×

Habari

Serikali Yaagiza Wamiliki wa Kumbi za Burudani Kuzingatia Sheria

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo amewaagiza wamiliki wa kumbi za starehe...

READ MORE

Wabadilishana Wake Zao Kumaliza Skendo ya Uzinzi Vichakani

WANAUME wawili kutoka Uganda wameamua kubadilishana wake zao ili kumaliza sakata ya uzinzi kwa amani, hii ni baada ya mmoja wao...

READ MORE

Patrick Mfugale Afariki Dunia

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), Mhandisi Patrick Mfugale, amefariki dunia leo Juni 29, 2021 katika Hospitali ya...

READ MORE

Mmiliki wa Gari Lililosababisha Vifo Moro Ajisalimisha Polisi

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro,  Fotunatus Muslimu amesema mmiliki wa gari lililosababisha vifo vya watu tisa eneo la Nanenane ...

READ MORE

Rais Samia Afungua Kikao cha NEC Dodoma

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Samia Suluhu Hassan leo Juni 29, 2021 amefungua Kikao cha Halmashauri Kuu ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Azindua Mpango Wa Tatu Wa Maendeleo (Picha +Video)

WAZIRI MKUU amezindua Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/2022–2025/2026 utakaogharimu shilingi trilioni 114.8, ambapo sekta...

READ MORE

Breaking: Jacob Zuma Ahukumiwa Kifungo Cha Miezi 15 Jela

Mahakama ya Kikatiba nchini Afrika Kusini leo Juni 29, 2021 imemuhukumu Rais Mstaafu Jacob Zuma kifungo cha miezi 15, kwa...

READ MORE

Mageuzi Makubwa Kufanyika Wizara ya Maji

WIZARA ya Maji imesema inafanya mageuzi makubwa kwenye suala la maji na kwamba inataka kujua idadi ya vijiji vyote vilivyopo...

READ MORE

Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Kukutana Dodoma

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuujulisha umma kuwa Jumanne tarehe 29 Juni 2021 kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa kitafanyika...

READ MORE

Gomes Anogewa na Lwanga, Mzamiru

KOCHA Mkuu wa Simba, Didier Gomes amefunguka kuwa siri kubwa ya ubora kikosi chake katika kuchezea mpira inatokana na balansi...

READ MORE

Baraza la Taifa la Mashirika  yasiyo ya kiserikali Latangaza Ratiba Ya Uchaguzi Mkuu

  BARAZA la Taifa la Mashirika  yasiyo ya kiserikali (NaCoNGO) linatarajia  kufanyaka uchaguzi wake  kitaifa Julai 8, Mwaka huu jijini Dodoma kuweza kupata  safu  mpya...

READ MORE

Waziri Biteko Azindua ‘NMB Mining Club’

Benki ya NMB imeendelea kuweka historia nyingine tena kwa kuzindua jukwaa la kwanza nchini mahsusi la kuwahudumia wadau wa Sekta...

READ MORE

Makalla Apokea Mabasi 70

MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makalla leo Juni 28 amepokea Mabasi 70 ya Mwendokasi kwaajili ya kuongeza...

READ MORE

Tanzania Kunufaika Soko la Eneo Huru la Biashara Afrika

  SERIKALI ya Tanzania inategemea kunufaika na soko la bidhaa zake katika masoko ya nje baada ya kusainiwa kwa Mkataba...

READ MORE

Rais Samia: Tanzania Ina Wagonjwa Zaidi ya 100 wa Corona

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania ina zaidi ya wagonjwa 100 wa Covid-19 na kuwataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari ili...

READ MORE

Rc Makalla Atoa Wiki Moja kwa Latra

MKUUwa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla, Leo Juni 28, amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Temeke Jokate Mwegelo kuwaelekeza...

READ MORE

Polisi Watuhumiwa Kumuua Mtoto wa Miaka 13

POLISI nchini Uganda, linachunguza mauaji ya Ester Naula(13) ambaye amedaiwa kupigwa risasi na polisi kwa kukutwa nje saa moja na...

READ MORE

JK Awapasha Wana-Yanga

RAIS mstaafu wa  Tanzania wa awamu ya nne   Jakaya Mrisho Kikwete   Juni 27, alikuwa mgeni rasmi katika mkutano mkuu wa...

READ MORE

Dkt. Mpango Asisitiza Kuchukua Tahadhari ya Corona

MAKAMU wa Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. Philip Isdor Mpango  Juni 27, amefungua Mkutano Mkuu wa Baraza...

READ MORE

Waziri Ajiuzulu kwa Kuvunja Masharti ya Corona

WAZIRI wa Afya wa Uingereza, Matt Hancock   Juni 28, amejiuzulu wadhifa wake  baada ya kuvunja Sheria ya kuweka umbali wa...

