×

Habari

Lindi: Kikwete Aongoza Swala ya Eid El-Adha

RAIS Mstaafu wa awamu ya nne  Jakaya Kikwete ameongoza mamia ya waumini wa dini ya Kiislam katika swala ya Eid...

READ MORE

Denti Kidato Cha Tano Aandaa Maonesho Ya Picha

Rania Nasser ambaye ni Mwanafunzi wa Kidato cha Tano ameandaa maonyesho ya picha yanayojulikana kama ‘Watu wa Tanzania’ ambayo yatafanyika...

READ MORE

Mwanamke Kortini Kunyanyasa Kingono Watoto wa Jirani

MWANAMKE  mmoja anayefahamika kwa jina la Irene James mwenye umri wa miaka 36 amefikishwa mahakama ya hakimu mkazi Tabora akituhumiwa...

READ MORE

ONA MABADILIKO YA SHERIA: Kanuni za Maudhui Mtandaoni 2020

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini Tanzania, Dk. Harrison Mwakyembe amefanya mabadiliko ya sheria ya Kanuni za Maudhui...

READ MORE

Majaliwa: Semeni Mtakayofanya, Si Kubeza ya Wengine – Video

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amewataka wanasiasa kufanya kampeni za kistaarabu mara kampeni za uchaguzi mkuu zitakapofunguliwa ili kuepuka vurugu zinazoweza...

READ MORE

Marekani: Trump Asema Uchaguzi wa Urais Uahirishwe

DONALD TRUMP  ametoa wito kuwa uchaguzi wa rais utakaofanyika Novemba mwaka huu uahirishwe akidai kuongezeka kwa upigaji kura kwa njia...

READ MORE

Majaliwa Azungumza Katika Swala na Baraza la Eid Dar -Video

Eid Al Adha Jijini Dar es Salaam, Majaliwa amesema kuwa ni muhimu kwa wanasiasa kueleza yale waliyopanga kuwasaidia wananchi kuliko...

READ MORE

Kenya Yaruhusu Ndege Nchi 11, Tanzania Haimo

IKIWA siku kadhaa kabla ya kuanza kwa safari za ndege kimataifa, serikali ya Kenya imetangaza mwongozo mpya kuhusu hatua hiyo....

READ MORE

Simbachawene: Polisi Wajipange Vyema Uchaguzi Mkuu

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene,  amelitaka Jeshi la Polisi kudhibiti vurugu zozote au uvunjifu wa sheria...

READ MORE

Bastola, Gobole Vyakamatwa Katika Palanja la Polisi – Video

POLISI  Mkoa wa Mbeya inamshikilia Amani Mpindule (68) Mkazi wa Lualaje kwa tuhuma za kumiliki silaha bunduki aina ya Gobole...

READ MORE

Polisi Dar Yauwa Majambazi Watatu

JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limewaua majambazi watatu na kukamata silaha mbili aina ya Short Gun Pump...

READ MORE

Magereza: Wananchi Ruksa Kutembelea Wafungwa

KUFUATIA kupungua kwa maambukizi ya virusi vya COVID-19 Jeshi la Magereza nchini limefuta masharti ya katazo la huduma ya kuwatembelea...

READ MORE

Breaking: 10 Wafariki Boti Ikizama Ziwa Tanganyika

WATU 10 wamefariki dunia na wengine 87 wakiokolewa, baada ya boti iliyokuwa ikitokea maeneo ya Sibosa kupigwa na dhoruba kisha...

READ MORE

Breaking: Magufuli Amtumbua DC wa Rufiji

Rais Magufuli amemteua Luteni Kanali Patrick Kenani Sawala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani Luteni Kanali Sawala anachukua...

READ MORE

Rais Magufuli Akagua Daraja la Mkapa – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipita na kukagua Daraja la Mkapa linalopita katika...

READ MORE

Marekani: Spika Pelosi Aamuru Wabunge Kuvaa Barakoa

SPIKA wa Bunge la Marekani, Nancy Pelosi, ameamuru kuwa wabunge na wafanyakzi wote wa chombo hicho watapaswa kuvaa barakoa katika...

READ MORE

Mtoto Amkosha Rais Magufuli, Amkabidhi Mil 5 – Video

MTOTO mmoja anayesoma katika Shule ya Msingi Somanga mkoani Lindi, Rehema Mikidadi Ngenje,  amemkosha Rais  John  Magufuli wakati akiwa njiani...

READ MORE

JPM Audhiwa na Waziri, Amwambia ‘Barabara Mbovu’ – Video

RAIS   John  Magufuli ameonyesha kukereka na kitendo cha kukuta kilometa 90 za Barabara ya lami YA Kilwa – Somanga Ikiwa...

READ MORE

JPM Apewa Jogoo: ‘Nitakupa Mama Yangu Uwe Baba’ – Video

MWANANCHI mmoja wa Kijiji cha Somanga, wilayani Kilwa, mkoani Lindi, Shaweji Mohamed Kimbwembwe, ameonyesha kufurahishwa na kazi kubwa anayoifanya Rais...

READ MORE

Lissu Ajiweka Karantini, Ashindwa Kufika Mahakamani

KESI ya uchochezi inayomkabili Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu leo Julai 30, 2020, imeahirishwa hadi Agosti 26, baada ya...

