×

Habari

Hatima ya Seth na Rugemarila Yamsubiri DPP

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa, mazungumzo ya makubaliano (Plea bargain) ya kumaliza kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkurugenzi...

READ MORE

Balozi Mulamula Awasilisha Bajeti Mambo ya Nje

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Liberata Rutageruka Mulamula (Mb), juzi aliwasilisha bungeni makadirio...

READ MORE

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu Amnyonga Mwenzake

MWANAFUNZI  wa mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu cha Iringa, Petronel Mwanisawa (22) amefariki dunia kwa kunyongwa na mpenzi wake....

READ MORE

Lukuvi Afuta Waraka Unaokataza Madiwani

WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amefuta waraka namba moja  unaowaondoa madiwani kushiriki katika shughuli za...

READ MORE

Tanzia: Ismail Michuzi Afariki Dunia

  MWANAMUZIKI mkongwe Ismail Issa Michuzi amefariki dunia leo asubuhi Juni 3,  katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar...

READ MORE

Mbunge Akiri Kutumia Bangi: Ina faida Nyingi – Video

  MBUNGE Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu amekiri kuwa akiwa na umri mdogo aliwahi kutumia majani na Mbegu za Bangi kama...

READ MORE

Vodacom Yashiriki Upandaji Miti Kuelekea Kilele cha Siku ya Mazingira Duniani

Kampuni inayotoa huduma za simu ya Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na uongozi wa Mkoa wa Dodoma wameshirikiana kupanda mti katika eneo la...

READ MORE

Mbunge Aanika Sababu za Wanaume Kukosa Nguvu za Kiume – Video

Mbunge Viti Maalum anayewakilisha Vyuo Vikuu, Dkt. Tea Ntala Amesema Tatizo la ukosefu wa lishe Bora kwa wanaume kukosa limekuwa...

READ MORE

Tabasamu: Nimetishiwa Kuuawa Walinipigia Simu – Video

MBUNGE wa Sengerema (CCM), Hamis Tabasamu amedai kutishiwa kuuawa na watu wasiowajua baada ya kuchangia bungeni kuwa kazi ya kuweka...

READ MORE

Mtoto wa Komba Ashushiwa Kipigo na Polisi, Chanzo Mkewe – Video

MTOTO wa aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi (CCM) na mwimbaji maaarufu wa nyimbo za siasa nchini Tanzania, hayati Kapteni John...

READ MORE

Mita za Maji za Malipo ya Kabla, Wateja Kuhamishiana Uniti za Maji

WIZARA ya Maji na Umwagiliaji inakusudia kuanza kufunga mita za maji za malipo ya kabla kwa ajili ya majaribio kati...

READ MORE

Manji Mikononi mwa Takukuru, Sababu Zatajwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imethibitisha kuwa inamshikilia mfanyabiashara Yusuph Manji kwa mahojiano. Manji, ambaye aliondoka nchini...

READ MORE

Bulaya Atema Nyongo “Tanesco Inajiendesha kwa Hasara” – Video

MBUNGE wa Viti Maalum (CHADEMA), Ester Bulaya ametoa mchango wake kwa Wizara ya Nishati leo Jumatano, Juni 2, 2021 Bungeni...

READ MORE

Tanesco Yajiendesha Bila Ruzuku – Video

Mapato ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) yameongezeka kutoka kukusanya Sh72 bilioni mwaka 2016 hadi Sh160 bilioni mwaka 2020/2021 na...

READ MORE

Mkuchika: Aanika Alivyoagana na JPM Kabla ya Kifo ‘Niliugua Pingili’

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu, George Mkuchika leo amerejea bungeni baada ya kukosekana kwa miezi mitatu huku akisema...

READ MORE

Huzuni- Pacha Wafa Baharini Wakiwa Wamekumbatiana

FAMILIA katika eneo la Gasi, Kaunti ya Kwale nchini Kenya imeghubikwa na simanzi baada ya watoto wao pacha kupatikana wamefariki...

READ MORE

Wanne Wafariki Dunia, 20 Wajeruhiwa Ajali Ya Basi Shinyanga

WATU wanne wamefariki dunia katika ajali ya basi Kampuni ya Classic lenye namba za usajili binafsi Salum Rashidi Classic (SRC...

READ MORE

Rais Mstaafu Mwinyi Amkabidhi Mama Maria Nyerere Kitabu

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Ali Hassan Mwinyi, leo tarehe 02-06-2021 amefika...

READ MORE

Mkosoaji wa Ikulu Atiwa Nguvuni

Polisi ya Urusi imemkamata Dmitry Gudkov mmoja ya wakosoaji wakubwa wa ikulu ya Kremlin na taarifa zinasema huenda atakabiliwa na...

