×

Habari

Hati Fungani ya JASIRI ya NMB Yashinda Nishani Ya Platinum Upande wa Kundi la Dhamana

  Waandaaji wa Tuzo za Kimataifa za Mitaji kwa Wajasirimali wadogo na wa Kati kwa kushirikiana na Nchi za G20,...

READ MORE

Wakazi Anusurika Kifo kwa Ajali, Asimulia Jinsi Wazungu Walivyomuokoa

MWANAMUZIKI wa Hip Hop nchini Webiro Noel Wassira maarufu kama Wakazi amesema amenusurika Kifo baada ya kupata ajali mbaya ya...

READ MORE

Dkt. Hellen Kijo Bisimba: Asasi za Kiraia Zina Mchango Mkubwa Katika Kuharakisha Maendeleo Kwa Jamii

Jamii imeaswa kulipa umuhimu na kipaumbele suala la elimu kama nyenzo muhimu katika kuleta mabadiliko mbalimbali katika jamii sambamba na...

READ MORE

Ukame Kuikumba China na Kukausha Ziwa Kubwa Zaidi Nchini Humo

MKOA wa kati wa China wa Jiangxi umetangaza ugavi wa maji tahadhari nyekundu kwa mara ya kwanza huku ukame wa...

READ MORE

Usajili Huru wa Lionel Messi Kutoka Barcelona Wazidi Kuwatajirisha PSG

KUWASILI kwa supastaa wa Argentina Lionel Messi katika klabu ya Paris Saint-Germain kumezidi kuwapa neema kubwa matajiri wa klabu hiyo...

READ MORE

Simba wasepa zao Zenji Kucheza Dhidi ya Kipanga FC ya Unguja, Zanzibar

KATIKA kuhakikisha anatengeneza muunganiko wa kikosi imara cha Ligi ya Mabingwa Afrika, Kocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda, ameomba michezo...

READ MORE

Takribani Mikoa Minne ya Ukraine Yaanza Kupiga Kura Yakujiunga na Urusi.

MAENEO manne ya Ukraine yanayokaliwa na Urusi yameanza kufanya kura za maoni, ambazo zimeshutumiwa kuwa haramu na Kyiv na zinaonekana...

READ MORE

Urusi Yawaachilia Wageni 10 Waliotekwa Ukraine Baada ya Upatanishi wa Saudia

URUSI siku ya Jumatano iliwaachilia huru wafungwa 10 wa kigeni wa vita waliokamatwa nchini Ukraine kufuatia upatanishi wa Mwanamfalme wa...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Rais wa Bunge la Jamhuri ya Msumbiji Leo – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amekutana na Kuzungumza na Rais wa Bunge la Jamhuri ya...

READ MORE

Ligi Ya Mataifa ya Ulaya Inaendelea na Meriadianbet Wamejipanga Kutoa Pesa kwa Ajili Yako.

Baada ya Ligi nyingi kusimama sasa moto umehamia kwenye michezo ya kimataifa ya kirafiki. Mataifa ya Ulaya yatakuwa uwanjani kuhakikisha...

READ MORE

Iran Yazuia WhatsApp, Instagram Huku Maandamano ya Mahsa Amini Yakiongezeka

IRAN imezuia upatikanaji wa mitandao ya kijamii ya Instagram na WhatsApp huku kukiwa na maandamano ya kupinga kifo cha mwanamke...

READ MORE

Viongozi wa Dunia Wameahidi Mabilioni ya Fedha Kupambana na UKIMWI, TB na Malaria

MFUKO wa Kimataifa wa Kupambana na UKIMWI, Kifua Kikuu na Malaria umepata dola bilioni14.25kama ufadhili mpya muhimu, baada ya miongo...

READ MORE

Wahukumiwa Kunyongwa kwa Kumuua Mwanajeshi Mkoani Morogoro

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Morogoro imewahukumu kunyongwa hadi kufa Watu watatu kwa kosa la kumuua Leonard Yamakwa ambaye...

