×

Habari

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Jumanne, Julai 19, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Julai 19, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Ugonjwa Uliolipuka Lindi ni Homa ya Mgunda, Huambukizwa Kutoka kwa Wanyama Kwenda kwa Binadamu

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema kuwa upimaji wa sampuli za wagonjwa waliokuwa wakiugua Ugonjwa Usiojulikana katika Wilaya ya Ruangwa...

READ MORE

Waziri Jafo: Jiji la DSM Pitieni Mfumo wa Maji ya Mvua Kubaini Waliounganisha Kiholela

Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Dkt.Selemani Jafo amelitaka Jiji la Dar es salaam...

READ MORE

Idadi ya Wawekezaji Nchi Yazidi Kupaa Kutoka na Ziara za Rais Samia Kwenye Mataifa Mbalimbali

Ziara za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye mataifa mbalimbali duniani zimezaa matunda kwa...

READ MORE

Rais wa Ukraine Awafuta Kazi Mkuu wa Ujasusi na Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali

RAIS wa Ukraine Volodymir Zelenskiy amewafuta kazi mkuu wa huduma za ujasusi na mwendesha mashtaka mkuu wa serikali  huyo amesema...

READ MORE

Mkuu wa Upelelezi Kariakoo Aungana na Waislamu Kata ya Gerezani Kuhamasisha Uzalendo

  MKUU wa Upelelezi wa Wilaya ya Kipolisi ya Kariakoo, Dar, OC-CID Dr. Ezekiel Kyogo jana Jumamosi aliungana na Waislamu...

READ MORE

Mbio za Mwenge wa Uhuru Kuzindua Miradi ya Maendeleo ya Milioni 735 Jimboni Buchosa

Mbunge wa Jimbo la Buchosa Eric Shigongo amesema anafuraha kushiriki mbio za mwenge wa uhuru na kukiri kuwa hii ilikuwa...

READ MORE

Muuza Madawa ya Kulevya Maarufu wa Mexico Rafael Quintero Akamatwa

Mamlaka nchini Mexico zimemkamata mfanyabiashara maarufu wa dawa za kulevya Rafael Caro Quintero, ambaye alikuwa kwenye orodha ya FBI ya...

READ MORE

Benki ya Crdb Yaendesha Semina ya Uwezeshaji kwa Wafanyabiashara Mtandaoni

Katika kuendeleza jitihada zake za kuwajengea uwezo na kuwawezesha wajasiriamali vijana nchini, Benki ya CRDB  iliandaa semina maalum iliyopewa jina...

READ MORE

Diwani Pemba Mnazi Aahidi Kuwarejeshea Wananchi Wake Ardhi Yao

  DIWANI wa Kata ya Pemba Mnazi, Wilaya ya Kigamboni Dar, Lyoba Ramadhani Yamringa, amewaondoa hofu wakazi wa kijiji cha...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Jumatatu, Julai 18, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Julai 18, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

NMB na Neema Mpya Kwa Wakulima,Wavuvi na Wafugaji Nchini

  KWA mara ya kwanza wakulima, wavuvi na wafugaji nchini wataweza kupata mikopo kutoka Benki ya NMB kwa riba nafuu...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Awapongeza Wahandisi Singida Kwa Ubunifu wa Daraja la Mawe

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua daraja la mawe lenye urefu wa mita 30 na upana wa mita saba lililojengwa katika...

READ MORE

Mfungwa Aliyewapa Wenzake Mimba Ahamishwa Gereza, Kuzuia Asije Akawapa Wengine

  MFUNGWA Demi Minor (27), ambaye miezi michache iliyopita alizusha gumzo kubwa baada ya kuwapa ujauzito wafungwa wenzake katika Gereza...

READ MORE

Benki ya Stanbic Watilia Mkazo Ahadi yao Kusaidia Sekta ya Elimu Kuunga Mkono Juhudi za Serikali

BENKI ya Stanbic Tanzania imetilia mkazo ahadi yake ya kuendelea kuunga mkono juhudi za serikali za kuboresha elimu kwa kuboresha...

READ MORE

Polisi Kariakoo Wapiga Bonge Jogging na Wananchi Wakihamasisha Uzalendo

  JESHI la Polisi Wilaya Kipolisi ya Kariakoo, jijini Dar jana Jumamosi limefanya jogging na wananchi wa eneo hilo kumalizia...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Jumapili, Julai 17, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Julai 17, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Rais Joe Biden Akutana na Viongozi wa Mataifa ya Kiarabu Jeddah Saudi Arabia

RAIS wa Marekani Joe Biden leo anatakuna na viongozi wa mataifa ya kiarabu kwenye mji wa mwambao wa Jeddah nchini...

READ MORE

Jaji Mkuu Prof. Juma Awaasa Mahakimu Wapya Kutofungwa na Kanuni za Kiufundi Wanapotoa Haki..

Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Hamis Juma amewaasa Mahakimu Wakazi wapya kutenda haki bila kufungwa kupita kiasi na masharti...

