×

Habari

NBC Kwenye Kongamano la Kigoda cha Mwl. Nyerere; JK, Pinda Ndani ya Nyumba

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeshiriki kikamilifu kwenye uzinduzi wa Kongamano la 13 la Kigoda Cha Mwalimu Nyerere uliofanyika...

READ MORE

Rasmi Kajala Awa C.E.O na Meneja wa Harmonize, Choppa Afunguka

  BAADA ya Harmonize kuthibitisha kurudiana na Kajala, taarifa mpya kutoka Konde Gang ni kwamba, rasmi Kajala atakuwa C.E.O na...

READ MORE

NBC Yaweka Kambi Kanda ya Kaskazini, Kuamsha Sekta ya Utalii, Biashara na Kilimo

  Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeelezea dhamira yake ya kukuza na kuchochea ukuaji wa kiuchumi katika mikoa ya...

READ MORE

Waziri Masauni: Hakuna Sababu ya Viongozi wa CHADEMA Kutorejea Nchini

WAZIRI wa Mambo ya Ndani Hamad Masauni amesema kuwa Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan haioni sababu ya wanasiasa...

READ MORE

Serengeti Girls Waandika Historia Bungeni, Wakaa Eneo Wanalokaa Wabunge – Video

  Timu ya Wasichana ya Tanzania chini ya miaka 17 (Serengeti Girls) imeweka historia ya kuwa timu ya kwanza kuingia...

READ MORE

Rais Samia Anafanya Juhudi Kubwa za Kuondoa Tatizo la Maji Nchini … Soma Hapa

  Methali moja ya kiswahili inasema ‘Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe’ ndivyo tunavyoweza kusema kwenye utendaji kazi wa Rais...

READ MORE

DC Jokate Aongoza Hafla ya Benki ya I&M Kutoa Msaada Shule ya Mtongani

    Dar es Salaam Jumanne 7 Juni 2022… Wanafunzi wa shule ya Msingi ya Mtongani iliyopo wilaya ya Temeke jijini...

READ MORE

Waziri Dkt. Gwajima Awataka Watoto Kufichua Vitendo Vya Kikatili

    WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka watoto kote nchini kufichua...

READ MORE

Benki Ya CRDB Kuendelea Kutoa Elimu Ya Fedha Kupitia Promosheni Ya Mzigo Flexi

    Benki ya CRDB imejipanga kuendelea kutoa elimu ya fedha kupitia promosheni ya Mzigo Flexi ambapo inalenga kuwafikia Watanzania...

READ MORE

Serikali, Benki ya Dunia Yazindua Programu Kuimarisha   Ufundishaji Shule za Msingi

Serikali kwa ufadhili wa Benki ya Dunia imezindua Programu ya kuimarisha   ufundishaji na ujifunzaji katika shule za awali na msingi...

READ MORE

Jela Miaka 30 Kwa Kumbaka Mama Yake Mzazi, Mtuhumiwa Atoroka Hukumu

MAHAKAMA ya Wilaya ya Iringa imemhukumu mfanyabiashara, Kaloli Mkusa kifungo cha miaka 30 jela na fidia ya shilingi milioni moja...

READ MORE

Taasisi ya Dun & Bradstreet Yazindua Teknolojia Mpya iitwayo EDX

Teknolojia hii ya EDX hurahisisha uchakataji na uwasilishaji wa taarifa za wakopaji kwa taasisi za kifedha kwa njia ya kielektroniki....

READ MORE

NMB yachangia Milioni 27/- Kutatua Changamoto Elimu na Afya Wilaya ya Ubungo

    Benki ya NMB imetoa vifaa mbalimbali vya afya na vya shule vyenye thamani ya Sh.milioni 27 kwa Hospitali...

READ MORE

Wafanyabiashara Tabora wapewa mchongo Exim

MKUU wa Mkoa wa Tabora Balozi Dk. Batilda Burian amewaomba wafanyabiashara mkoani humo kuhakikisha wanachangamkia vema uwepo wa taasisi za...

READ MORE

Waziri Ummy Awasili Nchini Ufaransa kwa Ziara ya Kikazi

WAZIRI wa Afya Ummy, leo  Juni 6, 2022 amewasili katika Jiji la Paris , Ufaransa kuhudhuria kikao cha Jumuiya ya...

READ MORE

Rais Dkt. Mwinyi Akutana na Kufanya Mazungumzo na Jenerali Mabeyo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania...

READ MORE

Rais Samia Ashuhudia Utiaji Saini Mradi wa Maji kwa Miji 28 Tanzania

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, leo juni 6, 2022, ameshuhudia utiaji saini wa mikataba ya...

READ MORE

Odinga Afanya Jaribio la Tano la Kugombea Urais Je, Atatoboa?

RAILA Omolo Odinga; ni mwanasiasa mkubwa mno nchini Kenya akitokea katika familia maarufu ya kisiasa nchini humo. Kofia ya urais...

READ MORE

Serikali ya Zimbabwe Yakanusha Madai ya Wananchi Wake Kuuza Vidole

SERIKALI ya Zimbabwe imekanusha madai yanayoenea kwamba raia wake wamekuwa wakiuza baadhi ya vidole vyao vya miguu ili kupata mamilioni...

READ MORE

Mtendaji Azilongwa Amuunga Mkono Rais Samia na Royal Tour

MTENDAJI wa Kata ya Huzi Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma Azilongwa Bohari akiwa na Vijana wenzake wa UVCCM wametembelea Ngorongoro...

