×

Habari

Yanga Ndio Nini….

LICHA ya kuanza na mastaa wazawa sita ambao wanaweza kukipiga kwenye viwanja vya mkoani bado haikuwa msaada kwa Yanga jana...

READ MORE

Biashara Kufanyika kwa Saa 24 Kariakoo – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amewataka Viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam kushikamana na kufanya...

READ MORE

Hukumu ya Kesi Inayowakabili Viongozi Chadema Kutolewa Machi 10

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Machi 10, 2020 kutoa hukumu ya kesi ya uchochezi dhudi ya viongozi nane wa...

READ MORE

TECNO Yawakumbuka Watoto Yatima

Tukiwa katika mwanzo wa muhula wa kwanza  wa masomo, kampuni ya simu za mkononi  ya TECNO, imetoa  msaada wa vitu...

READ MORE

Zola kuzawadia vifaa vya umeme kwa wanafunzi bora wilayani kisarawe

ZOLA kuzawadia vifaa vya umeme wanafunzi watakaofanya vizuri katika mitihani yao wilayani Kisarawe Kampuni ya kuzalisha vifaa vya umeme wa...

READ MORE

Kwa Majonzi, Kabendera Amlilia Mama Yake, Asimulia Jela Kulivyo – Video

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam imemuhukumu Mwandishi wa Habari za uchunguzi Erick Kabendera kulipa faini na...

READ MORE

Tuhuma za Kutaka Kuuawa, Muroto Amuita Musiba kwa Mahojiano

JESHI la Polisi mkoani Dodoma limemuita kwa mahojiano mwanaharakati huru Cyprian Musiba baada ya kutoa tuhuma mbalimbali za kutishiwa kuuawa....

READ MORE

Dk Bashiru Aanika Hatima ya Kinana , Makamba na Membe CCM – Video

RIPOTI kuhusu tuhuma zinazowakabili makatibu wakuu wastaafu wawili (Adbulrahman Kinana na Yusuph Makamba) akiwemo aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje,...

READ MORE

Prof Lumumba Akutana na Magufuli “Tutachinjwa” – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 24 Februari, 2020 amekutana na kufanya mazungumzo...

READ MORE

Madiwani 11 wa Chadema Mbeya na Meya Wao Watimkia CCM

Madiwani 11 wa Chadema Halmashauri ya Jiji la Mbeya akiwemo Meya wa Jiji hilo wamejiuzulu na kuhamia CCM leo Jumatatu...

READ MORE

Breaking: Hatimaye Erick Kabendera Aachiwa Huru

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam imemwachia huru Mwandishi wa Habari za uchunguzi Erick Kabendera na kuamuru...

READ MORE

National Public Speaking Competition, Mchujo wa Pili Vipaji Kama Vyote

SHINDANO la National Public Speaking Competition limeendelea kupasua anga baada ya jana Jumapili kukamilisha hatua ya mchujo wa pili kwa...

READ MORE

Eliuter Mpepo: Yupo Msumbiji, Akili Ipo Ureno

ELIUTER Mpepo ni mmoja wa washambuliaji wazawa wanaofanya vizuri nje ya nchi, anakipiga kwa mkopo katika timu ya CD Costa...

READ MORE

Hatima ya Ubunge wa Tundu Lissu

MAHAKAMA Kuu kesho itaanza kusikiliza maombi ya aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, kumruhusu kwenda Mahakama ya Rufani kupinga...

READ MORE

Halima Mdee Agoma Kumpa Mkono Dkt. Mashinji – Video

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Dkt Vincent Mashinji, amefika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo...

READ MORE

NBC Klabu Ya Biashara Tanga, Yatoa Mafunzo Ya Kibiashara

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua klabu ya biashara  mkoa wa Tanga yenye lengo la kuwakutanisha wafanyabiashara wadogowadogo na...

READ MORE

CRDB Yapongezwa Kwa Kuisaidia Serikali Ya Mapinduzi Ya Zanzibar Sekta Ya Utalii

Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mheshimiwa Zubeir Ali Maulid ameipongeza Benki ya CRDB kwa kuwa kinara katika kuisaidia Serikali...

READ MORE

Mkapa Afurahia Uamuzi Kuibinafsisha Benki ya NMB

Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Benjamin Mkapa amesifu uamuzi wa Serikali yake kwa...

READ MORE

Nugaz ‘Apigana’ Uwanjani Baada ya Sare ya Yanga Vs Coastal – Video

Msemaji wa klabu ya Yanga, Antonio Nugaz, ameonekana akipigana uwanjani baada ya kumalizka kwa mechi ya Ligi Kuu kati ya...

READ MORE

Mke Aachika, Bintiye Aolewa na Mume Huyo

MWANAMKE mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Grace, aliolewa zaidi ya miaka 18 iliyopita. Kama wanawake wengine, aliwaza kuwa na...

