×

Habari

TRA Yanogesha Matembezi na Mbio za Shukrani Kwa Mlipakodi

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Hamad Hassan Chande (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wawakilishi wa...

READ MORE

Kagera Sugar Waiwekea Mtego Yanga Kuelekea Mchezo wa leo Kirumba

  KAGERA Sugar wameiwekea mtego Yanga SC kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa leo Jumapili kwenye Uwanja wa...

READ MORE

DCB Yashinda Tuzo ya Benki Bora kwa Kutoa Huduma Bora kwa Wateja Nchini 

BENKI ya Biashara ya DCB imesema ushindi wa benki bora katika utoaji huduma kwa benki zenye ukubwa wa kati ilioupata,...

READ MORE

Washindi 75 wa Nmb MastaBata KoteKote” Wachomoka na Pikipiki, Laki Moja Kila Mmoja

  Zawadi zenye thamani ya Sh. Mil. 10.5 za droo ya kwanza ya Kampeni ya NMB MastaBata ‘Kote Kote’ zimepata...

READ MORE

Mkutano Mkuu wa NICOL Wafana Dar, Kutoa Gawio  Kwa Wanahisa Wake

    KAMPUNI ya Uwekezaji ya NICOL imepata faida ya shilingi bilioni 3.8 baada ya kodi na imepitisha gawio kwa...

READ MORE

Waziri Ndalichako Aitaka CBE Kujitanua Zaidi Mikoani

    SERIKALI imevitaka vyuo kuzingatia mafunzo ya vitendo kwa wanafunzi vyuoni ili kuondoa malalamiko kutoka kwa waajiri kwamba wahitimu...

READ MORE

Nunua Tiketi ya Ushindi Kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet

Sloti nyingine mpya iliyotengenezwa na Expanse Studios kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet iitwayo Lucky Betting Shop. Sloti hii isiopingika...

READ MORE

Askofu  Kigwila Atunukiwa Cheti cha Uzalendo

    12 Desemba 2022: ASKOFU Mkuu Nathaniel Kagwila Mwakibiti wa Kanisa na Growing Mission Church (SMC) With Union For...

READ MORE

Siku ya Wahasibu Duniani Yafana Dar, Wakumbushwa Kuzingatia Maadili

  WAHASIBU na Wakaguzi wa Hezabu nchini wametakiwa kuweka mbele maslahi ya umma, kuwa waadilifu na kuzingatia maadili na sheria...

READ MORE

Je, Unataka Kufanikiwa Kibiashara na Kuwa Tajiri? Tumia Mbinu Hizi Ambazo Zimenisaidia

  JINA langu ni Abeli kutokea Arusha nchini Tanzania, baada ya kufanya vibarua kwa miaka mingi kwenye viwanda vya Wahindi nilichoka...

READ MORE

Meridianbet Yawashika Mkono Hospitali Ya Tumbi Watoa Msaada wa Vifaa

Kampuni ya Meridianbet iliyoambatana na timu nzima ya masoko, akiwemo meneja masoko wa kampuni hiyo Ndugu Matina Nkurlu, pamoja na...

READ MORE

Marekani na Uhispania Kuipatia Ukraine Mifumo Mipya na ya Kisasa ya Ulinzi wa Anga

Marekani na Uhispania zimetangaza kwamba zitatuma mifumo na makombora yake. Mshauri wa kitaifa wa masuala ya usalama nchini Marekani Jake...

READ MORE

Uturuki Yafurahishwa na Hatua ya Wanajeshi wa Russia Kuondoka Kherson

  Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema kwamba anakubaliana na hatua ya Russia kuondoa wanajeshi wake kutoka mji wa...

READ MORE

Biriani Festival na Coca Cola si Mchezo

    Dar es Salaam: 11/11/2022. KAMPUNI ya Coca-Cola Kwanza kupitia kampeni yake ya Biriani Friday na Coka ambayo ilianza...

READ MORE

Kijana Akamatwa Baada ya Kumrushia Mfalme Charles Mayai Yorkshire Kaskazini

Kijana mwenye umri wa miaka 23 amekamatwa na Polisi baada ya kumrushia mayai Mfalme wa Uingereza, King Charles III aliyekuwa...

READ MORE

Rais wa Liberia George Weah Awashangaza Wananchi Wake Kisa Kombe la Dunia

Rais wa Liberia, George Manneh Weah amelifahamisha baraza la seneti kuwa anapanga kukaa siku tisa nchini Qatar kutazama mechi za...

READ MORE

TRA Yaipongeza CBE Kwa Kuanzisha Klabu ya Kodi Kwa Wanafunzi

    MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imepongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kwa kuanzisha klabu ya kodi kwa...

READ MORE

Wizara ya Elimu Kuhakikisha Inagawa Rasilimali, Fursa Kwa Haki: Prof. Mkenda

Serikali imempongeza Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Bi Bahati Geuzye pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi...

READ MORE

Rais Joe Biden: Nitatangaza Hivi Karibuni Kama Nitagombea Urais Mwaka 2024

RAIS Joe Biden alisema Jumatano Novemba 9, 2022 kuwa atatangaza mapema mwaka ujao iwapo atagombea tena urais. Alikuwa akijibu maswali...

READ MORE

TPSF Yatangaza Siku ya Sekta Binafsi Tanzania, Yazindua Nembo Yake Rasmi

    Alhamisi, Novemba 10, 2022, Dar es Salaam: TAASISI ya Sekta Binafsi Tanzania inatarajia kuadhimisha Siku ya Sekta Binafsi...