READ MORE

NMB Yazidi Kuwa Karibu na Wateja Wao

Benki ya NMB imeendelea kuwa karibu na wateja wake zaidi ya 700 wa mikoa ya Dodoma, Singida na Manyara kupitia...

READ MORE

Wazazi Wampeleka Kibu Yanga

MSHAMBULIAJI wa kikosi cha Mbeya City, Kibu Denis amekiri kuwa kuna uwezekano mkubwa wa yeye kumalizana na Yanga, kutokana na...

READ MORE

Kamati ya Bunge Ya Kudumu Viwanda, Biashara na Mazingira Yaagiza WMA na WRRM Kuboresha Utendaji Kazi

  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira imeagiza Wakala wa Vipimo (WMA) na Bodi ya Usimamizi...

READ MORE

Chongolo Awataka Wabunge wa UWT Kusimamia Utolewaji wa Fedha

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amewataka wabunge wanaotokana na Jumuiya ya wanawake Tanzania (UWT) kusimamia...

READ MORE

Rais Samia: Mazungumzo ya Bandari Bagamoyo Yanaendelea

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema serikali imeanza mazungumzo ya kufufua mradi wa bandari ya...

READ MORE

TAMISEMI Yatangaza Ajira Mpya Kada ya Afya

Ofisi ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)  imetangaza orodha ya majina ya  ajira kwa kada...

READ MORE

Aliyemuua George Floyd Ahukumiwa Miaka 22 Jela

ALIYEKUWA  Polisi Minnesota Marekani Derek Chauvin jana Juni 25, amehukumiwa kifungo cha miaka 22 na nusu jela baada ya kukutwa...

READ MORE

Baraza la Taifa la Uratibu wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali Kufanya Uchaguzi Julai

    Katika kuelekea kufanyika uchaguzi Mkuu wa BARAZA la Taifa la Uratibu wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NaCoNGO), unaotarajiwa...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Kurejeshewa Mil. 350

Mahakama Kuu imebatilisha hukumu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya kesi ya Jinai iliyokuwa ikimkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman...

READ MORE

Baraza la wazee Mkoa wa Dar Wambariki Katibu Wa CCM

BARAZA la Wazee la Mkoa wa Dar es Salaam, limembariki Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa mkoa huo, Shaibu...

READ MORE

Ndugai: Hakuna Anayelidai Bunge

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Job Ndugai amewaonya wanaotoa taarifa za upotoshaji zenye lengo la...

READ MORE

Katibu Mkuu UVCCM Apokelewa Makao Makuu Dodoma

KATIBU Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Kenani Kihongosiamewataka Vijana kutumia mitandao ya kijami kwa kupata...

READ MORE

Rais Ataka Kuvunja Ndoa ya Miaka 32

BAADA ya kuondolewa kesi na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), Rais zamani wa Ivory Coast, Laurent Gbagbo amewasilisha kesi...

READ MORE

Rais Samia:Nchi imekumbwa na Wimbi la Tatu la Corona

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema tayari nchi imekumbwa na wimbi la tatu la ugonjwa...

READ MORE

Mgunduzi wa Antivirus Afariki Gerezani

TAARIFA mbaya leo hii iliyochapishwa kwenye tovuti mbalimbali za habari za kimataifa ni kwamba, mgunduzi wa McAfee; ambayo ni antivirus...

READ MORE

Mbivu Na Mbichi Kuelekea Fainali Ya Euro 2020

Baada ya timu 24 kuoneshana uwezo kwenye hatua ya makundi, sasa ni timu 16 tu zitakazoendelea na mashindano ya Euro...

READ MORE

Tanzia :Padri Privatus Karugendo Afariki Dunia

PADRI Privatus Karugendo amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Ijumaa Juni 25, 2021 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) alikokuwa...

READ MORE

Watoto Waelimishwe Umuhimu wa Kulipa Kodi

WAZIRI wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema kuwa ipo haja kwa watoto wadogo kuanza kuelimishwa juu ya umuhimu...

READ MORE

Semina Kwa Washiriki wa Maonesho Sabasaba Kufanyika Kesho Dar

SEMINA kwa Washiriki wa Maonesho ya 45 ya DITF, 2021 itafanyika kesho Juni 26, 2021 katika Jengo la JWTZ kwenye...

READ MORE

Gari La Mondi Msamiati Uleule

MTI wenye matunda ndiyo hupigwa mawe; ni msamiati ambao umekuwa ukijirudia kwenye maisha ya msanii Diamond au Mondi. Awali Mondi...

READ MORE