READ MORE

Auawa kwa Radi Akinyolewa Saluni Njombe

MARTIN NYIGU (35) mkazi wa kijiji cha Lusitu, kata ya Luponde, halmashauri ya mji wa Njombe mkoani Njombe,  amefariki dunia...

READ MORE

Mkapa Awafunda Wanagenzi Kuwa Viongozi Bora Baadae

  RAIS mstaafu Benjamini Mkapa ametoa wito kwa viongozi wa nchi za Afrika na wadau wa sekta ya biashara kutumia...

READ MORE

Yanga Yashtukia Mchezo Mchafu, Yabadili Mbinu

ZILE sare tatu mfululizo walizozipata Yanga katika mechi zilizopita za Ligi Kuu Bara, zimewakera mashabiki, viongozi na hata wachezaji wa...

READ MORE

VIDEO: WAZIRI MKUU Aanika Serikali Ilivyothibiti Wizi wa Madini

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa leo Jumapili Feburuari 23, 2020 anazindua Hati ya uhalisia ya madini kwa Tanzania ambayo...

READ MORE

Kili Canvas Yawa Gumzo Moshi Kilimanjaro

Dar es Salaam Februari 15, 2020: Kili Canvas iliyozinduliwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia Bia yake ya Kilimanjaro...

READ MORE

Video: Rc. Makonda ‘Anusa Viashiria’ Silaha Za Kibaiolojia Tanzania

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amewataka wachimbaji wa madini nchini kushirikiana na Rais Magufuli katika vita...

READ MORE

Usajili Kili Marathon Wapamba Moto

Mashindano ya mbio za marathon yakiwa katika hatua za mwishoni kuanza kutimua vumbi Machi 1 mwaka huu Mjini Moshi mkoani...

READ MORE

Chato: Baba Kizimbani kwa Kumlawiti Mtoto Wake

Jeshi la Polisi wilayani Chato mkoani Geita, limemfikisha Mahakamani, Kazimili Dotto akituhumiwa kumbaka na kumlawiti mtoto wake wa kambo, ambaye...

READ MORE

Mtu wa Kwanza Afariki kwa Corona Ulaya

MWANAMUME mmoja wa Italia aliyekuwa ameathirika na virusi vya Corona amefariki dunia na hivyo kifo hicho kuwa cha kwanza kutokea...

READ MORE

Mr. Championi Akutana na Wasomaji Championi, Awarudishia Pesa Zao

Gazeti namba moja Tanzania la Michezo la Championi jana kupitia Mr. Championi liliendelea kuwarudishia wasomaji fedha zao walizonunulia  gazeti hilo...

READ MORE

Waziri Mkuu Anayekabiliwa na Mauaji ya Mkewe Aondoka Nchini

WAAZIRI mkuu wa Lesotho Thomas Thabane anayekabiliwa na mashitaka ya kumuua mke wake wa kwanza Lipolelo Thabane hakufika mahakamani, wakati...

READ MORE

Jackline Mengi: Nimezuiwa Kufika Kwenye Kaburi la Mume Wangu

MKE wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Kampuni za IPP Media, Jacquiline Ntuyabaliwe amelalamika kuzuiwa yeye na watoto wake kutembelea kaburi la...

READ MORE

TAKUKURU Yatoa Ripoti Sakata la Lugola – Video

Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU imesema uchunguzi wa sakata la manunuzi ya vifaa vya zimamoto na...

READ MORE

Waganda, Wasomali Wawageuza Nzige Kuwa Kitoweo

RAIA wa Uganda wanaoishi kaskazini mwa wilaya ya Kitgum wanakula nzige wa jangwani ambao wameharibu mimea yao kulingana na kituo...

READ MORE

Abdul Nondo Afanya Maamuzi Magumu ACT-Wazalendo – Video

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo, jana Februari 21, 2020 amechukua fomu ya kugombea nafasi ya...

READ MORE

Mwili wa Baba Mzazi wa Mtume Mwingira Kuzikwa Pwani Leo

Mazishi ya Elias Mwingira ambaye ni baba mzazi wa Mtume Josephat Mwingira yanafanyika leo Jumamosi Februari 22, 2020 Kibaha mkoani...

READ MORE

VIDEO: Mbunge Wa Lipumba Ajiuzulu Na Kuhamia CCM

 Mbunge wa Tandahimba Mkoani Mtwara (CUF) Katani Ahmed Katani amejiuzulu Ubunge wake na kutangaza kuhamia CCM kwenye mkutano uliofanyika...

READ MORE

Ado Achua Fomu Kuwania Ukatibu Mkuu ACT Wazalendo

KATIBU wa Kamati ya Itikadi, Uenezi na Mawasiliano kwa Umma ya chama hicho, Ado Shaibu amekuchukua fomu ya kuwania nafasi...

READ MORE

Kisa DNA ya Watoto, Mke Achezea Kipigo Nusura Auawe

MWANAMKE mmoja nchini Nigeria amechakazwa vibaya na mwanamume anayedhaniwa kuwa ni mume wake baada ya kutokea hali yenye utata dhidi...

READ MORE