×

Habari

Ajiteka, Ajichoma Ili Atumiwe Milioni 3

JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia kijana mmoja Dickson Peter Mungulu kwa kosa la kutoa taarifa za uongo kuwa...

READ MORE

Afia Gesti kwa Kunywa Vidonge vya Kuongeza Nguvu za Kiume

MWANAUME mmoja aliyejulikana kwa jina la Fredrick Opiyo mwenye umri wa miaka 50 amekutwa amefariki dunia katika nyumba ya kulala...

READ MORE

Adaiwa Kumuua Mkewe Kisa Kunyimwa Tendo la Ndoa

MWANAMKE aliyejulikana kwa jina la Fausta Silayo (22), mkazi wa kijiji cha Samanga wilayani Rombo mkoa wa Kilimanjaro ameuawa kwa...

READ MORE

RC Makalla: Chanjo ya Corona Ni Salama

  Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ametoa wito kwa Wananchi kuhakikisha wanapokea Chanjo ya Corona...

READ MORE

Vituo 15 Vitakavyotumika Kutoa Chanjo Dar

Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuzindua chanjo ya COVID19 jana Julai 28, 2021 kwa yeye na viongozi wengine kuchomwa,...

READ MORE

Ateketea kwa Moto Gesti

MTU mmoja mkoani Kagera aliyetajwa kwa jina la Neema Bayo (49) aliyekuwa ndani ya moja ya vyumba vya nyumba ya...

READ MORE

Koboko Avamia Sekondari ya Magufuli

WALIMU katika Shule ya Sekondari ya Dk. John Pombe Magufuli, wilayani Kaliua mkoani Tabora wamelazimika kuikimbia nyumba ya kuishi iliyopo...

READ MORE

Waziri Ummy Apiga Marufuku Matumizi ya ‘Fedha Mbichi’

WAZIRI wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Ummy Mwalimu amepiga marufuku kwa matumizi...

READ MORE

Walimu Wagoma Kufundisha Kisa Mishahara

ZIADI ya wanafunzi 130 wa kidato cha kwanza hadi cha nne katika shule ya sekondari Tabasamu, iliyopo Nyasaka, Ilemela mkoani...

READ MORE

Mapacha Kuolewa na Mwanaume Mmoja

    ISHU hot mitandaoni kwa sasa inawahusu mapacha wawili wanaofanana kinoma, kuamua kwa hiyari yao kuolewa na mwanaume mmoja....

READ MORE

Daraja Lililogharimu Milioni 31 Morogoro

MIEZI Saba ya mafanikio! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mbunge wa Jimbo la Mlimba Mkoani Morogoro, Godwin Kunambi kufanikisha ujenzi...

READ MORE

Video: Mwili Wa ‘Malcom’ Mtoto Wa Masoud Kipanya Wafanyiwa Ibada Dar

 MALCOM Ally Masoud Kipanya ni mtoto wa mtangazaji maarufu na mchora katuni, Masoud Kipanya na Sara Chande alifariki dunia...

READ MORE

Lionel Messi Kusaini Mkataba Mpya Mwezi Ujao

KLABU ya Barcelona inajiandaa kumpa mkataba mpya mshambuliaji wake Lionel Messi kabla ya kuvaana na Juventus.Barcelona watavaana na Juventus wiki...

READ MORE

Tanzia: Malcom Masoud Kipanya Afariki Dunia

MALCOM Ally Masoud Kipanya ni mtoto wa mtangazaji maarufu na mchora katuni, Masoud Kipanya na Sara Chande amefariki dunia leo...

READ MORE

Waziri Mkenda Atoboa Siri Jinsi Mshindo Msola Alivyoisaidia Nchi

  Serikali imetangaza unafuu kwa wakulima kwa mbolea za kupandia aina ya NPS na NPS Zink ambazo zitauzwa kwa kiwango...

READ MORE

Shahidi Kesi ya Sabaya Aangua Kilio Mahakamani “Alitaka Kunipiga Bastola”

Shahidi wa sita wa Jamhuri katika kesi ya unyan’ganyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai...

READ MORE

Mjane Auawa Kisa Mgogoro wa Mirathi

MWANAMKE mmoja aliyefahamika kwa jina la Emma Mfikwa umri (43) ameuawa kikatili kwa vitu vyenye ncha kali na mtoto wake...

READ MORE

Zari, Mondi Wajifungia Bafuni

WAHENGA walipata kusema; ‘wagombanapo wapenzi, shika jembe ukalime!’ Ndicho anachosisitiza mmoja wa mameneja wa staa wa muziki barani Afrika, Nasibu...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Achanjwa Chanjo Ya Corona Dar -Video

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amechoma chanjo ya UVIKO-19, wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan alipozindua...

READ MORE

Lori Lateketea Tunduma

Lori la mizigo aina ya Scania lenye namba za usajili T 887 CWN lililokuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Tunduma...

