×

Habari

Rais Samia Ateta jambo na Makamu wa Rais Dkt. Phillip Isdor Mpango Ikulu Chamwino

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameteta jambo na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Phillip Isdor...

READ MORE

Waziri Mkuu kuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya Maadili na Haki za Binadamu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Disemba 10, 2023, amewasili katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma. Ambapo atakuwa mgeni rasmi...

READ MORE

Washindi Wa Magifti Dabodabo Ya Tigo Walivyoenda Zanzibar Kuinjoi Siku 4 Na Wapendwa Wao

Dar es Salaam, 10 Desemba 2023: Washindi wa Kampeni ya Magifti Dabodabo inayoendeshwa na Kampuni ya Mtandao wa simu za...

READ MORE

Rais wa Zamani wa Sierra Leone ahojiwa kuhusiana madai ya jaribio la mapinduzi

Rais wa zamani wa Sierra Leone Ernest Bai Koroma ameripoti katika kituo cha polisi katika mji mkuu wa nchi hiyo...

READ MORE

DAS Mvomero Katika Maadhimisho ya Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Akumbusha Kuienzi Misingi ya Umoja

Watanzania wamekumbushwa kuienzi misingi ya umoja wetu, mshikamano na udugu wetu kama Taifa Moja, kwani fahari hii tulioikuta sasa kuna...

READ MORE

Kesi ya Shambulio la Mwili Kusikilizwa Jumatatu 

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam inatarajia kuendelea kusikiliza kesi ya tuhuma za shambulio la mwili jumatatu inayomkabili...

READ MORE

Bajaji za Bei Chee Zamwagwa Dar, Wahi Uchukue Ya Kwako Kabla Hazijaisha – Video

Kampuni ya SEPCO Debt Collection and Auctioneering inakutangazia mnada mnada wa hadhara kwa idhini waliyopewa na Kampuni ya Wakazi Holding...

READ MORE

Rais Samia: Taifa Lazima Lijipangie Mpango Wa Maendeleo, Ukishindwa Kujipanga, Utapangiwa (Picha +Video)

Rais Samia Suluhu Hassan, amesema ni lazima Taifa lijipangie mpango maalum wa maendeleo kwa sababu ukishindwa kujipanga, utapangiwa kwa masharti...

READ MORE

Meridianbet Yatoa Msaada Mwenge ya Miamvuli kwa wajasiriamali

  Zamu ya Mwenge jijini Dar-es-salaam sasa ambapo mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wamewafikia wakazi wa eneo...

READ MORE

Johnnie Walker Yasimika Sanamu Kusherehekea Miaka 62 ya Uhuru wa Iliyokuwa Tanganyika

Johnnie Walker yaadhimisha miaka 62 ya umoja wa Tanzania kupitia kampeni ya kusisimua, “Keep Walking Tanzania” kwa kusimika sanamu ya...

READ MORE

Walioathirika Na Mafuriko Hanang Wapewa Mitungi Ya Gesi Ya Kupikia Bure Na Oryx

Wakati nchi ikiendelea na maombolezo ya vifo, majeruhi, uharibifu wa mali kufuatia janga la maporomoko ya tope na mafuriko yaliyotokea...

READ MORE

Mshindi wa Shilingi 500,000 wa Maokoto ya Serengeti Akabidhiwa Zawadi Yake Kilosa

Washindi mbalimbali wanaendelea kujishindia maokoto kupitia vizibo, zoezi linaloendeshwa na Kampuni ya Serengeti Breweries. Awamu hii ni zamu ya Martha...

READ MORE

Rais Putin atangaza kuwania nafasi ya urais uchaguzi wa 2024

Rais wa Russia Vladimir Putin Ijumaa alichukua hatua ya kuongeza muda wa uongozi wake nchini Russia kwa miaka sita zaidi,...

READ MORE

Wachimba migodi zaidi ya 400 Afrika Kusini wazuiliwa chini ya ardhi

Waasi wachimba madini wamewazuia wafanyakazi zaidi ya 400 chini ya ardhi siku ya Ijumaa katika mgodi wa dhahabu nchini Afrika...

READ MORE

Barrick: Happy Independence Day Tanzania

DESEMBA 9 ya kila mwaka Taifa linaadhimisha siku ya Uhuru uliopatikana Desemba 9, 1961 na leo Desemba 9, 2023 ni...

READ MORE

TANESCO Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Hitilafu ya Umeme Iliyojitokeza leo

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa ufafanuzi umma kuhusu hitilafu ya umeme iliyojitokeza leo Desemba 8, 2023 majira ya saa...

READ MORE

Tanesco Watoa Tamko Kuhusu Hitilafu Iliyojitokeza Katika Gridi ya Taifa

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linautaarifu umma kuhusu hitilafu iliyojitokeza katika Gridi Taifa leo tarehe 08 Disemba 2023 majira ya...

READ MORE

Kesi ya pili ya jinai yawasilishwa dhidi ya mtoto wa rais wa Marekani Hunter Biden

Waendesha mashtaka wa serikali wamefungua mashtaka ya ushuru dhidi ya Hunter Biden, kesi ya pili ya jinai inayomkabili mtoto wa...

READ MORE

Benki ya NBC, Taasisi ya Benjamini Mkapa Wazindua Ufadhili wa Mafunzo ya Ukunga kwa Wauguzi 50

Morogoro, Benki ya NBC kwa kushirikaina na taasisi ya Benjamin Mkapa Foundation wamezidua rasmi utekelezaji wa mpango wa ufadhili wa...

