×

Habari

Samia: Hatutavumilia Uvivu, Uzembe, Wizi na Ubadhilifu – Video

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema jitihada zaidi zinahitajika kukuza uchumi na kupambana na umasikini kwa sababu licha ya...

READ MORE

Rais Samia Kukutana na Akina Mbowe, Zitto – Video

  Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema atakutana na viongozi wa vyama vya siasa nchini kuweka mwelekeo wa kuendesha...

READ MORE

Wanaosema Hayati Magufuli ‘Aalipewa Sumu’ Waje Tuwasikilize – Video

  Rais Samia Suluhu Hassan, amewaonya watu wote ambao wanaodhani kwamba Hayati Dk. John Pombe Magufuli ameondoka na mipango yake...

READ MORE

Samia: Tumepitia Kipindi Kigumu Baada ya Magufuli Kufariki

  Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki, wabunge na Watanzania akisema kifo...

READ MORE

ATCL Linaokana Kama Halina Thamani Sababu ya Madeni – Video

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaangalia namna ya kulilea Shirika la Ndege nchini (ATCL) kimkakati ili lijiendeshe...

READ MORE

Rais Samia: Nitadumisha Mazuri Yaliyopita, Yaliyopo na Kuleta Mapya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan analihutubia Taifa kupitia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

SBL kuendelea kuchangia maendeleo ya kilimo nchini kupitia elimu

Kampuni ya Bia ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imedhamiria kuendelea kutengeneza maisha bora kwa vijana na wakulima nchini kupitia programu...

READ MORE

Syria, Israel Zashambuliana Tena kwa Makombora

Syria na Israel zimeshambuliana tena kwa makombora, huku kila upande ukidai kudunguwa la mwenzake mapema alfajiri ya leo.    ...

READ MORE

Serikali Kuajiri Watumishi Wapya 44,096

Wizara ya Nchi Ofisi, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, imesema kuwa katika mwaka wa fedha wa 2021/22...

READ MORE

Rais Samia Ahutubia Bunge kwa Mara ya Kwanza – Video

   Ikiwa Watanzania 8,224,271 pekee ndiyo wenye uhakika wa matibabu nchini, Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema mipango...

READ MORE

Bunge Latengua Kanuni Ili Viongozi Waingie Bungeni

  Bunge la Tanzania leo Alhamisi Aprili 22, 2021 limetengua kanuni ya 160 (1) ya kanuni za kudumu za chombo...

READ MORE

Wabunge Wapigwa Marufuku Tai Nyekundu

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amewataka wabunge kutovaa tai nyekundu leo jioni Alhamisi Aprili 22, 2021 wakati Rais Samia Suluhu...

READ MORE

Ratiba Kamili Rais Samia Atakavyohutubia Bunge kwa Mara ya Kwanza

Leo Alhamisi Aprili 22, 2021 kuanzia saa 10 jioni Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atalihutubia Bunge kwa mara ya...

READ MORE

Bodaboda Asakwa kwa Kumbaka Mwanafunzi

  Jeshi la Polisi Mkoani Manyara, linamsaka Pascal Fisoo, mkazi wa Kijiji cha Soraa, Babati mkoani Manyara ambaye ni dereva...

READ MORE

Chad: Waasi Watishia Kumtoa Madarakani Rais wa Mpito

  VYAMA vikuu vya upinzani nchini Chad vinasema uteuzi wa mtoto wa aliyekuwa rais wa taifa hilo Idris Deby, Mahamat...

READ MORE

Marekani: Binti wa Miaka 16 Apigwa Risasi na Polisi

Ma’Khia Bryant amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na Polisi wa Colombus, Jimbo la Ohio kutokana na kile kilichodaiwa kuwa...

READ MORE

Washindi Grande Finale NMB MastaBata Wakabidhiwa Tiketi, Zawadi zao

  Washindi 12 wa zawadi kuu ‘Grande Finale’ ya Kampeni ya NMB MastaBata ‘Siyo Kikawaida’ wamekabidhiwa zawadi zao mbalimbali, zikiwemo...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wa China

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wa China...

READ MORE

Spika Ndugai Awaita Mawaziri, Wabunge Dodoma

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amewataka mawaziri, manaibu wao na wabunge wote wawepo bungeni kesho Alhamisi Aprili 22,...

