×

Habari

Mwanamke Anaeishi na Magonjwa Makubwa Matatu, Asimulia – Video

NI mwanamke jasiri, shupavu na shujaa anayepambana na maisha, anajishughulisha huku na kule kuhakikisha familia yake inaishi vizuri na jamii...

READ MORE

Moto Walipuka Kiwandani na Kuua watu 19

MOTO uliolipuka kwenye kiwanda kimoja kilichopo Mashariki mwa nchi ya China katika Jimbo la Ninghai umesababisha vifo vya watu 19....

READ MORE

Akamatwa Baada ya Kujificha Pangoni kwa Miaka 17

Polisi nchini China wamemkamata mhalifu ambaye amekuwa akijificha kwa miaka 17, baada ya kutumia ndege zisizokuwa na rubani kubaini pango...

READ MORE

ALAF Yafungua Duka la Maonesho Kigamboni Dar

Katika kuhakikisha tunasogeza huduma zetu karibu zaidi na wananchi Kampuni inayooongoza kwa uzaliashaji wa mabati bora zaidi na vifaa vingine...

READ MORE

Puma Yampa Makonda Tsh 40m za Upasuaji Moyo kwa Watoto

Kampeni ya Matibabu ya Upasuaji wa Moyo kwa Watoto 10 kutoka familia duni kila mwezi kwa Muda wa Miezi 6...

READ MORE

Lipa Kwa M-Pesa Yaleta Mapinduzi Makubwa

  Kampuni ya mawasiliano ya simu inayoongoza Tanzania, Vodacom, imezindua huduma ya LIPA KWA SIMU katika gulio la M-pesa lililofanyika...

READ MORE

JPM Awaongezea Siku 7 Wahujumu Uchumi Kutubu, Awatahadharisha – Video

RAIS John Magufuli amewaongezea siku saba nyingine watuhumiwa wa makosa ya uhujumu uchumi wanaosota mahabusu ili wakiri makosa yao na...

READ MORE

Kasesela Aomba Radhi Taarifa Feki ya Kifo cha Dkt Salim

MKUU wa Wilaya ya Iringa, Dkt. Richard Kasesela amewaomba radhi familia na Watanzania wote kuhusu taarifa aliyoitoa kuwa aliyewahi kuwa...

READ MORE

Watu 500 Waliofungwa Katika Jumba la Mateso Waokolewa

JESHI la Polisi nchini Nigeria imefanikiwa kuwaokoa watoto na vijana kutoka katika kituo kimoja ambacho walikuwa wakifanyiwa mateso.   Maafisa...

READ MORE

NMB Yaboresha Mfumo wa Ulipaji Kwa Kutumia Kadi

    UONGOZI wa Benki ya NMB umesema kuwa unazidi kuboresha mifumo ya huduma zao za kadi ili kuhamasisha watalii...

READ MORE

Mai Zumo Atoboa Siri Yake na Waziri Mkuu!

MTOTO aliyejipatia ustaa kupitia mitandao ya kijamii, Maisara Mohammed ‘Mai Zumo’ (5), nyota yake imezidi kung’ara baada ya wiki iliyopita...

READ MORE

Makonda Awataka Wasitishe Ziara Dar kwa Muda – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amewaomba Mawaziri wanaotaka kufanya ziara za miradi katika mkoa huo, kusitisha...

READ MORE

Mashimo: Nilikuwa Mfanyakazi TANROADS, Wamechukua Spika Zangu

MCHUNGAJI Daud Mashimo amesema kuwa kabla ya kuwa mchungaji aliwahi kufanyakazi katika ofisi ya Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), kama...

READ MORE

Mwili wa Rais Mugabe Wazikwa Kijini Kwao – Pichaz

Hatimaye mwili wa aliyekuwa Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe umezikwa jana Jumamosi, Septemba 28, 2019 kijijini kwake Kutama katika Wilaya...

READ MORE

Video: Alichozungumza Prof Kabudi Mkutano Wa 74 Umoja Wa Mataifa

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi amehutubia Mkutano wa 74 wa Umoja wa...

READ MORE

Kampuni binafsi ya ulinzi SGA yatoa mafunzo ya usalama bure

Kampuni ya ulinzi, SGA Security, imetoa mafunzo ya bure ya usalama kama sehemu ya utoaji wa huduma kwa jamii na...

READ MORE

Nyoka Avamia Mkutano wa Majaliwa, Askari Amdhibiti

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemzawadia Askari Polisi PC Alphonce Daniel Mwambenga sh. 200,000 kutokana na ujasiri wake wa kumdhibiti kwa...

READ MORE

Ramaphosa Amteua Aliyekuwa Gavana BoT

RAIS Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amemteua Prof. Benno Ndulu kuwa miongoni mwa watu 18 wanaounda baraza la kumshauri  katika...

READ MORE

Undani Mchungaji Aliyemfumania Mkewe Kisha Kujiua!

MAMBO mengi mno yanazungu-mzwa juu ya simanzi kuu iliyotawala katika familia ya mchungaji maarufu jijini Harare nchini Zimbabwe, Berry Dambaza...

READ MORE

Ukombozi wa Fikira; Kitabu Kinachogusa Wengi – Video

“UKIANZA kusoma ukurasa wa kwanza hadi wa mwisho hutatamani kukiweka chini. Ni kitabu kinachowainua vijana wengi na kuwasaidia katika kujiajiri...

