×

Habari

CHADEMA Wajilipua Mikutano Kila Kona ”Rais Alisema Ruksa 2020”

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Mkoa wa Arusha kupiti kwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana (BAVICHA) Mkoa, Ema Kimambo...

READ MORE

Ujenzi wa Barabara za Juu ‘Ubungo Interchange’

HAYA ni Maendeleo ya Ujenzi wa Barabara za Juu katika Makutano ya Ubungo (Ubungo Interchange) jijini Dar es Salaam.  ...

READ MORE

Tanesco Yaokoa Bilioni 23.5

Shilingi Bilioni 23.5 zinaokolewa kila mwaka baada ya Serikali kupitia Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuzima mitambo ya kuzalisha umeme...

READ MORE

Chuo Kikuu cha Tumaini Dar Chaanzisha Masomo ya Masters

 CHUO Kikuu cha Tumaini Tawi la Dar es Salaam (TUDARCo) kinachomilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya...

READ MORE

Wamiliki Mabasi Wanaotuhumiwa Kuhujumu Reli Wajisalimisha Polisi

MKUU wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, amesema tayari wamiliki wa mabasi wanaotuhumiwa kuhujumu miundombinu ya reli wameripoti kituo...

READ MORE

TCU Yavifutia Usajili Vyuo 9 Tanzania

TUME ya Vyuo Vikuu (TCU) imefuta hati za usajili wa vyuo vikuu vishiriki vitano, vyuo vikuu vitatu na chuo kikuu...

READ MORE

Amkata Kichwa Bosi Wake Kisa Kutomlipa Mishahara

FUNDI makenika wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Cathbert Mwangalaba (47) ameuawa kwa kukatwa mwili wake na kiwiliwili...

READ MORE

Mdee, Bulaya Matatani kwa Kukiuka Masharti ya Mahakama

MBUNGE wa jimbo la Kawe, Halima Mdee na Mbunge wa Bunda Mjini, Esther Bulaya,  wamejitetea kutofutiwa dhamana yao katika Mahakama...

READ MORE

Watu Saba Wauawa Harusini

WATU saba wameuawa kwa mlipuko wa bomu aina ya kombora dogo (grenade) walipokuwa kwenye sherehe ya harusi huko Khartoum, Sudan....

READ MORE

Virusi Vipya vya Corona Vyaua Watu China

KAMATI ya Dharura ya Shirika la Afya Duniani (WHO), itakutana wiki hii kujadili mlipuko wa homa ya mapafu inayosababishwa na...

READ MORE

Video: Rc Makonda, Afunguka Samatta Kucheza Aston Villa

 MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,  leo Januari 21, 2020, amemwasa mcheza soka wa Tanzania aliyesajiliwa...

READ MORE

Auza Nywele Zake Apate Pesa ya Kulisha Watoto

MWANAMKE mmoja kutoka nchini India ameamua kuuza nywele zake ili aweze kupata chakula kwa ajili yake na familia yake, jambo...

READ MORE

JPM Ateua Wakuu wa Taasisi

RAIS John Magufuli  leo Januari 21, 2020, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari  na Kurugenzi ya Mawasiliano...

READ MORE

DSTV Yaja na ‘Kitu Juu Kitu Kitu’ Ili Umwone Samatta EPL

Msanii maarufu wa filamu nchini Jacqueline Wolper (kushoto), akifuatiwa na mkongwe wa Bongo Fleva, Dully Sykes, Mkuu wa Kitengo cha...

READ MORE

Mbunge Aibua Hoja Upungufu wa Nguvu za Kiume

KUTOKANA  na wanaume wengi kuwa na matatizo ya nguvu za kiume, Mbunge wa Viti Maalum (Chadema),Susan Lyimo,  ameishauri serikali kutoa...

READ MORE

Daktari Kizimbani kwa Kumbaka Mjamzito

Daktari wa Zahanati ya Lugunga Mkoani Geita Emmanuel Mpanduhi amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bukombe kwa tuhuma za kumchoma...

READ MORE

TCRA: Laini za Simu Zisizosajiliwa Kuzimwa kwa Awamu

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), James Kilaba amesema uzimaji wa laini za simu ambazo hazijasajiliwa kwa alama...

READ MORE

Ofisa NIDA Mbaroni Kuwatoza Wananchi Sh 30,000

OFISA  Msajili Msaidizi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida),  mkoani Shinyanga, Haruna Mushi,  na wakala wa usajili laini za...

READ MORE

Aliyemuingizia Mtoto Uume Mdomoni, Jela Miaka 20

MAHAKAMA ya Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela mkazi wa Kimara Stop Over, Liziki...

READ MORE

Nunua Gazeti la UWAZI Kirahisi Zaidi Hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la UWAZI kirahisi zaidi popote ulipo, ndani ya nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= Bonyeza hapa...

READ MORE

Hospitali Kubwa Kanda ya Ziwa Kujengwa Chato

SERIKALI  ya Tanzania imesema ina mpango wa kujenga Hospitali ya Kanda ya Ziwa wilayani Chato mkoani Geita itakayohudumia wakazi wote...

