×

Habari

Profesa Sedoyeka Ateuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemteua Profesa Eliamani Sedoyeka kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya...

READ MORE

Juhudi za Rais Samia Kufanikisha Mradi wa Gesi Asilia Nchini wa Sh70 Trilioni

Juni 11, 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, alishuhudia utiaji saini wa makubaliano ya awali...

READ MORE

Watanzania Kuiwakilisha Afrika Mashindano ya TEHAMA ya Huawei Duniani

WANAFUNZI kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ni miongoni mwa washiriki wa fainali za...

READ MORE

TCB Yatangaza Kupata Faida ya Shilingi Bilioni 19.7

  Tanzania Commercial Bank TCB imetangaza kupata faida ya shilingi Bilioni 19.7 kwa mwakaulioishiaDesemba 31 2021 hatua inayotajwa kuwa ya...

READ MORE

Jamaa Ajirambia zake Milioni 10 za “Tigo Chemsha Bongo”

    KAMPUNI namba moja nchini Tanzania kwa Utoaji wa huduma za Kidigitali Tigo , Imekabidhi Hundi ya Milioni 10...

READ MORE

Rais Samia Awasili Zanzibar Baada ya Kuhitimisha Ziara Yake Nchini Oman na Saudi Arabia

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewasili Visiwani Zanzibar mara baada ya kumaliza ziara yake ya...

READ MORE

Bilioni 6 Zimetengwa Kuboresha Miundombunu ya Kutolea Huduma za Afya

KATIKA mwaka ujao wa fedha 2022/23 Serikali imetenga shilingi Bilioni 6 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya kutolea huduma...

READ MORE

Waziri Mchengerwa Ajiunga Bungeni na Timu ya Taifa ya Walemavu, Tembo Worriors

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohamed Mchengerwa ameingia Bungeni akiwa pamoja na Timu ya Taifa ya Walemavu Tembo Worriors...

READ MORE

Simba Kuvunja Benki, Yamvuta Beki Mbishi wa Kagera Sugar, Dickson Mhilu

  SIMBA imepanga kuvunja benki kumununua beki wa kulia wa Kagera Sugar, Dickson Mhilu atakayekuja kuwa mbadala wa mkongwe Shomari...

READ MORE

Video: Hapatoshi Bungeni, Mijadala ya Bajeti, Wabunge Watoa Hoja Zenye Ujazo….

 Bunge la 12 mkutano wa saba kikao cha 45 kimeendelea leo bungeni, ambapo wabunge wamepata nafasi ya kuuliza maswali...

READ MORE

RC Mtaka Apokea Vifaa vya Kuhifadhia Taka Vilivyotolewa na Benki ya NMB

  Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka ameagiza Jiji la Dodoma kuharakisha sheria ndogo ndogo za mazingira ili kuweka...

READ MORE

Taasisi ya IIA Yapongeza Serikali Kuimarisha Vitengo Vya Ukaguzi wa Ndani

  TAASISI ya Ukaguzi wa ndani nchini Tanzania (IIA) imeipongeza Serikali ya Tanzania dhidi ya mabadiliko makubwa iliyopanga kuyafanya kupitia...

READ MORE

Clouds Yaiomba Serikali Kuingiza Elimu ya Ustawi wa Jamii Katika Mtaala

MKUU wa Kipindi Cha Leo Tena Husna Abdul ambaye pia ni Muongozaji wa kipindi hicho ameiomba Serikali kuingiza mtaala wa...

READ MORE

Mila na Desturi Zetu Zinampa Nguvu Sana Mwanamke Kuliko Mwanaume

KITENDO cha wanaume kunyanyaswa na wake zao halafu wanashindwa kusema kinatokana na ile hali au kasumba ya kuamini mwanaume katika...

READ MORE

Basi la Zuberi Lapata Ajali na Kutumbukia Kwenye Daraja Eneo la Mwigumbi

Basi la Zuberi linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Kahama mkoani Shinyanga leo Juni 15, 2022 limepata ajali na...

READ MORE

NMB Yakabidhi Bilioni 30.7 Gawio Kwa Serikali

    Benki ya NMB leo wamekabidhi Sh. Bilioni 30.7 kwa Serikali huku Makamu wa Rais, Mhe.Dkt Philip Isdor Mpango...

READ MORE

Kijana Akamatwa kwa Kujifanya Mkuu wa Mkoa, Awalaghai Wananchi

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Warren Max Mwinuka (20) Mkazi wa Makondeko, Mbeya Mjini kwa tuhuma za kujifanya...

READ MORE

Alikiba, Samata na Manara Wazungumza na Waandishi Wanabari – Video

 KUELEKEA mechi ya Samakiba itakayochezwa Juni 18, katika dimba la Mkapa jijini Dar, Mwanamuziki Alikiba, msakata kabumbu Mbwana Samatta...

READ MORE

Serikali Kumuongezea Nguvu CAG Kutekeleza Majukumu Yake kwa Ufanisi -Video

  SERIKALI ya Tanzania, imesema itaongeza fedha katika Ofisi ya mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ili...

