×

Habari

Baada ya Ukaguzi Kidatu, Dkt. Biteko Atua Kituo cha Kupoza Umeme cha Zuzu Dodoma

Baada ya ukaguzi wa matengenezo ya mitambo ya umeme Kidatu Mkoani Morogoro leo tarehe 1 Aprili, 2024 Naibu Waziri Mkuu...

READ MORE

Mahakama ya Rufaa Yatupilia Mbali notisi ya Rufaa Kuendelea Kushikilia Mafuta ya Burundi

KAMPUNI mbili za kigeni, Numora Trading PTE Limited kutoka Singapore na Lamar Commodity Trading ya Dubai zimekwama mahakamani kuendelea kushikilia...

READ MORE

Tanesco Yatoa Neno Kukatika Kwa Umeme

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake kuwa kumetokea hitilafu kwenye mfumo wa njia ya kusafirisha Umeme ya Gridi...

READ MORE

Shahidi Kesi ya Kujeruhi Aeleza Mumewe Alichomwambia Kabla ya Kupolekwa Hospitalini

SHAHIDI wa nne katika kesi ya kujeruhi inayomkabili, Ibrahim Masahi, Careen Wiliam ameieleza mahakama kuwa mume wake Deogratus Minja wakati...

READ MORE

Balozi Dkt. Nchimbi Ashiriki Mazishi ya Askofu wa Kanisa la NGLCC Mkoani Mara

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM,...

READ MORE

RC Mtanda Ahamishiwa Mwanza, Kanali Mtambi Ateuliwa RC wa Mara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuhamisha Said Mohamed Mtanda kutoka Mkoa wa Mara kwenda kuwa...

READ MORE

Rais Samia Atengua uteuzi wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Joyce Ndalichako

Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu),...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 31, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

Rais Samia Amteua Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha

Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Paul Christian Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Kabla ya uteuzi...

READ MORE

Msama Atekeleza Maagizo Ya Waziri Wa Ardhi

Dar es Salaam 30 Machi 2024: Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama ametekeleza agizo la Waziri wa Ardhi,...

READ MORE

Madereva Bodaboda 300 Jiji La Tanga Wapatiwa Mafunzo Ya Usalama Barabarani

MADEREVA bodaboda wapatao 300 waliopo katika Jiji la Tanga wamepatiwa mafunzo ya usalama barabarani yenye lengo la kusaidia kumaliza changamoto...

READ MORE

Mtoto wa Yoweri Museveni Aahidi Kuimarisha Jeshi la Uganda

Mtoto wa kiume wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni ameahidi kupambana na ufisadi ndani ya jeshi baada ya kuchukua usukani...

READ MORE

Dola milioni 26 Zachangishwa kwa ajili ya kampeni za Biden mjini New York

Barack Obama, Bill Clinton pamoja na watu wenye majina makubwa kwenye tasnia ya burudani waliungana pamoja huko New York Alhamisi...

READ MORE

Mbunge wa Simanjiro Ole Sendeka Ashambuliwa kwa Risasi na watu wasiojulikana

MBUNGE wa jimbo la Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka ameshambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana akiwa ndani ya gari...

READ MORE

Wale Jamaa Wa Nitumie Hela Namba hii Wadakwa, 11 Waswekwa Gerezani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu wakazi 11 wa Ifakara Morogoro kifungo cha miaka mitatu jela au kulipa faini ya...

READ MORE

Wadau Mbalimbali Wakutanishwa Na Puma Energy kwenye Iftar

Dar es Salaam, 28 Machi 2024: KAMPUNI ya Mafuta ya Puma Tanzania imewakutanisha wadau mbalimbali katika Iftar iliyoandaliwa na Kampuni...

READ MORE

Aliyetaka Kuvunjiwa Nyumba Arusha Akubali Kumlipa Mwenzie Mbele Ya Waziri Silaa

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amefanikiwa kumaliza mgogoro wa wakazi wawili ambao ni Victoria Chiwangu...

READ MORE

Ajali ya basi yaua watu 45 nchini Afrika Kusini jimbo la Limpopo

Watu 45 wamekufa na mmoja kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kuanguka kutoka kwenye daraja nchini Afrika...

READ MORE

Zuma akataliwa kugombea urais Afrika Kusini

Maafisa wa tume ya uchaguzi nchini Afrika Kusini Alhamisi walisema kwamba wamemuondoa rais wa zamani Jacob Zuma kwenye kiny’anganyiro cha...

READ MORE

Mashabiki wa Simba Wapata Ajali Chalinze, Pwani

Basi dogo aina ya Costa lililobeba mashabiki wa Klabu ya Simba limepata ajali mapema alfajiri ya leo eneo la Vigwaza...