READ MORE

Samia Atoa Onyo Ma-RC na Ma-RAS Wanawake: ‘Nisiisikie’ – Picha,Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema ameteua asilimia 46 ya Makatibu Tawala Wanawake hivyo anataka...

READ MORE

Morogoro: Mchina Akamatwa kwa Kutorosha Dhahabu

Mkuu wa Wilaya ya Ulanga, Ngolo Malenya kwa kushirikiana na kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya hiyo wamekamata madini...

READ MORE

RC Kafulila Aanza na Fedha za Madini

MKUU wa mkoa wa Simiyu David Kafulila ameagiza uhakiki wa kiasi cha madini ya ujenzi yanayotoka katika kila halmashauri za...

READ MORE

Nimenusurika, Namshukuru Mungu

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi wa Uganda Jenerali Katumba Wamala ametoa shukran zake kufuatia shambulio lililomlenga Jumanne asubuhi, akimshukuru Mungu...

READ MORE

Ndugai Alivyomtimua Mbunge Kisa Suruali Ya Kubana

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai jana Jumanne Juni Mosi, 2021 alimtoa katika ukumbi wa Bunge mbunge wa Momba (CCM), Condester...

READ MORE

Samia: Rais Hakosei, Msiwadharau Niliowateua – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuna Watu walisema Rais amekosea kuteua mtu kutoka chama...

READ MORE

Samia: Sina Ujuzi wa Kuhesabu Matofali na Mabati Kama Magufuli – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema mtangulizi wake, Hayati Dkt. John Magufuli alihesabu matofali na...

READ MORE

Rais Samia Awaapisha Makatibu Tawala wa Mikoa Ikulu – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaapisha Makatibu Tawala wa Mikoa na viongozi mbalimbali aliyowateua hivi...

READ MORE

Waziri Ummy Atekeleza Maagizo ya Rais Samia Kariakoo

Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu atekeleza maagizo ya Rais Samia Suluhu. Awasimamisha kazi viongozi wa Soko la Kariakoo, Dar kupisha...

READ MORE

Serengeti: Ngariba Nguli Atupwa Jela Miaka 5

NGARIBA nguli Mary Onyango Omega (50) maarufu Mkungu Mugesi mkazi wa kijiji cha Kitarungu Kata ya Nyansurura amehukumiwa na Mahakama...

READ MORE

Aliyempa Mimba Mwanafunzi Atupwa Jela Miaka 30

KIJANA Machage Samson (22) mkazi wa kijiji cha Nyamisingisi wilayani Serengeti mkoani Mara amefungwa miaka 30 na Mahakama ya Wilaya...

READ MORE

Museveni Alaani Shambulio Dhidi Katumba

RAIS wa Uganda Yoweri Museveni amekosoa vikali shambulizi lilifanywa dhidi ya Jenerali Katumba Wamala, katika taarifa aliyoandika kwenye ukurasa wake...

READ MORE

Live: Bunge Lapamba Moto, Spika Job Ndugai Aongoza Kikao Cha Bunge

NI mkutano wa 3, kikao cha 30, wa Bunge la 12, umeendelea leo Juni 02, katika makao makuu ya nchi...

READ MORE

Basi la Classic Lapata Ajali, Watatu Wafariki

WATU watatu wanahofiwa kufariki dunia huku wengine wengine zaidi ya 30 wakijeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Classic kupata...

READ MORE

Mbunge Hussein Nassor: Siombi Radhi

MBUNGE wa Viti Maalum, Jacqueline Ngonyani Msongozi amesimama na kuomba mwongozo kuhusu ishu iliyotokea jana Juni 1, 2021 ya Mbunge...

READ MORE

HEBO, PMI Waungana Kutoa Elimu ya Usimamizi wa Miradi

    KAMPUNI ya HEBO kupitia kitengo chake cha mafunzo na ushauri wa kibiashara (HEBO Consult) imeingia makubaliano na Shirika...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Juni 2, 2021

   Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Juni 2, 2021. Usipitwe...

READ MORE

Sakata la Mbunge Condester Kufukuzwa Bungeni, Wabunge Wacharuka

Sakata la Mbunge wa Tunduru, Condester Michael Sichalwe (CCM) kutolewa bungeni kipindi cha asubuhi kutokana na kuvaa mavazi yasiyoendana na...

READ MORE

Waziri Mkuu Akabidhi Magari 20 ya Wagonjwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekabidhi magari ya wagonjwa 20 yenye thamani ya sh. bilioni 2.24 ambayo yatapelekwa kwenye vituo vya...

READ MORE

Kigamboni: Watuhumiwa wa Kuiba Mafuta Yanayoenda Bandarini Wanaswa

Mkuu wa wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafiri akiwa na kamati ya Ulinzi na usalama wamebaini nyumba iliyopo mtaa wa Ugindoni...

READ MORE