×

Habari

Rais Samia Afanya Mazungumzo na CEO wa Woodrow Wilson, Marekani

RAIS Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Rais ambaye pia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Woodrow Wilson International Center...

READ MORE

Waziri Mkuu: Rcs, Dcs Nendeni Mkakague Masoko, Maduka Kupata Bei Halisi za Bidhaa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya wafanye ziara kwenye masoko na maduka ili kupata...

READ MORE

Dr Mollel Aagiza Uchunguzi Ufanyike Juu ya Miradi ya Mkandarasi MUST

NAIBU Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ameitaka Ofisi ya Katibu Mkuu wa Wizara yake kufanya tathmini ya kina ndani...

READ MORE

Rais Samia Atuma Salamu Za Pole Kwa Rais Uhuru Kenyatta Kufuatia Kifo Mwai Kibaki

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kwa Rais...

READ MORE

Tanroads Yatoa Tamko, Daraja la Tanzanite Kufungwa Kupisha Matengenezo

WAKALA wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Dar es salaam umetoa taarifa kwa Watumiaji barabara inayokwenda moja kwa moja hadi Daraja...

READ MORE

Mpiga Debe Afariki kwa Kukanyagwa na Gari Akifukuzia Posho Yake

Mpiga debe mmoja wa eneo la Makambako mkoani Njombe amefariki dunia kwa kukanyagwa na gari katika kichwa chake kutokana na...

READ MORE

Lusinde Amchana Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe Kumnanga Magufuli

MBUNGE wa Mvumi (CCM), Livingstone Lusinde leo Ijumaa Aprili 22, 2022 amemshukia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na watu...

READ MORE

Ndege Yaanguka Barabarani na Kuuwa Watu Sita Mji Mkuu wa Haiti, Port-au-Prince

Ndege ndogo imeanguka kwenye barabara kuu katika mji mkuu wa Haiti, Port-au-Prince na kusababisha vifo vya takriban watu sita. Ndege...

READ MORE

TRA Yatoa Ufafanuzi Baada ya Kukutana na Timu ya Wataalam wa Kampuni ya META

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kupitia kwa Mkurugenzi wake wa huduma na elimu kwa mlipa kodi, Richard Kayombo imetoa ufafanuzi...

READ MORE

Rais Samia Azindua kwa Mara ya Pili Filamu ya The Royal Tour Jijini Los Angeles

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uzinduzi mwingine wa awamu ya pili wa filamu ya...

READ MORE

Aweso Awasimamisha Kazi Wanne Bwawa la Milioni 600 Handeni

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amefanya kikao na wadau wa Sekta ya Maji wa Handeni na kuelekeza hatua...

READ MORE

Picha za Satelaiti Zaonesha Makaburi ya Halaiki Yaliyochimbwa Mariupol

“Makaburi ya pamoja ya wakazi wa Mariupol yanadaiwa  kuwa waliouawa na jeshi la Urusi yanafanyika katika kijiji kilicho karibu na...

READ MORE

Vivo Y01 Yazinduliwa Nchini Tanzania

Dar es Salaam. Tarehe 22 Aprili, 2022. Kampuni inayoongoza kwa utoaji wa huduma za  kidijitali nchini, Tigo Tanzania, imeshirikiana na...

READ MORE

Mbunifu wa Kuyeyusha Chuma Asiyejua Kusoma na Kuandika Aomba Kupelekwa China

  REUBEN Mtitu maarufu kwa jina la Mzee Kisangani ambaye ni mbunifu wa kuyeyusha chuma katika eneo la Mkiu wilaya...

READ MORE

Viongozi Waandamizi wa Vodacom Wamtembelea Mkuu wa Mkoa Dodoma

Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Antony Mtaka, akisalimiana na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Rosalynn Mworia,...

READ MORE

Mzee Wa Miaka 83 Apata Mtoto Wa Kwanza, Miaka 57 Ya Ndoa

Josiah Mwesigye mwenye miaka 83, raia wa Uganda amefanikiwa kupata mtoto wake wa kwanza baada ya kutafuta mtoto bila mafanikio...

READ MORE

Spika Tulia Amtwisha Mzigo Waziri Mkuu, Amtaka Atatue Mzozo wa Bodaboda na Bajaji

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Akson amemtaka Mtendaji Mkuu wa shughuli za Serikali...

READ MORE

Google Yazindua Kituo cha Ukuzaji wa Bidhaa Nairobi Kenya Ambacho ni cha Kwanza Afrika

Mtandao wa Google umezindua kituo cha ukuzaji wa bidhaa jijini Nairobi Kenya ambacho ni cha kwanza katika bara la Afrika...

READ MORE

TAMISEMI Yatangaza Nafasi za Ajira kwenye Kada za Afya na Ualimu

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya TAMISEMI imetangaza nafasi za Ajira kwa Walimu na Madaktari ambalo...

READ MORE

Waziri Bashungwa Atoa Maelekezo Zuio la Bajaji, Bodaboda Mjini Dar

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa amemuelekeza Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE

Dkt. Tulia Aipongeza Benki ya CRDB Kuuenzi Mwezi Ramadhani

    Dodoma 20 Aprili 2022 –Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Dkt. Tulia Ackson. Spika ameipongeza Benki ya...