READ MORE

NBC Yatoa Darasa kwa Wafanyabiashara Mwanza Kukuza Mitaji Yao

MKUU wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel hivi karibuni aliungana maofisa waandamizi wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC)...

READ MORE

Waziri Mwigulu: Kila Mtanzania Mwenye Umri wa Kuanzia miaka 18 Kuanza Kulipa Kodi

  WAZIRI wa Fedha na Mipango Dr. Mwigulu Nchemba amesema Serikali inakusudia kutoa namba ya utambulisho wa Mlipa Kodi (TIN)...

READ MORE

Geita Gold FC Yatembelea Miradi Inayofadhiliwa na GGML

Timu ya mpira wa miguu ya Geita Gold Football Club inayofadhiliwa na Kampuni ya GGML imetembelea miradi ya jamii inayofadhiliwa...

READ MORE

Tigo Warahisisha Ulipaji wa Maegesho ya Magari Jijini Dar es Salaam

    Dar es Salaam. Tarehe 15 Juni, 2022. Kampuni inayoongoza kwa utoaji wa huduma za  kidijitali nchini , Tigo...

READ MORE

NMB Kuzindua Kampeni ya “Nmb Teleza Kidigitali” Shinyanga

  BAADA ya kuchanja mbuga mtaa kwa mtaa katika Mkoa wa Dar es Salaam na Arusha, sasa Benki ya NMB...

READ MORE

Waziri wa Biashara, Zanzibar Akutana na Mkurugenzi Mkuu wa WIPO

LEO tarehe 14 Juni 2022, Mhe. Omar Shaaban, Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda, Zanzibar ambaye ameongoza Ujumbe wa...

READ MORE

Hotuba ya Bajeti ya Serikali Kuu kwa Mwaka 2022-23, Ipo Hapa Yote Isome – (Picha +Video)

SERIKALI leo Jumanne Juni 14, 2022 imesema itaachana na mfumo wa sasa wa Ununuzi wa Umma (Transactional Procurement) kutokana na...

READ MORE

Kidato cha Tano na Sita Kusoma Bure, Kupunguza Gharama kwa Wazazi, Walezi -Video

  Serikali imependekeza kufuta rasmi ada katika elimu ya ngazi ya kidato cha tano na sita ili kuwapunguzia gharama za...

READ MORE

Serikali Kubadili Utaratibu, Kuwakopesha Magari Watumishi wa Umma, Kuokoa Bilioni Sh500 -Video

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amependekeza Serikali kubadili utaratibu uliopo ili kuwakopesha magari watumishi wa umma wenye...

READ MORE

Tecno Kuzindua Simu Yenye Teknolojia Ya Kisasa Katika Jiji La New York Nchini Marekani

Juni 14, 2022 – Katika mitaa yenye misongano na pilika pilika nyingi ndani ya Jiji la New York, kwenye ghorofa...

READ MORE

Urusi Yaonya Kuisambaratisha Ulaya Nzima kwa Mabomu ya Nyuklia

NCHI ya Urusi imeonya kuwa kuna uwezekano wa Bara la Ulaya kupotea kwa bomu la nyuklia kutokana na kitendo cha...

READ MORE

Waziri wa Fedha Athibitisha Deni la Taifa Sasa ni Tsh Trilioni 69.44

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amesema hadi kufikia Aprili 2022, deni la Serikali lilikuwa Sh69.44 trilioni ikilinganishwa...

READ MORE

Muigizaji Kajala Masanja Aliapa Akirudiana na Msanii Harmonize ‘Apigwe Mawe Afe’

  Siyo stori tena kwamba, msanii Harmonize au Konde Boy na muigizaji Kajala Masanja wamerudiana. Hii ni kutokana na matukio...

READ MORE

Mbunge wa Tarime Vijijini, Waitara Alikoroga Kwa Spika, Apewa Onyo na Asirudie Tena

Spika wa Bunge Dk. Tulia Ackson ametoa onyo kali kwa Mbunge wa Tarime Vijijini Mwita Waitara kwa kushindwa kutoa ushahidi...

READ MORE

Katika Siku 100 za Vita, Urusi Yajipatia Dola Bilioni 100 kwa Mauzo ya Mafuta na Gesi

  Kulingana na Kituo Huru cha Kifini cha Utafiti wa Nishati na Hewa Safi (CREA), Urusi ilipata takriban dola bilioni...

READ MORE

Rais Samia na Uchumi wa Gesi, Adai Tupo Njia Sahihi na Salama

JUNI 11, 2022, Rais Samia Suluhu Hassan ameshuhudia makubaliano ya awali ya uwekezaji wa Dola Bilioni 30 kati ya Serikali...

READ MORE

Bilioni 100 za Rais Kila Mwezi Kwenye Mafuta ni Neema Kwa Watanzania Wote

Kupanda kwa bei za mafuta ni janga linaloendelea kuitikisa Dunia kwa ujumla. Kwa kuelewa uzito wake kwa wananchi wa Tanzania,...

READ MORE

Rais Samia Alilia Usawa wa Kibiashara Baina ya Oman na Tanzania(PICHA+VIDEO)

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuna kila haja ya kuwa na mbinu mbadala juu...

READ MORE