×

Habari

Serikali ya Tanzania Yakaribisha Wawekezaji Sekta ya Kilimo

    SERIKALI ya Tanzania imewakaribisha wawekezaji wa masuala ya kilimo kuwekeza nchini ili kuongeza mnyororo wa thamani wa mazao...

READ MORE

Prof. Kitila aibuka na Katiba Mpya

Mbunge wa Jimbo la Ubungo, Prof. Kitila Mkumbo amesema nchi ilishapiga hatua kwenye suala la Katiba Mpya kwani ilishakubaliana Mwaka...

READ MORE

Mkandarasi Apewa Siku Saba Kabla Mkataba Kuvunjwa

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila ametoa siku saba kwa Kampuni ya Daska Company Ltd, kuhakikisha inakamilisha ujenzi wa...

READ MORE

Makamu Wa Rais Azungumza Na Wazee Wa Mkoa Wa Arusha

  MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dkt. Philip Mpango, amekutana na kuzungumza na wazee wa...

READ MORE

Polepole Ang’oka Bungeni, IGP Siro Mguu Nje, Wanasubiri Maziko Muuza Madini Siku 70 | Front Page-Video.

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi Wa Viongozi Mbalimbali

Rais Samia Suluhu Hassan, leo Machi 14 amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo:

READ MORE

Spika Tulia Awatembelea Prof. Jay na Mama wa Halima Mdee

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), leo Machi 14, 2022 amewatembelea na...

READ MORE

Magari 1,527 Yenye Ving’ora Yakamatwa

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Wilbrod Mutafungwa amesema Polisi imefanikiwa kuyakamata magari 1,527 yakiwa na vimulimuli au ving’ora kinyume...

READ MORE

Diamond: Naweza Kufanya Shoo na Kiba

Supastaa wa muziki Bongo anayetamba na EP yake ya FOA, Diamondp Platnumz kwenye mahojiano na Wasafi FM leo Machi 14,...

READ MORE

Hawa ‘Vivo’ Wana Balaa, Wazindua Simu Nyingine V23 E, Ni Kali Kinoma-Video

KAMPUNI ya Vivo leo Machi 14 katika studio za +255 Global Radio Imezindua rasmi aina mpya ya simu Vivo V23e,...

READ MORE

Leseni Maudhui ya Mtandao Bei Yapungua

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye wakati akitoa taarifa ya mafanikio ya mwaka mmoja wa Serikali...

READ MORE

Nape: Haikuwa Sawa Kulazimisha Viongozi Kununua Laini za TTCL

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema kwamba haukuwa utaratibu sahihi kuwalazimisha viongozi wa serikali kumiliki...

READ MORE

Nape: Tukatae Kuitwa Wanyonge

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amewataka Watanzania kuachana na dhana ya unyonge kwani kauli ya...

READ MORE

Majeshi ya Urusi Yamuua Katibu wa Zamani wa Brovary, Ukraine

Meya wa Jiji la Brovary lilipo nchini Ukraine, Ihor Sapozhko kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Facebook amethibitisha...

READ MORE

Wanajeshi Wengine Wafunga Ndoa Vitani Ukraine

Wanajeshi wawili wa Ukraine ambao walikutana vitani mwaka 2015, wameamua kufunga ndoa wakiwa uwanja wa vita ambapo vikosi vyao vinaendelea...

READ MORE

Kaka Amshambulia Nyeti Mdogo Wake

Kijana mmoja ameshtakiwa katika Mahakama ya Milimani nchini Kenya kwa kosa la kumshambulia mdogo wake kwa kumfinya sehemu zake za...

READ MORE

Saudi Arabia Yanyonga Magaidi 81 Ndani Ya Saa 24

SERIKALI ya Saudi Arabia, imetekeleza hukumu ya kuwanyonga watu 81 ndani ya saa 24 wakiwemo raia 7 wa Yemen na...

READ MORE

Bodi ya Wakurugenzi TRA Yavutiwa na Uwekezaji wa SBL

    Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetembelea kiwanda cha bia cha Kampuni ya Serengeti (SBL)...

READ MORE

Bikra Mwenye Miaka 56, “Nimechoka Kuwa Singo”

Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina Alvera Uwitonze mwenye ulemavu wa miguu, amefunguka na kusema amechoka kuwa single kwani sasa anaona...

READ MORE

Global Tv Yainusuru Familia Iliyotolewa Kimafia Kwenye Nyumba Arusha-Video

FAMILIA ya Fuljesi Gerivas ya Mtaa wa Sokoni 1 jijini Arusha hatimaye imerudi ndani ya nyumba yao baada ya Global...

