×

Habari

CAG Abaini Madudu CUF, CCM, Amkabidhi JPM – Video

  CHAMA cha Wananchi (CUF) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), vinatajwa kwa matumizi mabaya ya fedha katika Ripoti ya Ukaguzi...

READ MORE

Mgonjwa wa Kwanza wa Corona Tanzania Apona

ISABELA Mwampamba (46), mgonjwa wa kwanza kupatikana na virusi vya corona (COVID-19) nchini Tanzania, amepona na yupo huru kuungana na...

READ MORE

Feza Yaendelea Na Elimu Mtandaoni

Baada ya mashule kufungwa kwa kipindi cha siku 30 na watoto wakiwa nyumbani ili kujikinga na janga la Corona ambalo...

READ MORE

CCM Yamhoji Naibu Waziri Waitara

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mwita Waitara amezungumzia taarifa za...

READ MORE

Corona: Mbowe Karantini Siku 14

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, sasa yupo chini ya karantini na amechukua hatua hiyo yeye...

READ MORE

Breaking: Wagonjwa wa Corona Wafikia 13 Tanzania

  WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, amesema idadi ya wagonjwa walioambukizwa virusi vya...

READ MORE

Wafungwa 4,000 Waachiwa Huru Kisa Corona

ZAIDI ya wafungwa 4,000 wameachiwa huru nchini Ethiopia ikiwa ni hatua ambayo serikali hiyo imechukua ili kudhibiti maambukizi ya virusi...

READ MORE

Muuguzi Aliyepata Coronavirus Ajiua

MUUGUZI aliyekuwa akifanya kazi katika Kitengo Maalum cha Kupambana na Maambukizi ya Virusi vya Corona nchini Italy, Daniela Trezzi (34)...

READ MORE

Corona: Rais DRC Atangaza Hali ya Hatari Nchi Nzima

RAIS Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ametangaza hali ya hatari nchini kote, ikiwa ni juhudi za...

READ MORE

Ghafla tu, Corona Imegeuka Bonge la Dili!

“MGENI kwetu ameingiaa… Mgeni…mgeniii… mgeni… Mgeni huyu Ukimwiii..! “Mgeni chumbani ameingiaaa… Chumbani kwa baba na mamaaa… Mgeni… mgeniii, mgeni huyu...

READ MORE

Vilio Vyatawala Mwili wa Makongoro Ukiwasili Kwake – Video

  MWILI wa aliyekuwa mwanasiasa mkongwe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kichama wa Ilala Jijini...

READ MORE

Bahati Nasibu Ya Shinda Gari Ilivyotikisa Tabata Mawenzi

Bahati Nasibu ya shinda gari  iliyopewa jina la Chomoka na Gari Mpya  inayopatikana kupitia magazeti ya Championi na Spoti Xtra ambapo wasomaji...

READ MORE

Bilionea Jack Ma Amwaga Misaada Tanzania Kukabiliana na Corona

  Vifaa tiba vilivyotolewa na mfanyabiashara kutoka China, JackMa kwa ajili ya kupambana na virusi vya Corona nchini Tanzania vimewasili...

READ MORE

Godbless Lema Afikishwa Mahakamani

Mbunge wa jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema amefikishwa mahakamani mkoani Singida na kusomewa mashitaka 15. Tarehe mbili mwezi huu,...

READ MORE

Msanii Mpya wa Harmonize Aliyezua Kizaazaa Afunguka – Video

GLOBAL TV imepiga stori na mwanamuziki Chipukizi, Harmocent ambaye anamuiga mwanamuziki, Harmonize, kwenye kila kitu kuanzia muonekano hadi maisha yake...

READ MORE

Breaking: Wahamiaji 64 Wafariki Ndani ya Kontena – Video

  Raia 64 wa Ethiopia wamekutwa wamefariki na wengine 14 wakiwa hai ndani ya kontena la mizigo katika Jimbo la...

READ MORE

Breaking News: Prince Charles, Agunduliwa na Virusi vya Corona, Malkia Yu Salama

MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza,  na mrithi wa...

READ MORE

Betika Laendelea Kugombewa Tabata

MAPEMA leo Jumatano, Machi 26, mwaka huu timu ya maofisa masoko ya Global Publishershers imetembelea maeneo ya Tabata Mawenzi jijini ...

READ MORE

Mbowe: Kweli Mwanangu Ana Corona, Yuko Karantini

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amemuomba Rais Magufuli, kushirikisha wadau wengine nje ya Serikali ili...

READ MORE

Baada ya Coronavirus, Ugonjwa Mpya Hantavirus Waua China

RAIA mmoja China amefariki dunia baada ya kukutwa na virusi vya Hanta (Hantavirus) akiwa kwenye basi alipokuwa akielekea Shandong. Aidha...

