×

Habari

Balozi Nchimbi Awafariji Mzee Makamba na Familia ya Mwambi

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amemtembelea na kuzungumza na Mzee Yusuf Makamba leo,...

READ MORE

Padri kesi ya Asimwe Adaiwa Kuwa na Ugonjwa wa Akili

Washitakiwa  tisa (9)  wanaotuhumiwa kuhusuka na mauaji ya kikatili ya mtoto mwenye ualbino Marehemu Noela Asimwe Novat aliyekuwa na umri...

READ MORE

Wazalishaji mbegu feki wadakwa Magu, DC Nassari atoa ujumbe kwa wakulima

VIJANA wawili wamekamatwa na vyombo za ulinzi na usalama wilayani Magu mkoani Mwanza kwa tuhuma za kuzalisha na kusambaza mbegu...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao Baraza la Mawaziri Ikulu Ndogo ya Tunguu Zanzibar

Rais Dk Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika katika Ikulu ndogo ya Tunguu Zanzibar tarehe 25...

READ MORE

Mchengerwa: Mchakato Wa Kuanzisha Mamlaka Ya Usimamizi Wa Jiji La Dar Es Salaam Uanze

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa ameelekeza mchakato wa uanzishaji wa...

READ MORE

Vituo 525 Vitatumika Kupiga Kura Nachingwea – Msimamizi Uchaguzi Afunguka – Video

Msimamizi wa Uchanguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wilaya ya Nachingwea mhandisi Chionda Kawawa ametangaza rasmi jumla ya...

READ MORE

Daniel Chapo wa chama Cha Frelimo Ashinda Urais Msumbiji

Tume ya uchaguzi nchini msumbiji CNE, imemtangaza Daniel Chapo kutoka chama Cha Frelimo, kuwa Rais mteule wa taifa hilo baada...

READ MORE

Mikataba Ya Ujenzi Wa Km 168 Za Barabara Yasainiwa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mohamed Mchengerwa leo Oktoba 24, 2024 ameshuhudia...

READ MORE

Wafanyakazi Wa Boeing Wagomea Kulipwa Elfu 76 Kwa Saa

  Wafanyakazi wa kampuni ya kutengeneza ndege ya Boeing nchini Marekani, wameendelea na maandamano wakipinga ongezeko dogo la mshahara kwa...

READ MORE

Makamu wa Rais Dkt. Mpango Afungua Mkutano wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza Dodoma

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango ameipongeza Wizara ya Mambo ya Ndani na Jeshi...

READ MORE

Maelfu Wafaidika na Mradi wa Panda Miti Kibiashara

Maelfu ya wananchi wamenufaika na Mradi wa Panda Miti Kibiashara Awamu ya Pili (PFP2) ambao umewezesha kukuza upandaji miti endelevu...

READ MORE

Waziri Mkuu Akutana Balozi Wa Belarus Nchini

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Oktoba 24. 2024 amekutana na Balozi wa Belarus nchini Tanzania Pavel Vziatkin, katika Ofisi ndogo...

READ MORE

RC Chalamila Aendelea na Ziara Usiku wa Manane Kinondoni

-Akagua mradi wa barabara ya BRT Bagamoyo na kutoa maagizo kwa wakandarasi. -Atembelea Shule ya Sekondari ya bweni Mabwe Tumaini...

READ MORE

Nyota wa Tarzan Ron Ely afariki dunia akiwa na umri wa miaka 86

Muigizaji wa Marekani Ron Ely, anayejulikana sana kwa kuigiza nafasi ya Tarzan katika kipindi cha televisheni cha miaka ya 1960...

READ MORE

Dkt. Biteko: Tanzania Kujifunza Teknolojia Ya Magari Ya Umeme Singapore

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amesema kuwa Tanzania inayo nafasi kubwa ya kujifunza Teknolojia ya...

READ MORE

Waziri Mchengerwa Avitaka Vyama Vya Siasa Kuwahamasisha Wanachama Kugombea Nafasi Za Uongozi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amevitaka vyama vya siasa nchini kuhamasisha wanachama wao kujitokeza na kugombea nafasi...

READ MORE

NMB, IFC Mastercard Waingia Makubaliano Kuboresha Upatikanaji wa Huduma za Kifedha Kwa Wanawake Nchini

Benki ya NMB imesaini makubaliano na Shirika la Kimataifa la Fedha (IFC) na Mastercard kuzindua Mradi wa Ushauri wa “Banking...

READ MORE

Mamia Wanufaika Kupitia Bonge la Mpango ya NMB

BENKI ya NMB imetoa mamilioni ya fedha na vifaa ikiwemo zana za kilimo, friji na TV huku ikisubiri mshindi atakayeibuka...

READ MORE

RC Chalamila Afanya Ziara Mtaa Kwa Mtaa Ilala, Asema Hakuna Kulala

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila usiku wa kuamkia leo Oktoba 23,2024 amefanya ziara Wilaya ya...

READ MORE

Meridianbet Yaishika Mkono Hospitali Ya Ndumbwi Mbezi

Meridianbet wamefanikiwa kuhakikisha wanarudisha kwenye jamii yao ambayo mara kwa mara wamekua wakiwaunga mkono, Ambapo leo wamefika eneo la Mbezi...

