×

Habari

Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi Wachangia Milioni 30 Ujenzi wa Msikiti

  Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama wamekabidhi Shilingi milioni 30  ujenzi wa msikiti wa kisasa wa  Wilaya ya...

READ MORE

Shinzo Abe Ajiuzulu Uwaziri Mkuu wa Japan

Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe ametangaza kwamba amejiuzulu kutokana na sababu za kiafya.   Amesema kwamba hataki maradhi alionayo...

READ MORE

Tuyisenge Aaga Rasmi Luanda, Yanga Washindwe Wao Tu

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Petro de Luanda anayetajwa kuwindwa na Yanga, Jacques Tuyisenge kupitia mtandao wake wa kijamii wa Instagram,...

READ MORE

TCRA Imeipiga Fani ya Bilioni 11.89 Kampuni ya Raha

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeipiga Faini ya Sh.bilioni 11.89 Kampuni ya Raha Limited watoa huduma ya Internet kwa makosa...

READ MORE

Museveni Atangaza Siku ya Maombi Kitaifa Dhidi ya Corona

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni ametangaza Jumamosi ya wiki hii kuwa siku ya kitaifa ya maombi kwa ajili ya Covid-19....

READ MORE

Mali: Rais Keita Aachiliwa na Wanajeshi

ALIYEKUWA Rais wa Mali, Ibrahim Boubacar Keita, aliyekamatwa Agosti 18, mwaka huu na kundi la wanajeshi lililofanya mapinduzi, ameachiliwa huru...

READ MORE

Aliyesakwa Miaka 12 na FBI kwa Mauaji ya Watoto Wake Anaswa!

DEREVA wa teksi, Yaser Abdel Said (63),  aliyekuwa akisakwa na Shirika la Upelelezi la Marekani  (FBI) kwa tuhuma za mauaji...

READ MORE

Nyumba Yateketea Kwa Moto Sinza Kumekucha (Picha +Video)

MOTO mkubwa ulizuka usiku wa kuamkia leo Agosti 28, 2020 na teketeza nyumba na mali zilizomo ndani katika maeneo ya...

READ MORE

Mke wa Mtu Auawa na Mchepuko kwa Kufumaniwa na Mchepuko!

JESHI la Polisi mkoani Kagera linamshikilia kijana mmoja aitwaye Derick Dambuve mwenye umri wa 26 kwa kumuua mke wa mtu,...

READ MORE

Ajali Basi la NBS na Gari Dogo Yaua Watano Shinyanga

WATU watano wamefariki dunia papo hapo katika ajali iliyohusisha gari ndogo lililogongana na basi  la Kampuni ya NBS katika kijiji...

READ MORE

Joash Onyango: Nitawakomesha Wanaoniita Mzee

BEKI wa kati mpya katika kikosi cha Simba, Joash Onyango ambaye ni raia wa Kenya, amesema kuwa amesikia kuna baadhi...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Agosti 28, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 28, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Benki ya NMB Yafungua Tawi Malinyi-Morogoro

  Benki ya NMB imeendelea kupanua wigo wake kwa kufungua tawi ‘NMB Malinyi’ katika wilaya ya Malinyi Mkoani Morogoro. Ufunguzi...

READ MORE

Mastaa wa 5 wa Kiume Wakali wa Pamba Bongo

MWAKA jana mbunifu wa mavazi nchini; Martin Kadinda, aliwahi kusema kuwa, asilimia kubwa ya wasanii wa kiume Bongo, hawajui kuvaa....

READ MORE

Aliyeangukiwa na lori Akilitengeneza “Nimevunjika Mgongo” – Video

Hakika kabla hujafa hujaumbika na hivi ndivyo ambavyo imekuwa kwa kijana Samweli ambaye amelala kitandani kwa miaka 12 baada ya...

READ MORE

Walionaswa Wakijiunganishia Umeme Wapandishwa Kortini – Video

WATU wawili na wafanyabiashara wakazi wa jiji la Dar es Salaam, Nassoro Halfa (40)na Mussa Saidi (49) wamefikishwa katika mahakama...

READ MORE

Kitilya na Wenzake Walipa Bil 1.5, Waachiwa Huru

Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Biswalo Mganga amewafutia Mashtaka yote Mkurugenzi wa Kampuni ya Ushauri wa Uwekezaji na Upatikanaji wa Fedha,...

READ MORE

Jeff Bezos Awa Tajiri wa Kwanza Duniani Kufikisha USD Bil 200

MKURUGENZI wa Kampuni ya Amazon, Jeff Bezos,  amekuwa mtu kwa kwanza duniani kuwa na utajiri wa Dola milioni 200. Imeelezwa...

READ MORE

TCRA Yazifungia Clouds TV, Clouds FM Siku 7

MAMLAKA  ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeagiza Clouds TV na Clouds FM (Redio) kusitisha matangazo yao kwa muda wa siku saba...

