×

Habari

Wanaotaka Ubunge, Udiwani CCM Kabla ya Muda Sengerema Waonywa

  Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Sengerema Marco Makoye amewaonya wanaCCM wanaopita kwenye majimbo kutaka madaraka ya...

READ MORE

Wanafunzi wa St Joseph Dar Wabuni Satellite

Itarushwa Kimolita 400 angani hivi karibuni Itakuwa msaada mkubwa kwa wakulima Watafiti kuitumia kupata taarifa mbalimbali WANAFUNZI na wahadhiri wa...

READ MORE

Mume Wangu Ametembea na Hausigeli Wetu na Kunitelekeza na Mtoto

  Jina langu naitwa Farida mkazi wa mkoa wa Katavi, umri wangu ni miaka 38, nipo kwenye maisha ya ndoa...

READ MORE

Benki Ya NBC Yazindua Kombe Jipya La Ligi Kuu Tanzania Bara

Dar es Salaam Juni 7, 2023: Mdhamini mkuu wa ligi ya NBC, Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) leo imezindua...

READ MORE

Wananchi Mwanza walia na adha ya Ukosefu wa Stendi ya Igombe

Picha ikionyesha magari ya Abiria watokao Airpoti  kwenda Usagara kupitia Buhongwa wakiwa wameegesha magari yao pembezoni mwa Barabara ya Kenyatta...

READ MORE

Rais Kagame Awafuta Kazi Wanajeshi Zaidi ya 200 Wakiwemo Majenerali

Rais wa Rwanda Paul Kagame amewafuta kazi Meja Jenerali Aloys Muganga, Brigedia Jenerali Francis Mutiganda na maafisa 14 wa Jeshi...

READ MORE

Mkaguzi Mkuu wa Ndani Msaidizi Awataka Wakaguzi Kutoa Ushauri Wenye Serikalini

Mkaguzi Mkuu wa Ndani Msaidizi-Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali, Paison Mwamnyasi amewataka Wakaguzi wa Ndani kuzingatia sheria,...

READ MORE

TRA: Kila Mtanzania Mwenye Miaka 18+ Lazima Awe na TIN

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imesisitiza kuwa hadi kufikia Desemba 31, mwaka huu kila Mtanzania mwenye umri wa miaka 18...

READ MORE

Puuzeni Upotoshaji Mitandaoni Kuhusu Bandari ya Dar es Salaam

Mnamo Juni 5, 2023, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilitoa Taarifa kwa Umma kuhusu mwaliko wa Wadau wote...

READ MORE

Rais Samia Ateua Na Kuhamisha Wakurugenzi 184 Na Makatibu Tawala 139 Wa Wilaya

Taarifa ya Ikulu imeeleza kuwa Rais amefanya mabadiliko hayo ambapo kati ya waliotajwa ni pamoja na Ruth John Magufuli anayekuwa...

READ MORE

Ukweli Kuhusu Ukodishwaji wa Bandari ya Dar Huu Hapa..

UONGO #1: Serikali imekodisha Bandari ya Dar es Salaam kwa DP World kwa miaka 100 Ukweli: Hakuna mkataba wowote wa...

READ MORE

Ni Kidijitali Zaidi, Infinix Note 30 Yaja Kuipaisha Infinix

Dar-es-Salaam Juni 5,2023: Infinix Tanzania yazindua matoleo mapya katika series ya NOTE 30,uzinduzi wa Infinix NOTE 30, NOTE 30 PRO...

READ MORE

GGML yaadhimisha siku ya mazingira duniani kwa kutoa elimu kuhusu taka za plastiki

  NA MWANDISHI WETU KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML), moja ya migodi maarufu ya AngloGold Ashanti nchini Tanzania,...

READ MORE

Zaidi Ya Vijana 2500 Kukutanishwa Na UVCCM Ulanga Moro

Morogoro, 6 Juni 2023:Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Ulanga unatarajia kufanya tamasha la kumpongeza Rais wa Jamhuri...

READ MORE

DP World Kuleta Mageuzi Makubwa Bandari ya Dar es Salaam

SERIKALI ya Tanzania inatarajia kuingia makubaliano na kampuni ya Dubai ya DP World ya kuweka uwekezaji binafsi kwenye bandari ya...

READ MORE

Makamu wa Rais Kufungua Mashindano ya UMITASHUMTA na UMISSETA leo

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Philip Mpango amewasili Tabora leo Juni 6, 2023. Makamu wa Rais...

READ MORE

Polisi Watumia Mabomu ya Machozi Kutawanya Maandamano ya Kupinga Kodi na tozo Kenya

Polisi nchini Kenya wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji katika mji mkuu wa Nairobi wanaopinga baadhi ya hatua zinazopendekezwa...

READ MORE

Waziri Pindi Chana Akiwasilisha Bajeti ya Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Pindi Chana leo Juni 06, 2023 anawasilisha bungeni Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2023/2024...

READ MORE

Mastaa Kibao Watinga Bungeni Kufuatilia Bajeti ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo

  Wasanii mbalimbali ni miongoni mwa wageni waliohudhurika katika kikao cha 41 cha mkutano wa 11 wa Bunge la 12...

READ MORE

TRA Yawajengea Uwezo Waandishi Wa Habari Kuhusu Masuala Ya Kodi

Dar es Salaam 6 Juni 2023:Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) imefanya semina ya kuwajengea uwezo waandishi wa habari kupitia Chama...