READ MORE

Aambiwa Ana HIV Kimakosa Atumia Dawa kwa Miaka 6, Afungua Kesi Kudai Fidia

FARIDAH  Kiconco (37); ni mama aliyeambiwa kwenye kituo cha afya kuwa ana Virusi Vya Ukimwi (HIV) kisha akatumia dawa kwa...

READ MORE

Furahia Book of Egypt, Sloti Mpya Kabisa kwa Ajili Yako!

Book of Egypt Kutoka Expanse, Mchezo Mpya Kabisa kwenye orodha ya michezo ya Book, umewasili kwa ajili yako! Bila shaka...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Jumamosi, Julai 16, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Julai 16, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Wananchi Wanaomiliki Ardhi Mabwepande Waiangukia Serikali Inshu ya Uvamizi

WANANCHI wanaomiliki mashamba na viwanja eneo la Mabwepande wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam, wameiomba serikali kuingilia kati kwa kuwaondoa...

READ MORE

Siku ya Wakulima Yafanyika Monduli, TBL Yajidhatiti Kuboresha Mnyororo wa Thamani

  Tanzania Breweries Limited (TBL) na wadau mbalimbali wameadhimisha siku ya wakulima wa shayiri mwaka 2022, na kujidhatiti kuboresha mnyororo...

READ MORE

Simbachawene Azindua GGM Kili Challenge 2022, Aahidi Ushirikiano

NA MWANDISHI WETU WAZIRI wa Nchi- Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) George Simbachawene amezindua harambee ya uchangiaji...

READ MORE

Waziri Bashe Awahakikishia Wadau Wa Zao La Miwa Na Tasnia Ya Sukari Maboresho Makubwa

Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussen Bashe, amewataka wadau wa tasnia ya sukari kuwa na imani pamoja na kujenga mahusiano mazuri...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa: Rais Samia Hataki Mzaha na Fedha za Umma

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan iko...

READ MORE

IGP Sirro Afanya Mabadiliko ya Makamanda wa Polisi wa Mikoa Nchini

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania IGP Simon Sirro amefanya mabadiliko madogo ya Makamanda wa Polisi wa Mikoa.

READ MORE

Bilioni 18 za Tarura, Neema kwa Wanambeya, Kutumika Kwenye Miradi ya Barabara na Madaraja

Wananchi Mkoani Mbeya wanatarajia kunufaika na kiasi cha shilingi bilioni 18.2, pesa zilizotengwa kutekeleza miradi mbalimbali ya barabara na madaraja....

READ MORE

Rais Samia Awasili Visiwani Pemba kwa Ziara ya Kikazi- Picha

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewasili visiwani Pemba leo Julai 15, 2022 kwa ajili ya...

READ MORE

Utafiti wa WHO Wathibitisha Watu Wanaoketi Muda Mrefu Wanakufa Mapema

TAFITI mbalimbali zilizofanywa na kuthibitishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) zinathibitisha kwamba, watu wanaoketi kwa muda wa hadi saa...

READ MORE

Mke wa Zamani wa Donald Trump, Ivana Afariki Dunia Akiwa na Umri wa Miaka 73

MKE wa kwanza wa  Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump, Ivana Trump amefariki dunia Julai 14, 2022 nyumbani kwake ...

READ MORE

Imeisha Hiyo! Hatimaye Klabu ya Yanga Rasmi Yamtambulisha Aziz Ki

Kiungo mshambuliaji  Raia wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki (26) hatimaye ametangazwa rasmi kuwa mchezaji wa klabu ya Yanga kabla...

READ MORE

GGML Yang’ara Maonesho Sabasaba, Yaibuka Muajiri Bora

KAMPUNI ya Geita Gold Mine Limited (GGML), imeendelea kung’ara baada ya kuibuka mshindi katika Maonyesho ya 46 ya Kimataifa ya...

READ MORE

Serikali Mezani na Vyombo vya Ushauri UNESCO, Wajadili Kuhusu Maeneo ya Urithi wa Dunia

WAZIRI wa Katiba na Sheria  Dkt. Damas Ndumbaro ameongoza timu ya wajumbe kutoka Tanzania waliohudhuria kikao cha pamoja na UNESCO...

READ MORE

Samia: Rais Mkapa Alithubutu Kutushawishi Kushirikiana na Sekta Binafsi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemuelezea Rais wa awamu ya tatu Hayati Benjamin William Mkapa...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Alhamisi, Julai 14, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Julai 14, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Naibu Waziri Katambi: Serikali Inajivunia Kuwa WCF

  SERIKALI imesema inajivunia Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) kwa jinsi umeweza kufikia malengo yaliyokusudiwa kwa kuongeza matumaini kwa...

READ MORE

Katika Kuunga Juhudi za Rais Samia, Nmb Yatoa Vifaa Vya Afya, Elimu Wilya ya Lushoto

  Benki ya NMB imetoa msaada wa mabati 200 kwa Zahanati ya Kwemakame iliyopo wilayani Lushoto mkoani Tanga yenye thamani...

READ MORE