×

Habari

Binti Albino Aliyetelekezwa China Kuwa Mrembo Maarufu Duniani

Wakati Xueli alipokuwa mtoto, wazazi wake walimtelekeza katika bustani ya nyumba ya kulelea yatima. Nchini China, kuwa albino ni laana. Hali hiyo...

READ MORE

Magereza Yaliyogeuzwa Kuwa ‘Machinjio’

Katika historia ya uhalifu kuna maeneo ambayo huwa hayazingatiwi sana kama hatima ya watu wanaokamatwa kwa makosa mbali mbali ....

READ MORE

Mwalimu Adaiwa Kuua Mtoto wa Jirani

MAMA mmoja mkazi wa jijini Mwanza ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Islamic Nyasaka, Fatuma Rashadu amepata msala...

READ MORE

Baba Mbaroni kwa Kumuozesha Binti Yake kwa Mahari ya Ng’ombe Sita

Mkazi wa Kijiji cha Manyanda Masele Kuyela (52) anashikiliwa na jeshi polisi mkaoni shinyanga kwa tuhuma za kumwozesha binti yake...

READ MORE

ATCL Yazindua Safari ya Guangzhou-China

Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) leo alfajiri Mei 8, 2021 imezindua rasmi safari za ndege kutoka Dar es Salaam...

READ MORE

Sheikh Auawa Msikitini Akiongoza Ibada

Kiongozi mkubwa wa Kiislamu mashariki mwa DRC ameuawa kwa kupigwa risasi wakati akisali kwenye msikiti mkuu mjini Beni. Mtu mwenye...

READ MORE

Samia Awaonya Majambazi, Ampa Maagizo IGP Sirro – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amewatumia salamu wahalifu hasa wa ujambazi ambao amesema wameanza kufanya matukio hayo, amewaonya wasijaribu kupima kina...

READ MORE

Rais Samia Awaomba Radhi Wazee wa Dar kwa Kuvaa Barakoa – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaomba radhi wazee wa Dar es Salaam kutokana na utaratibu...

READ MORE

Serikali Yakanusha Kuachia Wafungwa wa Kisiasa – Video

Serikali ya Tanzania imetaka kupuuzwa kwa taarifa zinazosambazwa mitandaoni na katika chombo cha habari kutoka nchi jirani ya Kenya zinazosema...

READ MORE

Mtumishi Wa Serikali Ahukumiwa Miaka 200 Jela

Leo tarehe 07/05/2021 Mahakama ya wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe imemhukumu ndugu SEMENI GWEWA MSWIMA (Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya...

READ MORE

Tanzania Hakuna Wafungwa wa Kisiasa

SERIKALI imetaka kupuuzwa kwa taarifa zinazosambazwa mitandaoni na katika chombo cha habari kutoka nchi jirani ya Kenya zinazosema kuwa Rais...

READ MORE

‘Mtumishi’ Atupwa Jela Miaka 30 Kwa Kulawiti Mtoto Kanisani

Mahakama ya Mkoa wa Kinondoni jijini Dar es salaam imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Elisha Mushi (22), mkazi wa...

READ MORE

Mlinzi Mbaroni kwa Kumuua Mkewe Kisa ARV

Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga linamshikilia Peter Elias (29) mlinzi na mkazi wa Ndembezi Mjini Shinyanga kwa kosa la...

READ MORE

Ndugai: Mnaogopa Nini Kuleta Viambatanishi Ili Tuwavue Ubunge?

Spika wa Bunge , Job Ndugai amevitaka vyama vya siasa vinavyotaka kufukuza wanachama wao ambao ni wabunge kufuata sheria na...

READ MORE

Dkt. Abbasi:  Mfuko wa Maendeleo ya Sanaa na Utamaduni Si Ndoto Tena Nchini

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amesema Wizara rasmi inaanzisha Mfuko wa Maendeleo ya...

READ MORE

SBL yakabidhi mradi wa maji wenye thamani ya shilingi 220m/-Machochwe

Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) leo imezindua mradi wa maji wenye thamani ya shilingi 220m/- katika Kijiji cha Machochwe...

READ MORE

Rais Samia Awasili Dar Akitokea Dodoma (Picha +Video)

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Mei 7, 2021 awasili Jijini Dar es Salaam akitokea...

READ MORE

Simba:Yanga Wanakufa Nne

RAHA ya mchezo wa Simba na Yanga hupatikana nje na ndani ya uwanja, huku nje ni tambo za mashabiki na...

READ MORE

Lambalamba Watikisa Sumbawanga

Wananchi wa Kijiji cha Mawenzusi, Sumbawanga mkoni Rukwa, wamelalamikia utapeli unaofanywa na waganga wanaojiita lambalamba wanaopita majumbani na kuwaaminisha kuwa...

READ MORE

Mambosasa: Polisi Tumejiandaa Mechi ya Simba na Yanga

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limejipanga kuimarisha usalama katika mechi ya Watani wa Jadi Simba dhidi...