READ MORE

Agizo la JPM Uwanja wa Mkapa Laanza Kutekelezwa

  WIZARA  ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imeanza kutekeleza maelekezo ya Rais  John Magufuli wa kubadili jina la Uwanja...

READ MORE

Mahakama Yataifisha Tanzanite Simanjiro

JULAI 29, 2020, MAHAKAMA  mkoani Manyara, Julai 29, 2020,  imeyataifisha madini ya Tanzanite gramu 132.64 yenye thamani ya shilingi milioni...

READ MORE

Simulizi ya Kusisimua ya Maisha ya Mkapa

MWEZI Novemba mwaka 2019,  Benjamin Mkapa alizindua kitabu juu ya maisha yake, na katika aya ya mwisho ya dibaji aliandika...

READ MORE

Katavi: Polisi Yazima Ndoa Mwanafunzi Darasa la 5

JESHI la Polisi Mkoa wa Katavi limewakamata watuhumiwa 15 wakiwemo wazazi wawili kwa kumwozesha mwananfunzi wa darasa la tano anayesoma...

READ MORE

Aliyepanga Njama za Kumng’oa Rais Mugabe Afariki

WAZIRI wa kilimo wa Zimbabwe Perrance Shiri, amefariki Dunia asubuhi ya jana Jumatano, Julai 29, 2020, wakati akiwa hospitali akipatiwa...

READ MORE

Mkapa Asimulia Bibi Yake Kuuawa kwa Tuhuma za Uchawi

KATIKA maisha ya kimaskini kwenye Kijiji cha Lupaso, familia ya hayati Benjamin Mkapa ilikuwa inaonekana kuwa na maisha mazuri.  ...

READ MORE

India Yanunua Ndege 5 za Kivita Ikiihofia China

JESHI la India limepokea ndege tano za kivita aina ya Rafale huku kukiwa na wasiwasi mkubwa kati yake na China....

READ MORE

Daktari Mweusi Mwenye Dawa ya Corona Inayomkuna Trump

STELLA IMMANUEL ni daktari ambaye amekuwa chanzo cha mkanganyiko kuhusu madai ambayo hayajathibitishwa kuhusu dawa ya malaria kuwa na uwezo...

READ MORE

Simanzi Kubwa! Safari ya Mwisho ya Mkapa, Lupaso – (Picha + Video)

BENJAMIN William Mkapa, Rais mstaafu wa awamu ya tatu wa Tanzania, amehitimisha safari yake ya siku 29,845 hapa duniani. Safari...

READ MORE

Mwinyi: Mungu Msamehe Mkapa, Nilibeba Viatu Begani – Video

RAIS mstaafu wa awamu ya pili wa Tanzania, Alhaji Ali Hassan Mwinyi, amemwomba Mwenyezi Mungu kumsamehe Hayati Benjamin William Mkapa...

READ MORE

Mwijaku Kortini kwa Tuhuma za Kusambaza Picha za Utupu

MTANGAZAJI na msanii, Mwemba Burton maarufu Mwijaku (35) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam, leo...

READ MORE

Wakurugenzi Apple, Facebook, Amazon na Google Kuhojiwa

Mark Zuckerberg (Facebook), Jeff Bezos (Amazon), Tim Cook (Apple) na Sundar Pichai (Google) watahojiwa na Bunge kuhusu wanavyokabiliana na taarifa...

READ MORE

JPM: Mkapa Alikataa Kuzikwa Dodoma – Video

RAIS John Magufuli amesema rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin  Mkapa alipenda nyumbani kwao Masasi ndiyo maana alikataa kuzikwa...

READ MORE

Kikwete: Viwanda, Uchumi wa Kati Dira ya Mkapa – Video

RAIS mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema sera ya kukuza uchumi na kujenga viwanda ilikuwa ni dira  aliyoitengeneza...

READ MORE

Askofu Nyaisonga: Mkapa Kukiri Aliyokosea ni Unyenyekevu

RAIS wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Mhashamu Askofu Gervas Nyaisonga, amesema kitendo Hayati Benjamin Mkapa kukiri mambo aliyowahi kukosea...

READ MORE

Trump Akomalia Hydroxychloroquine Kutibu COVID-19

RAIS wa Marekani, Donald Trump kwa mara nyingine ametetea matumizi ya hydroxychloroquine kupambana na virusi vya corona,  jambo ambalo limewachanganya...

READ MORE

Daktari Mbaroni Tuhuma za Kumpa Mimba Mwanaye

MWANAFUNZI wa Chuo cha Udaktari wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara na mkazi wa Mburahati jijini Dar es Salaam na Itunduma...

READ MORE

China Yasimamisha Ushirikiano wa Hong Kong na Canada, Australia & Uingereza

CHINA imetangaza kuwa inasimamisha mkataba wa kubadilisha wahalifu kati ya kisiwa chake cha Hong Kong na mataifa ya Canada, Australia...

READ MORE

Serikali Yafafanua Ndege ya Kenya Kushindwa Kutua Tanzania

UBALOZI wa Tanzania nchini Kenya umekanusha taarifa kuwa ujumbe rasmi uliomwakilisha Rais Uhuru Kenyatta katika msiba wa Rais Mstaafu Benjamin...

READ MORE

Iran Yafanya Mazoezi ya Kuzilenga Meli za Kivita

WANAJESHI wa kikosi cha kulinda mapinduzi cha Iran wamefyatua makombora kukilenga chombo cha mfano wa meli zenye uwezo wa kubeba...

READ MORE