×

Habari

Sophia Aliyewekeza Mil 14 Akitarajia Kupata Mil 48 Afunguka Kesi ya Manguruwe

Hii ni updates kutoka mahakama ya hakimu mkazi kisutu inaelezwa kuwa Shahidi  ambaye ni Mkulima Sophia Watson (66) ameilezea jinsi...

READ MORE

Iran Yamjibu Trump: Hatuna Mazungumzo na Marekani

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema wazi kuwa hajawasiliana na mjumbe maalum wa Marekani Steve Witkoff...

READ MORE

Nilijikuta Nimepoteza Kazi Ghafla na Kila Njia ya Kutafuta Pesa Niliyojaribu, Ilishindikana

Nilipoteza kazi yangu ghafla. Hakukuwa na onyo, na hakuna kilichokuwa tayari. Kila njia niliyojaribu kupata pesa ili kuendesha maisha ilishindikana....

READ MORE

Mke Wa Rais Wa Zamani Wa Korea Kusini Ahukumiwa Miezi 20 Jela

Mke wa Rais wa zamani wa Korea Kusini, Kim Koen Hee, amehukumiwa kifungo cha miezi 20 jela kwa kupokea hongo...

READ MORE

Naibu Waziri Mkuu wa Maharashtra Afariki Dunia Katika Ajali ya Ndege

Naibu Waziri Mkuu wa jimbo la Maharashtra, India, Ajit Pawar, amefariki dunia kufuatia ajali ya ndege aliyokuwa akisafiria karibu na...

READ MORE

Wabunge Wathibitisha Wenyeviti Wapya wa Bunge

Leo, Januari 28, 2026, Bungeni Jijini Dodoma, wabunge wa Tanzania wamewathibitisha Cecilia Paresso, Najma Giga, na Deodatus Mwanyika kuwa Wenyeviti...

READ MORE

Morocco Yapokonywa Fursa ya Kuandaa Fainali ya Kombe la Dunia 2030

Morocco haitakuwa tena mwenyeji wa mechi ya fainali ya Kombe la Dunia la FIFA 2030, kufuatia matukio yaliyojitokeza wakati wa...

READ MORE

Airtel Yazindua Minara Mipya Mikoa Mitano

Airtel Yazindua Minara 5 Mpya ya Mawasiliano Tanga, Iringa, Ruvuma, Sumbawanga na Mwanza. Tanzania, 16 Januari 2026. Airtel Tanzania imezindua...

READ MORE

Benki Ya Absa Tanzania Yazindua Ripoti Ya Absa Ya Viashiria Vya Masoko Ya Fedha Afrika

Benki ya Absa Tanzania Tanzania imezindua rasmi ripoti ya Absa ya Viashiria vya Masoko ya Fedha Afrika 2025 kwa Tanzania...

READ MORE

Waziri Mkuu: Serikali Haitavumilia Uzembe, Mageuzi ya Sera Kuendelea – Video

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kufanya mageuzi ya sera zinazogusa moja kwa moja maslahi na ustawi wa...

READ MORE

CCM Bukoba Mjini Yakabidhi Msaada kwa Watoto Yatima Kuelekea Miaka 49 ya Chama

Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bukoba Mjini imekabidhi msaada wa vifaa mbalimbali kwa vituo viwili...

READ MORE

Obama na Clinton Wataka Wamarekani Kusimama Kutetea Maadili ya Taifa

Marais wa zamani wa Marekani, Barack Obama na Bill Clinton, wamewahimiza Wamarekani kusimama na kutetea kile walichokiita “maadili ya msingi...

READ MORE

Magari ya Huduma ya Nmb Yafikia 15 Yakichochea Ujumuishaji wa Kifedha

Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu (wa pili kulia), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa magari nane ya Bank on Wheels (Matawi...

READ MORE

Meridianbet Na Yas Tanzania wakusogezea JIMIXX na Ushindi Bab Kubwaa

Kampuni inayoongoza ya kubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, imeingia rasmi ushirikiano wa kipekee na kampuni ya mtandao wa simu wa Yas...

READ MORE

Faida ya Airtel Afrika Yazidi Kuongezeka

Airtel Africa imepata faida baada ya kodi ya Dola za Marekani 586 milioni kwa kipindi cha miezi tisa kilichoisha Desemba...

READ MORE

Mbunge wa Momba Aishinikiza Serikali Kupunguza Gharama za Intaneti – Video

Mbunge wa Momba (CCM), Condester Sichalwe kwa mara nyingine ameibua suala la gharama kubwa za mabando na intaneti, zinazosababisha ugumu...

READ MORE

ACT-Wazalendo Wapinga Maelezo ya Polisi Kuhusu Kifo cha Diwani Buhigwe

Utata umeibuka kufuatia kifo cha Diwani wa Kata ya Nyamugali, Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe, Majaliwa Abbas Hamis, baada ya...

READ MORE

Mmoja Afariki, 12 Wajeruhiwa Ajali ya Lori na Basi Shinyanga – Video

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisha roli na basi, iliyotokea leo Januari majira...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Aungana na Rais Samia Kulinda Mazingira kwa Kupanda Miti Dodoma

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 27, 2026 ameshiriki zoezi la upandaji miti, mbele ya ofisi ya Waziri Mkuu...

