×

Habari

Rais Samia Azindua Filamu ya The Royal Tour Jijini New York Marekani (Picha +Video)

FILAMU ya The Royal Tour imezinduliwa katika ukumbi wa Guggenheim Museum Jijini New York nchini Marekani kwa mara ya kwanza...

READ MORE

Rais Samia Atoa Wito kwa Vijana Kuchangamkia Fursa za Maendeleo ya Teknolojia

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka watanzania hususa ni Vijana, kuchangamkia fursa za maendeleo ya...

READ MORE

Baby Madaha Adai Marehemu Maunda Aliomba Msaada wa Maombi Kabla ya Kifo Chake

MWANAMUZIKI wa zamani wa Bongo Fleva Baby Madaha ameongelea ukaribu aliokuwa nao na msanii ambaye kwa sasa ni marehemu Maunda...

READ MORE

Mitihani ya Kitaifa Kusahihishwa Kidigitali

  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda (Mb) leo Aprili 18 2022 amekagua na kuridhishwa na majaribio...

READ MORE

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Atoa Maagizo kwa Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi

MKUU wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila, ametoa siku 14 kwa wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri mkoani humo,...

READ MORE

Mufti Wa Tanzania Ashiriki Iftari na Wateja wa Nmb

  Kwa kutambua thamani ya Wateja wao na umuhimu Mwezi wa Ramadhani, Benki ya NMB imeshiriki Futari na Wateja na...

READ MORE

Serikali ya Zanzibar Kufanya Uchunguzi Madai ya Mtalii Anayedai Kudhalilishwa Kingono

  Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kupitia kamisheni ya utalii, imesema uchunguzi wa madai ya mtalii kutoka Nigeria, Zainab Oladehinde anayedai...

READ MORE

Rais Samia Azungumza na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa New York Marekani

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Aprili 17, 2022 amefanya mazungumzo na  Naibu Katibu...

READ MORE

Makamu wa Rais na Mkewe Washiriki Ibada ya Pasaka Katika Kanisa Katoliki Maria Theresa

Leo Aprili 17, 2022 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango na mke wake,...

READ MORE

Vikosi vya Ukraine Mji wa Mauripol Vyatakiwa na Urusi Kujisalimisha Leo

Urusi imesema kuwa itahakikisha kunakuwa na usalama wa maisha ya wanajeshi wa Ukraine katika Mariupol wanaojisalimisha watakaojisalimisha katika kipindi cha...

READ MORE

Rais Samia Amlilia Maunda Zorro, Atuma Salamu za Rambirambi Kutokea Marekani

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambaye yupo nchini Marekani katika ziara yake ya kikazi ametuma...

READ MORE

Spika Dkt. Tulia Awataka Wananchi Chunya Kuiunga Mkono Serikali ya Rais Samia

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackaon (Mb), amewataka Wananchi kuendelea kuiunga mkono...

READ MORE

Mbunge wa Buchosa Ashiriki Mazishi ya Maunda Zorro, Awapa Pole Familia – VIDEO

Maelfu ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam wamejitokeza kwa wingi katika kuusindikiza mwili wa aliyekuwa msanii hapa nchini...

READ MORE

Urusi Yatoa Onyo Kali kwa Marekani Kuacha Kuipatia Misaada ya Kivita Ukraine

URUSI  imeionya Marekani na mataifa mengine washirika wengine kuacha mara moja kusambaza silaha kwa Ukraine.   Onyo hilo lilikuja katika...

READ MORE

Ziara ya Rais Samia Nchini Marekani Kuboresha Sekta ya Usafiri wa Anga

ZIARA ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan imechukua nafasi yake ya kipekee baada ya kutokea tukio la kihistoria ambapo...

READ MORE

Benki ya CRDB: Tuko Tayari Kufanya Kazi na Makampuni ya Bima ya TAKAFUL

  WATEJA wa Benki ya CRDB sasa wanaweza kupata huduma za Bima zinazofata misingi ya Shariah, ijulikanayo kama Takaful baada...

READ MORE

Rais Samia Azungumza na Kamala Harris, Makamu wa Rais wa Marekani – (Picha +Video)

  RAIS Samia Suluhu Hassan Aprili 15, 2022 amekutana kwa mazungumzo na Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris karibu...

READ MORE

Mwili wa Msanii Maunda Zahir Zorro Kuzikwa Kesho Kwenye Makaburi Yaliyopo Kibada, Kigamboni

MWILI wa Msanii wa Bongo Fleva, Maunda Zahir Zorro unatarajiwa kuzikwa kesho Jumamosi kwenye makaburi yaliyopo Kibada, Kigamboni ambako alikuwa...

READ MORE

Kisa Simba, Nabi Apiga Mkwara Mzito Kambini Yanga, Ataka Waiwaze Namungo 

KOCHA Mkuu wa Yanga Mtunisia, Nasreddine Nabi amewapiga mkwara mastaa wake kwa kuwataka kutofikiria mchezo wa Dabi ya Kariakoo na...

READ MORE

Daktari Matatani kwa Kuwapapasa, Kuwabusu Wagonjwa Wake Wakiwemo Wajawazito

DAKTARI mmoja kutoka North Lanarkhire nchini Scotland, Krishna Singh (72) amekutwa na hatia ya makosa 54 ya unyanyasaji wa kingono...