READ MORE

Washindi Wa Magifti Dabodabo Wiki Ya 2 Watangazwa na Kupewa Zawadi Zao

Dar es Salaam, 8 Desemba 2023: Kampeni ya Magifti Dabodabo inayoendeshwa na Kampuni ya mtandao wa simu za mkononi ya...

READ MORE

Kinamama Waliojifungua Na Watoto Zao Wazawadiwa Bima Za Afya 600 Na Kampeni ya Sambaza Shangwe Gusa Maisha

Kampuni ya mtandao wa simu za mkononi ya Vodacom imefanya kitendo cha kuirudishia jamii sehemu ya inachokipata kwa kuwazawadia bima...

READ MORE

Absa Tanzania Yazindua Mfumo wa Malipo ya Kadi za Benki Kupitia Simu za Mkononi

Absa MobiTap inawezesha wauzaji kupokea malipo ya kadi za benki kutoka kwa wateja kwa kutumia simu janja kama mashine ya...

READ MORE

Rais Samia Atangaza Kuwajengea Nyumba Walioathirika Na Mafuriko Manyara, Atoa Maagizo (Picha +Video)

   Rais Samia Suluhu Hassan, amesema wataalam wa serikali, tayari wametenga eneo ambalo litatumika kuwahamisha waathirika wa maporomoko ya...

READ MORE

Rais Samia Akiwasili Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro Akielekea Hanang

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro leo...

READ MORE

CEO NMB Ashiriki Mkutano wa Benki ya Dunia, Akutana na Rais wa Taasisi Hiyo

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna ameshiriki uzinduzi wa Mkutano Mkuu wa Benki ya Dunia (IDA20...

READ MORE

Njia za Mkato Zinavyoweza Kukupa Mafanikio Yenye Uchungu!

NDUGU zangu, linapokuja suala la kutafuta maisha mazuri na yenye mafanikio, wapo watu ambao wanadiriki kujiingiza katika shughuli zisizo halali...

READ MORE

Rais wa Marekani, Joe Biden Aliomba Bunge Kuidhinisha Msaada wa Silaha

Rais wa Marekani, Joe Biden, Jumatano ameliomba bunge la Marekani, kuidhinisha msaada zaidi wa silaha kwa Ukraine, akisema kushindwa kupitisha...

READ MORE

Dereva wa Bajaji Atuhumiwa Kubaka Watoto 15 Huku Akidai Ni Askari Polisi – Video

Alex Msigwa (34) Dereva wa Bajaji, Mkazi wa Mawelewele, Manispaa na Mkoa wa Iringa anashikiliwa na Jeshi la polisi kwa...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Amwakilisha Rais Samia katika Kongamano la pili la wanawake na vijana

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Disemba 06, 2023 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Kongamano la pili la wanawake na...

READ MORE

TAASISI ya Shanghai EDUTECH ya nchini China Yaipiga Tafu Tanzania Vifaa Vya Elimu

TAASISI ya Shanghai EDUTECH ya nchini China imetoa vifaa vya kielektroniki kwa ajili ya kuboresha eneo la ufundishaji na ujifunzaji ...

READ MORE

Wanafunzi Walivyofundishwa Jinsi Ya Kupambana Na Ukatili Wa Kijinsia

Dar es Salaam 6 Desemba 2023: Wanafunzi wa Shule ya Msingi Bombambili iliyopo eneo la Bombambili Kata ya Kivule Wilaya...

READ MORE

Waandaaji wa Kili Marathon Wawasihi Washiriki Kutumia Vizuri Punguzo La Bei

Waandaaji wa Mbio za Kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager 2024 wamewakumbusha washiriki kwamba wana siku chache kufurahia kipindi cha punguzo...

READ MORE

Naibu Waziri Silinde: Mizani ya Kidigitali kuimarisha Mapato ya Wakulima Nchini

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo,  Mhe. David Silinde, amezindua matumizi ya Mizani za Kidigitali zilizounganishwa na Mfumo wa Usimamizi...

READ MORE

Mwenyekiti wa Bodi ya NSSF Afanya Ziara ya Kikazi Makao Makuu

*Aahidi ushirikiano wa kutosha kufanikisha utendaji wa Mfuko *Mkurugenzi Mkuu aweka wazi mafanikio na mikakati ya uboreshaji huduma Mwenyekiti wa...

READ MORE

Makamu Wa Pili Wa Rais Wa Zanzibar Afungua Mkutano Wa Bodi Ya GPE, Unguja

  Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah kabla amefungua rasmi mkutano wa Bodi...

READ MORE

Rais Zelensky aghairisha mkutano na Wabunge wa Marekani

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, alifuta mkutano na wajumbe wa baraza la seneti la Marekani, Jumanne. Alitarajiwa kuomba kuendelezwa kwa...

READ MORE

Petroli Yashuka Kwa Tsh. 116, Dizeli Tsh. 148 Dar, Mafuta Ya Taa Bei Ileile

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za Mafuta ya Petroli zitakazotumika kuanzia Desemba...

READ MORE

BetPawa Ilivyotangaza Washindi Wa Dream Maker Season 2

Dar es Salaam, 6 Desemba 2023 :Kampuni ya Michezo ya kubashiri ya BetPawa leo imewatangaza na kuwakabidhi zawadi zao washindi...

READ MORE