×

Habari

Watanzania Waendelea Kuishuhudia Tuzo Ya Kimataifa Ya Kizibo Cha Dhahabu Cha Tbl

  Februari 28, 2020: Dar es Salaam: Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) imeendelea kuionesha Tuzo ya kimataifa ya Kizibo Cha...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Ijumaa, Februari 28, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Februari 27, 2020. Ni yale ya Hard-news, Udaku na Michezo. Usipitwe na...

READ MORE

Shamsa Alia Kukosa Bahati ya Kuhongwa

DAR: Mwanamama mkali wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford amesema mara nyingi anasikia kuwa mastaa wengi wanahongwa na kuweza kufanya...

READ MORE

Mtuhumiwa Wizi wa Watoto Kupimwa Akili

MBEYA: Mahakama ya Hakimu Mfawidhi Mbeya, imeagiza kwenda kupimwa afya ya akili kwa mkazi wa Tegeta jijini Dar anayetuhumiwa kwa...

READ MORE

Meneja Kampuni Inayojenga SGR Ahukumiwa Jela Miaka 3

MENEJA Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Merkezi inayojenga reli ya kisasa ya (SGR), ambaye ni raia wa Uturuki, Yetkin Gen...

READ MORE

Mama Auawa, Akatwa Nyeti, Achunwa Ngozi – Video

MWANAMKE mmoja mfanyabiashara ya mboga na mkazi wa Mtaa wa Msufini, Chamazi Dar es Salaam, Salima Bakari, ameuawa na kukatwa...

READ MORE

Mahakama Yakubali Maombi ya Rugemalira

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imekubali kupokea hoja za maombi ya mfanyabiashara James Rugemalira anayetaka kuondolewa kwenye kesi ya utakatishaji...

READ MORE

Marekani Yaua Kiongozi wa Al-Shabaab

SHAMBULIO  la ndege lililofanywa na Marekani limemuua kiongozi wa Al-Shabaab anayehusishwa na kupanga mashambulio kadhaa likiwemo la Kambi ya Jeshi...

READ MORE

Ruvuma: Polisi Wadaiwa Kumchoma Singe Mwenyekiti wa Kijiji

MWENYEKITI wa ulinzi wa Kijiji cha Peramiho A, mkoani Ruvuma ambaye pia ni mwenyekiti wa Kitongoji cha Mtakuja, Pastorius Mbuya,...

READ MORE

Wachina Waliotaka Kumhonga Kamishna TRA Wahukumiwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ronglan Intl Industry and Trade Co. Ltd, Zheng Rongman...

READ MORE

Kasisi Shoga, Mchungaji Shoga Wafunga Ndoa – Video

KASISI maarufu wa Kanisa la Anglican nchini Afrika Kusini, Rev John Maierepi, ameolewa na kufunga ndoa na aliyekuwa mchumba wake...

READ MORE

Tamasha la Kili Dome Kufanyika Kwa siku tatu Mfululizo Mkoani Kilimanjaro

  Moshi, Februari 26, 2020: Tamasha maalumu kuelekea kilele cha mbio za Kili Marathon 2020, maarufu kama Kili Dome linatarajiwa...

READ MORE

Julian: Mwanamke Asiye na Uke Wala Mfuko za Uzazi

Julian Peters mwanamke wa miaka 29 kutoka nchini Kenya aliyezaliwa na ugonjwa unaojulikana kama (MRKH) Mayer-Rokitansky-Küster-Hauser, tatizo ambalo huwaathiri sana...

READ MORE

Yanga Yainyoosha Gwambina Kwa Bao Moja La Kideo, Yatinga Robo Fainali FA

YANGA leo imetinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Gwambina FC...

READ MORE

Babu Miaka 85 Afungiwa Katika Ofisi ya Serikali Siku 3 Bila Kula

MZEE wa miaka 85, Masanja Mahubi, anadaiwa kufungiwa kwa siku tatu katika ofisi ya serikali ya mtaa bila kupewa chakula...

READ MORE

Mharusi Wavalia ‘Mask’ Wafunga Ndoa Kuhofia Corona

Maharusi nchini Ufilipino wamelazimika kuvaa barakao (mask) wakati wa sherehe ya ndoa yao kutokana na hofu ya kusambaa kwa virusi...

READ MORE

Kili Canvas Ndio Habari Ya Mjini Moshi Kilimanjaro

Kili Canvas iliyozinduliwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia Bia yake ya Kilimanjaro Premium Lager hivi karibuni jijini Dar...

READ MORE

TTCL, TPRI Kuzindua Huduma ya Kuhakiki Viuatilifu Kielektroniki

  Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL Corporation), na Taasisi ya Utafiti wa Viuatilifu Ukanda wa Tropiki (TPRI) zimeingia makubaliano ya...

READ MORE

Breaking: Katibu Bavicha Aondoka Chadema – Video

ALIYEWAHI kuwa Katibu Mwenezi wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Simbeye,  ametangaza kuachana na...

READ MORE

Netanyahu Atishia Vita Baada ya Palestina Kurusha Roketi Israeli

Wanamgambo katika Ukanda wa Gaza wameendeleza mashambulizi kusini mwa Israel kwa makombora ya roketi yaliyopenya katika mfumo wa ulinzi wa...