READ MORE

Rasmi: Instagram yazimwa Urusi, wananchi wahaha

Watumiaji wa mtandao wa Instagram nchini Urusi wamepewa taarifa kuwa huduma hiyo imesitishwa kuanzia saa sita usiku Jumapili ya March...

READ MORE

Kamanda Murilo, Kamishna wa Zimamoto, Waipongeza SGA kwa Kufanikisha Kuzima Moto GSM

    KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Murilo Jumanne na Kamishna wa Jeshi la Zimamoto mkoa...

READ MORE

Kilio Kingine Kwa Askari Polisi, GSM Yafunguka Kiwanda Kuunguwa, Kitendawili Chanzo Chake..Front Page.

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…...

READ MORE

Simba Yawatungua RS Berkane Kwa Mkapa -Video

UBAO wa Uwanja wa Mkapa umesoma Simba 1-0 RS Berkane katika mchezo wa Kombe ma Shirikisho uliochezwa leo Machi 13....

READ MORE

Breaking: Waziri TAMISEMI Awashusha Vyeo Wakuu wa Vitengo 23

#BREAKING Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais -TAMISEMI, Innocent Bashungwa amewashusha vyeo wakuu wa vitengo vya manunuzi na ugavi wapatao...

READ MORE

Urusi Yaishambulia Vibaya Kambi Ya Jeshi Ukraine

Takribani watu 9 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa baada ya mashambulizi ya anga yaliyoendeshwa na majeshi ya Urusi leo Jumapili,...

READ MORE

Taharuki: Kiwanda cha GSM Chateketea kwa Moto Leo

    KIWANDA cha kutengeneza magodoro na mabati cha GSM kilichopo Mikocheni Jijini Dar, leo kimeteketea kwa moto na kuzua...

READ MORE

Live: Mapigano Yapamba Moto Nje ya Mji Mkuu Kyiv

 Vikosi vya Urusi vimeushambulia mji wa bandari wa Ukraine, Mariupol jana Jumamosi, huku wakaazi wakijificha katika msikiti wa kihistoria...

READ MORE

Zitto na Lema Waingia Katika Vita ya Maneno

Wanasiasa wawili maarufu, Godbless Lema ambaye aliwahi kuwa Mbunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya Chadema, na Zitto Kabwe, kiongozi...

READ MORE

Mtoto akatwa nyeti Geita

Familia ya mtoto mwenye umri wa miaka 17 mkazi wa wa Kitongoji cha Afya mji mdogo Katoro, imeiomba Serikali na...

READ MORE

Makonda: Nipo Tayari Kutoa Ushirikiano Kwa Polisi

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Shaka Hamdu, leo Machi 12, 2022 amezungumza na waandishi wa habari na kueleza...

READ MORE

Mikutano Vyama Vya Siasa Yanukia

Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa agizo kwa Waziri wa Katiba na Sheria kuandaa kanuni zitakazoelezeka jinsi ya kufanya mikutano ya...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Kikosi Kazi cha Kuratibu Maoni ya Wadau Wa Demokrasia- Picha

RAIS Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na kikosi kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi...

READ MORE

Walimu Wanawake Kilimanjaro Waadhimisha Siku ya Wanawake kwa Kuwakumbuka Watoto Wenye Uhitaji

KATIKA kilele cha maadhimisho ya siku ya mwanamke duniani kitengo cha walimu wanawake mkoa wa Kilimanjaro kimeadhimisha siku hiyo kwa kuwakumbuka...

READ MORE

Imebainika! Eneo Analogombania Makonda Ni Mali Halali Ya GSM-Video

LEO Machi 12, 2022 Mwanasheria wa mmiliki wa makampuni ya GSM amezungumza na waandishi wa habari kuhusu sakata linaloendelea kati...

READ MORE

Profesa:Mkinichagua Urais Nitaruhusu Bangi

PROFESA George Wajackoyah; ni mmoja wa wagombea urais nchini Kenya katika Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9, mwaka huu ambaye ameahidi...

READ MORE

Mwanasheria Wa Gsm Afafanua- “Anayesema Mali Ni Yake Alete Vielelezo-Video

Leo Machi 12, 2022 Mwanasheria wa mmiliki wa makampuni ya GSM amezungumza na waandishi wa habari kuhusu sakata linaloendelea kati...

READ MORE

Watalii Wachangia Figo kwa Watu Mbalimbali Baada ya Kushuka Mlima Kilimanjaro

    HIFADHI ya taifa ya Kilimanjaro imepokea jumla ya wageni 28 raia wa Marekani ambao walipanda mlima Kilimanjaro tar.04.03.2022...

READ MORE