JESHI la polisi mkoani Mbeya, linawashikilia vijana 11 wenye umri wa kati ya miaka 20 na 25 kwa tuhuma za...
READ MOREALIYETANGAZWA kuwa rais wa mpito wa Guinea-Bissau, Cipriano Cassama, amejiuzulu baada ya kukaa madarakani kwa siku moja akidai maisha yake...
READ MOREMEYA wa Manispaa ya Iringa, Alex Kimbe, amepewa siku tano kujibu tuhuma zinazomkabili ikiwamo matumizi mabaya ya madaraka. Hatua...
READ MOREMBUNGE wa Jimbo la Arusha Mjini Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Godbless Lema amekamatwa na polisi mkoani Arusha na...
READ MOREDARAJA la Kiyegeya lililopo wilayani Gairo, barabara kuu ya kutoka Morogoro kwenda Dodoma, limevunjika na kutenganisha barabara hiyo kutokana na...
READ MOREWATU wawili wamepoteza maisha na ishirini na mbili kujeruhiwa wakati basi la Kampuni ya Struggle linalofanya safari zake kutoka Arusha...
READ MOREMamlaka ya Hali ya Hewa nchini(TMA), imetoa tahadhari ya mvua kubwa inayotarajiwa kunyesha leo Machi 2-3, 2020 katika mikoa...
READ MOREDiwani wa kata ya Kining’ila(CCM), Elisha Antony anayedaiwa kutishia kuua ameachiliwa kwa dhamana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Igunga, Mkoani...
READ MOREKlabu ya Juventus imevunjilia mbali kambi zote za mazoezi pamoja na kuamuru timu yao ya vijana walio na umri chini...
READ MOREMbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amesema amepata taarifa za kutakiwa kuripoti kituo kikuu cha polisi Arusha. Kupitia ukurasa...
READ MOREWAFUNGWA 150 kutoka katika Mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Tabora wamepelekwa katika Gereza la Kwitanga Mkoani Kigoma ikiwa ni mkakati...
READ MOREWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga, Bibi Judica Omari achunguze utendaji kazi wa Mweka Hazina...
READ MOREKatibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt Bashiru Ally, amemuomba aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe,...
READ MORELuxembourg imekuwa nchi ya kwanza duniani kufanya usafiri wa umma kuwa wa bure (mwananchi hatolipa nauli). Lengo ni kuondoa msongamano...
READ MORERAIA wanne wa kigeni waliowasili nchini Uganda na dalili za virusi vya corona wametengwa katika hospitali ya Entebbe, waziri wa...
READ MOREWakati Mkoa wa Simiyu ukiwa mwenyeji wa maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani Kitaifa Machi 8, 2020, Benki ya...
READ MOREBENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imesema itaendelea kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya tano ya...
READ MOREMachi 2, 2020: Dar es Salaam: Kampuniya Bia Tanzania (TBL) leo itafanya mkutanonaWaandishiwa Habari jijini Dar es Salaam kwa lengo...
READ MORERais wa Tanzania, John Magufuli Jumamosi Februari 29, 2020 amemjulia hali makamu mwenyekiti wa CCM- Bara, Philip Mangula aliyelazwa katika...
READ MOREMKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro jana ameshiriki Tamasha kubwa la Kili Dome lililo andaliwa na Kampuni ya Bia Nchini(TBL) kuelekea...
READ MOREMWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, jana aliachiwa kwa dhamana baada ya kukamatwa na kuhojiwa katika...
READ MOREIkiwa ni sehemu ya kuiunga mkono Serikali katika kupambana na ajali za barabarani, Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL)...
READ MOREBAHATI nasibu ya Chomoka na Gari Mpya iliyoanzishwa na Kampuni ya Global Publishers kupitia magazeti yake ya michezo ya Championi...
READ MORETAARIFA zinadai kuwa Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro limewajeruhi baadhi ya waandishi waliokuwa wakitelekeza wajibu wao wakati wa Kumkamata...
READ MOREMalawi imehalalisha kupanda, kuuza, na kusafirisha bangi nje ya nchi kwa ajili ya matumizi mbalimbali yakiwemo kutengeneza dawa, mafuta na...
READ MORERais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa ameagiza kuondolewa kwa raia wa nchi hiyo waishio katika Jimbo la Wuhan nchini China...
READ MOREMakamu wa Rais wa Iran anayeshughulikia mambo ya wanawake na familia Bibi Masoumeh Ebtekar jana amethibitishwa kuambukizwa virusi vya Corona....
READ MOREKUFUATIA ongezeko la mimba za utotoni pamoja na ukatili wa kingono katika kata ya Tandale jijini Dar es Salaam, baadhi...
READ MORERAIS John Magufuli leo tarehe 28 Februari, 2020, amekagua maendeleo ya ujenzi wa msikiti wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania...
READ MOREVIONGOZI waandamizi watano kutoka vyama vya upinzani wametambulishwa leo na kupokelewa rasmi kuwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mbele...
READ MOREIKIWA ni muda mfupi baada ya Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ikiongozwa na...
READ MOREKAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Rais John Magufuli, katika...
READ MOREWIZARA ya Afya ya Nigeria imetangaza kugundulika kwa mgonjwa wa kwanza wa COVID-19 nchini humo. Waziri wa afya amesema...
READ MOREBENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imesema kuwa itaendelea kushirikiana na kuwasaidia wakulima hasa katika kuwapatia ujuzi na mbinu...
READ MORE“KILA mmoja wetu yupo tayari kwa mchezo ujao wa ligi, nafikiri itakuwa dhidi ya Yanga, tumeshawachagua wachezaji watakaocheza.” Hiyo...
READ MOREJESHI la Polisi mkoani Singida limesema dereva wa bodaboda, Alex Jonas (40) aliyeuawa na watu wasiofahamika alikuwa siyo kiongozi wa...
READ MOREMODO au video vixen wa Wimbo wa Binti Kiziwi wa msanii Z-Anto, Sandra Khan almaarufu Binti Kiziwi ameshtua wengi baada...
READ MORE