READ MORE

Mbowe Amuuma Sikio Rais Samia, Nauli Mpya Mabasi Ndani Ya Siku 10 | Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini....

READ MORE

Benki ya Exim Yafuturisha Wateja Wake Zanzibar

Zanzibar; April 21, 2022: KATIKA kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhan, Benki ya Exim Tanzania imefuturisha wateja wake visiwani Zanzibar.  ...

READ MORE

Ruby Kutoka Tanzania Yageuka Gumzo Dubai, Yavunja Rekodi kwa Ukubwa

JIWE kubwa zaidi duniani la madini ya ruby kutoka nchini Tanzania, limegeuka na kuwa gumzo kubwa Dubai, Falme za Kiarabu...

READ MORE

Xiaomi Yazindua Redmi Note 12 na kuwahamasisha watumiaji kuishi kwa uhalisia

Mfululizo wa simu za Redmi Note 12 unaendelea kuleta uwezo wa kipekee (mithili ya simu za kiwango cha juu) kwa...

READ MORE

Vodacom Yakuza Matumizi ya Tehama Kwa Uwekezaji wa Dola Bil 10 Mkongo wa Taifa

    20 Aprili 2022, Vodacom Tanzania PLC imesaini mkataba na Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano (NICTBB) wenye thamani ya...

READ MORE

Kafulila: Nyaraka za Tegeta Escrow Nilipewa na Mwandishi wa Habari

Kwa mara kwanza tangu aibue Sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow wakati akiwa mbunge mwaka 2014, Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE

Chizika na Gurudumu la Bahati Kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet

HAYAWI hayawi sasa yamekuwa. Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet kwa kushirikiana na watengenezaji mahiri wa michezo ya kasino za mitandaoni...

READ MORE

Ajali ya Gari Yaua Watu 6 na Kujeruhi Wengine Wanne Wilayani Monduli.

WATU sita wamefariki na wengine wanne wamejeruhiwa katika ajali iliyotokea eneo la Alkatani, Monduli mkoani Arusha usiku wa kuamkia leo...

READ MORE

Waziri Bashungwa Amsimamisha Kazi Mkurugenzi wa Mvomero

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Innocent Bashungwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri...

READ MORE

Wamiliki wa Magari Sasa Kukata Bima Kupitia Nmb

Pata amani ya moyo ukiwa umebima gari lako kupitia Benki ya NMB.  Unaweza kupata mkopo wa bima na kuulipia...

READ MORE

Madereva wa Daladala Mkoani Songwe Wagoma Kutoa Huduma ya Usafirishaji

Madereva wa Daladala za Tunduma Mpemba Mkoani Songwe wamegoma kutoa huduma ya usafirishaji kwa madai ya Maslahi madogo. Wakizungumza na...

READ MORE

Mwizi Aogeshwa Maji ya Tope, Akimbia Kipigo Kutoka kwa Wananchi, Polisi Wamuokoa

KIJANA ambaye hajafahamika haraka jina lake anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25 mpaka 30 mkazi wa Igoma halmashauri...

READ MORE

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar Linachunguza kwa Kina Kifo cha Padri Kangwa

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linachunguza kwa kina tukio la kifo cha Padri wa Kanisa...

READ MORE

Waethiopia Wakusanyika Katika Ubalozi wa Urusi Kujiandikisha kwa Vita Nchini Ukraine

VIJANA  wa Ethiopia wanaendelea kukusanyika katika ubalozi wa Urusi mji mkuu Addis Ababa, leo Jumanne Aprili 19, 2022 kufuatia uvumi...

READ MORE

Msemaji wa Yanga Haji Manara Alamba Dili la Ubalozi, Adai ni Baraka za Mke Mpya -Video

MSEMAJI wa Klabu ya Yanga Haji Manara amesaini mkataba huo mbele ya waandishi wa habari na ameahidi kuitumikia vema kampuni...

READ MORE

Mtoto Auawa Kwa Kumwagiwa Maji ya Moto na Bibi Yake Lyabukande Wilaya ya Shinyanga

Mtoto aitwaye Joseph Juma mwenye umri wa miaka minne mkazi wa kijiji cha Lyabukande kata ya Lyabukande wilaya ya Shinyanga...

READ MORE

Urusi Yaanza Mashambulizi Mashariki Mwa Ukraine, Zelenskiy Afunguka

Urusi hatimaye imeanza kufanya mashambulizi yaliyokuwa yamesubiriwa kwa muda mrefu mashariki mwa Ukraine. Haya yamesemwa na Rais wa Ukraine Volodomyr...

READ MORE

RC Tabora Kufungua Maadhimisho ya Elimu Igunga

MKUU wa Mkoa wa Tabora, Balozi Dkt. Batilda Burian anatarajiwa kufungua Maadhimisho ya wiki ya Elimu Aprili 25, 2022 Wilayani...

READ MORE

Rais Samia Azindua Filamu ya The Royal Tour Jijini New York Marekani (Picha +Video)

FILAMU ya The Royal Tour imezinduliwa katika ukumbi wa Guggenheim Museum Jijini New York nchini Marekani kwa mara ya kwanza...

READ MORE