×

Habari

Familia Yatolewa Nje Kimafia Arusha, Kisa Milioni 50 Za Kuazima

Familia ya Mr Fulujesi ya Jijini Arusha imelalamika kutolewa nje ya nyumba ya kwa kile wanaochodai kuonewa na mtu aliyewaazima...

READ MORE

Wolper Akiri Kumpiga Mtu Na Kitu Kizito

    JACQUELINE Wolper Massawe au Mama P; ni mwanamama wa Bongo Movies ambaye anakiri kuwa yeye ni mtu wa...

READ MORE

Dkt. Hashil Abdallah Aongoza Kikao Kazi Cha Wataalamu Kamati Ya Biashara

NAIBU Katibu Mkuu Viwanda na Biashara katika Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Hashil T. Abdallah kwa niaba ya...

READ MORE

Mtoto wa Amina Chifupa: Walitaka Kunigombanisha na Familia ya Mpakanjia

ABDULRAHMAN Mohammed Mpakanjia almaarufu Rahmanino; ni mtoto wa aliyekuwa mwanasiasa machachari nchini Tanzania, marehemu Amina Chifupa na mfanyabiashara marehemu Mohammed...

READ MORE

Tanzia: Rais Rupiah Banda Afariki Dunia

Aliyewahi kuwa Rais wa Zambia, Rupiah Banda amefariki dunia leo Ijumaa, Machi 11, 2022 akiwa na umri wa miaka 85....

READ MORE

SGA Security Yapongezwa kwa Kuzingatia Vigezo vya Kitaaluma

    KAMPUNI kongwe ya Ulinzi hapa nchini, SGA Security, wamepongezwa na Jeshi la Polisi kwa kuzingatia vigezo vya kitaaluma...

READ MORE

Live Ukraine Updates: Lutsk na Dnipro Zashambuliwa Kwa Mara ya Kwanza

 Kumekuwa na ripoti za milipuko katika miji ya pande tofauti za nchi katika muda wa nusu saa iliyopita.  Vyombo...

READ MORE

Mayele Awapigia Tizi zito KMC, Ajiandaa Kutetema

HABARI njema kwa mashabiki wa Yanga ni kuwa mshambuliaji wao kipenzi, Mkongomani Fiston Mayele yupo fiti na amejumuishwa katika kikosi...

READ MORE

Mbaroni kwa Kukamatwa na Meno ya Tembo

JESHI la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam kwa kus hirikiana na Kikosi Kazi cha Kuzuia na Kupambana na Ujangili...

READ MORE

Wanawake wa ZIC Arusha, Dodoma Wakamilisha Wiki ya Siku ya Wanawake Duniani

      KAMPENI ya ugawaji wa taulo za kike Kwa baadhi ya shule  kutoka Shirika la Bima Zanzibar (ZIC)...

READ MORE

EU Yakataa Kutoa Uanachama wa Haraka Kwa Ukraine

Viongozi wa Umoja wa Ulaya waliokutana nchini Ufaransa Alhamisi wamekataa kutimiza matakwa ya Ukraine ya kuingizwa haraka katika umoja huo,...

READ MORE

Yanga ya Mayele ni Noma, Ahmed Ally Akiri

MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amekiri kuwa, watani wao wa jadi, Yanga SC, msimu huu...

READ MORE

Makonda, GSM Hapatoshi Adaiwa ‘Kupora’ Mali, Polisi Dar Watoa Tamko- Video

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…...

READ MORE

TCB Yazindua Tawi Jipya Usa River

  Tanzania Commercial Bank (TCB) yazidi kuchanja mbuga kutanua huduma zake imeendelea kuongeza jitihada kuwafikia Watanzania nchi nzima Tanzania Commercial...

READ MORE

Mwanaume Aliyepandikizwa Moyo Wa Nguruwe Afariki Dunia

Mwanaume aliyeingia kwenye rekodi ya kuwa binadamu wa kwanza kupandikizwa moyo wa nguruwe, David Bennett Sr amefariki dunia akiwa na...

READ MORE

Polisi Amzaba Kofi Bosi Wake kwa Kumuuliza Mbona Hakufika Kazini 

Afisa mmoja wa Jeshi la Polisi ambaye alipewa majukumu ya kulinda shehena ya mitihani katika Kaunti ya Pokot Magharibi amemzaba...

READ MORE

Kijiji Ambacho Wakazi Hulala Kwenye Miti Licha ya Kuwa na Nyumba

WAKAZI wa Kijiji cha Malelei, kilichopo katika Kaunti ya Lamu sasa wanalazimika kulala juu ya miti licha ya kuwa na...

READ MORE

Rais Samia Azungumza na Wazee wa Mkoa wa Kusini Unguja

Rais Samia leo Machi 10, 2022 amezungumza na Wazee wa Mkoa wa Kusini Unguja katika Mkutano uliofanyika kwenye Ukumbi wa...

READ MORE

Taulo za Kike 2000 Zatolewa Mashuleni Katika Matawi ya ZIC

    KATIKA Kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Taasisi na Makampuni wasisitizwa kuwakumbuka watoto wakike Mashuleni na kuwapa Elimu ya...