READ MORE

Forbes Wamtangaza Melinda Gates Kuwa Bilionea Mpya

NI stori iliyowagusa wengi huku wengine wakijiuliza maswali bila kuwa na majibu baada ya ndoa ya tajiri wa Dunia Bill...

READ MORE

Mugalu, Bocco Wakabidhiwa Yanga

UNAAMBIWA Kocha Mkuu wa Simba, Didier Gomes Da Rosa, hataki kuvurugiwa rekodi na Yanga ambapo tayari ameikabidhi mechi hiyo kwa...

READ MORE

NMB Yaboresha Bima ya Faraja, Yatambulisha Bima ya Vikundi

  KWA mara nyingine Benki ya NMB imedhihirisha kauli mbiu yake kuwa ipo karibu na wateja, imekuja na maboresho ya...

READ MORE

Rais Ramaphosa ‘Asimamishwa’ Kazi

Ace Magashule, katibu mkuu wa chama tawala cha ANC nchini Afrika Kusini, ameJIBU hatua ya kutimuliwa kwake chamani kwa kumsimamisha...

READ MORE

Akanusha Mashitaka ya Mauaji ya Kimbari ‘Nilikuwa Mjamzito’

Mwanamke aliyefukuzwa Marekani na kurejeshwa nchini mwao Rwanda, amekanusha mashitaka ya makosa ya mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 akisema...

READ MORE

Rais Samia Kuzungumza na Wazee wa Dar

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kesho Ijumaa Mei 7, 2021 anatarajia kuzungumza na wazee wa Mkoa wa Dar es...

READ MORE

Ummy: Serikali Kuwapata Wenye Ulemavu Mafunzo Ya Ujasiriamali

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Watu wenye Ulemavu Mhe. Ummy Nderiananga amesema kuwa Serikali imejipanga kuendelea...

READ MORE

Kesi ya Seth na Rugemalira! Majadiliano na DPP Yamefutwa

Aliyekuwa mwanasheria wa Kampuni ya kufua umeme ya IPTL, Joseph Makandege ameondoa rasmi maombi ya kufanya majadiliano ya kuimaliza kesi...

READ MORE

Afisa TRA Temeke Akamatwa kwa Tuhuma za Rushwa

Humphrey Mhagama amekamatwa kwa tuhuma kuomba Tsh. 500,000 ambapo alipokea Tsh. 250,000. TAKUKURU imesema Mtuhumiwa atafunguliwa Mashtaka kwa kosa la...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokutana leo Mei 06,...

READ MORE

Kesi ya Akina Seth, Rugemalira na Makandege Waondoa Maombi Ya Pre-Bargain Kwa DPP

UPANDE wa utetezi kupitia  Mshtakiwa aliyekuwa Mwanasheria wa kampuni ya  kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Joseph Makandege,...

READ MORE

Polisi Dar Yanasa Vinara wa Wizi wa Magari, Pikipiki – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu 161 wanaotuhumiwa kuhusika na wizi wa magari, pikipiki na...

READ MORE

Rais Samia Kukutana na Wazee wa DSM Kesho

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kesho Ijumaa ya Mei 07, anatarajiwa kufanya mkutano na zaidi...

READ MORE

Gwajima: Nchi ni Lazima Iwe na Maono ya Miaka Mingi – Video

Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima, amesema kwa sasa Tanzania haina maono ya muda mrefu kwa ajili ya...

READ MORE

Wanufaika wa kilimo viwanda watembea kiwanda cha SBL Mwanza

  Kampuni ya bia ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imejidhatiti kuwapa wanafunzi nyenzo na mafunzo zaidi ya kivitendo kama njia...

READ MORE

Makadirio ya Bajeti Wizara ya Maji ni Bil. 680

WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amewasilisha bungeni hotuba ya makadirio ya bajeti ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha...

READ MORE

Prof. Janabi: Ulaji Futari Nyingi Unachochea Mshtuko wa Moyo

Katika mwezi huu wa Ramadhan familia nyingi nchini na duniani kwa jumla kuna nchi ambazo raia wake wanafunga saumu hii...

READ MORE

Mjadala wa Wasanii na BASATA Kuamuliwa Jumamosi

BARAZA la Sanaa Tanzania (BASATA) Mei 1, 2021 wameanza kutumia sheria ya kuzikagua nyimbo zote mpya za wasanii kabla ya...

READ MORE

Shigongo Atembelea Wagonjwa Nyehunge, Awapa Neno Wahudumu wa Afya

MBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo akiambatana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Buchosa, Crispin Luanda wametembelea wakina mama ambao...

READ MORE

Mbunge Alia na Wingi wa Wanafunzi

Mbunge wa Temeke (CCM), Dorothy Kilave ameihoji Serikali ina mpango gani wa kujenga shule katika jimbo la Temeke kwa sababu...

READ MORE