READ MORE

WCF Yasisitiza Matumizi Ya Tehama Katika Kuwasilisha Madai Ya Fidia

  MAAFISA Rasilimali watu na Utawala hapa nchini wamehimizwa kutumia TEHAMA wakati wa kutoa Taarifa kwenye Mfuko wa Fidia kwa...

READ MORE

Zelenskyy Asema Urusi Iadhibiwe kwa Uhalifu Wake wa Uvamizi wa Kivita Ukraine

RAIS wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ameutaka Umoja wa Mataifa kuiadhibu Moscow kwa uvamizi wake, akitaka mahakama maalum na Urusi iondolewe...

READ MORE

NMB Yadhamini Mil 25 Kwa Ajili Ya Michuano Ya Golf Lugalo

Benki ya NMB imetoa udhamini wa Sh. Mil. 25 kwa Mashindano ya Gofu ya Mkuu wa Majeshi Tanzania (NMB CDF...

READ MORE

Biden Aangazia Ukraine, Usalama wa Chakula na Afya ya Dunia Akihutubia Baraza Kuu la UN – Video

Kwa kutofuata utamaduni wa marais wa Marekani, Joe Biden hakuongea siku ya kwanza kwa kuwa alikuwa safarini nchini Uingereza kuhudhuria...

READ MORE

Tanzania na Msumbiji Zatia Saini Mikataba ya Ulinzi na Usalama

Msumbiji na Tanzania Septemba 21, 2022 zimesaini mikataba miwili ya ushirikiano mjini Maputo inayolenga kupambana na ugaidi na uhalifu. Msumbiji...

READ MORE

Vodacom Yategemea Uwekezaji wa Mtandao na Ubunifu ili Kuendelea Kuongoza

  Septemba 22, 2022:Vodacom Tanzania PLC, Kampuni pekee ya simu iliyosajiliwa kwenye Soko la Hisa nchini, imefanya Mkutano Mkuu wa...

READ MORE

The Pirates, Ndani ya Meridianbet: Furahia Sloti Hii ya Pirates Power!

Bwana sloti, leo nimekuja na habari njema kabisa kwa wapenzi wa gemu za simu na gemu za mtandaoni! Bila shaka...

READ MORE

Akamatwa Akisafirisha Madawa ya Kulevya, Atumia Dawa za Kienyeji Kuwakwepa Askari

JESHI la Polisi mkoa wa Arusha limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa mmoja anayesafirisha madawa ya kulevya aina mirungi katika jiji la Arusha....

READ MORE

Waziri Mkenda: Serikali Imetenga Bil 100 Ujenzi wa VETA Nchini

Serikali inayo azma ya kujenga Chuo cha Ufundi Stadi katika kila Mkoa na Wilaya nchini. Katika mwaka huu wa fedha...

READ MORE

Rais Samia Aanza Ziara Rasmi ya Kiserikali Nchini Msumbiji leo – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Septemba 21, 2022 ameanza ziara Rasmi ya Kiserikali nchini...

READ MORE

Wafanyakazi Watatu wa Tanesco Wafariki Dunia Katika Ajali ya Gari Mkoani Manyara

GARI la dharula la TANESCO mkoani Manyara limegongana uso kwa uso na lori la mizigo katika Mlima wa Logia wilayani...

READ MORE

Dawati la Jinsia Nchini Lajipanga Kutoa Elimu ya Afya ya Akili

MKUU wa Dawati la Jinsia na Watoto wa Jeshi la Polisi Tanzania, Naibu Kamishna, Mary Nzuki amewataka Askari Polisi wanaofanya...

READ MORE

Watu watano Wakamatwa Nigeria Wakiwa na Tani 1.8 za Madawa ya Kulevya

WATU watano, meneja wa ghala na wafanyabiashara wa dawa za kulevya wanne akiwemo mmoja aliyetajwa kuwa raia wa Jamaica walikamatwa...

