×

Habari

Kampuni ya Simu ya TECNO Yaimarisha Ushirikiano wake na Google

Toleo jipya la simu CAMON 12 Pro ya hivi karibuni imewekewa  kitufe cha Msaidizi wa Google (Google assistant) ambacho kinaruhusu...

READ MORE

Rais Dkt. Magufuli Aongoza Kikao Cha Baraza La Mawaziri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ameongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu...

READ MORE

Polisi Yakanusha Kuwapiga Waandamanaji

Polisi nchini Iran katika mji mkuu Tehran, wamekanusha kutumia silaha dhidi ya waandamanaji walioghadhabishwa na kudunguliwa kwa ndege ya Ukraine....

READ MORE

Rais Magufuli Awaapisha Mabalozi Wanne – Video

  RAIS  John  Magufuli, leo Jumanne, Januari 14, 2020, amewaapisha mabalozi wanne  watakaoiwakilisha Tanzania katika nchi za Afrika Kusini, Namibia,...

READ MORE

Mapinduzi Yakoleza Mpambano wa Urais 2020

DAR: Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ikiadhimisha miaka 56 ya mapinduzi visiwani humo, imebainika kuwa, joto la urais...

READ MORE

Mume Adaiwa Kumuua Mkewe kwa Kumchinja Kama Kuku

MARA: Wimbi la mauaji ya wanawake yanayofanywa na waume zao waliowapenda kwa dhati na kuahidi kuishi nao kwa shida na...

READ MORE

Waziri Mkuu Aohofia Usalama wa Harry na Meghan, Malkia Afunguka

WAZIRI Mkuu wa Canada, Justin Trudeau amesema mazungumzo zaidi yanahitajika kuhusiana na gharama za usalama wa Mwanamfalme wa Uingereza, Harry...

READ MORE

Mbunge Selasini (Chadema) Ajiuzulu

Mbunge wa Rombo (Chadema), Joseph Selasini amejiuzulu wadhifa wa Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kutokana na kutotambulishwa rasmi...

READ MORE

Maalim Seif Aitwa Polisi

JESHI la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba visiwani Zanzibar limemtaka Mshauri mkuu wa Chama cha ACT- Wazalendo, Maalim Seif Sharif...

READ MORE

 Mjue Miss Ufaransa, Mrembo wa Mbappe

ALICIA Aylies, mwanamitindo na Miss Ufaransa 2017 ambaye pia ni mpenzi wa straika staa wa PSG, Kylian Mbappe, amejiachia kwenye...

READ MORE

Waziri Mkuu Aagiza Mahakama Ikamilishe Miundombinu – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa uongozi wa Mahakama nchini uhakikishe unakamilisha ujenzi wa miundombinu ya Mahakama ili kuwapunguzia...

READ MORE

Meya Dar Akubali Yaishe, Afuta Kesi Mahakamani – Video

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeifuta kwa gharama kesi ya Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita,  ya...

READ MORE

Sheria Ngowi Aiomba Serikali Ipunguze Uingizwaji wa Mavazi ya Nje

MBUNIFU maarufu wa mavazi na mitindo wa kitaifa na kimataifa, Sheria Ngowi, ameiomba serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

READ MORE

Papa Benedict Akataa Waliooa Kuwa Makasisi

Kiongozi mstaafu wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Benedict,  wa 16 amepinga pendekezo la mrithi wake, Papa Francis, kuwaruhusu wanaume waliooa...

READ MORE

Breaking: Ajali ya Basi, Gari Dogo, Pikipiki Yaua Wawili Shinyanga

WATU wawili wamefariki dunia na wengine saba wamejeruhiwa katika ajali iliyotokea mapema leo Jumatatu, Januari 13, 2020, asubuhi mkoani Shinyanga, ikihusisha...

READ MORE

Rais Moi wa Kenya Yupo ICU

RAIS mstaafu wa Kenya, Daniel Arap Moi, mwenye umri wa miaka 95,  yuko katika chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu...

READ MORE

Al Shabaab Waivamia Tena Kenya, Waua Walimu Watatu

WATU watatu wameuawa baada ya wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Al Shabab kuvamia mji wa Garisa kaskazini mwa Kenya katika mpaka...

READ MORE

Zijue Silaha za Kivita za Iran Anazotamba kwa Marekani – Video

IRAN ni Jamhuri ya Kiislam yenye kuongozwa kwa kufuata misingi na sheria za Kiislam chini ya kiongozi wa kidini, Ayatollah...

READ MORE

Meya Dar Akuta Tukio Kwenye Mlango wa Ofisi Yake

IKIWA zimepita siku kadhaa baada ya Baraza Kuu la Madiwani Dar es Salaam kufanya mkutano na kumvua wadhifa wake, Meya...

READ MORE

Familia ya Kifalme Kumweka ‘Kati’ Prince Harry, Meghan

MALKIA wa Uingereza ameitisha mkutano na wanafamilia wa ngazi za juu wa kifalme leo Jumatatu, 13, 2020, katika eneo la...

