×

Habari

Mdee, Heche, Bulaya, Msigwa Mahabusu, Hatima Yao Kujulikana Kesho

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga kesho Jumatano Novemba 20, 2019 kutoa uamuzi dhidi ya wabunge wanne wa Chadema waliokiuka...

READ MORE

Breaking: Meya wa Chadema Arusha Ajiunga CCM-Video

 MEYA wa jiji la Arusha kwa tiketi ya Chadema, Kalisti Lazaro, leo Novemba 19, ametangaza rasmi kukihama chama hicho...

READ MORE

Uchaguzi Mkuu CHADEMA Kufanyika Desemba 18, 2019

Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimetangaza ratiba ya uchaguzi wa viongozi wake ngazi ya Taifa. Mchakato huo unaanza na...

READ MORE

Breaking: Baba Mzazi wa Dkt. Slaa Afariki Dunia – Video

Peter Qamara Slaa (98), baba mzazi wa Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Dk Wilbroad Slaa amefariki dunia jana Jumatatu Novemba...

READ MORE

Mbowe Alazwa Hospitali ya Aga Khan Dar

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, Freeman Mbowe anaumwa na amelazwa katika Hospitali ya Aga Khan,...

READ MORE

Familia ya Marehemu Balali Yamlilia JPM, “Tusaidie Baba” – Video

Familia ya Marehemu Daudi Balali imemuomba Rais Magufuli kuisaidia kuokoa mali za Gavana huyo wa zamani wa Benki Kuu ya...

READ MORE

IGP Sirro: Tundu Lissu Hajaonyesha Ushirikiano

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania (IGP), Simon Sirro amesema uchunguzi juu ya kupotea kwa mwandishi wa habari za...

READ MORE

Waitara: Mikoa 3 Haitapiga Kura za Uchaguzi Serikali za Mitaa

WIZARA ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imesema mikoa mitatu haitafanya uchaguzi wa...

READ MORE

Mwanza: Kanisa la Mfalme Zumaridi Anayeabudiwa Lafungwa

UONGOZI wa Serikali katika Wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza umepiga marufuku ibada zinazoendeshwa na kiongozi wa kanisa la Mfalme Zumaridi...

READ MORE

Jaji Mkuu Awataka Majaji Wapya Kuwa Sehemu Ya Maboresho

  Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma amewataka Majaji wapya wa Mahakama Kuu ya Tanzania kuwa sehemu...

READ MORE

Mtoto Miaka 9 Kuhitimu Digrii ya Umeme, Kusoma Udaktari, Phd

JARIBU kukumbuka wakati ukiwa na umri wa miaka tisa ulikuwa katika kiwango gani cha elimu? Jibu rahisi kwa wengi litakuwa...

READ MORE

Yaliyojiri Kortini Kesi ya Alimchoma Mkewe kwa Magunia ya Moto

MAPEMA leo Jumatatu, Novemba 18, 2019, katika Mahakama ya Halimu Mkazi Kisutu kesi inayomkabili mfanyabiashara Hamis Luwongo (38) anayedaiwa kumuua...

READ MORE

Heche, Msigwa, Bulaya & Mdee Watolewa Kortini, Wapelekwa Polisi – Video

KUFUATIA Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wiki iliyopita kuamuru wabunge wanne wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakamatwe na...

READ MORE

Rostam Aziz Alivyosaidia Kuanzishwa NHIF

Rais mstaafu, Benjamin Mkapa ameweka wazi kuwa uamuzi wa kuwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), ni...

READ MORE

BIBI AMWANGUKIA RAIS MAGUFULI

BIBI Halima Athuman (78), mkazi wa Manzese-Uzuri jijini Dar, amemwangukia Rais Dk John Pombe Magufuli ‘JPM’, akimuomba amsaidie kwani kuna...

READ MORE

Shigongo Amrejesha CCM Mwenyekiti wa Chadema – Video

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kupata pigo baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Jimbo la Buchosa, Jaji...

READ MORE

Mwakyembe Amkingia Kifua Roma

SIKU chache baada ya staa wa Hip Hop Bongo, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ kuachia wimbo unaokosoa Serikali wa Naitwa Roma,...

READ MORE

Swahili Fashion Week Yazinduliwa Dar

Baadhi ya waandishi wa habari na wadau wa mitindo katika uzinduzi wa maonyesho wa Swahili Fashion Week wakichukua tukio hilo....

READ MORE

Lugola: Wakileta Fujo Tutawatia Kwenye Tanki la Washawasha – Video

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amewataka Makamanda wa Polisi nchini kusimamia kampeni zilizoanza za Uchaguzi wa...

READ MORE

NMB Yafungua Tawi Jipya Mbezi Louis Dar

  Benki ya NMB imefungua tawi lake jipya jijini Dar es Salaam ikiwa ni utekelezaji wa mpango wake wa kufikisha...