READ MORE

Manara Atangaza Mechi Ya Kirafiki Yanga Vs Somalia – Video

MSEMAJI wa klabu ya Yanga, Haji Manara, leo Machi 10, 2022 amezungumza na wanahabari na kuelezea kuwa Yanga inatarajia kucheza...

READ MORE

Breaking; Muhimbili Yatoa Ufafanuzi Video ya Prof. Jay Kwenye Mtandao

Hospitali ya Taifa Muhimbili leo Machi 10, 2022 imetolea ufafanuzi taarifa inayosambaa kwenye mtandao wa kijamii kuhusu Joseph Haule maaruru...

READ MORE

Tamasha la Muziki la Serengeti Kutikisa Dodoma

Macho na masikio ya watanzania, wapenda muziki na dunia nzima siku ya Jumamosi na Jumapili Machi 12 na 13, 2022...

READ MORE

Nabi Awakomalia Mayele, Saido Yanga

KATIKA kuwavuruga wapinzani wao katika Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa Yanga raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi amekiangalia kikosi chake...

READ MORE

Ujerumani Yagoma Kutuma Ndege za Kivita Ukraine

Ujerumani imesema haitatuma ndege za kivita nchini Ukraine, baada ya Marekani kukataa pendekezo la Poland la kuhamisha ndege zake za...

READ MORE

SGA Security Yashinda Tuzo ya Sekta ya Madini

    KAMPUNI ya ulinzi ya SGA Tanzania Limited imeibuka mshindi wa tuzo ya mtoa huduma bora zaidi kwa mwaka...

READ MORE

Live Updates: Mawaziri Ukraine Na Urusi Kukutana Leo Uturuki

KUFUATIA  shambulio la hospitali ya wajawazito na watoto katika Mji wa Mauripol nchini Ukraine kutoka kwa majeshi ya Urusi, mawaziri...

READ MORE

TBA Yaupiga Mwingi, Yakarabati Nyumba za Wapangaji na Viongozi – Video

UONGOZI wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) umefanya ziara katika maeneo ambayo wanafanya ukarabati mkubwa wa majengo yakiwemo yale ya...

READ MORE

Video: Dada Aliyenyongwa Na Mganga Wa Kienyeji, Mfanyakazi Wake Aanika Ukweli

 MOJA kati ya matukio ambayo yalitawaliwa na utata mzito hivi karibuni ni pamoja na tukio la kifo cha Bi...

READ MORE

Waziri Dkt Gwajima Awatunuku Tuzo Wanawake 35

    JUMLA ya  wanawake 35 wamepewa tuzo ya umahiri kwenye biashara zilizotolewa na Chama cha Wanawake Wafanyabiashara (TWCC) . Walikabidhiwa...

READ MORE

Urusi Yashambulia Hospitali Tatu Ukraine

Hospitali ya wanawake wajawazito katika Mji wa Mariupol nchini Ukraine, Jumatano ya Machi 9, 2022 imepigwa makombora na majeshi ya...

READ MORE

Wizara ya Ardhi Yaanzisha Oparesheni Ya Mtaa Kwa Mtaa Kuwafikia Walipa Kodi

Serikali kupitia Wizara Ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanzisha oparesheni maalumu ya ufatiliaji wa wadaiwa wa Kodi ya...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Mkurugenzi wa UN Women Ikulu Zanzibar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa UN Women Ukanda...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Wake wa Viongozi Ikulu, Zanzibar

Rais Samia Suluhu Hassan leo Machi 8, 2022 amekutana na wake wa viongozi mbalimbali wa Serikali Ikulu Tunguu, Zanzibar mara...

READ MORE

Rais Samia, Majaliwa wafanya jambo usiku

Viongozi wakuu wa nchi usiku wa Machi 8, 2022, wamekuwa miongoni mwa watanzania walioadhimisha siku ya wanawake Duniani kwa kushiriki...

READ MORE

Prof. Mkenda Aeleza Mafanikio ya Mwaka 1 ya Rais Samia

  Serikali ya Awamu ya Sita imetoa kipaumbele katika Sekta ya Elimu kwa kuhakikisha mindombinu ya shule za msingi na...

READ MORE

Rais Zelensky Alihutubia Bunge La Uingereza

RAIS Volodomyr Zelensky, amelihutubia Bunge la Uingereza (House of Commons) kwa njia ya mtandao na kuahidi kwamba watapambana mpaka kumshinda...

READ MORE

Poland Yatangaza Kuipa Ukraine Ndege Za Kivita, Marekani Yakataa

 Serikali ya Poland imetangaza kuipa msaada Ukraine wa ndege za kisasa za kivita, MiG-29 ili kukabiliana na mashambulizi ya...

READ MORE

Liverpool Yachapwa Anfield, Yatinga Robo Fainali

LAUTARO Martinez nyota wa kikosi cha Inter Milan alivunja rekodi ya Klabu ya Liverpool kutopoteza mchezo wa ushindani katika mechi...

READ MORE