READ MORE

Rais Samia Achanjwa Chanjo Ya Corona Hadharani Leo Ikulu Dar (Picha +Video)

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, leo Julai 28, 2021, amechoma chanjo Johnson & Johnson inayotolewa kwa dozi moja tu,...

READ MORE

Waziri Mkuu Apokea Taarifa Ya Kamati Kuchunguza Moto Soko La Kariakoo

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Julai 28, 2021 amepokea taarifa ya Kamati ya Uchunguzi wa tukio la moto uliyotokea katika Soko...

READ MORE

Asasi ya C&S Forum Ilivyozindua Jukwaa la Wakurugenzi Vijana na Kitabu cha CEOs Insights

Mwenyekiti wa C&S Forum, Dkt. Emmanuel Chao akifungua mafunzo hayo.       Asasi ya C&S imeendesha jukwaa la kuhamasisha...

READ MORE

Rais Samia: Tozo ya Miamala ya Simu Ipo – Video

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali haikuwa na nia mbaya kuanzisha tozo ya...

READ MORE

Tanzia: Sophia Nyerere Afariki Dunia

Mjukuu wa Baba wa Taifa, Hayati Julius Kambarage Nyerere, Sophia Nyerere amefariki dunia leo Jumanne Julai 27, 2021 katika Hospitali...

READ MORE

SportPesa Yakabidhi Mil 100 Kwa Simba

WADHAMINI wa Simba Kampuni ya Michezo na Burudani ya SportPesa, leo wameikabidhi timu hiyo hundi ya Sh 100Mil kama bonasi...

READ MORE

UVCCM yamvaa Askofu Gwajima Sakata la Chanjo -Video

Umoja wa Vijana wa CCM ( UVCCM) umekitaka chama chao kumchukulia hatua Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima kwa kitendo chake...

READ MORE

Asilimia 60 ya Watanzania Kuchanjwa, Watakaoanza ni Hawa

Msemaji Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Gerson Msigwa amesema kuwa chanjo za homa ya virusi vya...

READ MORE

Rais Samia Amlilia Mwenyekiti wa CCM Kusini Unguja

Rais Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kusini Unguja, Ramadhan Abdallah...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Ugeni Huu Ikulu

RAIS Samia Suluhu Hassan leo Julai 27, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia...

READ MORE

CCM Yapata Pigo

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimepokea kwa mshtuko, majonzi na masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa...

READ MORE

Waziri Mkuu: Chanjo ya Corona Sio Lazima

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali haijamlazimisha na wala haitamlazimisha mwananchi kuchanjwa chanjo ya...

READ MORE

Maagizo ya Waziri Mkenda Kwa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji

  Waziri wa Kilimo Mhe. Prof Adolf Mkenda ameielekeza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kuhakikisha inashirikiana na Umoja wa Wajasiriamali...

READ MORE

Mtoto wa Anna Mghwira Anena Mazito Kifo cha Mama Yake- Video

Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu amewaongoza mamia ya Wananchi Wilayani Arumeru Mkoani Arusha katika kuaga mwili pamoja na kuongoza mazishi...

READ MORE

Kazadi: Mukoko Ameniita Nije Yanga

MSHAMBULIAJI Francis Kazadi Kasengu amesema kuwa Mukoko Tonombe ni moja kati ya watu wanaomshawishi kwa kiasi kikubwa kujiunga na klabu...

READ MORE

Serikali Yasitisha Matamasha, Ibada za Mazishi Dakika 30

Serikali ya Tanzania imesitisha rasmi matamasha, sherehe na mikusanyiko na masharti kwa watakaolazimika kuwa na kibali maalumu kutoka kamati maalum...

READ MORE

NMB Yakabidhi Hundi ya Milioni 438.4 Kwa Wahanga wa Moto Kariakoo

Benki ya NMB kupitia Kampuni ya Reliance Insurance, imewalipa bima ya Sh. Milioni 438.4 wafanyabiashara 12, kati ya waliounguliwa moto...

READ MORE

TACAIDS Watoa Mafunzo Ya Mtandao Kwa Wanawake

Tume ya kudhibiti Ukimwi Tanzania, (TACAIDS) leo Julai 27, 2021 wameadhimisha mafunzo ya kuwajengea uwezo mtandao wa wanawake wanaoishi na...

READ MORE

Rais Samia Kuchanjwa Covid-19, Ikulu

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Doroth Gwajima amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Bodaboda na Ulinzi Shirikishi Kariakoo Wapigwa Msasa Kudhibiti Uhalifu

    MKUU wa Upelelezi Wilaya ya Kipolisi ya Kariakoo, Dkt. Ezekiel Kyogo amewaongoza viongozi wa ulinzi shirikishi na waendesha...

READ MORE