×

Habari

Marekani kusitisha usambazaji wa baadhi ya silaha kwa Israel iwapo itaendelea na uvamizi Rafah

Rais Biden anaonya kuwa ataacha kusambaza baadhi ya silaha iwapo Israel itaanzisha operesheni ya ardhini. Rais Joe Biden ameionya Israel...

READ MORE

COSOTA, RUGE MUTAHABA FOUNDATION KUTOA ELIMU YA HAKIMILIKI KWA VIJANA MILIONI 1

Ofisi ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA) imesaini makubaliano ya ushirikiano (MoU) na taasisi ya Ruge Mutahaba Foundation kufanya Kampeni ya kutoa...

READ MORE

Tanzania Yazindua Kampeni Ya Mgombea Wa Nafasi Ya Mkurugenzi Wa Shirika La Afya Duniani Kanda Ya Afrika

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imemtangaza Mgombea wa Nafasi ya Mkurugenzi wa Afrika katika Shirika la Afya Duniani (WHO)  Dkt....

READ MORE

Waziri Mkuu Awasilisha Taarifa Kuhusu Kimbunga Hidaya Bungeni – Video

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa bungeni leo Mei 9, 2024 amewasilisha taarifa kuhusu kimbunga Hidaya. Waziri Mkuu amesema kimbunga hicho kiliathiri...

READ MORE

Benki ya NBC Yakabidhi Kombe la Ubingwa wa NBC Championship Kwa Kengold

  Mdhamini mkuu wa Ligi Daraja la Kwanza (NBC Championship) Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekabidhi kombe la ubingwa...

READ MORE

Shigongo: Walimu Wetu Wana Maisha Magumu, Natamani Walipwe Vizuri – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo ni miongoni mwa wabunge waliochangia katika mjadala wa makadirio ya bajeti ya Wizara ya Elimu,...

READ MORE

RC Makonda Asikiliza Kero Wakati Wa Operesheni Rejesha Haki Arusha – Video

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda akisikiliza kutoka kwa baadhi ya wananchi, waliofika kwenye ofisi ya Mkuu wa...

READ MORE

Bil 1.1 za TANROADS Zarejesha Mawasiliano ya Barabara Katavi

Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoani Katavi imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kufanya kazi ya matengenezo na kurejesha miundombinu...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 9, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

Wanafunzi Geita Waweka Bayana Sababu Zinazochangia Utoro

Kaimu Mratibu wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Bi. Martha Makala akisalimiana na Wanafunzi wa Sekondari ya Bung’wangoko ikiwa ni...

READ MORE

Trilioni 1.97 Kuleta Mageuzi ya Elimu Nchini

TRILIONI 1.97 KULETA MAGEUZI YA ELIMU NCHINI 2024/2025 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania laidhinisha zaidi ya shilingi Trilioni...

READ MORE

Ujio wa Madaktari Bingwa Morogoro Mkombozi kwa Wananchi

  Baada ya timu ya madaktari bingwa 55 wa waliotumwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwasili mkoani Morogoro kwa ajili...

READ MORE

Kitendo cha Baba na Mama Kuachana Ndiyo Chanzo cha Maisha Yangu Kuharibika

Jina langu ni Monica kutokea Mbeya nchini Tanzania, nilizaliwa kipindi mama na baba wakiwa pamoja, baadaye wakaachana kwa sababu zao...

READ MORE

Getere: Boom Liondolewe, Wanafunzi Wote Wanaopata Wanalewa – Video

Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu...

READ MORE

Jaji wa serikali kuu aahirisha kwa muda usiojulikana kesi ya nyaraka za siri inayomkabili Donald Trump

Jaji wa serikali kuu huko Florida anayesimamia kesi ya nyaraka za siri inayomkabili Rais wa zamani Donald Trump amefuta tarehe...

READ MORE

Wanafunzi 22, 131 wasajiliwa Vituo vya Elimu ya Watu Wazima

WANAFUNZI 22,131 WASAJILIWA VUTIO VYA ELIMU YA WATU WAZIMA Serikali imefanikiwa kusajili wanafunzi 22,131 wakiwemo wasichana 2,794 wa elimu ya...

READ MORE

Ukikatwa Usianze Nongwa Tulia

UKIKATWA USIANZE NONGWA TULIA   Katibu mkuu wa Jumuiya ya wazazi CCM Taifa Comred Ally Salum Hapi amewatahadharisha watu wenye...

READ MORE

Madereva Bodaboda 145 Jiji La Dodoma, Wamepatiwa Mafunzo Ya Usalama Barabarani Awamu Ya Pili

Madereva bodaboda 145 katika Jiji la Dodoma- wamepatiwa mafunzo ya usalama barabarani awamu ya pili yalioanza Aprili 15 Aprili na...

READ MORE

Benki ya NBC Yaingia Makubaliano na SILABU Kufikisha Elimu ya Fedha Majumbani

    Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeingia makubaliano ya ushirikiano wa kiutendaji na kampuni ya SILABU APP inayotoa...

READ MORE

Katibu Mkuu Maganga Aipongeza WCF Kwa Utendaji Unaofuata Viwango Vya Kimataifa

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Bi. Mary Maganga ameupongeza Mfuko wa Fidia...

READ MORE

Trilion 1.15 Kujenga Shule Za Msingi Na Madarasa Mapya

Serikali imetenga jumla ya Shilingi Trillion 1.15 kwa ajili ya kujenga shule mpya za msingi na madarasa mapya kwa kipindi...

