×

Habari

Mwanamke Akutwa Mtupu , Ameuawa Shinyanga Mjini

MWANAMKE Lucia Michael maarufu Mama Kulwa, mkazi wa Majengo Manispaa ya Shinyanga, amekutwa ameuwa na watu wasiojulikana, na mwili wake...

READ MORE

Nyoka Azua Gumzo Akitoa Heshima za Mwisho Kaburi la Marehemu

Wakazi wa kijiji cha Kampi Samaki katika Kaunti ya Baringo nchini Kenya wamepata mshangao baada ya kushuhudia nyoka mkubwa akitoa...

READ MORE

Rais Samia Azungumza na Rais wa Baraza la Umoja wa Ulaya

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Samia Suluhu Hassan amezungumza kwa njia ya mtandao na Rais wa Baraza...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Uingereza Alaani Ubaguzi wa Rangi

WAZIRI Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amelaani ubaguzi wa rangi uliojitokeza katika mitandao ya kijamii dhidi ya wachezaji wa England...

READ MORE

Wafanyabishara watatu Dar Wadakwa na Dawa za Kulevya

  Wafanyabishara watatu wa jijini Dar es Salaa wamefikishwa katika  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka moja la...

READ MORE

Mwalimu Mbaroni kwa Tuhuma za Kumpa Ujauzito Mlemavu wa Akili

POLISI Mkoa wa Kusini Pemba, imethibitisha kumshikilia mwalimu mstaafu Mohamed Kassim (60), kwa tuhuma za kumpatia ujauzito mtoto mwenye ulemavu...

READ MORE

Radi Yaua Watu 11 Wakijipiga Selfie

WATU takribani 11 wamefariki dunia hapo jana Kaskazini mwa nchi ya India baada ya kupigwa na radi wakati wakijipiga picha...

READ MORE

Maandalizi ya Sensa 2022 Yaanza

Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dk Albina Chuwa amesema maandalizi ya sensa ya sita nchini yanaendelea kama ilivyopangwa. Dk Chuwa ameyasema...

READ MORE

Ifahamu Historia ya Soko la Kariakoo

Soko Kuu la Kariakoo lipo katika kiwanja namba 32 mtaani Kariakoo, katikati ya makutano ya mtaa wa Mkunguni na mtaa...

READ MORE

Fahamu Uwezo wa Betri ya Simu ya Infinix HOT 10i

    KAMPUNI ya simu Infinix yazindua rasmi simu yenye uwezo wa kukaa na chaji kwa zaidi ya masaa 72...

READ MORE

Serikali Yatangaza Operesheni Punguza Mahabusu

Jeshi la Magereza Serikali imeanzisha Operesheni Maalumu ijulikanayo kwa jina la ‘Operesheni Punguza Mahabusu’ kwa lengo la kukabiliana wingi wa...

READ MORE

Dk. Diallo Aomba Radhi Kauli Yake Tata

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Mwanza, Dk. Anthony Diallo ameomba radhi ‘kiaina’ baada ya kauli yake kuzua...

READ MORE

Balaa la Bomoabomoa Mpya Kutikisa Dar

Baadhi ya wakazi wa Kimara watakumbana na bomoabomoa nyingine baada ya Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) mkoa wa Dar es...

READ MORE

CCBRT Yaishukuru Tigo Kuwachangia Milioni 22 Kuwatibia Watoto Wenye Miguu Vifundo

    Taasisi ya matibabu ya CCBRT, leo imeishukuru Kampuni ya mawasiliano ya Tigo kwa kuendelea kuwachangia fedha za matibabu...

READ MORE

Simba Yaikalisha Coastal Union, Yatangaza Ubingwa

MABINGWA watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara Simba, imefanikiwa kutetea ubingwa wa ligi hiyo, baada ya kuitungua Coastal Union ya...

READ MORE

Vinara Matokeo Kidato cha Sita Baobab Wamkuna Mwalimu Wao

  SHULE ya Sekondari Baobab ya Mapinga Bagamoyo imefanikiwa kufaulisha wanafunzi wote kwenda vyuo vikuu mbalimbali ndani na kufanikiwa kutoa...

READ MORE

Gesi Yazuia Wafanyabiashara Kuendelea na Shughuli Zao KariaKoo

KAMISHNA Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, John Masunga amesema kutokana na ukubwa wa eneo lililoungua bado kutaendelea kuwa...

READ MORE

Video: Global Movies – Kidude

 KIDUDE katoka jela, kaleta balaa mtaani, kilichomkuta MUNGU anajua…… Full MOVIE on Global TV OUT NOW….. #Global Movie

READ MORE

Waziri Jafo: Wananchi Fanyeni Kilimo Endelevu Kulinda Mazingira

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Selemani Jafo amewataka wananchi kutumia ardhi kufanya...