READ MORE

Rais Magufuli Ampa Tena Shavu Mrema – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa wenyeviti 5 wa bodi za taasisi...

READ MORE

Lala Salama ya Usajili wa Laini, Macho yote kwa JPM

“JPM (RAIS Dk John Pombe Magufuli), okoa jahazi, laini zetu zipone!” Hayo ni maneno ya baadhi ya wamiliki wa laini...

READ MORE

Mataifa Makubwa Duniani Kudhibiti Amani Libya

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema kuwa mataifa yenye uwezo mkubwa duniani yamejitolea kuhakikisha kuwa kuna suluhu...

READ MORE

Wadhamini Wamuomba Mbowe Amlete Lissu Mahakamani

WADHAMINI wa aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, wameieleza Mahakama...

READ MORE

Mama Mmarekani Atua Nigeria Kufunga Ndoa na Kibenteni, Walikutana Insta

MAMA mmoja kutoka California Marekani, Jeanine Delsky (43), amefunga safari mpaka nchini Nigeria nyumbani kwa wazazi wa kijana Sulaiman Babayero...

READ MORE

Zitto ‘Awanyima’ Posho Wenyeviti Wote Serikali za Mtaa “Ni Batili”

  Baraza la Halmashauri ya Kigoma Ujiji linaloongozwa na Chama Cha ACT Wazalendo chini ya kiongozi wao Mkuu, Zitto Kabwe,...

READ MORE

RC Mghwira Ashtushwa Wingi wa Viongozi wa Dini Kuomba Kumiliki Silaha

MKUU wa mkoa wa Kilimanjaro, Dkt Anna Elisha Mghwira ameeleza kushtushwa na kundi kubwa la watu kujitokeza kuomba umiliki wa...

READ MORE

Kortini kwa Kumbaka Mke Wake

MWANAMME mmoja, Nhlanhla Dlamini, mwenye umri wa miaka 34, amekuwa mtu wa kwanza kushtakiwa kwa madai ya ubakaji kwa kufanya...

READ MORE

Makonda: Wasio na Kitambulisho cha NIDA, Namba ni Wambea

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,  amesema wananchi wa mkoa huo ambao hadi jana Jumapili Januari 19,...

READ MORE

DC SABAYA AAGIZA Wamiliki Wawili Wa Mabasi Kukamatwa – Video

 Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya leo Januari 19, 2020 ameagiza wamiliki wawili wa mabasi kukamatwa kwa...

READ MORE

Orodha Mpya Ya Mabilionea 20 Afrika Hipo Hapa, Dangote Aongoza

Mfanyibiashara Mohamed Dewji ‘Mo’ ametajwa kuwa miongoni mwa mabilioni 20 wa Afrika katika ripoti ya jarida la Forbes la mwaka...

READ MORE

MENEJA WA HARMO AKOSHWA NA DIVA!

  Baada ya Mtangazaji wa Radio Clouds FM, Loveness Malinzi ‘Diva’ kusema kwamba msanii Rajabu Abdul ‘Harmonize au Harmo’ na...

READ MORE

KILI MARATHON 2020 YAZINDULIWA MOSHI

Mashindano ya mbio za nyika za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2020, ambayo ni toleo la 18 la mbio hizo, yamezinduliwa...

READ MORE

JK: Nimeitikia Wito wa Rais Magufuli

  Rais Mstaafu wa awamu ya 4, Jakaya Kikwete hii leo amekamilisha usajili wa laini zake za simu kwa njia...

READ MORE

DC Wa Mbulu Atoa Wito Hospitali Kubuni Mbinu za Kujiendesha

Hospitali nchini zimetakiwa kubuni mbinu mbadala ya kujiendesha ili kuweza kuendelea kutoa huduma bora za kiafya badala ya kusubiri msaada...

READ MORE

Imam Aliyeoa Mwanamume Mwenzake Yamkuta Mazito

IMAM aliyemuoa mwanamme mwenzake akidhani ni mwanamke amefutwa kazi na Baraza Kuu la Waislamu Uganda. Huku mjadala kuhusu kama kweli...

READ MORE

Mtuhumiwa Mauaji ya Mwanaharakati wa Tembo Aanguka Mahakamani – Video

MSHTAKIWA mmoja katika kesi ya mauaji ya Mwanaharakati wa kupambana na mauaji ya Tembo, Wayne Lotter amezimia mahakamani huku mwenzake...

READ MORE

Matokeo NECTA 2019: DC Kinondoni Awafanyia Kitu Walimu

    MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo, jana amewapongeza walimu, waratibu elimu na maofisa elimu wa Manispaa ya...

READ MORE

Wananchi Wabuni Mbinu Mpya ya Kusajili Laini

DAR: WAKATI zikiwa zimesalia siku mbili kabla ya kumalizika kwa muda wa kusajili laini za simu kwa alama za vidole,...

READ MORE