READ MORE

Wakurugenzi Watakiwa Kusimamia Makusanyo Ya Halmashauri

Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini wametakiwa kusimamia makusanyo kupitia vyanzo mbalimbali vilivyo kwenye maeneo yao ili kuwezesha...

READ MORE

Rais Samia Ateua Kamishna wa Uhifadhi Ngorongoro na Mwenyekiti wa Bodi ya Maabara ya Mkemia Mkuu

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Elirehema Joshua Doriye kuwa Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro...

READ MORE

Shigongo Awashukuru viongozi wa dini kwa maombi ya Kimbunga Hidaya

Mbunge wa Buchosa kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo amewashukuru viongozi wote wa dini nchini, waumini na...

READ MORE

Miezi Mitatu Kazini Aongeza Mapato Kutoka Mil 59 Kwa Mwezi Hadi Mil 170

Halmashauri ya wilaya ya Kigoma mkoani Kigoma imefanikiwa kuongeza kiwango cha ukusanyaji wa mapato kutoka wastani wa shilingi milioni hamsini...

READ MORE

Boniface Jacob, Malisa Wapandishwa Kisutu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewapandisha kizimbani Boniface Jacob na Godlisten Malisa wakikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kuchapisha na...

READ MORE

Idris Sultan Anogesha Msimu wa Tatu Wa Bridgerton

STAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha ujio mpya wa tamthiliya ya Bridgerton, katika onesho kabambe lililowakusanya...

READ MORE

Hii Siri Nitakufa Nayo, Kamwe Siwezi Kumwambia Mume Wangu

Naitwa Lulu, mkazi wa Tegeta jijini Dar es Salaam, kuna kipindi nilikuwa na ugomvi na mume wangu. Nyumbani kulikuwa hakukaliki...

READ MORE

TAMA Kwa Kushirikiana Na UNFPA Katika Kuadhimisha Siku Ya Mkunga Duniani Na Mkutano Mkuu Wa Chama

Dar es Salaam 5 Mei 2024: Maadhimisho ya Siku ya Mkunga Duniani na Mkutano Mkuu wa Chama yameratibiwa na TAMA...

READ MORE

RE/MAX Coastal, Coral Property Zazindua Mradi Wa Nyumba Za Gharama Nafuu Jijini Dar

Dar es Salaam 6 Mei 2024: Katika mpango unaolenga kuunga mkono juhudi serikali za kuhakikisha kunakuweko na nyumba za makazi ...

READ MORE

DC Mwanziva Abeba Agenda ya Kumtua Mama Ndoo Lidewa, Aweso Apiga Simu Kutoa Kauli ya Wizara ya Maji

Mkuu wa wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva amewataka watendaji kata pamoja na madiwani kuungana na ajenda ya Rais Dkt. Samia...

READ MORE

Serikali Kuwakopesha Wajasiriamali 18.5bn/- Kupitia NMB

Serikali imetenga kiasi cha TZS bilioni 18.5 kwa ajili ya kuwawezesha wajasiriamali nchini zitakazotolewa kama mikopo yenye masharti nafuu kupitia...

READ MORE

Waziri Bashungwa, Mkuu wa Wilaya Wapanda Boti Kuwafikia Wananchi Lindi – Picha

  Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mohamed Nyundo pamoja na Wataalam wengine Mei...

READ MORE

Stamina Afichua Kilichomuua Dairekta Khalfani – Video

Staa wa Bongo Fleva, Stamina ‘Shorobwenzi’ amesema kifo cha Dairekta Khalfani ni pigo kubwa kwa sanaa ya muziki wa kizazi...

READ MORE

ATCL Yapeleka Marubani Kusimamia Ndege Mpya za Airbus A220 za Kampuni ya Ibom

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), imeingia makubaliano ya kupeleka marubani wake kufundisha na kusimamia  ndege mpya za Airbus A220 za...

READ MORE

Hemed: Dairekta Khalfani Ameacha Mke Ana Ujauzito WA Miezi 7, Wiki 2 Nyuma Tulipanga Mipango – Video

 MWIGIZAJI wa filamu na msanii wa Bongo Fleva, Hemed Suleiman ‘Hemedy PhD’ amefunguka baada ya maziko ya rafiki yake...

READ MORE

GGML, OSHA yawanoa bodaboda 200 Arusha, Ndejembi awafunda

  Na Mwandishi Wetu ZAIDI ya madereva bodaboda 200 wa jiji la Arusha wamepatiwa mafunzo maalum ya usalama na afya...

READ MORE

Diamond, Mastaa Walivyomzika Director Khalfani Makaburi ya Kisutu – Video

Safari ya mwisho ya dairekta maarufu wa video za muziki Bongo, Dairekta Khalfan imehitimika katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar...

READ MORE

Expanse Tournament Meridianbet Kasino, Kamata Mgao Wako wa Mamilioni Chap

Meridianbet Kasino ya Mtandaoni kuna shindano la Expanse ambalo mwanzo maokoto yalikuwa mengi lakini, Bosi kacheka ameamua kuongeza pesa na...

READ MORE

TANROADS Lindi Waendelea Kurejesha Mawasiliano ya Barabara ya Lindi – Dar- es Salaam

Timu ya Watalaamu wa Wakala ya Barabara (TANROADS) na Wakandarasi wanaendelea na kazi ya kurejesha miundombinu ya Barabara ya Lindi...

READ MORE