×

Habari

Tanzia: Mbowe Apata Pigo, Baba Yake Mdogo Afariki Dunia

MZEE Manase Alphayo Mbowe, baba mdogo wa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amefariki dunia asubuhi ya leo Ijumaa Julai 23,...

READ MORE

Buchosa Wapokea Tsh Bil 2 Kutengeneza Barabara Vijijini

MBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo amesmema Serikali kupitia wakala wa barabara vijiji (TARURA) umepeleka kiasi cha Sh...

READ MORE

Serikali Yadhamiria Kupunguza Vifo vya Mama na Mtoto Buchosa

Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo amesema serikali imedhamiria kupunguza au kumaliza kabisa vifo vinavyotokana na uzazi baada...

READ MORE

Fahamu Treni Yenye Kasi Zaidi Duniani, Yazinduliwa Rasmi

TRENI yenye uwezo wa kusafiri kwa kasi ya kilomita 600 kwa saa imezinduliwa katika eneo la Qingdao nchini China. Treni...

READ MORE

Chombo cha Nasa Kuchukua Sampuli Sayari ya Mars

WANASAYANSI wanasema ni fursa yao bora ya kubaini iwapo sayari Mars iliwahi kuhifadhi maisha viumbe ni kufanyia uchunguzi sehemu ya...

READ MORE

Muonekano Mpya Barabara ya Mwenge Morocco

Muonekano mpya barabara ya Mwenge Morocco alama nyingine ya hayati Magufuli 

READ MORE

Mafuriko China, Hali Ni Mbaya, Vifo Vyaongezeka

IDADI ya watu waliopoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa katika Mkoa wa Hnan nchini China imeongezeka hadi...

READ MORE

Polisi: Mbowe Anatuhumiwa Kula Njama za Kufanya Vitendo vya Ugaidi

Baada ya kushikiliwa kwa takribani siku mbili, Jeshi la Polisi limesema kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),...

READ MORE

Prof. Mkumbo Atangaza Neema Ujio wa Kiwanda cha Bia Cha TBL Dodoma

  Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) inatarajia kujenga Kiwanda kipya cha kuzalisha bia jijini Dodoma. Hayo yamesemwa na Waziri wa...

READ MORE

Baada ya Zawadi za Papo Hapo Infinix Sasa Kutoa Music System kwa Wateja

KAMPUNI ya simu Infinix imewataka wateja wa simu za Infinix kuendelea kutembelea maduka yao na kukaa karibu na kurasa ya...

READ MORE

MaRC Singida, Morogoro Wakiri NMB Kuwa Chachu ya Kukuza Uchumi wa Waalimu

  Wakuu wa mikoa ya Singida na Morogoro, Dr. Binilith Mahenge na Martin Shigela kwa nyakati tofauti wamekiri kuwa benki...

READ MORE

NMB Yakabidhi Madawati ya Sh. Milioni 10/= Mkuranga

Benki ya NMB imetoa msaada wa viti 50, meza 50 kwa shule ya Sekondari ya Mkugilo na madawati 62 kwa...

READ MORE

Makamu wa Rais Mpango Kufanya Ziara Mtwara Kesho

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango, kesho Julai 23, 2021 anatarajiwa kuanza ziara...

READ MORE

Breaking: NEC Yateua Madiwani Wapya

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imewateua madiwani watatu wanawake wa viti maalum, kuziba nafasi zilizokuwa wazi kutokana na vifo...

READ MORE

Serikali Yaagiza Ukaguzi Wateja Baa

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene ameagiza wamiliki wa kumbi za starehe nchini kuanza kuwakagua wateja wao ambao wanaingia...

READ MORE

Shahidi: Walituvamia Dukani, Sabaya Alikuwa Akitoa Amri Zote

SHAHIDI wa pili katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya,...

READ MORE

Rais wa Madagascar Anusurika Kuuawa

Jaribio la kumuua Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina limegonga mwamba ambapo watu kadhaa wanaodaiwa kuhusika na jaribio hilo wamekamatwa, mwendesha...

READ MORE

Rais Samia Atuma Salamu za Pole Kifo cha Mghwira

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa familia ndugu jamaa na marafiki...

READ MORE

Breaking News: Treni ya Abiria Yapata Ajali Kilosa

Treni ya abiria imepata ajali eneo la Kidete mpakani mwa Wilaya ya Kilosa, Mkoani Morogoro na Wilaya ya Mpwapwa, mkoani...

READ MORE

Vifaa vya Serikali Vilivyoibiwa Buchosa Vyakamatwa – Video

    SIKU chache baada ya Mbunge wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo kutoa malalamiko yake kwa serikali kuwa wapo baadhi...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Tony Blair, Ikulu Dar

  Rais Samia Suluhu Hassan, leo Julai 22, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza, Tony...

