×

Habari

Watanzania Kulipa Dhamana Mpya ya Viza Marekani Kuanzia Oktoba 23, Serikali Yafunguka

Kuanzia Oktoba 23, 2025, Watanzania wanaoomba viza za utalii au biashara kwenda Marekani watahitajika kuweka dhamana ya kifedha (visa bond)...

READ MORE

CCM Yawajibu ACT Wazalendo Kuhusu Hali ya Zanzibar

Chama Cha Mapinduzi kimekitaka ACT Wazalendo kutoidanganya dunia na kutoa madai kuwa Zanzibar inadai Haki zake hivyo yeye na wenzake...

READ MORE

Hukumu ya Kesi ya ACT Wazalendo na Luhaga Mpina Kusomwa Leo Dodoma

Dodoma, Oktoba 10, 2025 — Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu Dodoma, inatarajiwa leo saa nane mchana kusoma hukumu ya...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Aitikisa Nyamwage Rufiji Akiomba Kura za Dkt. Samia

Mgombea mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kupitia CCM, Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi ametikisa Mkutano...

READ MORE

Majumuisho ya Kongamano la Nafasi ya PPP Katika Kufanikisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050

Kufikisha mwishoni mwa kongamano baada ya uwasilishaji na mjadala, wanakongamano wametoa michango ifuatayo: 1. Ubia kati ya sekta ya umma...

READ MORE

Aggy Baby Afichua Ukweli! Asema Poshy Hajaolewa, Ile Ilikuwa Kiki Tu!

MSANII wa Bongo Muvi, Agness Suleiman Kihamba maarufu kama Aggy Baby ameendelea kusisitiza kuwa mrembo wa mitandaoni Poshqueeen hajaolewa, akidai...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 10, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Silaa awasha moto kampeni za nyumba Kwa nyumba

UTAMU WA kampeni za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi WA nyumba na mtaa Kwa mtaa zimezidi kuwanogea waomba kura za...

READ MORE

Post Yatoa Msaada Ocean Road Kuelekea Siku Ya Post Duniani

  la Posta Tanzania limetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya wagonjwa katika Hospitali ya Ocean Road, ikiwa ni sehemu ya...

READ MORE

Nigeria: Waziri Wa Sayansi Ajiuzulu Baada Ya Kughushi Vyeti

Uche Nnaji, Waziri wa Nigeria wa Ubunifu, Sayansi na Teknolojia, amejiondoa madarakani siku chache baada ya kuibuka kwa madai kwamba...

READ MORE

Benki Ya Stanbic Yakabidhi Vifaa Tiba Kuimarisha Huduma Za Afya Pwani

Mkuu wa kitengo cha wateja binafsi na wateja maalum wa Benki ya Stanbic, Omari Mtiga akizungumza wakati wa hafla hiyo...

READ MORE

Ng’wasi Damasi Kamani Atoa Wito kwa Vijana wa Tanzania

Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM  Oktoba 8, 2025 jijini Mwanza, Mgombea Ubunge wa Viti Maalum (Kundi...

READ MORE

Mshtuko! Mwanaume Adaiwa Kumuua Mama Yake wa Kambo

Mwanaume mmoja (Tatizo Yohana Mzumbwe) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumuua mama yake wa kambo katika tukio...

READ MORE

Makonda: Dkt. Samia Ni Mwanamke Wa Kwanza Kusababisha Kuwa Na Umeme Wa Uhakika

Mgombe Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini na aliyekuwa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa, Ndugu. Paul Makonda, amewaeleza Wananchi wa...

READ MORE

Dkt. Mwinyi: SMZ Kuendelea Kuimarisha Miundombinu ya Uchumi wa Buluu

Mkoani, Kusini Pemba — Oktoba 8, 2025 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali...

READ MORE

Afisa Mkuu wa Japan Hukumiwa Kifungo kwa Kutazama Picha za Unyanyasaji wa Watoto

Paris, Ufaransa – Afisa mkuu wa Shirikisho la Soka la Japan (JFA), Masanaga Kageyama, amehukumiwa kifungo cha miezi 18 jela...

READ MORE

Airtel Yawatembelea Wateja na Mawakala Wake Jijini Dar Katika Maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja

Airtel Tanzania Yawatembelea Wateja na mawakala wake Jijini Dar es Salaam Katika maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025....

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Kuzindua Wiki Ya Vijana Mkoani Mbeya

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete amesema Maadhimisho ya Wiki ya...

READ MORE

Dk. Bashiru: Watanzania Hawawezi Kuivunja Nchi Yao

Katibu Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally, amesema hana wasiwasi na mustakabali wa nchi, akibainisha kuwa...

READ MORE

Vodacom Τanzania Yazindua Duka Mbagala Ili Kusogezs Huduma kwa Wateja Wao

Mkurugenzi wa Kitengo cha Biashara Vodacom Tanzania Plc Brigita Shirima (wa pili kushoto), Mkuu wa Kanda ya Dar es salaam...