READ MORE

Balozi Mulamula Akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Sauzi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula akutana na kufanya mazungumzo na Waziri...

READ MORE

Shaka Ssali Astaafu, Kuagwa Rasmi Voice of America

Mtangazaji mkongwe wa Kipindi cha Straight Talk Africa kinachorushwa na Kituo cha Runinga na Redio cha Voice of America cha...

READ MORE

Prof Jay Afunguka Ishu ya Harmonize, Rayvanny – Video

  MKONGWE wa Muziki nchini, Professor Jay, leo Aprili amepiga stori kwenye kipindi cha Bongo 255 cha 255 Global Radio...

READ MORE

Ndugai Awataka Wabunge Kurejea Dodoma-Video

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai, amewataka mawaziri, wabunge wote waliopo nje ya Jiji la...

READ MORE

Akaunti za benki za THRDC Zafunguliwa

Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umesema akaunti za benki za mtandao zilizofungwa kwa takribani miezi minane...

READ MORE

Marekani: Chauvin Akutwa na Hatia ya Kumuua Floyd

Majaji nchini Marekani wamempata na hatia afisa wa polisi wa zamani kufuatia kifo cha Mmarekani mweusi George Floyd huko Minneapolis...

READ MORE

Majaliwa: Serikali Ikoimara, Watanzania Endeleeni Kuiamini

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ipo imara na miradi yote ya kimkakati inaendelea kujengwa, hivyo Watanzania waendelee kuwa na...

READ MORE

Wasanii Kuweka Maudhui Youtube Bila Kulipa Ada ya Leseni TCRA

  KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi amesema Wizara yake, Wizara ya Mawasiliano...

READ MORE

Makonda: Sio Lazima Kuteuliwa

ALIYEKUWA mkuu wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kwa sasa sio lazima ateuliwe au apigiwe...

READ MORE

Jeshi Lavunja Serikali ya Chad, Mtoto wa Deby Kuwa Rais wa Mpito

Kufuatia kifo cha Rais Idriss Deby kilichotangazwa jana Aprili 20, 2021 imeelezwa Jeshi litaongoza Nchi kwa kipindi cha miezi 18,...

READ MORE

Wanaswa na Polisi Wakijifanya Wana Ulemavu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limewakata watu watatu eneo la Himo Wilaya ya Moshi kwa madai ya kujifanya wana...

READ MORE

Breaking: Rais wa Chad Auawa na Waasi Baada ya Kushinda Uchaguzi

Rais wa Chad, Idriss Deby (68) amefariki dunia saa chache baada ya kutangazwa kushinda uchaguzi wa Urais kwa muhula wa...

READ MORE

Kamanda Mambosasa Afafanua Sakata la Kukamatwa Kajala na Paula

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa amethibitisha kukamatwa kwa msanii wa filamu, Kajala Masanja...

READ MORE

Dkt. Tulia: Milioni 50 Kila Kijiji Haipo, Rais Samia Hakuahidi

Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson amewataka wabunge kutombebesha Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan mzigo ambao...

READ MORE

Rais Samia Akutana Na Spika Ndugai Ikulu Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo tarehe Aprili 20, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na...

READ MORE

Magesa Asimamishwa Kazi

WAZIRI wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Magesa Boniphace kuanzia leo Aprili 20,...

READ MORE

Helkopta Yafanikiwa Kupaa Sayari ya Mars

Ndege aina ya helkopta yafanikiwa kupaa juu katika sayari ya Mars. Kwa mujibu wa wanasayansi wa Marekani wa shirika la...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi Mpya Jioni Hii

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali ambapo amemteua Prof. John...

READ MORE

Urusi Yawatimua Wanadiplomasia 20 wa Czech

Urusi imewaamuru wanadiplomasia 20 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Czech na kuwapa muda wa siku moja kuondoka mara moja nchini...

READ MORE

Mmoja Ashikiliwa Mauaji Mtangazaji ITV/Radio One

JESHI la Polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni linamshikilia mtu mmoja kufuatia kifo cha aliyekuwa mtangazaji wa ITV, Blandina Sembu.  ...

READ MORE