READ MORE

Simanzi Nzito! Mazishi ya Mtoto wa Jen. Mabeyo – Pichaz

MAMIA ya wananchi kutoka mikoa ya Simiyu, Mara, Shinyanga, Mwanza na Dar es Salaam wameshiriki katika maziko ya mtoto wa...

READ MORE

Neema ya Mungu + Kanuni = Mafanikio!

­­ KWA neema ya Mungu nimefika hapa nilipo maishani mwangu, ndicho ninachoweza kusema, lakini pamoja na neema hiyo, sheria ilikuwa...

READ MORE

NMB Yaahidi Makubwa Kikao Kazi Cha Maofisa Wa Polisi

  BENKI ya NMB, imewahakikishia askari wa Jeshi la Polisi na wafanyakazi wa Serikali nchini, huduma bora, rafiki na sahihi...

READ MORE

DC Kilolo Akalia Kuti Kavu, Majaliwa Aagiza Achunguzwe – Video

WAZIRI Mkuu  Kassim Majaliwa amemwagiza Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Happi,  afuatilie utendaji kazi kwenye ofisi ya Mkuu wa...

READ MORE

TCRA Yaifungia Kwanza TV Miezi 6

KAMATI ya maudhui ya TCRA imeifungia televisheni ya mtandaoni ya Kwanza kwa muda wa miezi sita baada ya kukutwa na...

READ MORE

Mapya Yaibuka Sakata la Griezmann

MAMBO mapya yameibuka kuhusiana na sakata la Antoine Griezmann kujiunga na Barcelona. Atletico Madrid imelalamikia kitendo cha Griezmann kusajiliwa na...

READ MORE

Lil Ommy: Watangazaji Bongo Tuache Ushamba

MFALME wa mahojiano Bongo (King Of Interviews), Omary Tambwe maarufu kama Lil Ommy, THE MVP – amewataka watangazaji nchini kuacha...

READ MORE

Familia ya Mugabe Yaigomea Serikali, Yaweka Msimamo

FAMILIA ya aliyekuwa rais wa Zimbabwe, hayati Robert Mugabe, imebadili msimamo wake na kuamua kuwa mwili wa kiongozi huyo utazikwa...

READ MORE

Dhamana ya Aveva, Kaburu Ngoma Bado Mbichi!

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa kutoa uamuzi juu ya dhamana ambayo walifutiwa waliokuwa viongozi wa Klabu ya Simba, Evans...

READ MORE

Kilichojiri Kesi ya Madawa ya Shamim Mwasha, Mumewe

UPANDE wa mashtaka umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi wa kesi inayomkabili Blogger, Shamim Mwasha (41) na mumewe,...

READ MORE

Oprah Asumbuliwa na Ugonjwa Hatari

MTANGAZAJI maarufu nchini Marekani, Oprah Winfrey, amekiri kusumbuliwa na ugonjwa hatari unaotishia maisha yake, ugonjwa ambao haupewi kipaumbele na mamia...

READ MORE

DC Jokate aandika historia!

DAR ES SALAAM: Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, DC Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ ameandika historia baada ya kumkabidhi nyumba mama aliyejifungua...

READ MORE

GIZA AJALI ZA NDEGE BONGO

DAR: Kufuatia ajali ya ndege ndogo ya Shirika la Auric Air iliyotokea Jumatatu ya Septemba 23 na kusababisha vifo vya...

READ MORE

Watoto Wawili Wauawa, Kisa? Kujisaidia Hadharani

MAMILIONI ya raia wa India walio masikini wanaendelea kujisaidia haja kubwa hadharani. Wanaume wawili katika jimbo la kati la India,...

READ MORE

Mtoto wa Mfalme Akiri Kuhusika na Mauaji ya Khashoggi

MTOTO wa mfalme wa Saudi Arabia amesema anahusika katika mauaji ya mwandishi wa habari Jamal Khashoggi mwaka jana kwa vile...

READ MORE

Huku Akiachiwa Watoto 5, Mke Adai Polisi Kuua Mumewe!

HAPPINES Massawe (30), mkazi wa Pugu, Kigogo-Freshi, Dar amewatuhumu polisi kusababisha kifo cha mumewe, Mohammed Chubi (28) baada ya kumchukua...

READ MORE

Wateja Wa Tigo Mwanza kufikiwa kiurahisi Baada Ya Ufunguzi Wa Duka Jipya

Kampuni inayoongoza katika maisha ya kidijitali  Tanzania,Tigo, leo imefungua duka jipya jijini Mwanza.Duka hilo litawafanya wateja wa kampuni hiyo kupata huduma...

READ MORE

Amuuwa Mwenzake Kisa Kunyimwa Supu ya Kuku

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mtwara, imemuhukumu adhabu ya kifo mkazi wa Kata ya Chikonji, Manispaa ya Lindi, Mohamedi...

READ MORE

Nyambizi Yanaswa na Shehena ya Madawa Baharini

NYAMBIZI katika bahari ya Pacific imekutwa ikiwa na zaidi ya dawa za kulevya pauni 12,000 zenye thamani ya dola za...

READ MORE