Katika kuunga mkono ukuaji wa fani mbalimbalinchini, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imejitosa kudhamini mkutano mkuu wamwaka wa wanajiolojia wa Tanzania unaofanyika mkoani Arusha. Mkutano huo ambao umeanza tarehe 4 Oktobaunatarajiwa kumalizika tarehe 7 Oktoba mwakahuu na unaratibiwa na Chama cha Watalaamwa Jiolojia Tanzania (TGS) kinachokadiriwakuwa na wanachama zaidi ya 300. Akizungumza na Mwandishi wetu, Mrakibu waJiolojia katika Kampuni ya GGML, Eric Kalondwa alisema kampuni ya GGML imetoashilingi milioni 25 za Kitanzania kudhaminimkutano huo uliofunguliwa na Waziri waMadini, Dk. Dotto Biteko kwa niaba ya Makamuwa Rais, Dkt. Philip Mpango lakini unatarajiwakufungwa na Waziri wa Maji, Juma Aweso. Alisema katika mkutano huo ambao hufanyikakila mwaka kwenye mikoa tofauti tofauti, jumlaya wanajiolojia 11 kutoka mkoani...
READ MOREKampuni ya simu ya Halotel na wafanyakazi wake leo wameshiriki katika zoezi la kuchangia damu ikiwa ni sehemu ya...
READ MOREBIBI mwenye umri wa miaka 65, Ann Dunn ambaye ni raia wa Marekani ameshambuliwa na mbwa watano ambao walimng’ata na...
READ MOREMamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema imebaini uwepo wa magari barabarani yaliyobandikwa na kutumia namba ambazo hazijatolewa na TRA ama...
READ MORENdizi ni zao kubwa la biashara na chakula hivyo likitumika vizuri litabadili uchumi wa wakulima na nchi kwa ujumla...
READ MOREKAMANDA wa Polisi Mkoa wa Simiyu ACP Blasius Chatanda amepata ajali akiwa na gari lake binafsi T 462 BBD Toyata...
READ MOREMAREKANI imetangaza msaada mwingine wa kiasi cha fedha cha Dola Milioni 625 kwa nchi ya Ukraine ili kiweze kuwasaidia katika...
READ MORERais Samia Suluhu Hassan leo Oktoba 5, 2022 amekutana na kuzungumza na Waziri wa Fedha wa Qatar ambaye pia ni...
READ MOREWAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa amehudhuria ufunguzi wa mkutano wa Shirika la Utalii Duniani...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Oktoba, 2022 amezungumza na Watanzania wanaoishi Nchini Qatar (Diaspora) katika...
READ MORE5.Oktoba.2022: Dar es Salaam; Benki ya Akiba Commercial Bank washerekea wiki ya huduma kwa wateja katika matawi yao mbalimbali toka kuanzishwa kwa benki hiyo miaka 25 iliyopita. Akizungumza katika kusherekea wiki hiyo ya huduma kwa wateja Mkurungezi Mtendaji bwana Silvest Arumasi...
READ MOREWaziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amewatoa hofu Watanzania kuhusu Ugonjwa wa Ebola uliopo nchi jirani na kuwataka waendelee kuchukua...
READ MOREJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam lisema uchunguzi wa awali wa Polisi kuhusu tukio la Katibu wa...
READ MOREHAISHANGAZI sana kuona kuwa nchi kubwa zaidi ulimwenguni ndio nchi zinazoongoza kwa idadi ya watu wengi zaidi duniani, mataifa kama...
READ MOREMwenyekiti wa Wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Sengerema Patric Mundeba amesema anakuja na vipaumbele vitano...
READ MORENA MWANDISHI WETU WAZIRI wa Madini Dkt. Dotto Biteko ameeleza kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa kinu cha kupoza...
READ MOREMamlaka ya Masoko Ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imeanzishwa chini ya Sheria ya Masoko ya Mitaji na Dhamana sura...
READ MOREMWANAUME mmoja mwenye umri wa miaka 30, mkazi wa Kijiji cha Mwamakalanga katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, ameachwa akiwa...
READ MORERUBANI “Stephen Lohay” ambaye ni nahodha nyuma wa shirika la ndege la Air Excel amefariki dunia kwa mshtuko wa moyo...
READ MORENajua ulikuwa unawaza ni wapi utaipata Kasino karibu yako, basi Meridianbet wamejibu kuhusu mawazo yako, mchongo uko hivi ukiwa na...
READ MOREWIZARA ya Mifugo na Uvuvi imewataka wafugaji wote nchini kuhakikisha mifugo yao inatambuliwa kwa kuvalishwa hereni za kieletronic kabla ya...
READ MOREKwenye nafasi hiyo ambayo wagombea walikuwa watatu, Ndaruke alishinda kwa kupata kura 428 dhidi ya 385 za Malombwa...
READ MORERAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri kama Ifuatavyo. ...
READ MOREAliyewahi kuwania kiti cha Ubunge jimbo la Sengerema kupita CCM Joshua Shimiyu nimiongoni mwa wajumbe watatu waliochaguliwa na mkutano mkuu...
READ MOREKATIKA Jukwaa la Biashara na Uwekezaji kati ya Italia na Tanzania lililofanyika leo Zanzibar ambapo Mgeni Rasmi Alikuwa Makamo wa...
READ MORETigo Tanzania yazindua Wiki ya Huduma kwa Wateja 2022 jijini Mwanza. Sherehe hizo zitajumuisha shughuli mbalimbali zitakazo wanufaisha wateja wa...
READ MOREBENKI ya NBC imeahidi kuwekeza zaidi katika huduma za kibenki za kidijitali ili kuongeza urahisi wa upatikanaji wa huduma kwa...
READ MOREDar es Salaam, tarehe 3 Oktoba. Benkiya NCBA Tanzania Limited (NCBA) imeendelea kusisitiza juu ya uwekezaji wake katika...
READ MOREDar es Salaam, Jumatatu tarehe 3 Oktoba 2022. Benki ya Equity (T) imezindua rasmi wiki ya huduma kwa...
READ MORERais Samia amefanya mabadiliko hayo kwa kumteua Innocent Lugha Bashungwa kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Pia,...
READ MOREMbunge wa Jimbo la Rombo Mkoani Kilimanjaro ambaye pia ni Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda...
READ MOREMbunge wa Jimbo la Rombo ambaye pia ni Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda leo tarehe...
READ MOREDaktari raia wa Tanzania, Dkt. Mohamed Ali Hafidh anayefanya kazi nchini Uganda aliyeambukizwa Ebola amefariki dunia, mhudumu wa kwanza wa...
READ MORENA MWANDISHI WETU, GEITA WAZIRI wa Madini, Dk. Dotto Biteko amesema Kampuni ya Uchimbaji madini ya dhahabu Geita (GGML) ndiyo...
READ MOREKAMA sehemu ya mpango wa kuwekeza katika jamii Kampuni ya Wentwoth Gas Ltd ilikuwa kati ya wadhamini wa mashindano ya...
READ MORESeptemba 30, 2022: Kampuni ya Surveyed Plots Company Ltd ya Jijini Dar es Salaam leo imekabidhi rasmi zawadi...
READ MOREWAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri nchini kujipanga na kufanya kazi...
READ MOREMFANYABIASHARA maarufu nchini Patrick Christopher (PCK) katika kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya kifo cha marehemu mama yake mzazi amerudisha tabasamu...
READ MOREWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Afya iendelee kuhamasisha taasisi, na wadau kuchangia maeneo muhimu kama ya afya...
READ MORE