KESI namba 141-2019 inayomkabili mwalimu Focus Mbilinyi anayetuhumiwa kumvunja uti wa mgongo aliyekuwa mwanafunzi wa shule ya msingi Madeke...
READ MORERais Dkt. John Magufuli leo Januari 23, 2020 amemteuwa Mbunge wa Ilala Dar es salaam, Mussa Azzan Zungu kuwa Waziri...
READ MORENCHI ya Kenya imetangaza kuwa raia wote wanaoingia nchini humo kutoka nchini China watapimwa virusi vya Corona. Kenya imechukua hatua...
READ MOREKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM); Kata ya Tungi, Manispaa ya Morogoro, Baraka Masuki amedaiwa kuuawa kwa kupigwa kichwa kwenye...
READ MORERAIS John Magufuli amesikitishwa na kitendo cha viongozi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na Jeshi la Zimamoto...
READ MOREIKIWA ni muda mfupi baada ya Rais John Magufuli kusema kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola...
READ MOREKASHFA ya mkataba wa kifisadi iliyomkumba Kangi Lugola, imesababisha kujiuzulu kwenye nafasi ya uwaziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi....
READ MOREBaraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni katika mkutano wake maalum wa baraza leo Alhamisi Januari 23 mwaka...
READ MORERAIS John Magufuli amesema Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Kingu, amemwandikia barua ya kujiuzulu nafasi...
READ MOREMKURUGENZI wa Mawasiliano wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Emmanuel Buhohela amesema kuwa hadi sasa...
READ MORERais Dkt. John Magufuli leo Januari 23, 2020 anafungua majengo ya makazi ya Askari Magereza wa Gereza la Ukonga jijini...
READ MOREMWANAFUNZI wa mwaka wa pili anayesomea Shahada ya Sayansi ya Asili (Natural Science) katika Chuo Kikuu Dodoma (UDOM), Mugaya Tungu, ...
READ MOREMCHUNGAJI Japhes Manwa wa Kanisa la Pentekoste Wilayani Kibaha, anatuhumiwa kumchoma moto mikononi na mgongoni mwanaye wa miaka saba ambaye...
READ MOREIMANI za kishirikina zimetawala tukio la mwanafunzi wa darasa la pili, Celina Fosi, aliyetoweka kwa siku sita na baadaye mwili...
READ MOREProgramu maalum yenye lengo la kuwajengea wanafunzi wa sekondari uwezo wa kukabiliana na mitihani yao ya mwisho iitwayo Jipange na...
READ MOREMADAI ya kuwa yeye ni masikini ni sababu iliyomtosha Chacha Makonge ‘23’ kutaka kumuua kwa kumkata mapanga sehemu mbalimbali mwilini...
READ MOREMsanii wa Sanaa kuchora Athuman Hamis kutoka Mwenge Vinyango jijini Dar es Salaam ameibuka kuwa bingwa katika shindano la Sanaa...
READ MOREKIONGOZI wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye, ametajwa katika kitabu cha rekodi za dunia cha Guinness kuwa kiongozi aliyekamatwa na...
READ MORERipoti mpya ya kila mwaka ya kielelezo cha demokrasia iliyochapishwa na Kitengo cha Ujasusi wa Kiuchumi EIU imesema kiwango cha...
READ MOREBaraza la Seneti nchini Marekani limepiga kura kwa misingi ya chama na kuidhinisha sheria zitakazotumika katika kesi ya kumuondoa madarakani...
READ MOREMAPEMA leo Jumatano, Januari 22, mwaka huu timu ya maofisa masoko ya Global Publishershers imetembelea maeneo ya wafanyabiashara wa maeneo...
READ MOREWAZIRI wa Maliasili na Utalii Dkt Hamis Kigwangalla, ameeleza kuwa kwa sasa anaishi kwa hofu na tahadhali kubwa juu ya...
READ MOREChama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Mkoa wa Arusha kupiti kwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana (BAVICHA) Mkoa, Ema Kimambo...
READ MOREHAYA ni Maendeleo ya Ujenzi wa Barabara za Juu katika Makutano ya Ubungo (Ubungo Interchange) jijini Dar es Salaam. ...
READ MOREShilingi Bilioni 23.5 zinaokolewa kila mwaka baada ya Serikali kupitia Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuzima mitambo ya kuzalisha umeme...
READ MORECHUO Kikuu cha Tumaini Tawi la Dar es Salaam (TUDARCo) kinachomilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya...
READ MOREMKUU wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, amesema tayari wamiliki wa mabasi wanaotuhumiwa kuhujumu miundombinu ya reli wameripoti kituo...
READ MORETUME ya Vyuo Vikuu (TCU) imefuta hati za usajili wa vyuo vikuu vishiriki vitano, vyuo vikuu vitatu na chuo kikuu...
READ MOREFUNDI makenika wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Cathbert Mwangalaba (47) ameuawa kwa kukatwa mwili wake na kiwiliwili...
READ MOREMBUNGE wa jimbo la Kawe, Halima Mdee na Mbunge wa Bunda Mjini, Esther Bulaya, wamejitetea kutofutiwa dhamana yao katika Mahakama...
READ MOREWATU saba wameuawa kwa mlipuko wa bomu aina ya kombora dogo (grenade) walipokuwa kwenye sherehe ya harusi huko Khartoum, Sudan....
READ MOREKAMATI ya Dharura ya Shirika la Afya Duniani (WHO), itakutana wiki hii kujadili mlipuko wa homa ya mapafu inayosababishwa na...
READ MORE MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo Januari 21, 2020, amemwasa mcheza soka wa Tanzania aliyesajiliwa...
READ MOREMWANAMKE mmoja kutoka nchini India ameamua kuuza nywele zake ili aweze kupata chakula kwa ajili yake na familia yake, jambo...
READ MORERAIS John Magufuli leo Januari 21, 2020, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Kurugenzi ya Mawasiliano...
READ MOREMsanii maarufu wa filamu nchini Jacqueline Wolper (kushoto), akifuatiwa na mkongwe wa Bongo Fleva, Dully Sykes, Mkuu wa Kitengo cha...
READ MOREKUTOKANA na wanaume wengi kuwa na matatizo ya nguvu za kiume, Mbunge wa Viti Maalum (Chadema),Susan Lyimo, ameishauri serikali kutoa...
READ MOREDaktari wa Zahanati ya Lugunga Mkoani Geita Emmanuel Mpanduhi amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bukombe kwa tuhuma za kumchoma...
READ MOREMkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), James Kilaba amesema uzimaji wa laini za simu ambazo hazijasajiliwa kwa alama...
READ MOREOFISA Msajili Msaidizi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), mkoani Shinyanga, Haruna Mushi, na wakala wa usajili laini za...
READ MORE