×

Habari

ZIC Watoa Zawadi ya Bodaboda Kwa wakala Bora

Shirika la Bima la Zanzibar (ZIC) limetoa zawadi ya Piki piki kwa wakala wake Sunshine Insurance Agency kama njia ya...

READ MORE

Ripoti Mpya Ya Kifo Cha Nusura Mambo 13 Mazito, Haki Za Binadamu Wamaliza Utata – Video

Ripoti ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala (THBUB) imetoa ripoti baada ya uchunguzi wa kifo cha aliyekuwa Mwanafunzi...

READ MORE

Hela Zipo Kiangazi, Ukicheza Michezo ya Poker Unashinda

Msimu wa kiangazi umefika lakini suala ya kutengeneza hela sio tatizo kabisa unapokuwa na uhakika wa chimbo lako kutema mda...

READ MORE

Anayedaiwa Kukausha Sehemu Za Siri Na Kuzisaga Afikishwa Mahakamani

    Mganga wa Kienyeji (Katikati)  akiwa na washtakiwa wenzake wawili   wakiwa katika Mahakama ya akimu mkazi wilayani Magu Mwanza....

READ MORE

Bugando yapewa vifaa tiba vyenye thamani ya Milioni 234

Wastani wa wanawake 2,700 huugua ugonjwa wa Fistula nchini Tanzania kila mwaka huku wagonjwa 1,000 wakikosa matibabu ya ugonjwa huo....

READ MORE

Rais Wa Marekani Joe Biden Ajikwaa Na Kuanguka Katika Hafla Ya Colorado – Video

Rais wa Marekani Joe Biden amejikwaa na kuanguka alipokuwa akikabidhi cheti cha diploma katika sherehe ya kuhitimu kwa Chuo cha...

READ MORE

Marekani Yatangaza Vikwazo Dhidi ya Viongozi wa Pande Zinazopigana Sudan

Marekani Alhamisi imetangaza vikwazo dhidi ya viongozi wa Sudan inaowalaumu kwa kukwamisha makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyopatikana chini ya juhudi...

READ MORE

Serikali Yakumbushwa Ahadi ya Ujenzi wa Wodi ya Wagonjwa Kituo cha Afya Nyamatongo

Kaimu Mganga Mkuu wa Kituo ya afya Nyamatongo kilichopo wilayani Sengerema Mkoa Mwanza, Stivin Godwin ameiomba serikali kutimiza ahadi ya...

READ MORE

Fei Toto: Tulikubaliana Mkataba Wa Miaka Miwili, Ukaongezwa Mmoja Bila Ridhaa Yangu

KIUNGO mshambuliaji wa Timu ya Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ leo  amesema “Nilikaa kwa Saa sita na Kiongozi wangu wa...

READ MORE

Mike Pence Kutangaza Kugombania urais wa Marekani wiki ijayo Jimboni Iowa

Makamu wa rais wa zamani wa Marekani, Mike Pence, atazindua kampeni yake ambayo ilikuwa ikitarajiwa ya kuwania uteuzi wa chama...

READ MORE

Marekani: Baraza La Wawakilishi Lapitisha Mswada Wa Kuongeza Muda Wa Serikali Kukopa Fedha

Baraza la Wawakilishi la Marekani Jumatano liliidhinisha sheria ya kusimamisha ukomo wa kukopa kwa serikali, hadi mapema mwaka 2025, hatua...

READ MORE

RC Makalla Ahimiza Ushirikiano Katika Kuwaletea Maendeleo wananchi

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Amos Makalla ametoa rai kwa Viongozi na watendaji wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza...

READ MORE

Waziri January Makamba: Tanzania Ina Uhakika wa Upatikanaji wa Nishati ya Mafuta

  Waziri wa Nishati, January Makamba amesema nchi ina uhakika wa upatikanaji wa nishati ya mafuta kwa muda wa kutosha....

READ MORE

Mwendesha Mashtaka wa ICC Aahidi Kuwasaidia Waathirika wa Machafuko DRC

Mwendesha mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) Karim Khan yuko Nchini DRC ambako ameahidi kujihusisha zaidi katika...

READ MORE

Benki ya Dunia Kuikopesha Kenya Dola Bilioni Moja

Benki ya Dunia ilisema siku ya Jumanne imeidhinisha mkopo wa dola bilioni moja kwa Kenya ili kusaidia katika bajeti ya...

READ MORE

Chongolo Aagiza Tume Ya Taifa ya Umwagiliaji Kusimamia Vizuri Ujenzi Skimu Mkombozi, Iringa

  KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ametoa maagizo kwa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kuhakikisha wanasimamia...

READ MORE

Kutana na Teacher Allen, Mwalimu Aliyemfundisha Diamond Kuongea Kiingereza

Haina ubishi kwamba kwa sasa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Juma almaarufu Diamond Platnumz anatema ung’eng’e safi kabisa tofauti na kipindi...

READ MORE

Wadau Wakutanishwa Katika Warsha ya Kujenga Uelewa Katika Sekta ya Kidijitali

    Shirikisho la Wadau Wanaotetea Haki za Kidigitali Tanzania (Digital Rights Coalition), limeandaa Warsha ya kujenga uelewa kwa Wadau...

READ MORE

Chongolo Ashuhudia Wananchi wa Chamdindi Wakipata Maji Safi

  Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo  yupo Mkoani Iringa kwa ziara ya siku saba kukagua utekelezaji...