READ MORE

Rich Panda Ndio Habari Ya Mjini

Habari ya mjini kwasasa ni mchezo wa Rich Panda ambao unakupa fursa ya kupiga mkwanja kwa staili ya aina yake,...

READ MORE

Watu zaidi ya 10 wapoteza maisha baada ya lori la mafuta kulipuka Uganda

Miili zaidi ya 10 imepatikana katika eneo ambalo lori la mafuta lililipuka katika kitongoji cha Kigoogwa kwenye viunga vya kaskazini...

READ MORE

Prof. Mkenda Atembelea Banda la PSSSF na Kutoa Wito Kwa Wastaafu Kujihakiki

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, ambaye pia ni Mjumbe wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC), kutoka Sekta ya...

READ MORE

Mzee Wasira Avunja Ukimya, Awachana Chadema “Waliomba Maridhiano” – Video

Mwanasiasa mkongwe nchini, Stephen Wassira amesema katika chaguzi zote za serikali za kitaa, uchaguzi pekee unaolamamikiwa ni wa 2019 ambao...

READ MORE

Elimu Pekee Haiwezi Kukusaidia Kupata Ajira Bila Kujiongeza

Miaka kadhaa nyuma elimu ilionekana kuwa njia pekee ya uhakika ya kufanikiwa maishani, uwa na degree (shahada) kulithaminiwa sana lakini...

READ MORE

Madiwani Waomba Ujenzi wa Barabara Zisizopitika Zifanyiwe Ukarabati Mtama

Madiwani waomba ujenzi wa barabara zisizo pitika zifanyiwe ukarabati ili ziweze kupitika kwa urahisi na wakulima waweze kusafirisha mazao yao...

READ MORE

NMB Kukuza Vipaji vya Ubunifu, Mageuzi ya Kidijitali UDSM Co-ICT

BENKI ya NMB na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), wamesaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano, unaolenga Kukuza Vipaji,...

READ MORE

Waziri Mkenda Aipa Kongole Benki ya NBC Utoaji Elimu ya Fedha kwa Wananchi

Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda ameipongeza Benki ya NBC kwa jitihada na mkakati wake wa kutoa...

READ MORE

Honda Yazindua Toleo Jipya la Honda ACE 150 kwa kishindo

Alhamisi Oktoba 24, 2024: Waendesha pikipiki nchini Tanzania sasa wana kila sababu ya kutabasamu baada ya kampuni ya Honda Motors...

READ MORE

Polisi Kata Nchi Nzima Kupewa Pikipiki Ili Kuimarisha Usalama

Waziri wa Mambo ya Ndani Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amesema Serikali inaendelea kuboresha utendaji kazi wa Polisi Kata na Shehia...

READ MORE

Vikundi vya Ulinzi Shirikishi Zingatieni Maadili ya Kazi

Vikundi vya Ulinzi Shirikishi Kata ya Ngara Mjini Wilaya Ngara Mkoa wa Kagera vimetakiwa kuzingatia Sheria kipindi cha utekelezaji wa...

READ MORE

Dkt Pindi Apokea Tuzo nne za Kimataifa za Utalii, Ampongeza Dkt Samia

Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) amepokea tuzo nne za Kimataifa za World Travel Awards kwa...

READ MORE

Dkt. Grace Apongeza Watumishi Wa Afya Kwa Utoaji Wa Huduma Bora

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais (TAMISEMI) anayeshugulikia Afya Dkt Grace Magembe ametembelea na kukagua huduma zinazotolewa...

READ MORE

Kesi ya Gachagua kusikilizwa leo

Mapema kuanzia saa tano japo la majaji liliteuliwa na Mahakama kuu nchini Kenya, Limeanza kusikiliza kesi ya kuondolewa madarakani Kwa...

READ MORE

Mwenezi Amos Makala Aibua Jambo Zito Kuhusu Tundu Lissu “Kiongozi Mkubwa Hajajiandikisha” – Video

Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa CPA Amos Makala amewashukia baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani...

READ MORE

Zaidi Ya Washiriki 3,000 Washiriki Uzinduzi Wa Kampeni Ya Tuwaambie Kabla Hawajaharibiwa Arusha

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limezindua kampeni ya tuwaambie kabla hawajaharibiwa kwa lengo la kuongea na wanafunzi kuanzia elimu...

READ MORE

Tanzania Na Singapore Kuimarisha Uhusiano Wake

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema kuwa uhusiano wa Tanzania na Singapore ni wa muda...

READ MORE

Dkt. Biteko Afanya Mazungumzo Na Mwakilishi Wa Heshima Wa Tanzania Singapore

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko Oktoba 21, 2024 akiwa nchini Singapore amekutana na kufanya...

READ MORE

Mshindi wa Kampeni ya Ni Balaa Akabidhiwa Hundi ya Sh. Milioni 20

Abdulfadhili Birro ameibuka mshindi wa donge nono la shilingi milioni 20 kupitia Kampeni ya Ni Balaa! Kila Mtu Ni Mshindi....

READ MORE

Mkandarasi Aanze Kazi Ifikapo Oktoba 24, Majaliwa Asisitiza

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Frank Chonya ahakikishe mkandarasi anayejenga mabweni, madarasa na...

READ MORE