×

Habari

TCB Kuendelea kuwa Mdau wa Maendeleo  Nchini

  Tanzania Commercial Bank TCB) imesema itaendelea kuwa mdau mkubwa wa maendeleo  ili kuboresha uchumi wa Tanzania. TCB imeshirikia kikamilifu...

READ MORE

Rais Samia amteua Sophia Simba kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasisi ya Ustawi wa Jami (ISW)

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa CCM (UWT), Sophia Simba kuwa Mwenyekiti wa...

READ MORE

Waziri Mabula Ashangiliwa Baada ya Kumaliza Mgogoro Wa mda Mrefu Keko

Waziri wa ardhi nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ametoa onyo kwa wananchi na makampuni yanayovamia maeneo ya...

READ MORE

Avunjwa Miguu na Mikono Baada ya Kufamaniwa na Binti wa Watu

Kijana anayefahamika kwa jina Benard Mkolwe mkazi wa kata ya Madilu,wilaya ya Ludewa mkoani Njombe,amepigwa na kuvunjwa mikono na miguu...

READ MORE

Raia Zanzibar, Afikishwa Mahakamani kwa Tuhuma za Kukata Viuno Hadharani

Maulid Hussein Abdallah, mkazi wa Kijiji cha Mwera Wilaya ya Magharibi Unguja visiwani Zanzibar, amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kukata...

READ MORE

Ukraine: Kachero wa Putin Atiwa Mbaroni na Idara ya Usalama ya Ukraine SBU

Ukraine inasema imemkamata mwanasiasa mtoro anayeiunga mkono Urusi Viktor Medvedchuk, anayeonekana kuwa mshirika wa karibu wa Rais Vladimir Putin nchini...

READ MORE

Aliyekuwa Spika wa Bunge Job Ndugai, leo Aanza Kuhudhuria Vikao vya Bunge – Video

Aliyekuwa Spika wa Bunge ambaye pia ni Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai, leo ameanza kuhudhuria vikao vya Bunge la Bajeti...

READ MORE

Milioni 600 Zimepigwa, Aweso Achafukwa, Asweka watu Ndani

Zaidi shilingi milioni 600 zatumika vibaya Wilayani handeni Mkoani Tanga, Fedha hizo zilizotengwa kwa ajali ya kukamilisha mradi wa bwawa...

READ MORE

Fariji Kutoka Nachingwea: Bado Siamini Nimeshinda Karibu TSh89 Milioni BetPawa

Bonasi ya ushindi ya betPawa ndiyo bora zaidi na hakuna anayekaribia hilo. Nilipata nafasi moja tu kuangalia mkeka wangu na...

READ MORE

Rais Samia Aelekea Nchini Marekani kwa Ziara ya Kikazi Asubuhi ya Leo

Rais Samia Suluhu Hassan ameondoka nchini leo Aprili 13, 2022 kwenda Marekani kwa ziara ya kikazi. Pamoja na mambo mengine...

READ MORE

Tazama Wateja wa NBC Mkoa wa Dar Walivyoandaliwa Iftar

  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) Theobald Sabi amesema NBC inaendelea kukuza mshikamano na maelewano katika...

READ MORE

SBL Yatoa Msaada wa Mablanketi 150 kwa Wazee Mwika Moshi

    KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) imetoa msaada wa mablanketi 150 kwa wazee Mwika mkoani Kilimanjaro ikiwa ni...

READ MORE

Uwajibikaji Kwa Jamii wa Benki ya NMB Yaendelea Kugusa Wengi

  Kupitia sera yake ya uwajibikaji kwa jamii (CSR), Benki ya NMB imetenga asilimia moja ya faida baada ya kodi...

READ MORE

Makamu wa Rais Apokea Hundi ya Gawio Kutoka Kampuni ya Airtel Tanzania

          JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA                    ...

READ MORE

Waziri Mulamula Akutana na Kufanya Mazungumzo na Mabalozi wa Ulaya

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) amekutana kwa pamoja na kufanya mazungumzo...

READ MORE

Chongolo Amtembelea Masoud Kipanya, Ajionea Gari Lake..

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo, ametoa siku saba kwa Shirika la Viwango Tanzania (TBS),  kufika...

READ MORE

Ripoti ya CAG Yabaini Ubadhilifu Mkubwa wa Fedha Mamlaka ya Bandari

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ametoa ripoti yake ya ukaguzi wa hesabu za serikali mbele ya...

READ MORE

CAG Kichere: Bil 18.5/- Zilizokusanywa na KADCO Hazikupelekwa TRA – Video

KIASI cha Sh 18.5 bilioni zilizokusanywa na Kampuni ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KADCO) kama malipo ya...