READ MORE

Hizi Hapa Njia za Kupiga Hela Unapobeti Meridianbet

  Mtu mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa, amefanikiwa kujikusanyia kitita cha mamilioni ya pesa kwa kubashiri soka kupitia kampuni ya...

READ MORE

Shilingi 250 Zampatia Mamilioni ya Meridianbet

  Hakuhitaji kutumia nguvu kubwa kufanya kazi ngumu, hakuhitaji kutembea na vyeti vyake kusaka michingo mjini, wala hakuhitaji awe na...

READ MORE

Sitasahau Jinsi Mume Wangu Alivyorudi Nyumbani Akiwa na Lipstick Kwenye Shati

  Tuliishi kwa upendo na mume wangu na hakuna lolote ambalo lingetutenganisha kama jinsi ambavyo tulikubaliana kwenye kiapo chetu cha...

READ MORE

Mwalimu Aliyemfundisha Diamond Kiingereza Afunguka Jinsi Ilivyo Rahisi Kujifunza Lugha Hiyo

Mwalimu aliyepata umaarufu kwa kumfundisha staa wa Bongofleva, Diamond Platnumz Kiingereza, Allen Ngonyani almaarufu Teacher Allen amefunguka kuwa ni rahisi kwa...

READ MORE

Mwanza watakiwa kutunza mazingira ili kulinda vyanzo vya maji.

WAKAZI pamoja na taasisi mbalimbali zinazoendesha shughuli zake za kimaendeleo kando ya Ziwa Victoria wametakiwa kutunza na kulinda chanzo hicho...

READ MORE

Wanahabari Wanolewa Kuripoti Habari Za Soko La Hisa

Dar es Salaam, 3 Juni 2023: Wanahabari nchini wamepata elimu ya uandishi wa habari za Soko la Hisa na kupata...

READ MORE

Asilimia 87% Huduma Za WCF Zinafanyika Kwa Njia Ya Mtandao

Akiongea kwenye mafunzo kwa maafisa Rasilimali Watu, Utawala na Usalama na Afya mahali Pa kazi kutoka taasisi za Binafsi na...

READ MORE

Serikali Yatumia Zaidi ya Mil 334 Kuwezesha Upatikanaji Vifaa vya Kufundishia Wanafunzi Wenye Mahitaji Maalumu

  Serikali imetumia zaidi ya Shilingi milioni 334 kuwezesha upatikanaji wa vifaa vya kufundishia, kujifunzia, vifaa saidizi na kujenga mabweni...

READ MORE

Hizi Ndiyo Sababu Zinazofanya Wanafunzi Wanaosoma Nje ya Nchi Kuongezeka

  WAKALA wa Elimu Nje ya Nchi, Global Education Link (GEL), umesema idadi ya wanafunzi wanaokwenda kusoma nje ya nchi...

READ MORE

Wanasheria Wameipotosha Serikali, Mawaziri Kuhusu Mchakato Wa Kampuni Ya Saruji Ya Twiga Kununua Hisa Za Tanga Cement – Jaji Mihayo

HATIMAYE Jaji Mstaafu Thomas Mihayo  ameamua kuvunja ukimya kwa kueleza kuwa  wanasheria waliipotosha Serikali na Mawaziri kuhusu kuendelea na mchakato...

READ MORE

Waziri Mkenda Alipa Maelekezo Baraza Jipya La Chuo Cha DIT

Waziri Wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amezindua Baraza jipya la Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) na...

READ MORE

UVCCM Yavuna Wanachama Wapya 250 Sengerema

Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi( UVCCM ) Wilaya ya Sengerema Mkoa Mwanza kimevuna Wanachama wapya 250 kwenye Kata...

READ MORE

Rais Samia Alivyozindua Ndege Mpya Ya Mizigo Aina Ya Boeing 767-300f Jijini Dar (Picha +Video)

Ndege mpya ya mizigo iliyonunuliwa na serikali, Boeing 767-300F iliyopewa jina la Air Tanzania Cargo ‘Lake Tanganyika’ imewasili salama katika...

READ MORE

Papa Francis Asikitishwa na Ajali ya Treni India… Watu Zaidi ya 288 Wapoteza Maisha

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, amesema amesikitishwa na ajali ya treni iliyotokea nchini India iliyosababisha vifo vya zaidi...

READ MORE

Kenya: Ruto Atoa Wito Afrika Kutotumia Dola Katika Mikataba Ya Kibiashara

Rais wa Kenya, William Ruto ametoa ushauri huo kwa viongozi wa Afrika akisema ni muda wa kuanza kuchukua hatua ya...

READ MORE

Ajali ya Treni India: Waziri Mkuu Aapa Kuwachukuli Ahatua Kali Waliohusika

Watu watakaopatikana na hatia ya kuhusiana na ajali mbaya ya reli mashariki mwa India wataadhibiwa vikali, Waziri Mkuu wa nchi...

READ MORE

NMB Yatoa Gawio la Kihistoria

Wanahisa wa Benki ya NMB wameidhinisha gawio la Shilingi Bilioni 143.1 kwa mwaka 2022, sawa na shilingi 286 kwa kila...

READ MORE

Hifadhi ya Mpanga- Kipengere Kusherehekea International Waterfalls Day

  Katika ukanda wa Afrika Hifadhi ya Mpanga Kipengere ndiyo hifadhi pekee yenye idadi kubwa ya Maanguko ya Maji yenye...

READ MORE

Watu Zaidi ya 280 Wafariki Katika Ajali ya Treni Nchini India

Takriban watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni iliyotokea mashariki mwa jimbo la Odisha nchini India,...

READ MORE