READ MORE

Wafanyakazi Waandamana Wakidai ‘Nyongeza ya Covid-19’

Wafanyakazi katika sekta ya afya pamoja na elimu jijini Johannesburg nchini afrika kusini wameandamana nje ya makao makuu ya jengo...

READ MORE

Aliyeua Waumini 51 Misikiti 2 New Zealand Jela Maisha

MSHAMBULIAJI ambaye aliwaua kwa bunduki waumini 51 kwenye misikiti miwili nchini New Zealand amehukumiwa kifungo cha maisha jela na kwa...

READ MORE

Marekani Yatengeneza Gari Linalopaa Kama Ndege

HATIMAYE magari yenye kupaa yamewasili!  Baada ya jitihada za kuunga mashine mbalimbali na kufanya majaribio kadhaa, Jeshi la Anga la...

READ MORE

TCAA Yazuia Mashirika 3 ya Ndege Kenya Kufanya Safari TZ

MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imezizuia kampuni tatu za ndege kutoka Kenya, ambazo ni Air Kenya Express, Fly...

READ MORE

Nmb Bima Marathon Yanukia, Kuanzia Mliman City

  Benki ya NMB, imetangaza wadau mbalimbali wa michezo kushiriki katika Mbio za Nmb Bima Marathon zinazotarajiwa kufanyika Septemba 12,...

READ MORE

NEC Yapiga Chini Mapingamizi ya Lissu Dhidi ya JPM – Video

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema imepokea mapingamizi kutoka kwa mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),...

READ MORE

Dkt. Mwinyi Atikisa Zanzibar Akichukua Fomu

      MGOMBEA wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Mwinyi leo ameisimamisha Zanzibar na viunga...

READ MORE

Yanga Yampiga Chini Kocha Cedric Kaze

Uongozi wa Klabu ya Yanga Umetangaza kumpiga chini kocha aliyekuwa akitarajiwa kutua nchini kwa ajili ya kukinoa kikosi hicho cha...

READ MORE

Morrison: Acheni Kelele Tukutane Uwanjani

NYOTA mpya wa klabu ya Simba, Bernard Morrison amesema kuwa wapinzani wao kwa msimu ujao ikiwemo klabu ya Yanga wamekuwa...

READ MORE

TCU Yafungua Maombi Udahili Shahada ya Kwanza

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imefungua dirisha la maombi ya udahili wa Shahada ya Kwanza, mwaka wa masomo 2020/21....

READ MORE

Dodoma: Basi la Ally’s Lateketea kwa Moto – Video

Basi la Kampuni ya Ally’s linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Mwanza limeteketea kwa moto eneo la...

READ MORE

DStv yazindua msimu mpya wa soka

Wakongwe wa soka nchini watoa rai Dar es Salaam, 26 August 2020, – SuperSport ambayo ni maarufu kwa kurusha mubashara...

READ MORE

Mgombea Ubunge Avamiwa, Aporwa Fomu

MGOMBEA ubunge wa Morogoro Mjini kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Abeid Mlapakolo, amelishukuru Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro kwa...

READ MORE

Lissu Ashindwa Tena Kufika Kortini, Sababu Hii Hapa!

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo  (CHADEMA), Tundu Lissu, ameshindwa kufika katika...

READ MORE

Mabweni ya Wanafunzi Yatima Lateketea kwa Moto

WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari African Muslim iliyopo Moshi Mjini Mkoani Kilimanjaro wamenusurika kifo baada ya kuzuka kwa moto na...

READ MORE

Mwanafunzi Afariki kwa Kula Chakula Harusini, 14 Walazwa

  JESHI la Polisi Mkoa wa Mwanza linachunguza kifo cha mtu mmoja (mwanafunzi) na watu wengine 18 walioathirika kwa kile...

READ MORE

NEC Yafafanua Waliokatwa, ‘Waliopita Bila Kupingwa’ – Video

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo Agosti 26, 2020,  imezungumza na wanahabari kuhusu masuala mbalimbali yahusuyo uchaguzi, ambapo kubwa...

READ MORE

Lindi: Mgombea Ubunge (Chadema) ‘Akamatwa Kwa Rushwa’

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Lindi imemkamata na inamshikilia mgombea ubunge wa Jimbo la Mtama kupitia...

READ MORE

Mwinyi Achukua Fomu ZEC, Aahidi Zanzibar Mpya – Video

MGOMBEA urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein  Mwinyi amechukua fomu za kuomba kuteuliwa kugombea kiti hicho...

READ MORE

Rais Azuiwa Kushiriki Uchaguzi

RAIS wa zamani wa Ivory Coast, Laurent Gbagbo, amezuiwa kugombea urais katika uchaguzi ujao baada ya mahakama kuidhinisha uamuzi wa...

READ MORE