READ MORE

Waziri Mkenda Ampongeza Mathias Canal Kwa Kuanzisha Kampuni

Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda (Mb) amewataka vijana wa kitanzania kujenga utamaduni wa kujiajiri na...

READ MORE

Ukitumia Mbinu Hizi, Nakuhakikishia Utapandishwa Cheo Kazini Kwako

  Hakuna mfanyakazi asiyependa kupanda cheo kazini kwake, hiyo ni kwa sababu mara unapopanda cheo na mshahara moja kwa moja...

READ MORE

Breaking: Ajali Yaua Wawili na Kujeruhi Watatu Mlima Iwambi nje Kidogo ya Jiji la Mbeya

Watu wawili wamerafiki dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari manne likiwemo basi la abiria la Kampuni ya...

READ MORE

Simba Queens Kuweka Rekodi Nyingine Afrika, Kucheza na Mamelodi leo

SIMBA Queens wanatarajia kushuka dimbani leo Jumatano kucheza mechi ya nusu fainali na mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afrika...

READ MORE

Wenye Magari Mabovu Vijijini Kukamatwa, Muda Watolewa Kufanya Matengenezo

MKUU wa kikosi cha usalama Barabarani Mkoa wa Arusha Mrakibu wa Polisi SP Solomon Mwangamilo amewataka madereva wanaofanya safari katika...

READ MORE

Ajali ya Ndege Ziwa Victoria: Ufaransa Yatuma Maafisa Kuchunguza Chanzo cha Ajali

  Serikali ya Ufaransa kupitia ubalozi wake jijini Dar Es Salaam imetangaza kutuma kikosi cha maafisa na wataalamu wa uchunguzi...

READ MORE

Matokeo ya Uchaguzi Marekani Yaendelea Kutangazwa Ushindani ni Mkali – Live Video

Wamarekani wanaendelea kupokea na wengine kusubiri matokeo ya uchaguzi wa katikati ya muhula uliofanyika Jumanne. Wapigaji kura uliendelea kwa utulilivu...

READ MORE

Marubani wa Kenya Airways Wasitisha Mgomo, Mahakama ya Ajira Yatoa Tamko

Chama cha Marubani wa Ndege nchini Kenya, KALPA, kimefuta notisi yao ya mgomo kufuatia uamuzi wa awali Jumanne wa mahakama...

READ MORE

Mshambuliaji wa Yanga Aziz Ki Aahidi Kuwaua Waarabu kesho nchini Tunisia

  KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mburkinabe, Stephane Aziz Ki, amewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo kwa kuwaambia ni lazima washinde...

READ MORE

Watengenezaji wa Ndege Iliyopata Ajali Ziwa Victoria Kutua Leo Nchini

Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa amesema timu ya wataalamu kutoka kampuni ya ATR-42 ambayo ndiyo watengenezaji wa ndege hiyo, wanatarajiwa...

READ MORE

Rais wa Zanzibar Afungua Mkutano  wa Pan African Humanitarian & Investment

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi leo Novemba 8, 2022 amefungua Mkutano  wa “7th ...

READ MORE

RPC Manyara Ataja Majina ya Waliofariki na Majeruhi Ajali ya Kiteto

Watu saba ambao ni watumishi wa serikali ya wilaya ya kiteto Mkoani Manyara Idara ya afya na elimu wamefariki kwa...

READ MORE

Majaliwa Apokewa Jeshini, Kuanza Mafunzo Chuoni Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga

Kijana Majaliwa Jackson Samweli ambaye alionesha ushujaa mkubwa wa kuokoa abiria katika ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea Bukoba,...

READ MORE

Facebook Kuwafuta Kazi Idadi Kubwa ya Wafanyakazi Katika Historia Yake ya Miaka 18

Kampuni ya Meta inayomiliki mtandao wa Facebook, inajiandaa kuanza kuwaachisha kazi idadi kubwa ya wafanyakazi wake wiki hii, kulingana na...

READ MORE

Mkurugenzi Mtendaji wa LG Global Asema Soko la Afrika Mashariki Linakua

    Tarehe 8 Novemba 2022, Dodoma, Mkurugenzi Mtendaji wa LG Electronics (LG)  bwana William Cho, amesisitiza kwamba kampuni hiyo...

READ MORE

Nabii Aliyetabiri Ajali ya Ndege Bukoba Wiki Mbili Kabla ya Kutokea – Video

Taifa la Tanzania linaomboleza vifo vya watu 19 huku wengine 24 wakiokolewa hai kufuatia ajali mbaya ya ndege ya Shirika...

READ MORE

Rais Samia Aagiza Aliyeokoa Watu 26 Aingizwe Jeshini

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amempigia simu Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na kuagiza kuwa kijana...

READ MORE

Kijana Aliyeokoa Abiria wa Ajali ya Ndege ya Precision Air Apewa Zawadi

SERIKALI kupitia kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila imempongeza kijana Majaliwa Jackson aliyeokoa Maisha ya abiria 26 waliopata...

READ MORE

Wezi Walioniibia Mali Zangu Wamerudisha Kila Kitu Wakiwa Wanalia

VIJANA katika kutafuta maisha tunapitia mambo mengi sana, hadi unaona mtu anafanikiwa kimaisha sio jambo rahisi, unapaswa kumpongeza maana amepitia...

READ MORE

Spika Tulia Anatoa Tamko Kuhusu Ajali ya Precision Air – “Tumetuma Wawakilishi Watatu-Video

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tulia Ackson anatoa tamko kuhusu ajali ya Ndege ya Kampuni ya...

READ MORE