READ MORE

Watanzania Wameshauriwa Kupuuza Propaganda Chafu Zinazoenezwa na Wasioitakia Mema Nchi

Watanzania wameshauriwa kupuuza propaganda chafu zinazoenezwa na baadhi ya watu wasioitakia mema nchi ya Tanzania kwa lengo la kutaka kuchafua...

READ MORE

Mahakama Kusikiliza Madai ya Kutekwa Kwa Humphrey Polepole

Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es salaam imepanga Oktoba 9, 2025 kusikiliza maombi ya Wakili Peter Kibatala…

READ MORE

Aliyekuwa Mgombea Ubunge wa CUF, Daud Mtuyehabi, Auawa Kwa Kupigwa

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linaendelea na uchunguzi wa tukio la mauaji ya Daud Mtuyehabi, aliyewahi kuwa mgombea ubunge...

READ MORE

Yas kwa Kushirikiana na Mixx Yazindua Duka Jipya Dar Village Mall

Kampuni ya mawasiliano ya Yas kwa kushirikiana na Mixx leo imezindua duka jipya katika Dar Village Mall, jijini Dar es...

READ MORE

Kaka na Dada Watupwa Jela Miaka 30 Kwa Kuoana

Watu wawili wa ndugu wa damu, kaka na dada waliyozaliwa na wazazi hao hao, wamehukumiwa kifungo cha miaka 30 na...

READ MORE

Dkt. Samia: Serikali ya CCM Itaendelea Kuboresha Huduma za Maji, Elimu na Afya

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali...

READ MORE

Kibatala Afungua Maombi ya Dharura Kuhusu Kutoweka kwa Humphrey Polepole

Wakili maarufu wa haki za binadamu, Peter Kibatala, amefungua maombi chini ya hati ya dharura katika Mahakama Kuu ya Tanzania,...

READ MORE

Makonda Apongeza Dkt. Samia, Awataka Wananchi Wafuate Misingi ya Amani – Video

Paul Makonda, mgombea ubunge wa Arusha Mjini na aliyewahi kuwa Mwenezi wa CCM Taifa, ameitaka jamii ya Watanzania kuendelea kushirikiana...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 8, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Jukwaa la Wahariri (TEF) Laitaka Polisi Kuchunguza Kwa Haraka Kutoweka kwa Polepole

Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limetoa wito kwa Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa kina na wa haraka kuhusu taarifa...

READ MORE

Ridhiwani Kikwete Atembelea Banda la Nmb Katika Wiki ya Vijana Mbeya

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete akisalimiana na Meneja Mahusiano Idara...

READ MORE

ALAF Yazindua Msimu Wa Nane Wa Ligi Ya Soka

Afisa Mtenaji Mkuu wa ALAF Limited, Bibhu Nanda (kulia), akiwakabidhi mpira manahodha wa timu zitakazoshiriki Ligi ya ALAF inayoanza Jumamosi...

READ MORE

Dkt. Samia Awaeleza Wananchi Jinsi ya Kupiga Kura Oktoba 29

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu...

READ MORE

Mashindano ya Drafti Tarafa ya Nyaishozi Yalivyonoga

Kupitia Mashindano ya Drafti yaliyoratibiwa chini ya Afisa Tarafa wa Nyaishozi Bw. Kelvin Berege, Kata ya Nyaishozi Mkoani Kagera imezibwaga...

READ MORE

Video: Shigongo Aomba Barabara na Umeme Buchosa kwa Rais Samia

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo, amemuomba Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuwakumbuka wananchi wa Wilaya ya Sengerema,...

READ MORE

Sengerema Yazizima Kijani! Wananchi Wamiminika Kumsikiliza Dkt. Samia

Maelfu ya wananchi wamejitokeza kwa wingi katika viwanja vya mnadani wilayani Sengerema, mkoani Mwanza, kumlaki na kumsikiliza Mgombea Urais wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Maagizo Wizara Ya Madini

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Madini kufanya ufuatiliaji wa makampuni ya madini ambayo yameshilikilia maeneo kwa muda mrefu...

READ MORE

Polisi Waanza Uchunguzi wa Tuhuma za Utekwaji wa Humphrey Polepole

Jeshi la Polisi nchini limeanza uchunguzi wa tuhuma zilizotolewa na Augustino Polepole kuhusu madai ya kutekwa kwa ndugu yake, Humphrey...

READ MORE

Mariam Mwinyi Awasisitiza Wanawake Pemba: “Tumuunge Mkono Dkt. Mwinyi…”

Chake Chake, Kusini Pemba – Oktoba 6, 2025 Mke wa Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mama...

READ MORE

INEC yafanya marekebisho ya wapiga kura na vituo vya kupigia kura Uchaguzi Mkuu 2025

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imefanya marekebisho ya takwimu za wapiga kura na vituo vya kupigia kura vitakavyotumika...

READ MORE