×

Habari

Dkt. Tulia: Milioni 50 Kila Kijiji Haipo, Rais Samia Hakuahidi

Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson amewataka wabunge kutombebesha Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan mzigo ambao...

READ MORE

Rais Samia Akutana Na Spika Ndugai Ikulu Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo tarehe Aprili 20, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na...

READ MORE

Magesa Asimamishwa Kazi

WAZIRI wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Magesa Boniphace kuanzia leo Aprili 20,...

READ MORE

Helkopta Yafanikiwa Kupaa Sayari ya Mars

Ndege aina ya helkopta yafanikiwa kupaa juu katika sayari ya Mars. Kwa mujibu wa wanasayansi wa Marekani wa shirika la...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi Mpya Jioni Hii

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali ambapo amemteua Prof. John...

READ MORE

Urusi Yawatimua Wanadiplomasia 20 wa Czech

Urusi imewaamuru wanadiplomasia 20 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Czech na kuwapa muda wa siku moja kuondoka mara moja nchini...

READ MORE

Mmoja Ashikiliwa Mauaji Mtangazaji ITV/Radio One

JESHI la Polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni linamshikilia mtu mmoja kufuatia kifo cha aliyekuwa mtangazaji wa ITV, Blandina Sembu.  ...

READ MORE

Rais Samia Kulihutubia Bunge Aprili 22

Rais Samia Suluhu Hassan atahutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Aprili 22, 2021. Spika wa Bunge, Job Ndugai...

READ MORE

Mkuu wa Shirika la Reli Misri Ajiuzulu Baada ya Ajali Kuua Watu 11

Mkuu wa Shirika la Reli la Misri amejiuzulu baada ya kutokea ajali ya tatu ya treni nchini humo katika kipindi...

READ MORE

Kimeumana! Waziri Mkuu Amtumbua Mkurugenzi wa Fedha DART – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Fedha wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), Suzana Steven Chaula baada...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mazungumzo na Benki ya Dunia

Rais Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na mkurugenzi mkazi wa Benki ya Dunia, Mara Warwick.     Katika...

READ MORE

Wanaswa Wakiiba Simu Game ya Simba na Mwadui

Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linawashilikilia wanaume watatu kwa tuhuma za wizi wa simu za mkononi wakati wa mechi ya...

READ MORE

Shigongo: Tusiwe na Wasiwasi, Mama Samia Yuko Vizuri – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amewaasa Watanzania kutokuwa na hofu kwani Rais tuliye naye sasa Mama Samia Suluhu ataendeleza yale...

READ MORE

Mrembo Auawa Baada ya Kumkataa Mpenzi Wake

Ukizitazama picha maridadi za mrembo mwenye miaka 25, Catherine Nyokabi ambaye ameuawa kinyama na mpenzi wake, utatambua kwamba alikuwa mja...

READ MORE

Wanaume Wawili Wapoteza Fahamu Baada ya Kuiba Nguruwe

  Kumetokea tukio la aina aina yake huko Shinyalu, Kaunti ya Kakamega nchini Kenya baada ya wanaume wawili wanaodaiwa kuiba...

READ MORE

Shigongo Amwandikia Barua Ndugai “Mtaala wa Elimu Upitiwe” – Video

Mbunge wa Jimbo la Buchosa Eric Shigongo amewasilisha kwa njia ya barua hoja binafsi kwa Spika Job Ndugai ili kujadili...

READ MORE

Waziri Mkuu Akasirishwa na Mwenendo Mbovu Mradi wa Mabasi ya Mwendokasi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, leo amefanya ziara katika mradi wa mwendokasi kwa kuanzia na kituo cha Gerezani, Kariakoo na kubaini...

READ MORE

Rais Samia Amwapisha Balozi Mndolwa – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuapisha aliyekuwa Balozi Mteule Yusuph Mndolwa Tindi kuwa Balozi...

READ MORE

Ndoa Iliyowagusa Wengi, Mume Mlemavu, Wafunguka Historia Yao – Video

GLOBAL TV imefunga safari hadi mkoani Tanga, kwa ajili ya kufanya mahojiano na wanandoa ambao harusi yao ime trend sana...

READ MORE

Rais Samia Aweka Aaanika Atakachokifanya kwa Miaka 5 – Video

RAIS Samia Samia Suluhu amesema uongozi wake wa Awamu ya Sita haukutokana na uchaguzi, bali umetokana na Awamu ya Tano...

READ MORE

Mama Janet Magufuli ni Mgonjwa

Joseph Magufuli ambaye ni mtoto wa aliyekuwa rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt....