READ MORE

Mbwambo (34) Ajiua Kwa Kujikata Koromeo Akiwa Gesti – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linafanya uchunguzi wa tukio la kifo cha cha Gidion Ebenezeri Mbwambo (34). Tukio hilo...

READ MORE

Bashiri Leo Upate Samsung A26 na Meridianbet

Leo hii una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu...

READ MORE

Milioni 675 Kuboresha Huduma za Tiba Manispaa ya Tabora

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali imetoa Shilingi Milioni 675 kutekeleza mradi...

READ MORE

Rita Norbert: Sioni Mwanamke Anayeweza Kunifunika Kwa Mvuto

Mwanadada Rita Norbert amezua mjadala mpana mitandaoni baada ya kudai kuwa, kwa hapa nchini, haoni mwanamke anayeweza kumfunika kwa mvuto...

READ MORE

Halmashauri ya Wilaya ya Songea Yatangaza Nafasi 5 za Ajira

    Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma imetangaza nafasi tano (5) za ajira kwa Watanzania wenye sifa, baada...

READ MORE

NSSF Yatoa Elimu ya Hifadhi ya Jamii katika Wiki ya Huduma za Fedha

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) unashiriki katika maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa yanayofanyika katika...

READ MORE

Wizara Ya Ardhi Yaingilia Kati Mgogoro wa Ardhi Geita – Video

  Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeingilia kati mgogoro wa matumizi ya ardhi unaomhusisha mwekezaji Rashid Kwanzibwa,...

READ MORE

Nmb Yazindua Agenda 2030, Yavuna Faida ya Sh. Trilioni 1.1 Mkakati Uliopita (MTP2025)

  Msajili wa Hazina Nehemiah Mchechu (katikati) pamoja na Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth...

READ MORE

Amjeruhi Mkewe Hadi Kumtoa Utumbo Kisa ARV’s Anazomeza Kwa Siri – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma linamshikilia mwanaume mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa mkazi wa Kijiji cha Tingi kilichopo Wilaya...

READ MORE

Waziri Mkuu Awaagiza TAKUKURU Kuwatia Hofu Wala Rushwa- Video

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amewaagiza TAKUKURU kutengeneza mazingira magumu kwa mtu yeyote...

READ MORE

BoT Yawakumbusha Wananchi Kutunza Fedha Ili Kuepuka Kuharibika kwa Noti

Wananchi wamekumbushwa umuhimu wa kutunza fedha kwa kuziweka katika mazingira salama ili kuepusha kuharibika kwa ubora wa noti na changamoto...

READ MORE

Ukitaka Taarifa Zote za Michezo Ingia Meridianbet Sport Portal

Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu...

READ MORE

Mwigulu Atumia SGR Kuelekea Morogoro Kufungua Mkutano wa TAKUKURU

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Januari 26, 2026, ameondoka jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Nilipoteza Zaidi ya Kilo 25 na Kupata Mwonekano Mzuri Baada ya Kuijua Mbinu Hii

  Kwa muda mrefu, nilijikuta nikikabiliana na tatizo kubwa la uzito uliokithiri. Kila siku ilikuwa changamoto; nilijaribu diets mbalimbali, mazoezi...

READ MORE

Siri ya Gari la Maajabu Linalomfanya Papa Aonekane Kwa Karibu na Kulindwa

Gari la Papa (Popemobile) ni usafiri maalum uliotengenezwa kwa ajili ya kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki duniani anapokuwa kwenye ziara...

READ MORE

CMSA; Uwekezaji wa Pamoja Waipa Tanzania Mwelekeo Mpya wa Kifedha

MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imezindua Mfuko wa Uwekezaji wa Pamoja wa Kampuni ya Africa Pension Fund...

READ MORE

Dkt. Lazaro Komba Ateuliwa Mgombea CCM Jimbo la Peramiho

Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imemteua Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Dkt. Lazaro Komba, kuwa mgombea wa chama...

READ MORE

Dkt. Samia Aongoza Kikao Cha Kamati Kuu, Zanzibar – Picha

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza...

READ MORE

Mbunge Musukuma ‘Azichapa’ na Mwekezaji, Serikali Yatajwa Kuchukua Hatua – Video

Wabunge kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita wameiomba serikali kuchukua hatua dhidi ya mwekezaji anayetuhumiwa kubomoa bila kibali majengo ya...

READ MORE

ALAF Yazindua Tuzo ya 10 ya Kiswahili ya Safal 2025

ALAF Tanzania imezindua rasmi Tuzo ya Kiswahili ya Safal ya Fasihi ya Afrika kwa mwaka wa 2025, ambapo wanaotarajiwa kushiriki...

READ MORE

Stanbic Bank Tanzania Yasaidia Fedha Za Makazi Kupitia Usimamizi Wa Soko La Mitaji

Dar es Salaam, Tanzania: Stanbic Bank Tanzania imethibitisha tena jukumu muhimu la masoko ya mitaji katika kusaidia maendeleo ya muda...

READ MORE