×

Habari

Vodacom Tanzania PLC yawajengea uwezo wa masomo ya sayansi wanafunzi wa kike nchini.

Mkurugenzi  wa Rasilmali Watu, Vodacom Tanzania Plc, Vivianne Penessis  (Kulia) akiongea na wanafunzi  wa shule mbalimbali za sekondari wakati wa kuhitimu mafunzo ya ...

READ MORE

Teknolojia ya Kidijitali ilivyo Fursa ya Kukuza Uchumi Endelevu Tanzania

Katika miaka ya hivi karibuni, teknolojia ya kidijitali nchini Tanzania imezidi kukua na kulisaidia taifa hili kuwa moja ya taifa...

READ MORE

Zaidi ya Wanariadha 3,000 Kushiriki Mbio za NMB Bima Marathon!

  Benki ya NMB inatarajia kukusanya zaidi ya Sh. milioni 100 kwa ajili ya matibabu ya watoto wenye saratani katika...

READ MORE

Mawakala wa Benki ya NMB wapewa elimu kujiepusha na utakatishaji fedha

  Benki ya NMB imetoa mafunzo maalum kwa mawakala wake kuhusiana na namna ya kuzuia utakatishaji fedha; pia mbinu za...

READ MORE

Si Nyingine ni Infinix Zero 8 Kinara wa Kampuni Mbioni Kutambulishwa

Kampuni ya simu ya Infinix mbioni kuzindua Infinix ZERO 8, inasadikika kwa mwaka huu wa 2020 Infinix ZERO 8 ndio...

READ MORE

Rungwe Aahidi Kujenga Daraja Dar Hadi Zanzibar

MGOMBEA urais kupitia chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA), Hashim Rungwe, amesema akipata ridhaa ya kuongoza nchi katika uchaguzi mkuu...

READ MORE

JPM: Mwanza Nichagulieni Wabunge, Madiwani wa CCM -( Picha +Video)

MGOMBEA Urais kupitia CCM, Dkt John Magufuli leo Septemba 6, 2020 amewataka wananchi kuhakikisha endapo wakichagua Rais kutoka chama hicho,...

READ MORE

Wakulima Washauriwa Kutumia Vodacom M-Kulima

Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (kulia)akiteta jambo na Kaimu Mkuu wa Mauzo Vodacom Kanda ya Ziwa, Ahmed Akbarali na...

READ MORE

Ota Benga: Kijana Mkongo Aliyetekwa na Kugeuzwa Maonyesho Marekani

Ota Benga alitekwa nyara huko ambako sasa kunafahamika kama Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo mwaka 1904 na kupelekwa Marekani, lengo...

READ MORE

Mwili wa Agnes Almasy wa ITV Waagwa Dar – Video

MWILI wa aliyekuwa mwandishi wa habari na mtangazaji wa ITV, Agnes Almasy aliyefariki dunia gafla juzi umeagwa katika Kanisa la...

READ MORE

Samia Suluhu Alivyofanya Kampeni Dar, Ataja Miradi Itakayotekelezwa 2020,25

Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan akizungumza  wakati wa mkutano wa Kampeni uliofanyika Tabata...

READ MORE

Afariki Akiongeza Makalio

Daktari mmoja nchini Marekani, Donna Francis ameshtakiwa mara baada ya kusababisha kifo cha mwanamke wa miaka 34 aliyekuwa anamfanyia upasuaji...

READ MORE

TBC na Chadema Wamaliza Mgogoro Wao -Video

Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) jana Ijumaa Septemba 4, 2020 limefanikiwa kumaliza mgogoro uliokuwapo kati ya Chama cha Demokrasia na...

READ MORE

Ratiba Kampeni Wagombea Urais, Makamu Hii Hapa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi nchini  (NEC) leo Septemba 1, 2020 imetoa ratiba ya kampeni za wagombea wa urais na...

READ MORE

Agnes Almasy wa ITV Kuagwa Leo

ALIYEKUWA mwandishi na mtangazaji wa ITV, Agnes Almasy, anatarajiwa kuagwa leo Septemba 5, 2020, jijini Dar es Salaam na baadaye...

READ MORE

Mbwa Watumika Kugundua Covid-19

CHUO Kikuu cha Namibia, kitengo cha dawa ya mifugo, kinawafundisha mbwa kubaini virusi vya corona kwa kunusa. Mpango wa nchi...

READ MORE

CAMFED Yatoa Elimu Ya Biashara Kwa Wasichana Toka Wilaya Tano

      SHIRIKA la CAMFED Tanzania limetoa mafunzo ya elimu ya biashara na ujasiriamali kwa wasichana kutoka katika Wilaya tano...

READ MORE

Patricia Hilary alivyoiteka Shoo ya Jide Mlimani City

Mjeshi Mstaafu wa JKT na Muimba mipasho mkongwe, Patricia Hilary usiku wa kuamkia leo ni kama aliiteka shoo ya mkongwe...

READ MORE

Dodoma: Mtoto Aishi na Jiwe Puani Miaka 12

MADAKTARI wa magonjwa ya sikio, pua na koo (E.N.T) katika Hospitali ya Benjamini Mkapa jijini Dodoma wamefanikiwa kumfanyia upasuaji mtoto...