READ MORE

Wami Ruvu Waunda Kamati Kidakio Cha Mto Ngerengere

Katika kuendelea kuhakikisha vyanzo vya maji vinatunzwa na vinakua salama Bodi ya maji Bonde la Wami/Ruvu imeunda kamati Rasmi ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Agusa Makubwa Ya Rais Dkt. Samia Katika Kipindi Cha Miaka Mitatu

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania imeshuhudia magaeuzi na maboresho makubwa ya kiuchumi, kijamii na kisiasa katika kipindi cha...

READ MORE

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) Yapata Hasara ya Shilingi Bilioni 56.64

“Kwa mwaka wa fedha 2022/23 Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imepata hasara ya shilingi Bilioni 56.64, sawa na ongezeko la...

READ MORE

Takukuru: Tanzania Yafanya vizuri katika mapambano dhidi ya rushwa kwa mwaka 2023

Mapambano dhidi ya rushwa yameendelea kuimarika nchini ambapo Tanzania imepanda kwa nafasi saba juu katika mapambano dhidi ya rushwa kwa...

READ MORE

Hasara ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) Yapungua kwa Asilimia 94

“Kwa mwaka wa fedha 2022/23 Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limepata hasara ya shilingi Milioni 894. Hasara hii imepungua kwa...

READ MORE

CAG: Deni la Serikali Lafikia Shilingi Trilioni 82.25 sawa na ongezeko la 15%

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere leo Machi 28, 2029 akibidhi ripoti ya utendaji kazi...

READ MORE

PURA Yapongezwa Usimamizi wa Miradi ya CSR

Diwani wa Kata ya Songo Songo, Mkoani Lindi, Mhe. Hassan Swalehe Yusuph ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa...

READ MORE

Takukuru: Miradi 171 Yenye Thamani Ya Sh Bilioni 143.3 Ilikuwa Na Utekelezaji Hafifu

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), CP Salum Hamduni leo Machi 28, 2024 amesema katika...

READ MORE

Halotel yatoa Msaada wa mahitaji ya Chakula na Vifaa vya Nyumbani kwa Wanawake

Katika kuhadhimisha mwezi wa kumsheherekea Mwanamke na kukaribisha sikukuu za Pasaka, Halotel Tanzania imetoa msaada kwa wanawake chini ya Taasisi...

READ MORE

Naibu Waziri Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 iliyotolewa na Taifa Gas

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi usambazaji wa mitungi ya gesi takribani 10,000...

READ MORE

Vodacom, CRDB Kuongeza Upatikanaji Wa Simujanja Nchini

Dar es Salaam – Machi 27, 2024. Katika jitihada za kuongeza upatikanaji na matumizi ya simu janja ili kuziba pengo...

READ MORE

Waziri wa Mambo ya Nje na Biashara wa Hungary Awasili Nchini Kwa ziara ya Ya siku Mbili

Waziri wa Mambo ya Nje na Biashara wa Hungary, Mhe. Péter Szijjártó amewasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...

READ MORE

Wizara Ya Viwanda Na Biashara Yafanya Mazungumzo Na Wawekezaji Kutoka China

Dar es Salaam, 27 Machi 2024: Wizara ya Viwanda na Biashara imefanya mazungumzo na wawekezaji kutoka nchini China na kuwaonyesha...

READ MORE

Rais Samia Ampongeza Rais Aliyeshinda uchaguzi mkuu wa Senegal

Rais Samia Suluhu Hassan, kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii, amempongeza Bassirou Diomaye Faye, Rais aliyeshinda uchaguzi mkuu wa...

READ MORE

TANESCO: hali ya upatikanaji umeme kwa sasa Nchini inaelekea kuzuri zaidi

Meneja maendeleo na Biashara wa Shirika la Umeme Nchini TANESCO, Magoti Mtani amesema kuwa hali ya upatikanaji umeme kwa sasa...

READ MORE

NMB yafuturisha Dar, Waziri Mkuu azitaka Serikali za Mitaa, Taasisi zijifunze Kwao

BENKI ya NMB imewafuturisha wateja wake walio kwenye Mfungo wa Mwezi Ramadhani jijini Dar es Salaam, pamoja na kutoa misaada...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Mgeni Rasmi Kurasa 365

Kutoka Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam leo ni kilele cha Maadhimisho ya Kurasa 365 za Mama Vol.3...

READ MORE

Kamilisheni Taratibu Za Umiliki Wa Eneo Lilipo Jengo La Kitega Uchumi Kange Ili Lianze Kufanya Kazi – Kamati Ya

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeitaka Halmashauri ya Jiji la Tanga kukamilisha taratibu...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 27, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

Waliofanya Mauaji Karatu Wakamatwa, Msemaji wa Jeshi la Polisi Afunguka

Jeshi la Polisi limesema kifo cha Dereva wa Watalii, Omary Saimon Msamo kilichotokea Wilayani Karatu, Machi 16, 2024 kimetokana na...

READ MORE