia Alivyopiga Picha na Wakuu wa Nchi mbalimbali na Viongozi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakuu wa Nchi mbalimbali na Viongozi wengine wakishiriki Mkutano...

READ MORE

Matukio Mbalimbali ya Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika 2025 Mission 300

Kutoka Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere (JNICC) ambako Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika 2025...

READ MORE

Ruto: Afrika Inapoteza Dola Bilioni 18 Kisa Mizozo

Rais William Ruto wa Kenya ambaye yuko mstari wa mbele katika kupigania mageuzi ya kitaasisi ndani ya Umoja wa Afrika...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashiriki Mkutano Wa Kumi Na Nane Wa Bunge – Video

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshiriki Mkutano wa kumi na nane wa bunge ulioanza leo Januari 28, 2025, bungeni jijini Dodoma....

READ MORE

Selena Gomez Amwaga Machozi Kisa Sera za Trump Kufukuza Wahamiaji Haramu

Mwanamuziki na muigizaji maarufu duniani, Selena Gomez amejirekodi akiwa anamwaga machozi kwenye Instastori yake alipokuwa akizungumzia sera ya Rais Donald...

READ MORE

Tuwakatae Wanasiasa Wachonganishi na Wafitinishi-CPA Makalla

Watanzania wametakiwa kuachana na viongozi fitna na wachonganishi kwani wanaleta chuki na uhasama hata pale mazuri yanapofanyika Maneno hayo yametolewa...

READ MORE

Waasi Wa M23 Waeleza Kwamba Nia Yao ni Kuukamata Mji Mkuu wa Kinshasa

Kiongozi wa Muungano wa Waasi wa Congo River Alliance unaolijumuisha kundi la wapiganaji wa M23 waliofanikiwa kuuteka Mji wa Goma,...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Apokea Risala ya Wajumbe wa NEC, Waunga Maazimio ya Mkutano Mkuu CCM

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi jana tarehe 27 Januari 2025, amepokea risala ya...

READ MORE

Amfumania Mkewe na Mtoto wa Kambo Chumbani

Jina langu ni Sele Mutiso, mkazi wa Mwingi Town nchini Kenya, leo nitasimulia hadithi ambayo imetikisa familia yangu kwa kiasi...

READ MORE

Marekani Kupeleka Mabomu 1,800 Ya MK-84 Kwenda Israel

Marekani imetangaza kusafirisha mabomu 1,800 ya aina ya MK-84 kwenda Israel katika siku chache zijazo, mabomu hayo yenye uzito wa...

READ MORE

Trump Kusitisha Misaada,Tacaids Yawatoa Hofu Watumiaji Wa ARVs

Kaimu mkurugenzi mtendaji wa tume ya kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) Dkt.Catheren Joachim amesema serikali ya Tanzania itaendelea kulinda usalama wa...

READ MORE

Waasi wa M23 Waingia katikati ya mji mkubwa mashariki wa Congo

Waasi wa M23 wanaelezwa kuungwa mkono na Rwanda wametangaza kuwa wameukamata mji mkubwa wa Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia...

READ MORE

Rais Wa Malawi Yuko Tanzania Kwa Ajili Ya Mkutano Wa Nishati Wa Afrika

Rais wa Jamhuri ya Malawi, Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Kuzungumza na Viongozi Mbalimbali Ikulu – Picha

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Viongozi mbalimbali Ikulu Jijini...

READ MORE

Tanzania Yampokea Rais wa Burundi kushiriki Mkutano wa Nishati

Rais wa Jamhuri ya Burundi, Évariste Ndayishimiye, amewasili jijini Dar es Salaam kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika...

READ MORE

Msama Apewa Tuzo ya Heshima na Chama cha Muziki wa Injili nchini (CHAMUITA)

Mkurugenzi wa Msama Promotions Alex Msama amepewa tuzo ya Heshima na Chama cha Muziki wa Injili nchini (CHAMUITA) kama Muandaaji...

READ MORE

Bodaboda Wapewa Sare Zitakazowatambulisha Kukabiliana Na Uhalifu

Katika kuhakikisha matukio ya uhalifu yanayotekelezwa na baadhi ya waendesha pikipiki, Mkaguzi Kata ya Kati Jijini Arusha Mkaguzi Msaidizi wa...

READ MORE

Trump: Wapalistina Wahamishwe Gaza

Rais Donald Trump wa Marekani amependekeza Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wahamishwe katika ardhi yao hiyo na kupelekwa nchi jirani...

READ MORE

Oryx Gas Yakutana na Mawakala Mikoa Yote Kuweka Mikakati ya 2025

  Mkurugenzi Mtendaji wa Oryx Gas Tanzania, Araman Benoit akizungumza kwenye mkutano huo. KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imewakutanisha mawakala...

READ MORE

Dkt. Biteko Awapa Pole Bukombe Kufuatia Ajali ya Radi

Mbunge wa Jimbo la Bukombe ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa...

READ MORE

Dkt. Biteko Afungua Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Africa

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko akifungua Mkutano wa Nishati Barani Afrika (Africa Energy Summit, 2025)...

READ MORE

Aliyepandikizwa Figo Ya Nguruwe Aweka Rekodi Duniani – Video

Towana Looney, mwanamama kutoka Alabama nchini Marekani ameingia kwenye rekodi baada ya kupandikizwa figo ya nguruwe ambapo mpaka sasa, zikiwa...

READ MORE

Heri ya Kuzaliwa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Tunakuombea Maisha Marefu

  Siku kama ya leo, Januari 27, 1960, Rais Samia Suluhu Hassan alizaliwa. Kampuni ya Global Publishers, uongozi na wafanyakazi...

READ MORE