×

Habari

Aliyemuingizia Mtoto Uume Mdomoni, Jela Miaka 20

MAHAKAMA ya Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela mkazi wa Kimara Stop Over, Liziki...

READ MORE

Nunua Gazeti la UWAZI Kirahisi Zaidi Hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la UWAZI kirahisi zaidi popote ulipo, ndani ya nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= Bonyeza hapa...

READ MORE

Hospitali Kubwa Kanda ya Ziwa Kujengwa Chato

SERIKALI  ya Tanzania imesema ina mpango wa kujenga Hospitali ya Kanda ya Ziwa wilayani Chato mkoani Geita itakayohudumia wakazi wote...

READ MORE

Rais Magufuli Ampa Tena Shavu Mrema – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa wenyeviti 5 wa bodi za taasisi...

READ MORE

Lala Salama ya Usajili wa Laini, Macho yote kwa JPM

“JPM (RAIS Dk John Pombe Magufuli), okoa jahazi, laini zetu zipone!” Hayo ni maneno ya baadhi ya wamiliki wa laini...

READ MORE

Mataifa Makubwa Duniani Kudhibiti Amani Libya

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema kuwa mataifa yenye uwezo mkubwa duniani yamejitolea kuhakikisha kuwa kuna suluhu...

READ MORE

Wadhamini Wamuomba Mbowe Amlete Lissu Mahakamani

WADHAMINI wa aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, wameieleza Mahakama...

READ MORE

Mama Mmarekani Atua Nigeria Kufunga Ndoa na Kibenteni, Walikutana Insta

MAMA mmoja kutoka California Marekani, Jeanine Delsky (43), amefunga safari mpaka nchini Nigeria nyumbani kwa wazazi wa kijana Sulaiman Babayero...

READ MORE

Zitto ‘Awanyima’ Posho Wenyeviti Wote Serikali za Mtaa “Ni Batili”

  Baraza la Halmashauri ya Kigoma Ujiji linaloongozwa na Chama Cha ACT Wazalendo chini ya kiongozi wao Mkuu, Zitto Kabwe,...

READ MORE

RC Mghwira Ashtushwa Wingi wa Viongozi wa Dini Kuomba Kumiliki Silaha

MKUU wa mkoa wa Kilimanjaro, Dkt Anna Elisha Mghwira ameeleza kushtushwa na kundi kubwa la watu kujitokeza kuomba umiliki wa...

READ MORE

Kortini kwa Kumbaka Mke Wake

MWANAMME mmoja, Nhlanhla Dlamini, mwenye umri wa miaka 34, amekuwa mtu wa kwanza kushtakiwa kwa madai ya ubakaji kwa kufanya...

READ MORE

Makonda: Wasio na Kitambulisho cha NIDA, Namba ni Wambea

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,  amesema wananchi wa mkoa huo ambao hadi jana Jumapili Januari 19,...

READ MORE

DC SABAYA AAGIZA Wamiliki Wawili Wa Mabasi Kukamatwa – Video

 Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya leo Januari 19, 2020 ameagiza wamiliki wawili wa mabasi kukamatwa kwa...

READ MORE

Orodha Mpya Ya Mabilionea 20 Afrika Hipo Hapa, Dangote Aongoza

Mfanyibiashara Mohamed Dewji ‘Mo’ ametajwa kuwa miongoni mwa mabilioni 20 wa Afrika katika ripoti ya jarida la Forbes la mwaka...

READ MORE

MENEJA WA HARMO AKOSHWA NA DIVA!

  Baada ya Mtangazaji wa Radio Clouds FM, Loveness Malinzi ‘Diva’ kusema kwamba msanii Rajabu Abdul ‘Harmonize au Harmo’ na...

READ MORE

KILI MARATHON 2020 YAZINDULIWA MOSHI

Mashindano ya mbio za nyika za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2020, ambayo ni toleo la 18 la mbio hizo, yamezinduliwa...

READ MORE

JK: Nimeitikia Wito wa Rais Magufuli

  Rais Mstaafu wa awamu ya 4, Jakaya Kikwete hii leo amekamilisha usajili wa laini zake za simu kwa njia...

READ MORE

DC Wa Mbulu Atoa Wito Hospitali Kubuni Mbinu za Kujiendesha

Hospitali nchini zimetakiwa kubuni mbinu mbadala ya kujiendesha ili kuweza kuendelea kutoa huduma bora za kiafya badala ya kusubiri msaada...

READ MORE

Imam Aliyeoa Mwanamume Mwenzake Yamkuta Mazito

IMAM aliyemuoa mwanamme mwenzake akidhani ni mwanamke amefutwa kazi na Baraza Kuu la Waislamu Uganda. Huku mjadala kuhusu kama kweli...

READ MORE

Mtuhumiwa Mauaji ya Mwanaharakati wa Tembo Aanguka Mahakamani – Video

MSHTAKIWA mmoja katika kesi ya mauaji ya Mwanaharakati wa kupambana na mauaji ya Tembo, Wayne Lotter amezimia mahakamani huku mwenzake...