READ MORE

Prof. Lipumba Apata Chanjo ya Covid-19 – Video

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi(CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amepata chanjo ya kwanza ya kujikinga na ugonjwa wa corona. Profesa Lipumba...

READ MORE

Breaking News: Mama Anna Mghwira Afariki Dunia

TAARIFA zilizotufikia hivi punde ni kwamba, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira amefariki dunia leo Alhamisi, Julai...

READ MORE

Polisi Yakiri: Tunamshikilia Mbowe, Anahojiwa

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limethibitisha kumshikilia Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe kwa mahojiano....

READ MORE

Gomes Ahamishia Hasira Kwa Yanga

LICHA ya kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu Bara, lakini Kocha Mkuu wa Simba Mfaransa Didier Gomes, bado anawawaza watani wake...

READ MORE

Jiko la Mkaa Laua Wawili Njombe

Watu wawili wamepoteza maisha mkoani Njombe baada ya kuingia na jiko la mkaa ndani ya chumba cha kulala kwa lengo...

READ MORE

Kirusi Delta Chaua Waliochanjwa Corona

WATU 259 wamefariki dunia nchini Uingereza kutokana na aina mpya ya kirusi cha corona kiitwacho DELTA. Kwa mujibu wa @DW_Kiswahili, watu...

READ MORE

Mwalimu Benki Yajivunia Mafanikio Ya Miaka Mitano

Benki ya Mwalimu (Mwalimu Commercial Bank Plc) inajivunia kutimiza miaka mitano ya mafanikio tangu kuanzia kwake Julai 22, 2016 na...

READ MORE

Kirusi Kipya cha Corona “Delta” Chaua 116 Waliochanjwa

WATU 259 wamefariki dunia nchini Uingereza kutokana na aina mpya ya kirusi cha corona kiitwacho DELTA. Kwa mujibu wa @DW_Kiswahili,...

READ MORE

Sengerema, Buchosa Kuondokana na Changamoto za Maji

MRADI wa uanzishwaji wa Kituo kitakachosaidia kuondoa changamoto zinazoikabili jamii nchini hususan maeneo ya vijijini, umetambulishwa kwa wananchi wilayani Sengerema...

READ MORE

Tofauti Ya Eid Ul-Fitr Na Eid Ul-Adha

LEO (Julai 21) Waislamu kote nchini wameungana na wenzao duniani kusherehekea Sikukuu ya Eid ul-Adha ambayo kwa wengine huiita Idd...

READ MORE

🔴#LIVE: Simanzi Mazishi ya Gift Aliyeuawa kwa Risasi

MWILI wa marehemu Gift Mushi aliyepigwa risasi na Alex Korosso katika baa ya New Lemax, Sinza jijini Dar. Mwili wa...

READ MORE

Majaliwa Aongeza Siku Uchunguzi Soko la Kariakoo – Video

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameongeza siku saba kwa Tume aliyoiunda kuchunguza kuungua kwa soko la Kariakoo hadi Julai 25, mwaka...

READ MORE

Polisi Watapakaa Mwanza, Hivi Ndivyo Halio Ilivyo

JESHI la Polisi waliojihami kwa silaha za moto na mabomu ya machozi wamezingira na kufunga njia za kuingia na kutoka...

READ MORE

TFF Yakiri Kudaiwa Milioni 76

Shirikisho la Soka nchini TFF limesikitishwa na utaratibu uliotumiwa na Uongozi wa Shule ya Gilbert Bayi wa kudai stahiki zake...

READ MORE

Waliovamia Bunge la Marekani Wahukumiwa

KWA mara ya kwanza hukumu ya kifungo cha gerezani imetolewa kwa mtu aliyehusika na uvamizi wa jengo la bunge na...

READ MORE

Majaliwa: Tuchukue Tahadhari ya Corona, Tupige Nyungu

WAZIRI Mkuu, Kassimu Majaliwa amewasisitiza Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya virusi vya corona. Amewataka waendelee kuzingatia mambo...

READ MORE

Kongamano la Katiba! Mbowe, Wenzake Wakamatwa Mwanza

KIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake zaidi ya 10, wanadaiwa kukamatwa na Jeshi la...

READ MORE

Watuhumiwa 5,429 Wakamatwa

JESHI la Polisi nchini Tanzania, linawashikilia watu 275 kwa tuhuma za mauaji, yaliyotokea nchi nzima kuanzia Mei hadi Julai 2021....

READ MORE

Rais Ashambuliwa kwa Kisu Msikitini

Rais wa Mali, Kanali Assimi Goïta yuko salama baada ya mshambuliaji aliyekuwa amejihami kwa kisu kumshambulia katika msikiti wa Bamako-Grande...

READ MORE