×

Habari

Sh 63 Milioni Zakamilisha Ujenzi wa Ofisi Mpya ya CCM Sengerema

  Ofisi mpya ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Sengerema iliyokuwa imekwama kumalizika kwa zaidi ya miaka 15 iliyopita...

READ MORE

Chifu Edwin Mwakatumbula Akabidhiwa Ikulu Yake ya Kichifu na Kiongozi wa Machifu

    1 Oktoba 2022, Katika kutekeleza adhima ya Mhe Rais Samia Suluhu Hassan  ambaye ni kiongozi wa machifu nchini...

READ MORE

Dr Sukari Ajitosa Kuwania Ujumbe Mkutano Mkuu CCM Taifa

  Miongoni mwa wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilayani Sengerema waliojitosa kuwania nafasi ya ujumbe mkutano mkuu CCM Taifa...

READ MORE

Waziri wa Maji Azindua Bodi ya Sita ya Wakurugenzi wa Bonde la Wami/Ruvu

WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso (Mb) Amezindua Bodi ya Sita ya Wakurugenzi Bonde la Wami/Ruvu na kuweka jiwe la Msingi...

READ MORE

Jamii Yaaswa Kuacha Kuwadhihaki Walemavu wa Ngozi kwani Wana Haki Zao Pia

JESHI la Polisi kupitia dawati la jinsia na watoto Mkoa wa Arusha limeitaka jamii kuacha tabia ya kuwadhihaki na kuwafanyia...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Hafla ya Utiaji Saini Mkataba wa Usimamiaji wa Shughuli za Lishe (Picha +Video)

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki hafla utiaji saini Mkataba wa Usimamiaji wa Shughuli...

READ MORE

Rais Samia: Vijana Wengi Wanahangaika na Supu ya Pweza, Vumbi la Kongo -Video

RAIS Samia leo Ijumaa Septemba 30, 2022 ameagiza kufanyika utafiti wa kwanini vijana balehe wanamatizo ya lishe ili kuepuka kuwa...

READ MORE

Binti Aliyepooza Mwili Mzima Abakwa

Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Juma Ligamba (45), mkazi wa Kijiji cha Kibubwa, Kata ya Butuguri wilayani Butiama mkoani...

READ MORE

DC Nyang’hwale Aipongeza GGML Kuajiri Asilimia 98 Watanzania Mgodini

NA MWANDISHI WETU, GEITA MKUU wa wilaya ya Nyang’wale, Jamhuri William amesema uongozi wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited...

READ MORE

Ukraine Yaonya Juu ya Uwezekano wa Russia Kufanya Mashambulizi ya Mitandao

  Kwa mara nyingine, Ukraine inazitaka kampuni zake na mashirika ya kibinafsi kuimarisha mara moja, usalama wao wa mitandao, kabla...

READ MORE

Mkurugenzi Benki ya Dunia Aridhishwa Uboreshwaji Huduma za Mahakama

Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel (kulia) akisalimiana na Mkurugenzi wa Kanda ya Afrika anayeshughulikia Ukuzaji wa...

READ MORE

Wadhibiti Ubora ni Mboni ya Serikali Kwenye Ubora wa Elimu-Waziri Mkenda

Serikali imesema kuwa wathibiti ubora wa elimu ni mboni ya serikali katika kusimamia na kuimarisha ubora wa elimu nchini. Waziri...

READ MORE

Rais Samia: Marufuku Kusaini Mikataba ya Serikali Bila Kushirikisha Mwanasheria Mkuu -Video

    RAIS Samia leo Septemba 29, 2022 amesema mawakili wa Serikali ni ‘jeshi kubwa’ linalotakiwa kulinda uchumi wa Tanzania...

READ MORE

Raila Odinga Ataka Interpol Kuongoza Uchunguzi wa Kifo cha Mshukiwa wa ICC Kenya

  Kiongozi wa Azimio Raila Odinga amewataka polisi wa Kimataifa wa Interpol kuanzisha uchunguzi kuhusiana na kifo cha mshukiwa wa...