READ MORE

Matokeo NECTA 2019: DC Kinondoni Awafanyia Kitu Walimu

    MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo, jana amewapongeza walimu, waratibu elimu na maofisa elimu wa Manispaa ya...

READ MORE

Wananchi Wabuni Mbinu Mpya ya Kusajili Laini

DAR: WAKATI zikiwa zimesalia siku mbili kabla ya kumalizika kwa muda wa kusajili laini za simu kwa alama za vidole,...

READ MORE

Baba Ampa Ujauzito Mke na Mtoto Wake

KATIKA hali isiyo ya kawaida, Deus Richard (40), Mkazi wa Kijiji cha Milala Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi...

READ MORE

Denti la Sita Abakwa Akitoka Saluni

MARA: Denti wa darasa la sita katika shule moja ya msingi iliyopo Kata ya Ring’wani Tarafa ya Ikorongo wilayani Serengeti,...

READ MORE

Dkt Bashiru: CCM Tukishindwa Tukubali – Video

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally amevitaka vyama vya upinzani nchini kujiandaa mapema kukubali kushindwa kama...

READ MORE

Polisi Wahofia Waume Zao Kuchepuka na Machangudoa – “Hawatasalimika”

Polisi wanawake mkoa wa Mwanza wamedhamiria kukomesha na kutokomeza vitendo vya ukatili pamoja na wanawake wanofanya biashara haramu ya ngono...

READ MORE

Ndalichako, Balozi wa China Waweka Jiwe la Msingi Arusha

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Technolojia, Profesa Joyce Ndalichako  na Balozi wa China  nchini, Mhe Wang Kel, jana Januari 18,...

READ MORE

Mimi Mars: Natamani Sana Kuolewa – Video

Usiku wa kuamkia leo Mimi Mars alizindua wimbo mpya, Mars akiongea na Global TV Online amefunguka mambo mbalimbali kuhusiana na...

READ MORE

Baba Amuua Mwanaye kwa Kumchoma Moto

POLISI  mkoani Kagera inamshikilia Juma Daniel, mkazi wa Kijiji cha Kazingati kata ya Keza wilayani Ngara, kwa tuhuma za kumuua...

READ MORE

Hakiki Laini Yako ya Simu Hapa Kama Imesajiliwa kwa Alama za Vidole

ZIKIWA zimebaki siku tatu laini za simu zisizosajiliwa kwa alama za vidole kufungiwa, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewaagiza Watanzania...

READ MORE

MC Olivia adaiwa kula Rambi rambi za Anna Zambi

DAR: Ukisikia yeleuuwiii maana yake ni habari ya kushtua; kama hii ya mshereheshaji (MC) maarufu jijini Dar, Olivia Karumuna ‘MC...

READ MORE

Benki ya I & M Yachangia Madawati 100 Shule Ya Mrisho Gambo

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako pamoja na balozi wa China hapa nchini,WANG  Ke leo wameshiriki uwekaji...

READ MORE

Azania Yamwaga Sabuni za Bure Mtaani, Wananchi Wagombania

KOMESHA kabisa uchafu wa nguo na kila kitu nyumbani kwako! Hiyo ndiyo sababu iliyofanya Makampuni ya Azania Group, watengenezaji wa...

READ MORE

Maajabu: Mtoto Atapika Mawe, Familia Yapigwa na Vitu Visivyoonekana

FAMILIA ya Bi. Laurastika Kweka wa Kata ya Bondeni, Mtaa wa Kilimambogo, Wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, inaomba  msaada wa maombi...

READ MORE

Polisi Afukuzwa Kazi kwa Kusababisha Kifo

POLISI  Zanzibar imemfuta kazi Askari wake Hussein Yahya Rashid (36) baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kusababisha kifo cha...

READ MORE

Zitto Apigwa ‘Stop’ Kigoma

POLISI mkoani Kigoma imezuia mkutano wa Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo,...

READ MORE

Mwanafunzi: Sina Akili, Sitaki Shule, Bora Nifungwe Jela

MWANAFUNZI mwenye umri wa miaka 15 (jina tunalihifadhi) aliyefaulu kuendelea na masomo ya kidato cha kwanza kwa wastani C katika...

READ MORE

MESS CHENGULA ACHUKUWA FOMU YA UBUNGE MAKETE.

Mfanyabiashara na Mwimbaji Maarufu MESS JACOB CHENGULA amechukuwa Fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Makete.

READ MORE

Luc Eymael Atoa Siku Saba Yanga

KATIKA kipindi cha siku 30 zilizopita Yanga wameitengeneza sura mpya ya kikosi chao baada ya kufanya usajili kabambe kwenye dirisha...

READ MORE

Wanafunzi Waliofanya Mtihani Gerezani kwa Tuhuma za Mauaji Watusua

WANAFUNZI sita waliofanya mtihani wa kuhitimu kidato cha Nne gerezani ambao ni kati ya watuhumiwa 8 wanaoshitakiwa kwa mauaji ya...

READ MORE