READ MORE

Mwanafunzi wa Div 1 ya 7 Aliyefariki Akitoka Kutazama Matokeo Azikwa

MWANAFUNZI Honest Mulokozi Juventus aliyefariki dunia wakati akitoka kutazama matokeo yake ya kidato cha pili, amezikwa kijijini kwao Wilaya ya Karagwe Jimbo...

READ MORE

Kibiti: Mtoto Auawa, Achunwa Ngozi, Akatwa Nyeti

MTOTO Hassan Muba mwenye umri wa miaka 12 mkazi wa Kibiti, mkoani Pwani, anadaiwa kuuawa kisha kuchunwa ngozi usoni na...

READ MORE

Lukuvi Aonya: ‘Msiijaribu Serikali’ – Video

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,  William Lukuvi, amewaonya wananchi wanaojenga mijini bila kufuata utaratibu.   Ametoa onyo...

READ MORE

Iran Waandamana Baada ya Serikali Kukiri Kutungua Ndege ya Ukraine

MUDA mfupi baada ya Serikali ya Iran kukiri kuitungua ndege kwa bahati mbaya, kundi la waandamanaji nchini humo limejitokeza kutaka...

READ MORE

Ugonjwa wa Ajabu Wamtesa Miaka 10 ‘Mnisaidie’ – Video

  Miongoni mwa vitu ambavyo jamii haifahamu ni kuwa kuna wimbi la watu mtaani wanaoishi kwenye mazingira magumu wakikabiliwa na...

READ MORE

Watu Wanavyotengeneza Mkwanja Kirahisi

KILA siku, binadamu hutumia hela ili kutafuta hela zaidi. Jinsi gurudumu hili la maisha linapozunguka, sio hakikisho kuwa mambo yatakuwa...

READ MORE

Rais Wa Zanzibar Dk Shein Atangaza Kuongeza Mishahara – Video

Hotuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein kwenye maadhimisho ya miaka 56...

READ MORE

Sherehe Za Miaka 56 Ya Mapinduzi Matukufu Ya Zanzibar (Picha +Video)

Sherehe za maadhimisho ya miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar zimefanyika leo Jumapili Januari 12, 2020 katika Uwanja wa Abeid...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumapili, Januari 12, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Januari 12, 2020. Ni yale ya...

READ MORE

JPM Aweka Jiwe La Msingi Shule Ya Sekondari Mwanakwerekwe Zanzibar -Video

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli anaendelea na ziara yake hapa Zanzibar ambapo anaweka jiwe...

READ MORE

Mogella, Mayay Wazindua Duka Jipya la Vifaa vya Michezo la GSM Liitwalo ANTA

  WAKONGWE wa soka nchini, Zamoyoni Mogella na Ally Mayay, Mwisho mwa wiki walizindua rasmi duka la kimataifa la vifaa...

READ MORE

Akatwa Uume Gesti kwa Kushindwa Kulipia Penzi Alilopewa

JESHI la Polisi mkoani Mara wanamshikilia mwanamke mmoja aitwaye  Nyangi Ismael kwa tuhuma za kumkata sehemu za siri mpenzi wake,...

READ MORE

Video: AJALI Mbaya ILIVYOUA MTU SINZA LEO, MASHUHUDA Wasimulia TUKIO Zima..

 Mtu mmoja mwanaume amefariki dunia asubuhi ya leo Jumamosi Januari 11, 2019 maeneo ya Sinza Mori baada ya kugongwa...

READ MORE

Samsung Wametengeneza Watu (Artificial Human)

KAMPUNI ya Samsung kushirikiana na Advanced Research Lab (Star Lab) wamefanikiwa kutengeneza watu wasio asilia ambao watakuwa wanafanana na binadamu...

READ MORE

Mke wa Mwanamfalme Harry, Meghan Aondoka Uingereza

IKIWA ni siku mbili baada ya tangazo la nia ya wawili hao kujitoa katika nafasi zao kama wanafamilia waandamizi wa...

READ MORE

Mbaroni kwa Kumuingilia Mbwa na Kumuua

JAMAA mmoja aliyefahamika kwa jina la Boniface Mutuku Munyao wa Kangundo, Machakos nchini Kenya,  amepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kumbaka...

READ MORE

Tahadhari: Mvua Kubwa Kunyesha Mikoa 7

MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imetoa angalizo la mvua kubwa kuanzia leo katika mikoa saba ambayo ni Singida,...

READ MORE

Wauza Majeneza Wasababisha Msongo wa Mawazo kwa Wagonjwa

WAFANYABIASHARA ya kuuza majeneza karibu na maeneo ya hospitali wamepewa hadi Machi kuondoa bidhaa zao karibu na hospitali moja iliyopo...

READ MORE

Video: Rais Magufuli Azindua Hoteli ya Bakhresa Zanzibar

Rais Dkt. Jonh Magufuli anafungua hoteli yenye hadhi ya nyota tano iitwayo Hotel Verde Azam Luxury Resort and Spa iliyopo...

READ MORE

Iran Yakiri Kudungua Ndege Ya Ukraine

JSHI  la Iran hatimaye limekiri kudungua kimakosa ndege ya abiria ya Ukraine siku ya Jumatano ya Januari 8, mwaka huu, ...

READ MORE