READ MORE

Kili Photo Canvas, Teknolojia Ya Upigaji Picha Ya Kipekee Yatumika Kwa Mara Ya Kwanza Duniani

Kila mwaka, watanzania na Raia kutoka pembe zote za dunia hukutana Moshi kule Kilimanjaro kushiriki mashindano ya mbio maarufu “Kili...

READ MORE

Makonda Aagiza Dar Ipuliziwe Dawa Kudhibiti Corona

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameagiza kupulizwa dawa katika maeneo mbalimbali ya mkoa huo kuanzia leo,...

READ MORE

Rais Magufuli Aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Chamwino

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli jana Machi 24, 2020 ameongoza kikao cha Baraza...

READ MORE

Waziri Mkuu Akanusha Taarifa ya Shule, Vyuo Kufunguliwa Leo

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao kwamba vyuo na shule vitafunguliwa kesho siyo za kweli.   “Hizo...

READ MORE

Magufuli: Mambo Makubwa Aliyoyafanya Gairo, Yatakushangaza – Video

  HII ni makala fupi inayokuonyesha mambo makubwa ya kimaendeleo aliyoyafanya Rais Dkt. John Pombe Magufuli wilayani Gairo mkoani Morogoro...

READ MORE

Mwanamuziki Nguli Afariki kwa Corona

MWANAMUZIKI na mpiga saxophone maarufu kutoka nchini Cameroon, Emmanuel N’Djoke Dibango,  amefariki dunia leo Jumanne, Machi 24, 2020, asubuhi akiwa...

READ MORE

Rais Magufuli Apima Corona Dodoma

  RAIS  John Magufuli leo amepima joto la mwili katika harakati za upimaji  zinazoendelea nchini na duniani kote kugundua na...

READ MORE

Watakaotoka Majumbani Kupigwa Faini

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson, ametoa amri ya kuwataka watu wabakie majumbani na kuwapiga faini kwa wale watakaokiuka maagizo...

READ MORE

Wagonjwa wa Corona Waongezeka Uganda, Rwanda

IDADI ya wagonjwa wa virusi vya corona nchini Uganda imeongezeka kwa kasi huku nchi hiyo ikipambana kuzuia maambukizi zaidi. Uganda...

READ MORE

Waziri Ahukumiwa Kufanya Kazi Ngumu

ALIYEKUWA Waziri wa Afya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Oly Ilunga, amehukumiwa kufanyishwa kazi ngumu kwa miaka mitano...

READ MORE

Mtangazaji Maarufu wa Runinga Afariki kwa Corona

ZORORO Makamba (30), mtangazaji maarufu wa vipindi vya televisheni nchini Zimbabwe, amefariki dunia kwa ugonjwa wa corona (COVID-19). Makamba aliyefariki...

READ MORE

#Coronavirus Uganda: Idadi ya Wagonjwa Yafikia 9

UGANDA imethibitisha kuwepo wagonjwa tisa waliokumbwa na virusi vya Corona nchini humo kwa mujibu wa Waziri wa Afya, Dr Jan...

READ MORE

Corona Afrika Kusini: Nchi Nzima Yawekwa Karantini kwa Siku 21

RAIS wa Afrika Kusini, Cyrill Ramaphosa,  ametangaza siku 21 za wananchi wote wa nchi hiyo kujifungia ndani ilikiwa ni sehemu...

READ MORE

ATCL Yafuta Safari za Ndege Kuikabili Corona

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imefuta safari zake za kwenda nchini Comoro, na hivyo kuifanya iwe imefuta safari zake kwenda...

READ MORE

Corona: Zanzibar Yafunga Baa “Ukiingia Tunakuweka Karantini”

Waziri wa Afya wa Zanzibar, Hamad Rashid Mohamed amesema serikali imewaweka karantini wananchi 65 wakiwemo vigogo wa serikali na maofisa...

READ MORE

Majaliwa Aunda Kamati Tatu Kupambana na Corona

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa,  amesema serikali imeunda kamati tatu kwa ajili ya kukabiliana na virusi vya Corona ambapo ya kwanza...

READ MORE

NMB Yazipiga Jeki Shule za Kibamba, Kinzudi na Makuburi Jeshini

BENKI ya NMB, imekabidhi msaada wa viti, meza na madawati vyote vikiwa na thamani ya Sh. Milioni 15 kwa ajili...

READ MORE

Ubongo Yatoa Programu za Watoto Kujifunza Majumbani Kutokana na Ugonjwa Wa Colona

Katika kuunga mkono juhudi za kupambana na usambaaji wa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona, taasisi ya Ubongo, ambayo inangoza...

READ MORE

Pozi la Rais Magufuli Kwenye Mawe ya Ikulu

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amejipumzisha juu ya mwamba ndani ya Ikulu Chamwino Dodoma, jana Jumatatu, Machi 23, 2020....

READ MORE

Wizara yaUchukuzi Yatekeleza Agizo la Magufuli Kabla ya Siku 7

  Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, amezindua rasmi magari kupita katika daraja la Kiyegeya la mchepuko...

READ MORE