READ MORE

Benki ya Exim Yajizatiti na ‘Mteja Kwanza’ Huduma Kidigitali

Dar es Salaam: Aprili 18, 2021: Benki ya Exim imesisitiza kuhusu mkakati wake wa kuwekeza na kutanguliza zaidi maslahi ya wateja...

READ MORE

Mtoto Miaka 7 Adaiwa Kubakwa na Babu Yake, Bibi Akiwa Amelazwa

WAKATI Taifa na wanaharakati mbalimbali wakiendeleza mapambano dhidi ya vitendo vya ukatili kwa wanawake na watoto, matukio ya udhalilishaji na...

READ MORE

NMB Yazindua Bima ya simu za Mkononi

BENKI ya NMB kwa kushirikiana Kampuni ya Reliance Insuarance, wamezindua huduma mpya na ya kipekee ya bima, inayolenga kulipia gharama...

READ MORE

Waziri Aweso Amsimamisha Bosi wa Maji

WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso leo Aprili 18, amewasimamisha kazi kupisha uchunguzi, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa...

READ MORE

Wabunge Wamtibua Rais Samia – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka wabunge kuwa na mijadala inayojikita katika kupitisha bajeti za...

READ MORE

Rc Kunenge: Barabara Makongo Ikamilike Kabla ya Octoba

MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam, Aboubakar Kunenge, leo Aprili 18, amefanya ziara ya kukagua miradi minne ya maendeleo...

READ MORE

Vijana 854 Waliogoma Jeshini Watimuliwa

MKUU wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo, ameeleza kusikitishwa kwake na vijana 854 wa Jeshi la Kujenga Taifa...

READ MORE

MI CASA X YouNotUs Ndani ya “CHUCKS”

  KUNDI mahiri la muziki kutoka nchini Afrika Kusini, Mi Casa kwa kushirikiana na Kundi la YouNotUs kutoka Berlin nchini...

READ MORE

Global Yagawa Nailoni Kwa Wauzaji wa Magazeti Dar

MAOFISA usambazaji wa Kampuni ya Global Publishers Ltd ambao ni wachapishaji wa Magazeti ya Uwazi, Championi, Amani, Risasi na Ijumaa...

READ MORE

Takukuru Yamwachia Kakoko kwa Dhamana

Mkurugenzi wa Takukuru, Brigedia Jenerali, John Mbungo amesema, imemwachia kwa dhamana, aliyekuwa Mkurugenzi wa Bandari, Deusdedit Kakoko, baada ya kumaliza...

READ MORE

Wasomaji wa Championi Warudishiwa Marambili Fedha Waliyonunulia Gazeti

IKIWA sasa ni msimu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani ambapo waislam wako katika mfungo, timu ya masoko ya Kampuni ya...

READ MORE

Cuba Kutokuwa na Kiongozi Anayeitwa Castro

Baada ya miaka 62, Taifa la Cuba litaamka Jumatatu bila kuwa na Kiongozi wa Nchi anayeitwa Castro. Raúl Castro anatarajiwa...

READ MORE

Mdee Acharuka: Serikali Ilipe Deni

Mbunge wa Viti Maalum, Halima Mdee, ameitaka Serikali kulipa deni inalodaiwa katika Mifuko ya Hifadhi za Jamii ili Wastaafu walipwe...

READ MORE

Wanawake Washauriwa Kutoshika Ujauzito

SERIKALI ya Brazil imetoa wito wanawake nchini humo kuacha kupata ujauzito angalau hadi baada ya kushuka kwa viwango vya maambukizo...

READ MORE

Watu Nane Wakamatwa kwa Kutofunga Mwezi Mtukufu

  WATU nane wamekamatwa na polisi wa Kiislamu katika jimbo la Kano kaskazini mwa Nigeria  kwa madai ya kukataa kufunga...

READ MORE

Othman: Nitashirikiana na Rais Mwinyi Masheikh wa Uamsho Watendewe Haki

MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Othman Masoud Othman amesema yupo tayari kushirikiana na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi...

READ MORE

Umoja wa Mataifa Wamkumbuka Magufuli kwa Aiyoifanyia Tanzania

Baadhi ya viongozi katika kikao cha 75 cha mkutano wa 59 wa Umoja wa Mataifa (UN) uliofanyika jana Ijumaa Aprili...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi Mpya, Majina Haya Hapa

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa wasaidizi wake kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo wa uchumi, siasa, sheria na...

READ MORE

Mkurugenzi Aanguka Baada ya Chanjo ya AstraZeneca Kusitishwa

KIONGOZI wa juu wa Shirika la Dawa nchini Denmark ameanguka na kupoteza fahamu wakati Serikali ikitangaza kusitisha kuwapa wananchi wake...

READ MORE