×

Habari

Dk Mpango Atoa Maagizo Sita kwa ESRF  Kuwezesha Maendeleo Endelevu

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Phillip Mpango, ametoa maagizo sita kwa taasisi Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF) yenye...

READ MORE

TBL na Stanbic Waanzisha Ushirikiano wa Kukuza Wafanyabiashara Kupitia Program za Grit na Rise

22 Oktoba 2024, Dar es Salaam, Tanzania – Tanzania Breweries Limited (TBL) na Benki ya Stanbic Tanzania wamesaini makubaliano ya...

READ MORE

Pembe Azikwa Na Mastaa Wenzake, Joti, Bambo, Senga Na Wengine – Video

 Aliyekuwa mchekeshaji nguli nchini, Pembe aliyefariki dunia jana, amezikwa leo katika Makaburi ya Yombo Dovya jijini Dar es Salaam.

READ MORE

Chelsea kama wanataka Ubingwa waachane na Goli Kipa wao

Nahodha wa zamani wa Liverpool Jamie Carragher, amewaambia Chelsea kuwa kama wanataka kushinda ubingwa basi waachane na golikipa wake Roberto...

READ MORE

Aliyeachika Kwenye Ndoa Mbili Kisa Harufu Kali Mwilini Apata Mume Mzungu

Mrembo Zuwena Stacy, 29, alikuwa na tatizo lililofanya maisha yake kukosa amani. Tatizo hilo ni kuwa mwili wake ulikuwa ukitoa...

READ MORE

Ummy Atoa Mashine Ya Photocopy Kwa CCM Wilaya Ya Tanga, Afunguka – (Picha+Video)

Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini, Ummy Mwalimu Oktoba 20, 2024 amekabidhi Mashine kubwa ya Photocopy aina ya CANON kwa...

READ MORE

Tamasha la International Food Carnival Lilivyonoga Jijini Dar es Salaam

Kampuni ya Coca-Cola imekuwa miongoni mwa wadhamini wakuu katika Tamasha la kimataifa la vyakula maarufu ‘Internation Food Carnival’ lililofanyika kwa...

READ MORE

Jengo la ghorofa laporomoka katika Mtaa wa Kahawa West jijini Nairobi (Picha + Video)

Jengo la ghorofa katika Mtaa wa Kahawa West jijini Nairobi, limeporomoka na kusababisha taharuki kubwa katika tukio lililotokea Jumapili, Oktoba...

READ MORE

Uwekezaji Mkubwa Katika Huduma za Kidigitali Wafanywa Nchini Tanzania

Benki ya Absa Tanzania imesema imefanya uwekezaji mkubwa katika huduma zake za kibenki kwa njia za kidigitali ili kuunga mkono...

READ MORE

Kampuni ya Huduma za Mawasiliano Nchini ya Tigo Imeshinda Tuzo ya Kimataifa ya Ookla

Kampuni ya Huduma za Mawasiliano Nchini ya TIGO  imeshinda Tuzo ya kimataifa ya Ookla (Speedtest Award 2024) ya Mtandao wenye...

READ MORE

Mchengerwa: Wananchi Milioni 26.7 Wamejiandikisha, Sawa Na Asilimia 81.15 Ya Lengo La Uandikishaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema jumla ya wapiga kura 26,769,995 wamejiandikisha kupiga kura katika Uchaguzi wa...

READ MORE

Mchekeshaji Pembe Afariki Dunia, Mtanga Athibitisha – Video

Kwa mujibu wa mtu wake wa karibu, Pembe amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Temeke jijini Dar es...

READ MORE

Gachagua: Nimenusurika Kuuawa Mara Mbili kwa Sumu – Video

Aliyekuwa Naibu Rais Nchini Kenya, Rigathi Gachagua amedai kuwa hayuko salama na kubainisha kwamba baadhi ya watu wamekuwa wakijaribu kumuua...

READ MORE

Mwanasiasa wa upinzani ameuawa Msumbiji

Watu waliokuwa na bunduki wamempiga risasi na kumuua mwanasiasa wa upinzani nchini Msumbiji. Chama cha PODEMOS kimesema kwamba Elvino Dias,...

READ MORE

Cheza Beach Penalty Ushinde Kitita Leo

Sehemu pekee ambayo unaweza ukaipendezesha wikiendi yako basi ni kupitia mchezo wa Kasino wa Beach Penalties ambao unakupa fursa ya...

READ MORE

Majaliwa Ashuhudia Madiwani Wa CUF, ACT Wazalendo Wakirejea CCM

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa mwishoni mwa wiki hii, ameshuhudia...

READ MORE

Mbio za Kili International Marathon Zazinduliwa Rasmi Dar

Mbio za Kimataifa za Masafa Marefu za Kilimanjaro Premium Lager International Marathon zimezinduliwa rasmi Ijumaa kwenye Ukumbi wa Mikutano ya...

READ MORE

Doto Biteko Afanya mazungumzo na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU)

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko Oktoba 19, 2024 jijini Dar es salaam amekutana na kufanya...

READ MORE

Rais Samia Amzawadia Milioni 50 Mtunzi Mkongwe Wa Wimbo Wa Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Amemzawadia Kiasi cha Shilingi Milioni 50 Mwimbaji wa Muziki...

READ MORE

Bandari ya Tanga Sasa Inashughulikia Meli Kubwa Baaada ya Uwekezaji wa Sh 429.1BN

Utendaji wa Bandari ya Tanga umeimarika kwa kiasi kikubwa katika miaka ya hivi karibuni, kutokana na uwekezaji wa serikali wa...

