Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuna haja ya kuwakamata raia wa taifa hilo wanaotumia mitandao ya kijamii vibaya. ...
READ MORENessebar ni mji wa zamani uliopo kandakando ya kisiwa. Kisiwa hicho kipo nusu maili ya nyumba moja ya mvuvi iliopo...
READ MORERAIS Samia Suluhu, amesimama barabarani eneo la Dumila wilayani Kilosa mkoani Morogoro kusikiliza kero za wananchi wa eneo hilo ambalo...
READ MOREMwanaume mmoja (40) mkazi wa kijiji cha Teso,Kusini mwa kaunti ya Busia nchini Kenya anashikiliwa katika kituo cha polisi cha...
READ MOREWASANII mbalimbali kutoka jijini Dar es Salaam, wote kwa pamoja wanaelekea Tarime mkoa wa Mara, kwaajili ya kutambulisha buku tano...
READ MOREMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Freeman Mbowe, amefiwa na kaka yake ajulikanaye kwa jina la Charles Mbowe....
READ MORERais Samia Suluhu Hassan ameanza ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Morogoro kuanzia Julai 7, 2021. Akiwa mkoani humo,...
READ MOREBAADA ya Miaka 55, hatimaye Timu ya Taifa ya England imefanikiwa kuingia hatua ya Fainali ya michuano ya Euro 2020,...
READ MOREBAADA ya kuvuna pointi tatu kwenye mchezo uliopita dhidi ya Simba, Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameonekana mzuka umepanda...
READ MORERais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, amejisalimisha polisi kuanza kifungo cha miezi 15 jela baada ya kuhukumiwa kwa...
READ MORERais wa Kenya Uhuru Kenyatta amekosolewa na raia wa nchi hiyo kwa kuzindua miradi wakati wa saa za amri ya...
READ MOREKuanzia Jumatano nchini Zimbabwe itasambazwa noti mpya ya dola 50, ikiwa ndio yenye thamani kubwa zaidi kuwahi kutolea Zimbabwe tangu...
READ MOREMke wa aliyekuwa Rais wa Haiti Jovenel Moïse (aliyeuawa jana kwa shambulio), Bi. Martine Moïse (47) hajafariki kama ilivyoripotiwa awali...
READ MORERAIS wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ameanza ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Morogoro na kupata...
READ MOREKiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amewateua Padri Henry Mchamungu na Padri Stephano Musomba kuwa maaskofu wasaidizi wa...
READ MORERais Samia Suluhu Hassan, leo Julai 7, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya Barrick...
READ MORERais wa Haiti Jovenel Moise ameuawa katika shambulio dhidi ya makazi yake mjini Port-au-Prince – amesema kaimu Waziri mkuu Claude...
READ MORERAIS Samia Suluhu Hassan amesema wimbi la tatu la ugonjwa wa corona limeshaingia nchini na tayari kuna wagonjwa katika mikoa...
READ MOREBUNGE la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) limemuapisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata...
READ MOREIkiwa leo ni Maadhimisho ya sabasaba mapema leo wananchi wameanza kufurika katika maonesho ya 45 yaBiashara yaKimataifa yanayofanyika viwanja vya...
READ MOREKATIKA video iliyosambaa sana, mjumbe wa Mungu Nabii Paul alitabiri kwamba aliwaona malaika, waliomchukua Nabii TB Joshua kutoka duniani. ...
READ MOREMIILI ya watu watano akiwemo mwanafunzi wa kidato cha nne waliokuwa wakihofiwa kufa maji Wilayani Singida imepatikana na kuopolewa baada...
READ MOREPASTA mmoja wa Uganda alisherehekea kifo cha Nabii Temitope Balogun Joshua, almaarufu TB Joshua, akimtaja marehemu kama “mchawi mkuu barani...
READ MOREWAZIRI wa Maji Jumaa Aweso amekataa ombi la Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira DAWASA,...
READ MOREAJALI mbaya imetokea usiku wa kuamkia leo Jumatano, Julai 7, 2021, baada ya moto kulipuka katika jengo la maabara ya...
READ MOREBAADHI ya wanafamilia ya Rais wa zamani wa Zambia, Dkt. Kenneth Kaunda wamekwenda kortini kujaribu kuzuia mazishi yake katika uwanja...
READ MOREWanachama 17 wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa (NHIF) mkoani Mbeya wanashikiliwa na polisi wakituhumiwa kuisababishia Serikali hasara...
READ MOREPromosheni ya Benki ya NMB ya “Bonge la Mpango” imemalizika rasmi Jumatano wiki hii kwa mkazi wa Mkoa wa Morogoro,...
READ MORERAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amezungumza kwa njia ya simu na Waziri wa Mambo ya...
READ MOREJESHI la Polisi Mkoa wa Geita linawashikilia watu watano kwa tuhuma za mauaji ya kumchinja Budagala Vita (26), kwa kumcharanga...
READ MOREYANGA inatajwa kumalizana na kiungo mshambuliaji na nahodha wa Gor Mahia ya Kenya, Kenneth Muguna kwa kumpa mkataba wa miaka...
READ MORESerikali kupitia Wizara ya Afya imewataka wananchi kuendelea kujikinga na Corona kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya ikiwemo kuvaa...
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amewataka Watumishi wote wanaokwenda kutekeleza na kuhakiki Kaya maskini kuhakikisha...
READ MOREKachero mmoja kwenye Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) nchini Kenya maarufu kwa jina la Shiru,...
READ MOREKatibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Idara Kuu ya Afya, Prof. Abel Makubi, amesema...
READ MOREMakamu wa Rais, Dk. Philip Mpango, ameipongeza Benki ya NBC kwa udhamini wake mkuu wa maonyesho ya biashara ya kimataifa...
READ MOREViongozi wastaafu wakiongozwa na marais wastaafu wa awamu ya pili na ya nne, Ali Hassan Mwinyi na Jakaya Mrisho Kikwete,...
READ MOREKatika hali ya kushangaza huko nchini Kenya Watoto wawili wamemuua baba yao huku chanzo cha mgogoro kinatajwa kuwa ni kugombea...
READ MOREMOTO umezuka na kuzua taharuki kwa waumini na waombolezaji katika Kanisa Kuu la Kikristo la Mataifa la mhubiri wa kimataifa,...
READ MORENaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson amewaongoza Viongozi mbalimbali na Waombolezaji kutoa salamu...
READ MORE