×

Habari

Daktari Asema Corona Haiwezi Kuishi Kwenye Damu ya Mwafrika

CORONAVIRUSES (CoV) ni virusi vinavosababisha mafua na ugonjwa unaoathiri mfumo wa hewa  wa  Middle East Respiratory Syndrome (MERS-CoV) na Severe...

READ MORE

Mwanafunzi Asimulia Alivyobakwa na Kupata Ujauzito

MWANAFUNZI wa kidato cha nne ambaye pia ni shahidi wa kwanza kwenye kesi ya ubakaji inayomkabili Boniface Malila (20), amedai...

READ MORE

Rwanda Yakataa Uchunguzi Huru Kifo cha Msanii Mihigo

RWANDA imepinga shinikizo kutoka kwa mashirika ya kutetea haki za binadamu ya kutaka uchunguzi huru kufanywa kuhusu kifo cha msanii...

READ MORE

Mwanamke Aliyeishi Kwenye Ndoa na Binamu Yake, Aanika Mazito

CARO NDUTI ni mama ya watoto wawili na kwa muda wa miaka minne ndoa yake ilifana sana, lakini anasema alifurahia...

READ MORE

‘Bi Kidude’ Azua Taharuki Bandari ya Zanzibar

Bibi mmoja (pichani) ambaye majina yake hayajafahamika mara moja amezua taharuki miongoni mwa wasafiri na wananchi wengine katika Bandari ya...

READ MORE

Vodacom yazindua duka la kisasa Mbezi Beach jijini Dar es Salaam

Mkuu wa Kitengo cha Mauzo, Usambazaji ,Maduka na Huduma kwa Wateja Vodacom Tanzania Plc, George Lugata (kulia) akikata utepe kuzindua...

READ MORE

Bosi Spoti Xtra Aula TFF

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limempa ulaji Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Saleh Ally ambaye ni bosi wa magazeti ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Lesotho Thomas Thabane Atakiwa Kujiuzulu

Chama tawala nchini Lesotho kimemtaka waziri mkuu kujiuzulu leo Februari 20, 2020, ikiwa ni siku 2 tu tangu mkewe wa...

READ MORE

NEC Yaongeza Siku za Kujiandikisha Dar

T ume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza muda wa uandikishaji katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la...

READ MORE

Wawili Wafariki kwa Corona Iran

SERIKALI ya Iran imethibitisha vifo vya watu wawili vilivyotokana na maambukizi mapya ya virusi vya Corona na kuvifanya kuwa vifo...

READ MORE

Binti Aliyevunja Ndoa ya Wazazi Wake Ili Asome, Asimulia

NI nadra sana kwa maeneo ya vijijini mkoani Shinyanga kuona mwanamke anapewa nafasi ya kuwa kiongozi na wakati mwingine mwanamke...

READ MORE

Mbunge Atinga Bungeni na Nzige

MBUNGE David Obala kutoka Ngora Mashariki, Uganda amepeleka nzige bungeni juzi Jumanne, akilenga kupinga serikali kuchelewa kukabiliana na janga hilo...

READ MORE

Huduma za bima sasa kupatikana katika matawi yote ya Benki ya NMB

Benki ya NMB imeanza kutoa huduma za bima katika matawi yake yote 224 nchini kote.Huduma hii imefuatia uzinduzi wa huduma...

READ MORE

Wadhamini Waomba Lissu Akamatwe – Video

WADHAMINI wa aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu,  wamewasilisha maombi mahakamani kutaka itoe kibali cha Lissu kukamatwa baada ya...

READ MORE

Akimbiwa na Mumewe Kisa Unene, Hawezi Kutembea – Video

MKAZI mmoja mwanamke wa Kijiji cha Mwendakulima, Kata ya Uyoa, Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, amejikuta akishindwa kutembea na hata...

READ MORE

Mwanamke Aliyetinga Ikulu na Kumdanganya Magufuli Yamkuta

POLISI mkoani Mbeya imemrejesha mkoani humo mwanamama Atughanile Kalenga, ambaye alikamatwa  jijini Dar es Salaam kwa amri ya Mkuu wa...

READ MORE

Rapa Marekani Pop Smoke Auawa kwa Kupigwa Risasi

MSANII wa Hip-hop  nchini Marekani, Bashar Barakah Jackson maarufu Pop Smoke (20), amefariki baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana...

READ MORE

Azania group of companies yaja na mpya

Kampuni ya Azania Group baada ya kutimiza malengo ya mwaka 2020 kufikia kusambaza bidhaa zake mikoa tisa hapa nchini wameendelea...

READ MORE

LIVE: RAIS MAGUFULI ANAZUNGUMZA NA MADAKTARI MUDA HUU

Rais Dkt John Magufuli, leo Februari 20, amekutana na madaktari na wauguzi kuelekea maadhimisho ya siku ya madaktari kitaifa.. Kauli...

READ MORE

Huduma za Bima sasa Kupatikana Katika Matawi Yote ya Benki ya NMB

  Benki ya NMB imeanza kutoa huduma za bima katika matawi yake yote 224 nchini kote.Huduma hii imefuatia uzinduzi wa...