READ MORE

Kemikali nyingine za milipuko zagunduliwa bandari ya Beirut

JESHI la Lebanon limesema limegundua tani zaidi ya nne za madini ya kemikali ya ammonia nitrate karibu na lango la...

READ MORE

Chadema Iringa Yalia na Hujuma za ‘Wasiojulikana’

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Iringa kimelia na hujuma zinazofanywa na watu wasiojulikana kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa...

READ MORE

Mbaroni Akituhumiwa Kumbaka Binti Yake

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia mkazi wa Kijiji cha Madizini, Kata ya Mtibwa wilayani Mvomero, Shabani Hatibu (50), kwa...

READ MORE

Mmarekani Mwingine Mweusi Auawa na Polisi

MTU mmoja mweusi nchini Marekani, Daniel Prude, amefariki dunia baada ya kundi la polisi nchini humo kumvalisha kofia na kisha...

READ MORE

JPM Aanika Siri ya Chenge, Amwambia Kazi Zipo Nyingi Tu… – Video

  MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Magufuli amemweleza aliyekuwa mbunge wa Bariadi Mkoa wa Simiyu, Andrew...

READ MORE

JPM: Uongozi Haujaribiwi Kama Limao, Nitajenga Airport Simiyu – Video

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Magufuli amewaahidi wananchi wa Mkoa wa Simiyu kujenga uwanja wa ndege...

READ MORE

PM Majaliwa: CCM Haikurupuki

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema hicho hakikurupuki katika kuiwekea...

READ MORE

Simulizi Mwalimu Kuuawa Kikatili Inasikitisha

SIMULIZI ya Mwalimu wa Shule ya Msingi Chalantai, Kata ya Chala, wilayani Nkasi mkoani Rukwa, Tabitha Mwanyanje (29) aliyeuawa kwa...

READ MORE

Waumini, Viongozi Wamkimbia Askofu Wao Baada ya Kumuoa ‘Changudoa’

Askofu mmoja wa kanisa la Kipentekoste huko Magharibi mwa Kenya, amewagawanya waumini wake, baada ya kuamua kumuoa mwanamke mmoja ambaye...

READ MORE

Tanzia: Mtangazaji wa ITV Agnes Almas Afariki Dunia

MWANDISHI wa habari na mtangazaji wa kituo cha televisheni cha ITV, Agnes Almas,  amefariki dunia ghafla mchana wa leo Alhamisi,...

READ MORE

Magufuli Ampigia Chapuo Katambi Ubunge – Video

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)  John Magufuli,  leo  Septemba 03, 2020, amewaomba wananchi wa Shinyanga kumpa kura mgombea...

READ MORE

Mume wa Shamimu Mwasha Asahau Neno la Siri Aomba Akabidhiwe CCTV Camera

  Washtakiwa wawili ambao ni Mfanyabiashara, Abdul Nsembo na Mkewe Shamim Mwasha wanaokabiliwa na mashitaka ya kukutwa na dawa za...

READ MORE

Makada Chadema Wadaiwa Kuchoma Ofisi za Chadema

POLISI Mkoa wa Arusha imewakamata watu watatu, wawili wakiwa ni madereva na ofisa uhamasishaji, wote wa Chama cha Demokrasia na...

READ MORE

Tobi Peanut Butter; Ukianza Kuitumia, Kamwe Hutaiacha!

SIAGI YA TOBI, ni siagi iliyotengenezwa kwa kutumia mashine na teknolojia ya kisasa, huku malighafi yake ikiwa ni karanga halisi...

READ MORE

Rais wa Mali Aliyepinduliwa Alazwa Hospitali

RAIS wa Mali aliyepinduliwa hivi karibuni, Ibrahim Keïta, amelazwa hospitali katika mji mkuu wa nchi hiyo, Bamako. Hata hivyo bado...

READ MORE

Mbele ya JPM, Kigwangalla Asimulia Alivyouza Vitumbua, Jojo – Video

MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Nzega Vijijini na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamis Kigwangalla, amesema kuwa yeye ni...

READ MORE

Bobi Wine Ashitakiwa Akidaiwa Kudanganya Umri Wake

MAHAKAMA nchini Uganda imemtaka mwanasiasa wa upinzani Robert Kyagulanyi, maarufu Bobi Wine, kufika mbele yake kujibu tuhuma za kutoa taarifa...

READ MORE

Watu 90 Wafariki kwa Mafuriko

TAKRIBAN watu tisini wamefariki na wengine karibu  400,000 kuachwa bila makao kufuatia mafuriko makubwa Sudan.   Umoja wa Mataifa unasema...

READ MORE

Precision Yasitisha Safari Zake Kenya

SHIRIKA  la Ndege la Precision Air limetangaza kusitisha kurejeshwa kwa safari zake za Nairobi nchini Kenya kutokana na uhitaji mdogo....

READ MORE

Magufuli Aahidi Neema Zaidi Singida – Video

  MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli amesema shilingi bilioni 470.4 zimetumika katika miradi...

READ MORE