READ MORE

Wananchi Tabora Wachangamkia Vyeti vya Kuzaliwa vya Watoto

  Kabidhi Wasii Mkuu Bi. Angela Anatory ametembelea na kukagua vituo vya tiba vinavyotoa huduma ya mama na mtoto na...

READ MORE

Uingereza Yatuma Mtambo wa Makombora ya Roketi Nchini Ukraine

NCHI ya Uingereza kwa mara ya kwanza imepuuza vitisho vya Rais wa Urusi Vladimir Putin na kuamua kutuma mtambo maalum...

READ MORE

Wanahisa Benki ya NMB Waidhinisha Gawio Bil. 96.7

  Wanahisa wa Benki ya NMB wameidhinisha gawio la Sh 96.7 bilioni kwa mwaka 2021, huku wakiwa na imani kubwa...

READ MORE

ZIC, Wadau Wandesha Mafunzo ya Bima

Zanzibar; Mei 5, 2022: Shirika la Bima Zanzibar (ZIC) kwa kushirikiana na wadau wengine visiwani humo limeendesha mafunzo ya kujenga...

READ MORE

Waziri Mkuu Akemea Utiririshaji wa Maji Machafu kutoka Viwandani na Kwenye Migodi

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amekemea tabia ya utiririshaji wa maji machafu na majitaka kutoka viwandani na kwenye migodi kwani...

READ MORE

Kim Kiduku: Mkorea Mbabe wa Makombora ya Nyuklia Yanayoitikisa Marekani -Video

  Kim Jong Un, ni rais mbabe kutoka Korea ya Kaskazini. Ni mbabe kwelikweli. Anachojivunia zaidi ni makombora ya nyuklia...

READ MORE

Umoja wa Waandishi Wanawake wa Binti Shupavu Wagawa Taulo za Kike na Kutoa Somo

    UMOJA wa waandishi wa habari wanaounda kundi la Binti Shupavu wametoa wamezungumza na mabinti wa Shule ya Msingi...

READ MORE

SBL Kuwawezesha Vijana Kushiriki Kwenye Sekta ya Kilimo

    Kampuniya Bia ya Serengeti (SBL) imesema itaendelea kuwawezesha vijana ili waweze kuwa na ushiriki mpana zaidi katika kilimo....

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

JIpatie nakala ya Gazeti la Spoti Xtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS...

READ MORE

Viongozi wa Skauti Wakutana na Waziri wa Elimu, Kufanyika Mkutano Mkuu Julai

  Mkutano Mkuu wa SKAUTI umepangwa kufanyika tarehe 2 Julai 2022 Jijini Dodoma ukiwa na agenda kubwa ya uchaguzi Mkuu...

READ MORE

Madiwani wa Viti Maalum Dar, Wacharuka Kupinga Ukatili wa Kijinsia Nchini(PICHA+VIDEO)

  MADIWANI wa vita maalum katika Mkoa wa Dar es Salaam wamesimama kidete kupinga ukatili unaoendelea dhidi ya watoto wakiomba...

READ MORE

Mauaji ya Kikatili Yamzeesha Mkuu wa Wilaya ya Njombe

MKUU wa Wilaya ya Njombe ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Kissa Kasongwa ametangaza vita kwa...

READ MORE

Wananchi Tabora Watakiwa Kusajili Watoto Wao ili Kupatiwa Vyeti vya Kuzaliwa

Wananchi wa Mkoa wa Tabora wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuwasajili watoto wao ili wapate vyeti vya kuzaliwa bila ya malipo...

READ MORE

Mke Amkata Mumewe Sehemu za Siri kwa Wembe, Ashikiliwa na Jeshi la Polisi Ruvuma

JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linamshikilia Mwanamke mmoja ajulikanaye kwa jina la Hellen Mchahuru (40) kwa tuhuma za kumjeruhi kwa...

READ MORE

Katibu Mkuu wa CCM, Chongolo Atoa Maagizo Viboko Wavunwe Wilaya ya Busega

  KATIBU MKUU wa Chama cha mapinduzi (CCM) Taifa Daniel Chongolo amezitaka Mamlaka zinazohusika na uhifadhi wa wanyamapori kuwavuna viboko...

READ MORE

Ahukumiwa Kwenda Jela Miaka 30 kwa Kosa la Kumbaka Mwanafunzi

MAHAKAMA ya Wilaya ya Makete mkoani Njombe imemuhukumu Faison Sanga ( 19 ) mkazi wa Makwaranga Kata ya Ipelele kutumikia...

READ MORE

Hamisa Aunguka “Endeleeni Kubana Pua Mkinisema Vibaya Mapambano Yanaendelea!”

  HAMISA Hassan Mobeto; ni mmoja wa wanawake warembo na mastaa nchini Tanzania. Wiki iliyopita, mbali na Kajala Masanja kukubali...

READ MORE

Watu Tisa Wakamatwa na Viungo vya Binadamu Mkoani Kigoma

JESHI LA POLISI mkoani Kigoma imewatia mbaroni watu tisa wakituhumiwa kujihusisha na usafirishaji na uuzaji wa viungo vinavyohisiwa kuwa ni...

READ MORE

Mahakama Yawachia Huru Washtakiwa Watano Akiwamo Mkurugenzi wa Udart, Kisena

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewachia huru washtakiwa watano akiwamo Mkurugenzi wa Kampuni ya Huduma za Usafirishaji wa Mabasi yaendayo...

READ MORE