READ MORE

Kukatika kwa Ugavi wa Gesi Asilia Iliyobanwa (Compressed Natural Gas CNG) jijini Dar

  29 Septemba, 2022 Dar es Salaam. PanAfrican Energy Tanzania (PAET), kampuni inayoongoza katika uzalishaji na usambazaji wa gesi nchini,...

READ MORE

GGML Yadhamini Maonesho ya Tano ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini

  KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGM) kwa mwaka wa tano mfululizo imejitosa kuwa mdhamini mkuu wa Maonesho ya...

READ MORE

Mkurugenzi Mtendaji wa TBL Alivyotoa Ripoti ya Mpango wa Kilimo Bora wa TBL

  29 SEPTEMBA 2022, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya bia ya TBL , Jose Moran ametoa dondoo za ripoti ya...

READ MORE

Mkoa wa Pwani Wajiandaa na Uchaguzi Mwishoni mwa Wiki Hii

  Pwani Jumatano 28 Septemba 2022 Kaimu Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Pwani ,Elisante Msuya ameeleza ,maandalizi ya uchaguzi...

READ MORE

Mkataba wa Mzungu wa Simba Wavunjika, Awaaga Mashabiki Kupitia Instagram!

MCHEZAJI wa Klabu ya Simba, Dejan Georgijevic almaarufu Mzungu, ametangaza kuvunjika kwa mkataba wake na klabu hiyo, huku akieleza kwa...

READ MORE

Ruto Atangaza Mkuu wa Polisi na Jinai Wang’atuka Akitangaza Baraza la Mawaziri

Rais wa Kenya Dkt. William Ruto Septemba 27, 2022 amewateua mawaziri 21 kwenye baraza lake la mawaziri ambao wataongoza utawala...

READ MORE

Benki ya Stanbic Yaja na Suluhisho la “Mpambanaji” kwa Wajasiriamali

    Dar es Salaam, Septemba 28: Benki ya Stanbic Tanzania, imezindua rasmi huduma maalumu kwa ajili ya wajasiriamali wadogo...

READ MORE

EU Kuiwekea Vikwazo Zaidi Russia Kufanya Kura Haramu ya Maoni Ukraine

Umoja wa Ulaya umesema kwamba utawawekea vikwazo waandaaji wa kile ulichokiita kura haramu za maoni, katika majimbo manne ya Ukraine...

READ MORE

CBE Yawashukuru Waliochangia Harambee, Yakusanya Milioni 56

  CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimefanikiwa kukusanya shilingi milioni 56 kwaajili ya ujenzi wa mabweni ya wasichana kwenye...

READ MORE

SBL Yatoa Mafunzo Maalumu Ya Kuongeza Kipato Kwa Watu Wenye Ulemavu

    Dodoma, Septemba 28, 2022. Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) imedhamini mafunzo ya siku mbili ya mafunzo ya...

READ MORE

NMB Yashinda Tena Tuzo Ya Benki Bora Wateja Binafsi

  Kwa mwaka wa pili mfululizo, Benki ya NMB imeshinda tuzo ya benki kiongozi wa kuwahudumia wateja binafsi nchini kutokana...

READ MORE

Rais Ruto Atangaza Baraza la Mawaziri, Viongozi Wengine Waomba Kuacha Kazi.. -Video

Rais wa Kenya Wiliam Ruto ametangaza baraza lake la mawaziri hii leo, wiki mbili baada ya kuapishwa kuwa rais. ‘’Ninajivunia...

READ MORE

Mmarekani Aliyefichua Nyaraka za Siri Edward Snowden Apewa Uraia wa Russia

Rais wa Russia Vladimir Putin, Jumatatu alimpa uraia wa Russia Edward Snowden, mkandarasi wa zamani wa usalama wa Marekani, ambaye...