READ MORE

St Mary’s: Shule Mama Kwa Utoaji Wa Elimu Ya Kingereza – Video

 Shule zinazofundisha kwa kufuata mitaala ya kingereza au English Medium zinazidi kuongezeka nchini, wazazi wenye kipato na wanaojali ubora...

READ MORE

Nyoni Aumia Ndayiragije Atikisa Kichwa

KOCHA wa Taifa Stars, Etienne Ndayiragije alikuwa kama amepigwa ganzi baada ya daktari kumueleza baada ya mechi na Equatorial Guinea...

READ MORE

Daladala Yanguka Tandika, Abiria Wapiga Mayowe – Video

Ajali ya basi la abiria, maarufu kwa jina la Daladala, imetokea maeneo ya Davis Corner, Tandika Dar es salaam, likiwa...

READ MORE

Tambwe Ataka Miezi Sita Yanga

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe ameutaka uongozi wa klabu hiyo kumpa mkataba wa miezi sita ili arudi kikosini...

READ MORE

JPM Na Mkewe Washiriki Misa Katika Kanisa Katoliki La Mtakatifu Petro Dar – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli leo Novemba 17, 2019 akiwa na mkewe Janeth...

READ MORE

Bongo Zozo Ampiga Tafu RC Makonda, Amkabidhi Paundi 300 – Video

Shabiki wa Taifa Stars, Bongo zozo  Novemba 16, 2019 amefika Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda...

READ MORE

Gigy Asonga na Soft Pad Mpaka Mwanza

Balozi wa taulo mpya za kike Softpad,Gifty Stanford ‘ Gigy money’ wiki hii alikuwa mkoani Mwanza, akizidi kuwaelimisha wanawake ubora...

READ MORE

NMB Yafungua Tawi Jipya Mbezi Louis

Benki ya NMB imefungua tawi lake jipya jijini Dar es Salaam ikiwa ni utekelezaji wa mpango wake wa kufikisha huduma...

READ MORE

Wanafunzi Wafaidika na Elimu ya Kuweka Akiba Kupitia Benki ya NMB

  Katika kutambua umuhimu wa vijana ambao ni Taifa la kesho, Wanafunzi wa kidato cha sita wa Shule ya Wasichana...

READ MORE

Tigo Yazindua Duka Jipya Kigoma Mjini

Kigoma. Novemba 16, 2019. Wateja wa Tigo Mkoani Kigoma wataweza kupata huduma zilizoboreshwa zaidi katika duka jipya ‘Tigo Shop’ lililozinduliwa...

READ MORE

Balinya Atulizwa Yanga, Aongezewa Maufundi

MSHAMBULIAJI wa Yanga Mganda, Juma Balinya na Mkongomani, David Molinga ‘Falcao’ wamehakikishiwa nafasi ya kucheza katika kikosi cha kwanza na...

READ MORE

Halima Mdee Ashikiliwa na Polisi Oyster Bay

MBUNGE  wa Kawe (Chadema), Halima Mdee, anashikiliwa na polisi katika kituo cha Oyster Bay, kufuatia agizo la Mahakama ya Kisutu...

READ MORE

Shamim, mume wake watakavyokwepa msala madawa ya kulevya

DAR ES SALAAM: Wakati mjadala ukiibuka ndani ya jamii kuhusu uwezekano wa watuhumiwa wa madawa ya kulevya kupatiwa msamaha au...

READ MORE

Mafuriko: Watu Laki 4 Wakosa Makazi

  SHIRIKA la kimataifa la misaada la Save the Children limesema zaidi ya watu 420,000 wamelazimika kuondoka kwenye makaazi yao...

READ MORE

Fahamu njia ya Kisasa ya Kupandikiza Mbegu za Ng’ombe

Wafugaji kote nchini wametakiwa kutumia njia ya Uhimilishaji/upandishaji mbegu za ng’ombe kwa njia ya kisasa ili kuweza kupata mbegu nzuri...

READ MORE

SBL YAHIMIZA USALAMA BARABARANI

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL), imetoa vifaa vya usalama barabarani na elimu kwa madereva wa mabasi na waendesha bodaboda...

READ MORE

‘Pepo’ la MASANJA Lazua Balaa Campus Night – Video

MWIMBAJI wa nyimbo za Injili ambaye pia ni mchungaji, Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja Mkandamizaji, usiku wa kuamkia leo Jumamosi,...

READ MORE

Promosheni ya King Limau na Marhaba Yatingisha Jiji la Dar

Sabuni za za unga za King Limau na Marhaba Soap zinazozalishwa na Kampuni ya Azania Group of Companies ndiyo habari...

READ MORE

Polisi Watumia Mbwa, Waandamanaji Waja na Simba

  Tangu Oktoba 1, 2019 Wananchi wa Iraq walianza maandamano ya dhidi ya Wanasiasa wanaoongoza nchi hiyo wakiwashutumu kwa mfumo...

READ MORE