READ MORE

Nyumba Yanusurika Kuungua Baada ya Gari Kuteketea kwa Moto Nje ya Nyumba Hiyo

NYUMBA moja mali ya Bw. Rashid Adam mkazi wa Dodoma, imenusurika kushika moto kutokana na gari iliyokuwa imepaki nje ya...

READ MORE

Rais Samia Azungumza na Rais wa National Democratic Institute Jijini Washington

  RAIS Samia yupo katika ziara ya kikazi nchini Marekani ambapo amefanikiwa kukutana na viongozi mbalimbali wa kiserikali pamoja na...

READ MORE

Mshambuliaji wa Zanaco Phiri aitaka namba ya Yacouba Yanga, Adai ina Bahati

MSHAMBULIAJI wa Zanaco ya Zambia, Moses Phiri ambaye anahusishwa kujiunga na Yanga amesema kuwa anatamani kuona anavaa jezi namba 10...

READ MORE

Wakijiandaa Kuikabili Simba… Nabi Amuongezea Makali Mayele “Tumekuwa na Wakati Mzuri”

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, ameweka wazi kuwa licha ya mwenendo bora walionao msimu huu, bado haridhishwi na kiwango...

READ MORE

Rais Samia Amfuta Kazi Mkurugenzi na Mtendaji Mkuu wa MSD, Afanya Uteuzi Mwingine

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemfuta kazi Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi na Mtendaji Mkuu...

READ MORE

Meli ya Kivita ya Urusi Moskva Imezama, Wizara ya Ulinzi ya Urusi Yadhibitisha

Meli ya Urusi ya kusafirisha makombora imezama katika “bahari yenye dhoruba” wakati ikivutwa baada ya kutokea mlipuko wa risasi ulioathiri...

READ MORE

Waziri Mkuu Ataka Vyombo vya Habari Vifanye Kazi kwa Kuzingatia Weledi na Maadili

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ili kuhakikisha wananchi wanapata habari sahihi vyombo vya habari havina budi kufanya kazi kwa kuzingatia...

READ MORE

Ukimuita Mwenzio Mchawi Njombe Unakwenda Jela Miaka Saba

POLISI mkoani Njombe imeonya wananchi kujihusisha na vitendo vya ushirikina na kubainisha kuwa yeyote atakayemuita jirani yake mchawi na kukamatwa...

READ MORE

Mfalme Wa Morocco Aridhia Kufunguliwa Mskiti wa Kisasa

    Mfalme wa Morocco Mtukufu Muhammed wa sita ameruhusu kufanyika ufunguzi mdogo wa msikiti wa Mohamed wa sita na...

READ MORE

Kabla ya Kifo Chake Maunda Zorro Alikanusha Kutumia Madawa ya Kulevya-Video

MAREHEMU Maunda Zorro kabla ya kifo chake alifanya mahojiano marefu na Global Radio pamoja na Global TV ambapo alielezea safari...

READ MORE

Kariakoo Yatengewa Bilioni 10 Kufanyiwa Ukarabati na Kujengwa Ghorofa Jipya

KATIKA Mwaka wa Fedha 2022/23, Shirika la Masoko ya Kariakoo limetengewa Shilingi Bilioni 10.00 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati...

READ MORE

Sikukuu ya Pasaka: Kanisa la VCCT Lililopo Mbezi Dar, Limeandaa Tamasha Kubwa

Kuelekea Sikukuu ya Pasaka, Kanisa la VCCT lililopo Mbezi jijini Dar es Salaam, limeandaa tamasha kubwa la Easter Production 2022...

READ MORE

Watumishi wa Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania, Washington Marekani Wampokea Rais Samia

Viongozi, Watumishi wa Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania pamoja na Baadhi ya Wawakilishi kutoka nchi za SADC walifika kumpokea Rais...

READ MORE

#Live: Bunge La Bajeti, Wabunge Wanachangia Hoja Katika Bajeti Ya Wizara Ya Tamisemi…

Kikao cha Bunge la 12, mkutano wa saba, kikao cha saba unaendelea leo Aprili 14, 2022 jijini Dodoma. ⚫️ SIKILIZA...

READ MORE

Kocha wa Simba Atoa Tamko Zito “Orlando Wazuri, Lakini Hawatoki kwa Mkapa”

KOCHA Mkuu wa Simba Mhispania, Pablo Franco amesema kuwa ni kweli wapinzani wao Orlando Pirates ya Afrika Kusini ni wazuri,...

READ MORE

Mafanikio ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania T.I.C Robo Tatu ya Mwaka 2022

KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimeweza kupata mafanikio makubwa katika robo tatu ya mwaka inayoanzia Januari mpaka Machi, 2022 kutokana...

READ MORE

Kampuni ya Uber Yatangaza Kusitisha Huduma Zake Nchini Tanzania, Sababu Zipo Hapa

KAMPUNI ya Uber imetangaza kusitisha huduma zake nchini Tanzania, huku ikizitaja nauli elekezi za LATRA kama sababu na kudai itarejesha...

READ MORE

Operesheni ya Uandikishaji wa Anuani za Makazi na Post Code Ikungi Imefikia Asilimia 90

MKUU wa wilaya ya Ikungi Ndugu Jerry C. Muro pamoja na wajumbe wa kamati ya usalama wameendelea na zoezi la...

READ MORE

Bima ya Mkono wa Pole ya NMB Inavyoleta Matumaini kwa Wanavikundi

 Mwanakikundi anaweza kuchangia kwanzia Sh.500 mpaka Sh.2,000 kila mwezi na kupata fidia pale janga la kifo litakapotea kwanzia Sh....

READ MORE