READ MORE

Watu 11 Wauawa Wakiwemo Maafisa 8 wa Jeshi la Polisi Nchini Kenya

TAKRIBANI watu 11 wameuawa wakiwemo Maafisa wa Polisi nane na raia wanne katika maeneo yenye ukame yaliyopo Kaskazini mwa Kenya....

READ MORE

Aliyezusha Kifo cha Mwakyembe Akamatwa, Kamanda Muliro Aeleza

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, linamewakamata watuhumiwa wawili kwa makosa ya kimtandao kufuatia msako mkali unaoendelea...

READ MORE

Apoteza Kipini cha Puani, Chakutwa Kwenye Mapafu Baada ya Miaka 5

JAMAA huyo wa nchini Marekani kwa jina la Joey Lykins (35) alilala alipoamka akawa hakioni kipini chake cha pua. Alihangaika...

READ MORE

Urahisi na Ugumu wa Kushinda Jackpot, Jifunze Kushinda Hapa

Kwa wapenzi wa ubashiri, kushinda jackpot ni kitu kikubwa sana ambacho kila mbashiri anatamani kufanikisha siku moja. Jackpot imekuwa Maarufu...

READ MORE

UWT Sengerema Yapata Mwenyekiti Mpya

  Aliyekuwa mwenyekiti wa (UWT) wilaya ya Sengerema Costansia Faida ambaye alikuwa anatetea nafasi yake amepoteza nafasi hiyo baada ya...

READ MORE

Serikali Yaipongeza St Anne Marie Kwa Kutochuja Wanafunzi,Wanaofanya Vizuri Kupelekwa Mbuga za Wanyama

    SERIKALI imepongeza shule ambazo hazina kawaida ya kuchuja wanafunzi unapofikia muda wa mitihani ya kitaifa iiwemo St Anne...

READ MORE

Wizara ya Elimu Kukutana na Wadau Kujadili Mapitio ya Sera ya Elimu na Mitaala Dodoma

  Serikali imeandaa mkutano maalumu kwa mara nyingine wa wadau wa elimu kutoka maeneo na sekta mbalimbali nchini kote nchini....

READ MORE

NCBA Yaendelea Kuinua Maisha, Yatoa Zawadi za Pikipiki Mpya

    Dar es Salaam, Septemba 23. Benkiya NCBA imewazawadia pikipiki washindi watatu wa kampeni ya Mpawa ijulikanayo kwa jina...

READ MORE

RC Dodoma Aeleza Manufaa ya Uwepo wa WCF Kwa Wafanyakazi

    MKUU wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amesema hivi sasa wafanyakazi wanao uhakika wa kinga na kipato...

READ MORE

Korea Kaskazini Yarusha Kombora Linaloshukiwa Kuwa la Balistiki

Korea Kaskazini imerusha kombora linaloshukiwa kuwa la balistiki katika pwani yake ya mashariki, likiwa ni jaribio lake la kwanza kujulikana...

READ MORE

Watuhumiwa 15 Mbaroni kwa Mauaji Tunduru-Ruvuma, Mifugo 159 Yakamatwa

JESHI la Polisi kupitia kikosi cha kupambana na kuzuia wizi wa mifugo Nchini limesema linawashikilia watuhumiwa 15 waliohusika katika tukio...

READ MORE

Jeshi la Polisi Latoa Tamko Ramsi Baada ya Oparesheni Kali na Kukamata Panya Road 167 Dar

JESHI la Polisi nchini limetoa taarifa rasmi kwa Umma baada ya kufanikiwa kufanya Oparesheni kali a kufanikiwa kuwatia nguvuni Panya...

READ MORE

Filamu ya “The Royar Tour” Ilivyotafsiriwa Kijapan Ikizinduliwa Japan

  Tanzania imetumia Maonesho ya Kimataifa ya Utalii ya Japan (Japan Tourism Expo) yanayofanyika nchini humo kuanzia tarehe 22 –...

READ MORE