READ MORE

Hospitali ya Afrika Kusini Yachunguzwa kwa Kuwaweka Watoto Wachanga Kwenye Boksi

Mamlaka ya Afrika Kusini inachunguza tukio ambapo watoto wachanga waliwekwa kwenye masanduku ya kadibodi, badala vitanda maalum vya watoto wachanga...

READ MORE

Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango Atembelea Banda la NMB Arusha

Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesikiliza Maelezo kutoka kwa Afisa Mkuu wa Wateja Wakubwa na Serikali wa Benki ya...

READ MORE

Tempo Africa Yazindua Application Maalumu Kurahisisha Huduma Za Kitalii

Jumanne Mei 30, 2023: Sekta ya utalii imepata ahueni ya kipekee katika kuhudumia watalii baada ya kampuni ya Tempo Africa...

READ MORE

Mabalozi, Wanachama CCM Wakumbushwa Umuhimu wa Kujitolea

Katibu Mkuu wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) Oganaizesheni ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) issa Ussi Gavu amewaomba wanachama na mabalozi...

READ MORE

Arthshakti Foundation Na Lions Club Dar es Salaam Sky Walivyotoa Matibabu Bure

Dar es Salaam 28 Mei 2023: Taasisi ya Arthshakti Foundation na Lions Club ya jijini Dar es Salaam zimefanya matendo...

READ MORE

Nimekuwa Tajiri Baada ya Kuijua Nyota Yangu ya Biashara na Kuitumia

Naitwa Mbaraka Juma mkazi wa Tegeta, Dar es Salaam, najishughulisha na biashara ya kuuza vyombo vya ndani, tangu mwaka 2013...

READ MORE

TARURA yaanza kutekeleza agizo la Chongolo

Yaanza kuchonga kilometa moja ya barabara kuelekea Kituo cha Afya cha Ifingo

READ MORE

Dkt. Mpango Aguswa Na Jitihadaza NBC Kuchochea Maendeleo Serikali Za Mitaa

Arusha, Mei 29, 2023: Makamu wa Rais Dkt. Phillip Mpango ameipongeza Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kuendelea kusaidia...

READ MORE

KLM Yazindua Daraja Jipya La Chumba Katika Ndege, Kinacholenga Kuongezeka Kwa Usafiri Wa Starehe

Dar Es Salaam, Tanzania Mei 26, 2023 … Dutch National Carrier KLM imeanzisha daraja jipya la chumba linaloitwa Premium Comfort...

READ MORE

Wabunge Wafurahishwa Na Utekelezwaji Wa Mradi Wa Bomba La Mafuta Ghafi EACOP

Wabunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameusifu mradi wa bomba la Mafuta Ghafi la  Afrika ya Mashariki...

READ MORE

Rais Biden na Spika McCarthy Wafikia Makubaliano Kiwango cha Kukopa

Rais wa Marekani, Joe Biden, na Spika wa baraza la wawakilishi la Marekani, Kevin McCarthy, Jumapili wamefikia muafaka wa kuongeza...

READ MORE

Rais Samia Alivyowasili Nigeria Kuhudhuria Sherehe Ya Kuapishwa Rais Mteule Tinubu – (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasili nchini Nigeria Mei 28, 2023, kwa ajili ya kuhudhuria...

READ MORE

Rais Erdogan Ashinda Uchaguzi wa Uturuki Apata Asilimia 52

Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, ameshinda duru ya pili ya uchaguzi uliofanyika Jumapili. Alizungumza na wafuasi wake baada ya...

READ MORE

Maajabu Makubwa Kutoka Bandari Ya Kwala, Msongamano Wa Malori Na Mizigo Sasa Basi… -Video

Miundombinu wezeshi kwa ajili ya kuhudumia makontena katika Bandari Kavu ya Kwala iliyopo wilayani Kibaha mkoani Pwani imekamilika na kuifanya...

READ MORE

Mume Akana Kumpiga Mkewe, Afichua Siri Nzito – ”Kapigwa Na Mchepuko, Alikuwa Anatembea Na Mjomba”-Video

Mapya yameibuka katika sakata la mwanamke Jackline Mkonyi kudai amepigwa, kung’olewa meno na kutobolewa jicho na mumewe ambapo mwanaume anayetuhumiwa,...

READ MORE

Mshambulizi Wa Man City Ashinda Tuzo ya Mchezaji Bora Chipukizi Wa EPL

Mchezaji wa Manchester City Erling Haaland amekuwa mchezaji wa kwanza kushinda tuzo za mchezaji bora wa mwaka wa Primia Ligi...

READ MORE

Barabara ya NYERERE katika Makutano ya Shaurimoyo na Nyerere Kufungwa leo

Barabara ya NYERERE katika makutano ya Shaurimoyo na Nyerere inatarajiwa kufungwa leo kwa ajili ya ujenzi wa daraja la reli...

READ MORE

Kijana Ajirusha Kwenye Bwawa, Aliyemshuhudia Akizama Asimulia Tukio Zima – Video

Mtu mmoja aliefahamika kwa jina la Daud Lufungulo anayekadiliwa Kuwa na umri wa miaka 30 Mkazi wa mtaa wa Samina...

READ MORE

Coca-Cola Kwanza, Oryx Gas And Institute Of Social Works Supports Young Food Vendors In Dar

Coca-Cola Kwanza has partnered with Oryx Gas and the Institute of Social Work to launch this year’s ChipsikaKiajirana Coke, a...

READ MORE