READ MORE

Algeria Yathibitisha Kuwa na Mgonjwa wa Corona

Algeria imethibitisha kisa cha kwanza cha virusi vya Corona, ambapo mgonjwa ni raia wa Italia aliyewasili nchini humo Februari 17....

READ MORE

Shirikisho la Filamu Tanzania Lakabidhi Rasimu ya Katiba Mpya

Shirikisho la filamu Tanzania limekabidhi rasimu mpya ya katiba kwa Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) ambayo itakwenda kumaliza changamoto mbalimbali...

READ MORE

Magufuli, Mkewe Washiriki Ibada ya Majivu Dar

RAIS   John  Magufuli  na mkewe, Janeth Magufuli, leo Februari 26, 2020, wameshiriki Misa ya Jumatano ya Majivu iliyofanyika katika Kanisa...

READ MORE

Amuua Mkewe kwa Mkuki Akiwa Amelala

HAWA JUMA (35) mkazi wa Kijiji cha Isikizya, Wilayani Uyui, ameuawa alipokuwa amelala kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali...

READ MORE

Mwalimu Jela Kumsababishia Mwanafunzi Ulemavu

MAHAKAMA ya Wilaya ya Njombe imemhukumu mwalimu Focus Mbilinyi aliyekuwa akifundisha shule ya msingi Madeke  kifungo cha miaka mitatu jela ...

READ MORE

Mchungaji Anaswa na Silaha, Sare za Jeshi

MCHUNGAJI Florence Lanyero, wa kanisa la Rest Arena lilipo Gulu, Uganda, amekamatwa nyumbani kwake Februari 23, 2020,  kwa kumiliki sare...

READ MORE

Video: RC Mghwira Afichua Upigaji Wa Mil 300, Aliyekua DED Atajwa

 Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Dkt.Anna Mghwira amebaini upotevu wa shilling mil.300 katika ujenzi wa hospital ya wilaya ya...

READ MORE

Nyama ya Punda Yazua Balaa

WAZIRI wa Kilimo nchini Uganda, Peter Munya, ameagiza kufungwa kwa machinjio yote ya punda nchini humo na akawataka wamiliki kuchinja...

READ MORE

Naibu Waziri wa Afya Aambukizwa Virusi vya Corona

NAIBU Waziri wa Afya nchini Iran, Iraj Harirchi,  ambaye amekuwa mstari wa mbele nchini humo katika kupambana na  Corona Virus...

READ MORE

Wachina Wanaswa Wakitaka Kumpa Kamishna Mkuu TRA Mil. 11

JUZI Jumatatu, Feb. 24, 2020, mida ya saa 6 mchana, Kamishna Mkuu wa TRA, Dkt. Edwin Mhede, akiwa ofisini kwake ...

READ MORE

Wanafunzi 47 Wapewa Ujauzito Dodoma

WANAFUNZI wa kike 47 katika shule mbalimbali za sekondari wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma wameachishwa masomo kwa kupata ujauzito  kipindi cha...

READ MORE

TBL Yashinda Tuzo ya Kimataifa ya Kizibo Cha Dhahabu

KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) imepata Tuzo ya kimataifa ya Kizibo Cha Dhahabu (IGCA) inayomaanisha Ubora wa Kimataifa kutokana na...

READ MORE

Wanaoiua Yanga Hawa Hapa

YANGA imetoka sare ya 0-0 dhidi ya Coastal Union na kuandika sare yake ya nane kati ya mechi 22 za...

READ MORE

RC Mtwara Kukutana na Watengeneza Gongo

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa amesema bado nia yake ya kukutana na Watengenezaji wa pombe aina ya gongo...

READ MORE

Makonda: Nitapambana na Zitto Kabwe

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema kuwa hana mashaka na kuwa Rais Magufuli ataendelea kushikilia nafasi...

READ MORE

BREAKING: Rais Hosni Mubarak Afariki Dunia

RAIS wa zamani wa Misri, Hosni Mubarak, amefariki dunia hospitalini jijini Cairo akiwa na miaka 91. Mubarak alidumu madarakani kwa...

READ MORE

Majambazi Sugu Wauawa, Askari 8 Wanaswa Wakiiba Mabilioni ya Benki – Video

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUKAMATWA WATUHUMIWA WANNE WA WIZI WA MABILIONI YA BENKI YA NBC JIJINI DSM​ Jeshi la...

READ MORE

Wanandoa Wadai Fidia Mil 376 Baada ya Kanisa Kuifuta

MUHWEZI BENSON na Akankwasa Sophie wamedai fidia ya Tsh milioni 376 kwa kanisa la ‘Church of Uganda’ baada ya kufuta...

READ MORE

Mke wa Kobe Awashtaki Waliosababisha Kifo cha Mumewe

VANESSA BRYANT ameishtaki Kampuni ya Island Express na rubani wa helikopta iliyopata ajali na kusababisha kifo cha mumewe, bintiye na...

READ MORE

Mbunge Chadema Atiwa Mbaroni

  Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Katavi (CHADEMA) ambaye pia ndio Mwenyekiti wa Chama mkoani hapo, Rhoda Kunchela anashikiliwa na...

READ MORE