×

Habari

Meridianbet Yatoa Msaada Ali Maua Kijitonyama

Mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wameendelea walipoishia kwani Oktoba 30, 2024 tena wamefanikiwa kutoa msaada eneo la...

READ MORE

Zuhura Yunus Awataka Madereva Kuzingatia Tija, Ufanisi Katika Utendaji Kazi Wao

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Zuhura Yunus, amewataka Madereva kuzingatia tija...

READ MORE

Waziri Wa Mambo ya Ndani Amtaka RPC Kukomesha Kero ya Wizi Kikwajuni

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, na Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni, Zanzibar, Mhandisi Hamad Masauni, amemtaka Kamanda wa...

READ MORE

Vita ya Trump, Kamala Yahamishiwa Kwenye Ubashiri

Wakati joto la uchaguzi mkuu wa Rais wa Marekani uliopangwa kufanyika Novemba 5, 2024 likipanda, kampuni nyota ya michezo ya...

READ MORE

Safiri Zaidi, Lipa Kidogo: Dubai na Johannesburg kwa Air Tanzania

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imezindua ofa ya “Safiri Zaidi, Lipa Kidogo” kwa abiria wake wanaosafiri kati ya Zanzibar –...

READ MORE

Tume Ya Madini Kuzima Mfumo wa Zamani Ili Kuruhusu Mfumo Ulioboreshwa Kufanya Kazi

Tume ya madini inautaarifu umma wa watanzania kuwa kutakuwa na maboresho ya mfumo wa utoaji na usimamizi wa leseni za...

READ MORE

Wadau wa Afya Wakusanyika Arusha Kujadili Bima ya Afya Kwa Wote

Kongamnao kuhusu Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote na Mdahalo wa Kitaifa kuhusu Mpango wa Ufadhili wa Sekta ya...

READ MORE

Mradi wa Sh 60 Bilioni Kuleta Mapinduzi ya Huduma za Usafiri Ziwa Victoria

Serikali ya Tanzania imewekeza Sh60 bilioni kuboresha bandari tatu kuu za Ziwa Victoria. Meneja wa Bandari za Ziwa Victoria, Erasto...

READ MORE

Rais Samia Alivyozungumza Na Wenza Wa Marais

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na baadhi ya Wenza wa Wakuu wa nchi...

READ MORE

NECTA Yatangaza Matokeo ya Darasa la Saba 2024, Yapo Hapa

DAR-Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani ya darasa la saba mwaka 2024 huku ufaulu wa jumla ukiongezeka...

READ MORE

Kihenzile Aongoza Ujumbe Wa Tanzania Red Cross Nchini Uswiswi

David Kihenzile, Rais wa Redcross Tanzania leo Oktoba 29, 2024 ameongoza ujumbe wa Tanzania kwenye Ufunguzi wa Mkutano wa 34...

READ MORE

Dkt. Abbasi: Hakuna Kizuizi Kufikia Watalii Milioni 5 Mwaka 2025

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, amesema kwa mikakati ya kutangaza Utalii inayotekelezwa na Serikali...

READ MORE

Tanzania na Urusi Kushirikiana Kuendeleza Utalii

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imekubaliana kushirikiana na Nchi ya Urusi katika...

READ MORE

Majaliwa Ateta Na Waziri Wa Uchumi Wa Urusi jijini Dar

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekutana na Waziri wa Uchumi na Maendeleo wa Shirikisho la Urusi, Bw. Maxim Reshetnikov na kujadiliana...

READ MORE

Milango ya Rais Samia Iko Wazi, Anawakaribisha Viongozi Wa Dini : Dkt. Biteko

  *Dkt. Biteko Amwakilisha Rais Samia Jubilei ya Miaka 50 ya AICT Magomeni, Achangia Milioni 100 Ujenzi wa Kanisa *Atoa...

READ MORE

Alitokomea Akiwa na Ujauzito Wangu, Anarudi Anasema Mtoto Siyo Wangu

Kwa majina naitwa Luka Onyango, nilikutana na mwanamke mmoja tukaanzisha mahusiano ila kwa upande wangu, nilikua nachepuka tu sababu nilikua...

READ MORE

Benki ya CRDB Yatunukiwa Tuzo za ‘Benki Bora’ na ‘Benki Salama’ Tanzania na Jarida la Global Finance

Benki ya CRDB imetambuliwa kwa mara nyingine kama kinara katika sekta ya benki Tanzania kwa kushinda Tuzo ya ‘Benki Bora...

READ MORE

Tigo na Infinix Wazindua Toleo la Bei Chee la Hot 50

Dar es Salaam, Oktoba 29, 2024 – Tigo Tanzania, kwa kushirikiana na Infinix, imetangaza kuzindua Kipindi cha Infinix Hot 50,...

READ MORE

Waziri Mkuu Mgeni Rasmi Buhaya Festival

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Oktoba 27, 2024 ni mgeni rasmi katika Tamasha la Buhaya ‘Buhaya Festival’ linalofanyika katika ukumbi...

READ MORE

Mzee Hiza Aliyepewa Mil 50 Na Rais Samia ”Vitoto Vya 2000 Havinisumbui” – Video

Masihara ya Mzee Hizza aliyeimba Tanzania Yetu na mkewe baada ya kupewa shilingi milioni 50 na Rais Samia Suluhu Hassan,...