READ MORE

Kijana Ajiandikia ‘R.I.P to Me’ Kabla ya Kujiua

KIJANA Dennis Yego (24) ameishangaza Kenya baada ya kuandika maneno ya kujitakia kifo chema “Rest in peace to me” kupitia...

READ MORE

Mkandarasi Apigwa Miaka Saba Jela

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu mkandarasi wa majengo, Alfred Ndeka (60), kifungo cha miaka saba jela baada ya kukutwa...

READ MORE

Ng’ombe Mwenye Pembe Ndefu Zaidi Duniani

NG’OMBE  mmoja anayefugwa huko Albama nchini Marekani ameingia kwenye recodi ya kuwa na pembe ndefu kuliko wote duniani hadi leo,...

READ MORE

Afariki kwa Kunywa Pombe Kupita Kiasi

MKAZI  wa Ukenyenge wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, Nkuba Mawe (27),  amekutwa amefariki dunia kwenye vibaraza vya maduka katika Mtaa wa...

READ MORE

Simbachawene: Polisi Ihoji, Iwatambue Waliombambikiziwa Kesi

WAZIRI  wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amewataka watendaji akuu wa Jeshi la Polisi wawahoji watuhumiwa waliopo katika...

READ MORE

‘Nabii wa Corona’ Aomba Radhi, Waumini Wamlilia! – Video

  Kiongozi wa Kanisa la Huduma ya Neno na Maombi lililopo Arumeru Mkoani Arusha, Moses Ibarahimu maarufu kama NabiiNamba Saba,...

READ MORE

Tito Magoti Arudishwa Rumande – Video

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka Upande wa Mashitaka kutoa maelezo yanayojitosheleza kuhusu upelelezi wa kesi inayomkabili Afisa wa Kituo...

READ MORE

Mahakama Yashindwa Tena Kutoa Hukumu ya Maxence Melo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwa mara ya nne imeshindwa kutoa Hukumu juu ya kesi namba 456 inayomkabili Mwanzilishi na Mtendaji...

READ MORE

Mbwa Koko Azua Balaa Uwanjani

VIDEO moja ime-trend sana mtandaoni ikimuonyesha mbwa koko akisitisha mechi baada ya kuingia uwanjani na kuchukua umiliki wa mpira wakati...

READ MORE

Mke wa Rais Kagame Atakiwa Kuhojiwa Bungeni

SPIKA wa bunge la Uganda ametoa wito kwa mke wa Rais wa Uganda ambaye pia ni Waziri wa Elimu, Janet...

READ MORE

Mlinzi Aliyemwamuru Waziri Kupanga Foleni Afukuzwa Kazi

MAHAKAMA nchini Kenya imehalalisha aliyekuwa mlinzi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Daizy Cherogony, kufukuzwa kazi kutokana...

READ MORE

Madaktari Kukutana na Magufuli Alhamisi

CHAMA cha Madaktari Tanzania (MAT) kinatarajiwa kukutana na kuzungumza na Rais John Magufuli, ambapo miongoni mwa mambo watakayomueleza ni changamoto...

READ MORE

Vifusi vya uchafu vyakutwa ndani ya tanki za mafuta za boeing 737

  Shirika la Boeing linakumbwa na hatari ya kukabiliwa tena na suala la usalama wa ndege zake baada ya vifusi...

READ MORE

Betika Latinga  Mbagala Kijichi, Mgeninani Lavutia Wazee wa Kubeti

MAPEMA leo Jumatano, Februari 19, mwaka huu timu ya maofisa masoko ya Global Publishershers imetembelea maeneo ya Mbagala Kijichi, Mgeni...

READ MORE

Wahadhiri Wasimamisha Kazi kwa Unyanyasaji wa Kijinsia

Chuo Kikuu cha Ghana kimesimamisha wahadhiri wawili, Profesa Ransford Gyampo na Dk Paul Kwame Butakor, kwa vipindi tofauti bila mshahara....

READ MORE

Bodaboda wa Ruvuma Wafurahia Masta Boda

  Vijana nchini wametakiwa kuchangamkia fursa za NMB Mastaboda zinazoambatana na mikopo, zawadi za fedha taslimu na boda boda ili...

READ MORE

Afukuzwa Kijijini Akituhumiwa Kuwaingilia Wanawake Kishirikina

WANANCHI wa Kitongoji cha Ikonda bondeni Kijiji cha Ikonda wilayani Makete mkoani Njombe wamemfukuza mkazi aliyehamia katika kitongoji hicho akitokea...

READ MORE

Haki za Binadamu Wataka Kifo cha Mwanamuziki Kuchunguzwa

SHIRIKA la kutetea Haki za Binadamu, Human Rights Watch linataka uchunguzi ufanywe kubaini chanzo cha kifo cha mwanamuziki maarufu wa...

READ MORE

Watoto 3 wa Familia Moja Wafa Wakiwa Wamekumbatiana – Video

Watoto wa tatu wa familia moja wafa kwa moto siku ya February 14, 2020 hii ni baada ya mama yao...

READ MORE

Katibu UVCCM Muleba Akutwa Amekufa

POLISI  mkoani Kagera imeanza uchunguzi wa kifo cha aliyekuwa katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Kata...

READ MORE