READ MORE

Project Rise Yaadhimisha Siku ya Chakula Duniani Katika Shule ya Msingi Mkamba

Oktoba 16, 2024 Project Rise kwa kushirikiana na TAFFED (Tanzania Food for Education), walifanya hafla ya Siku ya Chakula Duniani...

READ MORE

TASOTA Yaanza Kongamano la Usafiri na Mkutano Mkuu wa Mwaka Jijini Dar

Dar es Salaam, 18 Oktoba 2024. Chama cha Mawakala waUsafiri Tanzania (TASOTA), chombo mwamvuli kinachofanyakazi ya kuwakilisha maslahi ya Mawakala...

READ MORE

Bolt Business Yampandisha Cheo Milu Kipimo Kuwa Meneja Mwandamizi wa Nchini Tanzania, Tunisia na Ghana

Dar es Salaam, 19 Oktoba 2024 –Kampuni inayoongoza kwa huduma ya usafiri barani Afrika Bolt, imetangaza kumpandisha cheo Meneja wa ...

READ MORE

Waziri Mkuu Ajiandikisha Kijijini Kwake Nandagala

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameshiriki zoezi la kujiandikisha kwenye Daftari la Mpigakura kwa ajili ya kuchagua viongozi wa Serikali za...

READ MORE

Watu 14 Wafariki Kwenye Ajali Mbaya Kilimanjaro – Coaster Na Lori Zagongana Darajani – Video

Watu 14 wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa baada ya kutokea kwa ajali iliyotokea usiku wa kuamkia leo, katika daraja la...

READ MORE

Waziri Mkuu Aeleza Bil 3.5 Kujenga Km 4 za Sehemu ya Barabara ya Lami Jimbo la Mchinga Uanze Haraka

Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kasimu Majaliwa amemtaka meneja wa Tanroad Mkoa wa Lindi engener Emily Zengo kuanza haraka ujenzi...

READ MORE

Ofisi Ya Makamu Wa Rais Kuanzisha Mfumo Wa Kielektroniki Wa Ukusanyaji Wa Taarifa Za Taka

Ofisi ya Makamu wa Rais inatarajia kuanzisha mfumo wa kielektroniki wa ukusanyaji wa taarifa za taka ngumu na taka hatarishi...

READ MORE

Serikali Yatoa 3.5bn Kujenga Barabara Ya Lami Milola

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imepeleka fedha za ujenzi wa barabara mkoani Lindi na amemwagiza Meneja wa TANROADS wa...

READ MORE

Afande Kesi Ya Binti Wa Yombo Hana Kesi, Mahakama Yatupilia Mbali Ombi La Wakili Madeleka – Video

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Dodoma imetupilia mbali maombi ya upande wa Mlalamikaji aliyewasilisha pendekezo kuwa Afande, Fatma Kigondo anayeshtakiwa kuwatuma...

READ MORE

Mahakama moja ya Bangladesh imetoa hati ya kukamatwa Sheikh Hasina

Hasina na watu wengine 45 wakiwemo washauri wake wa karibu wanashtakiwa kwa mashtaka ya uhalifu dhidi ya ubinadamu. Mahakama moja...

READ MORE

Benki ya CRDB yapeleka wafanyabiashara kushiriki maonyesho ya kimataifa ya Canton Fair ya China

Katika muendelezo wa jitihada zake za kuwezesha biashara za ndogo na za kati (SME), Benki ya CRDB imewezesha wafanyabiashara wazawa...

READ MORE

NMB Yawa Benki ya Kwanza Duniani Kuzindua Mfumo wa Lipa Kwa QR Link Kwa Kubofya

Kwa mara ya kwanza Duniani na kwa kushirikiana na @mastercard, Benki ya NMB imezindua rasmi mfumo wa malipo wa Lipa...

READ MORE

Wafanyabiashara Waipongeza Serikali Kushughulikia Changamoto za Kikodi

Wafanyabiashara wanachama wa Jukwaa la Wafanyabiashara wa Afrika Kusini nchini Tanzania (SABFT), wametoa pongezi za serikali za nchi zote mbili...

READ MORE

40 Lucky Sevens ndio Mchongo wa Mjini

Kwasasa mchongo ni mjini ni 40 Lucky Sevens mchezo wa Kasino ambao unachezwa na wajanja wote, Kwani mchezo huo unawapa...

READ MORE

Mufti Awataka Wananchi Wajitokeze Kujiandikisha Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Alhaj Dkt Abubakar Zubeiry bin Ali amehimiza wananchi nchini kote kujitokeza kwa wingi kujiandikisha...

READ MORE

Balozi Dkt. Nchimbi Ajiandikisha Kupiga Kura Serikali za Mitaa, Atoa Wito Watu Kujitokeza Kwa Wingi

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amejiandikisha kwenye daftari la wakazi katika mtaa wake,...

READ MORE

Kamati ya Kudumu ya Bunge Yaridhishwa na Maendeleo ya Ujenzi Jengo la Zimamoto

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama imetembelea na kukagua ujenzi wa jengo la kituo...

READ MORE

Rais Ruto Amteua Waziri wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki kuwa Naibu Rais

Rais William Ruto amemteua Waziri wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki kuwa Naibu Rais ajaye kufuatia kutimuliwa kwa Rigathi Gachagua...

READ MORE

Rais wa IPU Tulia Ahitimisha Mkutano Mkuu wa Mabunge Duniani Uswisi

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson,...

READ MORE