×

Habari

Mazishi ya DC Mtwara Kuhudhuriwa na Watu Wasiozidi 10

MAZISHI ya aliyekua mkuu wa wilaya wa Mtwara Evodi Mmanda yatahudhuriwa na watu 10, na serikali ndio itasimamia mazishi hayo....

READ MORE

Mrithi Mama Rwakatare ni Huyu!

DAR: Kile kitendawili cha mrithi wa usimamizi wa Makanisa ya Mlima wa Moto- Mikocheni B Assemblies Of God, yaliyokuwa chini...

READ MORE

Mama Rwakatare Aagwa Tena Kanisani, Waumini Vilio – Video

IKIWA ni siku chache tangu aliyekuwa askofu wa kanisa la Mlima wa Moto, Getrude Rwakatare, azikwe katika viwanja vya kanisa...

READ MORE

Walioambukizwa Corona Kenya Wafika 363

WAZIRI wa Afya nchini Kenya, Mutahi Kagwe ametangaza kwamba watu 8 zaidi wamethibitishwa kuambikizwa virusi vya corona. Idadi ya Walioambukizwa...

READ MORE

Korea Kusini: Kim Jong Un Yuko Fiti

KIONGOZI wa Korea Kaskazini Kim Jong Un yuko katika hali nzuri ya kiafya  kwa mujibu wa Moon Chung In, mmoja...

READ MORE

Watanzania Wengine 4 Wakutwa na Corona Uganda

  WIZARA  ya Afya nchini Uganda imesema Watanzania wengine wanne ambao ni madereva wa malori, wamethibitishwa kuwa na virusi vya...

READ MORE

Airtel Yatoa Msaada Mil700/=Mapambano Dhidi  Ya Corona

  Kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel Tanzania leo imetoa kiasi cha Tzs 700,000,000 milioni (Milioni mia saba) kwa Wazira...

READ MORE

Tanzia: Naibu Meya Morogogoro Afariki Dunia

o Naibu Meya Manispaa ya Morogoro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Diwani wa Kata ya Kiwanja cha Ndege, Isihack...

READ MORE

Madaktari 200 wa Cuba Watua Sauz Kupambana na Corona

Timu ya madaktari zaidi ya 200 wa Cuba imewasili nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kusaidia mapambano dhidi ya maambukizi...

READ MORE

Wafungwa Waliosamehewa na JPM Handeni Waachiwa – Video

BAADA ya Rais John Magufuli kutangaza msamaha kwa wafungwa 3,973 nchini, Wilaya ya Handeni imekuwa miongoni mwa wilaya za kwanza...

READ MORE

Tanzia: Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Afariki Dunia

MKUU wa Wilaya ya Mtwara, Wakili Evod Mmanda, amefariki dunia alfajiri ya leo Jumatatu, Aprili 27, 2020, katika Hospitali ya...

READ MORE

Baada ya Kuugua Covid 19, Hatimaye Boris Kurejea Ofisini Leo

WAZIRI mkuu wa Uingereza Boris Johnson atarejea ofisini leo Jumatatu baada ya kupona maambukizi ya virusi vya corona.Msemaji wa serikali...

READ MORE

SBL yotoa msaada wa vitakasa mikono kupambana navirusi vya Corona

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu (kushoto) akipokea sehemu ya lita 1,250 za vitasa...

READ MORE

Mrithi Wa Mama Rwakatare Huyu Hapa, Makanisa ya Mlima wa Moto

Kilekitendawili cha mrithi wa usimamizi wa Makanisa ya Mlima wa Moto- Mikocheni B Assemblies Of God, yaliyokuwa chini ya Askofu...

READ MORE

Waliofariki na Corona Wafikia 200,000 Duniani Kote, Maambukizi Yafikia Milioni 2.86

Idadi ya waliofariki duniani kutokana na janga la virusi vya corona imepanda kufikia watu 200,000 leo Jumapili,(26.04.2020) Wakati huo huo...

READ MORE

Muhimbili Yafunga Mashine Kuhudumia Wagonjwa wa Figo, Corona Amana

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imefunga mashine tatu za kusafisha damu kwa wagonjwa wenye matatizo ya figo zenye thamani ya...

READ MORE

Rais Magufuli Atoa Msamaha Kwa Wafungwa 3,973

Rais Dkt John Pombe Magufuli ametoa msamaha wa wafungwa 3973, ambapo kati yake wafungwa 3717 wamesamehewa vifungo vyao,na Wafungwa 256...

READ MORE

TANZIA: Aliyewahi Kuwa Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shah Afariki, Kuzikwa Leo

Aliwahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mafia, Abdulkarim Shah kati ya mwaka 2005 hadi 2010 na amefariki dunia jioni ya ...

READ MORE

Kim Jong-un Adaiwa Kufariki Dunia

Vyombo vya habari vya Hong Kong na Marekani vimeripoti kuwa, inawezekana kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un amefariki dunia...

READ MORE

Kocha Simba, Global Wawakumbuka Mayatima Mwanza

  Kampuni ya Global Publishers chini ya Mkurugenzi Mtendaji, Eric Shigongo wakishirikiana na aliyekuwa kocha na mchezaji wa zamani wa...