READ MORE

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian Atoa Tamko Wanajeshi Waliouawa

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian ametoa salamu za rambirambi kwa familia za watu wanne waliouawa kwenye mashambulizi yaliyofanywa na Israel...

READ MORE

Waziri Ndejembi Atoa Ujumbe Mzito Kwa Watumishi Wasiokuwa Weledi – Video

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Deogratius Ndejembi amemuelekeza Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya...

READ MORE

Wolper Aongea Kwa Uchungu Msibani – Ombeni Alikuwa Mtu Wa Mungu… – Video

Msanii wa Sanaa ya Uigizaji nchini Jacqueline Wolper amehudhuria mazishi ya marehemu Ombeni Phiri ambapo amesema watu wakipata nafasi wajifunze...

READ MORE

Rais Mwinyi: Nitaendelea Kufanya Mageuzi Katika Sekta Mbalimbali

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kufanya mageuzi makubwa ya kuboresha...

READ MORE

Benki Kuu ya Tanzania Kuondoa Kwenye Mzunguko Noti za Zamani

Benki Kuu ya Tanzania inatarajia kuanza kuondoa kwenye mzunguko noti za zamani za shilingi ishirini (20), mia mbili (200), mia...

READ MORE

Naibu Waziri Kigahe Aisisitiza BRELA Mifumo Yake na Wadau, Kusomana

Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) katika mkutano wake wa pili na wadau wa mwaka 2024, Naibu Waziri...

READ MORE

Coldwell Banker Real Estate Yavutiwa na Soko la Mali Isiyohamishika

IKIWA na makadirio ya thamani ya dola za Marekani bilioni 1.5 kufikia mwaka 2019 ikilinganishwa na dola bilioni 1.2 mwaka...

READ MORE

Benki ya CRDB Yatunukiwa Tuzo za ‘Benki Bora’ na ‘Benki Salama’ Tanzania na Jarida la Global Finance

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto), akipokea tuzo ya ‘Benki Bora Tanzania’ kutoka kwa Joseph Giarraputo, Mwanzilishi...

READ MORE

Benki ya NMB Yajizatiti Kuwezesha Kakampuni ya Korea Kusini Yanayotekeleza Miradi Nchini

Benki ya NMB Plc imesisitiza kuendelea kutekeleza dhamira yake ya kuyawezesha makampuni kutoka Korea Kusini yenye nia ya kuwekeza hapa...

READ MORE

Teleza Na Odds Kubwa Ndani Ya Meridianbet Leo

Meridianbet wanatoa odds kubwa na machaguo zaidi ya 1000, yaani hapa kuna kila kitu unachotaka wewe. Unasubiri nini sasa tengeneza...

READ MORE

Waziri Mkuu agawa fimbo nyeupe kwa walemavu

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akigawa fimbo nyeupe kwa watu wenye ulemavu wa kuona alipomwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu...

READ MORE

Nguli Wa Utangazaji Nchini Mama Eda Sanga Na Mumewe Lazarus Sanga Washerehekea Jubilei Ya Dhahabu Ya Ndoa Yao Dar

Ni Ijumaa Oktoba 25, 2024 jioni, hususan katika sherehe ya maadhimisho ya Jubilei ya Dhahabu katika kitongoji cha Segerea, Dar...

READ MORE

Utawala wa Rais Dk. Samia Wazidi Kunoga Kwa Wawekezaji, Puma Nao Kuanza Kuuza Gesi ya Kwenye Magari

Katika inachoonekana Utawala wa Rais Dk Samia kuzidi kuwavutia wawekezaji, Kampuni ya PUMA Energy Tanzania nayo imepanga kuanza mchakato wa...

READ MORE

Shigongo Amshukuru Juma Aweso kwa kutekeleza miradi maji ya maji ya Buchosa

Mbunge wa Buchosa Eric Shigongo amewashukuru watendaji wa wizara ya Maji inayoongozwa na Juma Aweso kwa kwa kutoa fedha nyingi...

READ MORE

Taharuki! Ajinyonga Kwa Chandarua Hadi Kufa, Majirani Na Ndugu Wafunguka – Video

Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Emilian Makala mwenye umri wa miaka 46 Mkazi wa Bigwa Barabarani kata ya Bigwa...

READ MORE

Majaliwa: Serikali Yatenga Sh. Bilioni 20 Kukopesha Wenye Ulemavu

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa katika mwaka wa fedha 2024/2025, Serikali imetenga shilingi bilioni 20.21 kwa ajili ya watu...

READ MORE

Mkuu wa Majeshi Awavisha Nishani Mbalimbali Maafisa Jenerali, Maafisa na Askari Kwa Niaba ya Rais Dk Samia

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda kwa niaba ya Mhe Rais na Amiri...

READ MORE

Waziri Mkuu Amwakilisha Rais Dkt. Samia Maadhimisho Ya Siku Ya Fimbo Nyeupe

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Oktoba 25, 2024 amewasili mkoani Kilimanjaro ambapo anamwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika...

READ MORE

Rais Samia ampa sheikh wa arusha land rover

Kwaniaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe....

READ MORE