READ MORE

Breaking: Rais Samia Atoa Pole Kwa Wafanyabiasha wa Soko la Kariakoo

RAIS Samia leo Julai 11, 2021 ametoa pole kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Amos Makala na Wafanyabiasha wa Soko...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Siku 7 Uchunguzi wa Moto Kariakoo (Picha +Video)

WAZIRI Mkuu Kaasim Majaliwa ameipa siku saba za awali tume aliyoiunda kuchunguza chanzo cha moto katika soko la kimataifa la...

READ MORE

Daniel Chongolo Awataka Wana CCM Kuendelea Kuimarisha Chama

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Godfrey Chongolo pamoja na wajumbe wengine wa Sekretarieti ya CCM Taifa ...

READ MORE

TACAIDS Wafanya Semina Kwa Waandishi wa Habari

Tume ya kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS)wamefanya semina kubwa na waandishi wa habari wa nyombo vya habari nchini,kuhusiana na kuripoti habari...

READ MORE

Moto Kariakoo: Kamati Yaundwa Na Mkuu Wa Mkoa Dar -Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla akiwa soko kuu la Kariakoo, amesema serikali imeunda tume ya watu...

READ MORE

Maonesho ya 45 Sabasaba 2021: TANTRADE, Benki ya NBC Wawafunda Wajasiriamali

    Changamoto ya urasimishwaji wa biashara miongoni mwa wajasiriamali na wafanyabiashara wanaochipukia imetajwa kuwa moja ya kikwazo kikubwa kwa...

READ MORE

Serikali Yashusha Tozo Kuingia Bandari ya Kanyara, Buchosa

Serikali kupitia kwa Naibu Waziri wa ujenzi na uchukuzi, Mwita Waitara amesema kilio Cha Mbunge wa Jimbo la Buchosa Eric...

READ MORE

Sarpong, Moro out Yanga

IMEFAHAMIKA kuwa Yanga rasmi imeachana na mastaa wake wawili Waghana, Lamine Moro na Michael Sarpong katika kuelekea msimu ujao.  ...

READ MORE

NMB Yaja na Utaratibu Mpya wa Kuweka Akiba ‘SPEND 2 SAVE’

Benki ya NMB imekuwa ya kwanza nchini kumuwezesha mteja kuweka akiba kila anapofanya miamala kwa kuzindua huduma maalum kwa ajili...

READ MORE

Breaking: Soko la Kariakoo Laungua Moto

Breaking News: Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa, Soko Kuu la Kariakoo lililoko Ilala jijini Dar es salaam linawaka moto...

READ MORE

Watu 408 Wana Corona Tanzania, 284 Wanapumulia Mashine

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Dorothy Gwajima amesema hadi kufikia Julai 8, 2021 jumla...

READ MORE

Wanafunzi 10 Bora Sayansi Kidato cha Sita 2021

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2021 na kutaja wanafunzi kumi bora waliofanya...

READ MORE

Singida Kinara Matokeo ya Mtihani Kidato cha Sita 2021

Mkoa wa Singida umetajwa kuwa kinara wa matokeo ya mtihani wa kidato cha sita uliofanyika Mei 2021.   Akitangaza matokeo...

READ MORE

Hizi Ndio Shule 10 Bora Matokeo Kidato cha Sita 2021

Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2021 na kutaja shule kumi bora zilizofanya vizuri...

READ MORE

Bweni Lateketea, Wanafunzi Wanusurika

WANAFUNZI wa shule ya Sekondari ya Charlotte iliyopo katika Kata ya Tungi Manispaa ya Morogoro wamenusurika kuungua kwa moto baada...

READ MORE

Dk. Mollel: Asilimia Chache Wana Corona

Naibu Waziri wa Afya, Dk. Godwin Mollel amesema asilimia kubwa ya wagonjwa waliofikishwa katika hospitali ya mkoa wa Arusha ya...

READ MORE

Hatma ya Uchaguzi TFF Julai 16

SAKATA la maombi ya kuzuia Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limeingia katika sura mpya ambapo sasa kesi...

READ MORE

Kimenuka! Maandamano ya Kumtoa Zuma Jela Yapamba Moto, Magari Yachomwa

Maelfu ya waandamanaji wanaotaka kuachiwa kwa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, wameingia mitaani na kuchoma magari kadhaa...

READ MORE

Tanzia: Mkurugenzi AICC Afariki Dunia

Mkurugenzi wa kituo cha mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AlCC), Elishilia Kaaya amefariki dunia jana Ijumaa Julai 9, 2021.  ...

READ MORE

Dkt. Gwajima Azindua Baraza la Taifa la Mashirika Yasiyokuwa ya Kiserikali

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amezindua Baraza jipya la Mashirika Yasiyo ya kiserikali...

READ MORE

Matokeo ya Mtihani Kidato cha Sita, Ualimu 2021

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dkt Charles Msonde anatangaza matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Sita...

READ MORE