READ MORE

Washindi wa Droo ya Pili ‘Baba Lao’ Wakabidhiwa Vitita

WASHINDI wa sita waliopatikana kupitia droo ya pili ya Jishindie Gari na Spoti Xtra, iliyofanyika hivi karibuni wamekabidhiwa zawadi zao...

READ MORE

Diamond Kuchangia Kodi Ya Pango Kwa Kaya 500 Nchini

Staa wa muziki wa Bongo fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’  leo Aprili 25, 2020 amesema kuwa atachangia ‘kodi ya pango’...

READ MORE

Madai! Nadharia ya Corona Ilikoanzia na Aliyeisambaza

WAKATI janga la ugonjwa wa COVID-19 likiitingisha dunia, kuwekuwepo na nadharia na uvumi mbalimbali kutokana na kuibuka kwake.   Miongoni...

READ MORE

Corona Yaongeza Simanzi Mazishi ya Mama Rwakatare

    DAR: Licha ya kuwa ni desturi ya Waafrika na Watanzania kushiriki mazishi ya ndugu, jamaa, marafiki na wapendwa...

READ MORE

Tetemeko la Ardhi Lapiga Geita

TETEMEKO la ardhi limetokea majira ya saa 6:07 usiku wa kuamkia leo na kutikisa maeneo ya Kanda ya Ziwa hususani...

READ MORE

Licha ya Corona: Wanafunzi Elimu ya Juu Wafanya Mitihani ya Mwisho

  TAKRIBAN wanafunzi 52,000 wamefanya mitihani yao ya mwisho huku shule na vyuo vikiwa vinaendelea kufungwa ili kuepusha maambukizi ya...

READ MORE

Serikali Kumwaga Ajira 4000 za Polisi, Magereza, Uhamiaji, Zimamoto

WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imetangaza ajira zaidi ya 4,400 kwa vyombo vya ulinzi na usalama nchini. Akiwasilisha...

READ MORE

Mvua Kubwa Yaua Wawili Arusha

    MVUA zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Arusha, zimesababisha vifo vya watu wawili wilayani Arumeru. Akitoa...

READ MORE

Wagonjwa 37 Wapona Corona, Wengine 71 Wanasubiri Wako Fiti – Video

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu leo Aprili 24, 2020 amesema wagonjwa 37 wa...

READ MORE

Rufaa ya Mbowe na Wenzake Kuanza Kuunguruma Mei 13

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, inatarajia kuanza kusikiliza rufaa iliyokatwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na viongozi...

READ MORE

Chamazi Fresh Wanasubiri Ligi Tu

UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa tayari ukarabati wa Uwanja wa Azam Complex umekamilika asilimia zote ukiwa sawa na ule...

READ MORE

Watanzania 6 Wakutwa na Corona Uganda

WATU 74 wabainika kuwa na virusi vya Corona nchini Uganda baada ya kuongezeka maambukizi mapya 11, ambapo kati ya watu...

READ MORE

Simbachawene Apiga Marufuku Trafiki Kujificha Vichakani

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi ameliagiza jeshi la polisi nchini kuwa na mbinu za kistaarabu za kisimamia sheria...

READ MORE

CORNA: NECTA Yaahirisha Mtihani Kidato cha Sita 2020

WIZARA ya elimu nchini imeahirisha mtihani wa kidato cha sita mwaka 2020 hadi hapo itakapoamuliwa vinginevyo kutokana na janga la...

READ MORE

Walioambukizwa Corona Kenya Wafikia 320

  WIZARA ya Afya nchini Kenya imesema idadi ya watu walioambukizwa virusi vya Corona sasa imefika 320 baada ya leo...

READ MORE

Kocha Simba Aungana na Global Dhidi ya Corona – (Picha +Video)

MKURUGENZI Mtendaji wa Global Group, Eric Shigongo leo Aprili 23, 2020 ametoa pongezi kwa kocha wa zamani wa Simba, Talib...

READ MORE

HATARI! Vifaa Vya Hospitali Vyazagaa Mtaani

WANANCHI wa Mtaa wa Makongoro uliopo katikati ya Mji wa Morogoro wako hatarini baada ya vifaa vya hospitali vilivyotumika kuzagaa...

READ MORE

Ccm Dar, Kugawa Bure Barakoa Milioni 1

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Dar es Salaam, Kate Kamba amesema ofisi yake imedhamiria kugawa bure barakoa...

READ MORE

Licha Kim Kukanusha! Korea Kaskazini Yadaiwa Ina Wagonjwa wa Corona

LICHA ya viongozi wa Korea Kaskazini kukanusha kila mara kuwepo kwa wagonjwa wa homa kali ya mapafu, Corvid-19, inayosababishwa na...

READ MORE

Mama Rwakatare Azikwa Kanisani Kwake – Picha

ALIYEKUWA Mchungaji wa Kanisa la Mlima wa Moto na Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Askofu Dkt. Getrude Rwakatare,  amezikwa leo...

READ MORE