READ MORE

Viongozi Katika Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa Wanalaani Vita vya Urusi Nchini Ukraine

UVAMIZI wa Russia dhidi ya Ukraine umechukua nafasi kubwa katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, huku Ujerumani na Ufaransa...

READ MORE

Katibu Mkuu wa UN Asema Dunia Ipo Hatarini Kupooza Wakati Mkutano wa Kilele Ukiendelea

KATIKA tathimini ya kutisha, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amewaonya viongozi wa dunia kwamba mataifa yamekwama katika...

READ MORE

NBC na Kampuni ya Kanu Equipment Kutoa Mikopo Nafuu ya Vifaa vya Kilimo

    BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) kwakushirikiana na KANU EQUIPMENT jana wametia saini mkataba wa maridhiano ili kutoa...

READ MORE

HKMU, WKU kushirikiana kwenye tafiti za kitaaluma

  CHUO Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), kimeingia makubaliano na Chuo Kikuu cha Western Kentucky cha Marekani (WKU)...

READ MORE

Zaidi ya 3,000 Wasajiliwa Kushiriki Nmb Marathon

  LICHA ya washiriki zaidi ya 3,000 kujisajili kushiriki Mbio za Hisani za NMB Marathon 2022, Benki ya NMB imeeleza...

READ MORE

MDH Na BUDES Wahamasisha Chanjo Mkoa Wa Kagera

Mashirika mawili yasiyo ya kiserikali Bukoba Developers (BUDES) na Management Development for Health (MDH) yameungasha nguvu ya utoaji elimu juu...

READ MORE

Liz Truss Aridhia Makubaliano ya Kibiashara Kati ya Uingereza na Marekani kwa Miaka Kadhaa

WAZIRI Mkuu akielekea kwenye Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa aliwaambia waandishi wa habari siku ya Jumanne: “Kwa sasa hakuna...

READ MORE

Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Wambura Awahamisha Kazi Kamanda wa Geita na Tanga

  MKUU wa Jeshi la Polisi, IGP Camillus Wambura amewahamisha mikoa ya kazi baadhi ya makamanda wa polisi wa mikoa...

READ MORE

Israel Yamteua Balozi wa Uturuki kwa Mara ya Kwanza Tangu Mwaka 2018

ISRAEL itakuwa na balozi nchini Uturuki kwa mara ya kwanza baada ya miaka minne, ikiwa ni hatua ya hivi punde...

READ MORE

Mhandisi wa Marekani Aachiwa na Kundi la Taliban Walimshikilia Mateka Tangu 2020

Kundi la Taliban limemwachilia mhandisi wa Marekani ambaye walikuwa wamemshikilia mateka tangu 2020 ili kubadilishana na kiongozi wa kikabila wa...

READ MORE

Afariki Alipokua Akimkimbiza Mumewe Baada ya Kumuona Akiwa na Mwanamke Mwingine

MWANAMKE mmoja kutoka nchini Nigeria amefariki dunia baada ya kupata ajali ya gari wakati akimfukuzia mumewe aliyekuwa na mwanamke mwingine...

READ MORE

Mrembo Dar Jela Miaka 30 kwa Kosa la Kukamatwa na Bangi

  MKAZI wa Tandika wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam, Hadija Chikundi (31) amehukumiwa kwenda jela kutumikia kifungo cha miaka...

READ MORE

Ni Kidijitali Zaidi kwa Wateja wa Benki ya Azania, Yaja na Sapraiz Kwa Wateja Wake

    BENKI ya Azania inayomilikiwa na mifuko ya hifadhi ya jamii imezindua huduma ya Azania Tap & Go ikiwa...

READ MORE

Waziri wa Afya Uganda Athibitisha Kuzuka Upya kwa Virusi vya Ebola

WAZIRI wa afya amewaambia waandishi wa habari kwamba mwathiriwa alikuwa ameonyesha dalili kabla ya kuugua ugonjwa huo.   Alikuwa mkazi...

READ MORE