READ MORE

Breaking; Kiwanda cha Mikate Mikocheni Industrial Area Kikiungua Moto Muda Huu

Kiwanda cha mikate kilichopo Mikocheni Industrial Area kikiungua moto muda huu, kinachoendelea kwa sasa ni shughuli za kuuzima moto huo...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Equity Ikulu Jijini Dar Leo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Aprili 12, 2022 amekutana na Mkurugenzi Mkuu wa Benki...

READ MORE

Ajali ya Gari Yaua 6 na Kujeruhi 19 Mkoani Tanga, Chanzo Mwendokasi wa Dereva

WATU sita wamepoteza maisha na wengine 19 wamejeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka wilayani Korogwe, mkoani...

READ MORE

Baada ya Makonda Kuandika Ujumbe Mtandaoni, Manara Amuwashia Moto

BAADA ya jana, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuandika ujumbe kwenye ukurasa wake wa Instagram...

READ MORE

Live: Wabunge Wanajenga Hoja Nzito Kwa Serikali, Bunge La 12, Mkutano Wa 7, Kikao Cha 5.

Kikao cha tano kinaendelea leo Aprili 12, 2022 Bungeni Dodoma. Wabunge wanauliza maswali na kujibiwa na Serikali. 

READ MORE

Live: Makonda Awataja Wanaotaka Kumuua, Ajitabiria Ya Sabaya, Mkakati Kupoza Maumivu Ya Bei…Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini....

READ MORE

SBL Yapanua Fursa za Kilimo kwa Wanafunzi wa Vyuo

MOSHI.Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imeendeleza malengo yake ya kuongeza tija kwenye kilimo kwa kutoa fursa zaidi kwa wanafunzi...

READ MORE

Nmb Yatia Mkono Ujenzi wa Mradi wa Reli ya SGR

  Kama ilivyokuwa katika miradi mbalimbali ya kimkakati, Benki ya NMB imeendelea kuwa mstari wa mbele kwenye kutoa ushirikiano kwa...

READ MORE

Rais Wa Ufaransa Aongoza Kura Duru ya Kwanza ya Uchaguzi, Atahadharisha Wafuasi Wake

RAIS  wa Ufaransa Emmanuel Macron ametahadharisha wafuasi wake kwamba bado wana safari ndefu ya kuibuka na ushindi licha ya kuongoza...

READ MORE

Kinana Akutana na Balozi wa Marekani, Uhusiano Kati ya Tanzania na Marekani Kuimarishwa

MAKAMU  Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM-Bara), Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, amekutana na Balozi wa Marekani nchini, Donald Wright,  jijini...

READ MORE

Mume wa Mwimbaji wa Ekwueme Akamatwa na Polisi Kujibu Tuhuma za Mauaji

  MUME wa mwimbaji wa nyimbo za Injili wa Nigeria, Osinachi Nwachukwu aliyefariki dunia Ijumaa katika hospitali jijini Abuja, amekamatwa...

READ MORE

PM Majaliwa Azindua Teleza Kidigitali Ya NMB

BENKI ya NMB, imefanya mapinduzi makubwa ya kibenki ambapo imezindua huduma kubwa tatu kupitia kampeni yake ya Teleza Kidijitali zinazomwezesha mteja wa benki hiyo...

READ MORE

Serikali ya Tanzania Yaingia Ubia na Aga Khan Kukabiliana na Ugonjwa wa Saratani

WAZIRI wa Afya Ummy awataka watanzania kuacha dhana ya kwenda kwa waganga wa kienyeji na badala yake waende hospitali kupima...

READ MORE

Kesi ya Zuma Kunguruma Leo, Barabara Zafungwa Hofu ya Maandamano Ikitanda

BARABARA kadhaa zimefungwa karibu na mahakama ya Pietermaritzburg huku kesi ya ufisadi inayomkabili Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob...

READ MORE

Wabunge Wanaibana Serikali Kwa Maswali, Bunge La 12, Mkutano Wa 7 Kikao Cha Nne…Video

Bunge la 12, mkutano wa saba, kikao cha nne kinaendelea Bungeni Dodoma leo Aprili 11, 2022. 

READ MORE

Kinana Aanza Kutema Cheche CCM, Mawaziri, CCM Uso Kwa Uso, NEC Kufumuliwa Upya -Video

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini....

READ MORE

Makazi Mapya Waliohamishwa Ngorongoro Yanoga

  Wawakilishi wa wananchi walioamua kuondoka kwa hiari kutoka kata 10 kati ya kata 11 ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro...

READ MORE

SBL na WaterAid Wazindua Mradi Mpya wa Maji Safi na Salama Bassotu

    BASSOTU, Hanang. Zaidi ya wanakijiji 4000 wa Bassotu na jirani wilaya ya Hanang mkoani Manyara wamenufaika na mradi...

READ MORE

Rais Samia Awaapisha Mabalozi Wanne Ikulu Dar es Salaam, Awapangia Vituo vya Kazi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Leo Aprili 10, 2022 amewaapisha mabalozi wanne Ikulu Jijini Dar...

READ MORE