×

Habari

UTAJIRI WA MBUNGE MATIKO BALAA

FEDHA inaongea! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia ukwasi anaodaiwa kuwa nao Mbunge wa Tarime-Mjini, Ester Matiko, Gazeti la Ijumaa Wikienda linakudondoshea...

READ MORE

Namungo yaondoka na watatu Simba

UONGOZI wa Namungo C upo katika mikakati ya mwisho kuhakikisha inawapata wachezaji watatu kwa mkopo kutoka katika klabu ya Simba....

READ MORE

Watatu Kortini Kwa Kudaiwa Kuiba Madini

WATU watatu wakazi wa Jijini Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu...

READ MORE

VIDEO: Polisi 54 Wamefukuzwa Kazi Kujihusisha na Uhalifu

  ASKARI 54 wa Jeshi la Polisi nchini wamefukuzwa kazi kati ya Januari hadi Juni mwaka huu (2019) baada ya...

READ MORE

BREAKING: MAJINA YA WACHEZAJI WA TIMU YA TAIFA KWA AJILI YA CHAN

KAIMU kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Tafa Stars’ , Ettiene Ndayiragije ameteua majina ya wachezaji 26 kwa ajili...

READ MORE

MAGUFULI AZINDUA NYUMBA ZA ASKARI MKOANI GEITA (PICHA +VIDEO)

RAIS John  Magufuli  leo amezindua nyumba 15 za makazi ya askari wa Jeshi la Polisi katika eneo la Magogo mkoani...

READ MORE

Video: Rais Magufuli ‘Apagawa’ na Mauno ya Polisi Geita

 RAIS John Magufuli leo amepata burudani murua kutoka jeshi la polisi lililokuwa likiimba, kucheza na kukata mauno kwa umahiri...

READ MORE

Matokeo Ya Kidato Cha Sita 2019, Yapo Hapa

  KATIBU Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), Dk Charles Msonde leo Julai 11, 2019 mjini Unguja Zanzibar...

READ MORE

VIDEO: JPM KUTOA 1.5 BIL. UJENZI HOSPITALI KATORO, BUSERESERE

  RAIS John Magufuli leo,  Julai 15, 2019, amewaahidi wananchi wa Kata ya Katoro, Buseresere, kuwapa Shi. bil. 1.5 kwa...

READ MORE

TIMU KUTOKA KUNDI LA TANZANIA ZATINGA FAINALI AFCON

TIMU ya Senegal na Algeria zitacheza mchezo wa Fainali ya Kombe la Mataifa Afrika (Afcon) Cairo, Misri, Ijumaa wiki hii...

READ MORE

Lugola: Wanaozusha utekaji, na kupotea watu wakamatwe

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola,  amelitaka Jeshi la Polisi kuwafikisha mahakamani watu wanaoeneza taarifa za uogo...

READ MORE

BENKI KUU YASITISHA UTEUZI WA FRANK NYABUNDEGE KAMA MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA TIB

Kwa mujibu wa kifungu cha sheria namba 33(1) na 33(2) (f) cha Sheria ya Mabenki na Taasisi za Fedha ya...

READ MORE

Rais Magufuli amteua Julius Mtatiro kuwa mkuu wa Wilaya ya Tunduru – Ruvuma

Rais Magufuli amemteua Ndg. Julius S. Mtatiro kuwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma. Mtatiro anachukua nafasi ya Juma...

READ MORE

Rose Ndauka: Niliumizwa sana na mapezi, inatosha!

  MWIGIZAJI mahiri wa filamu Bongo Muvi, Rose Ndauka ameweka wazi kuwa mapenzi yalimuumiza sana lakini hakuyapa nafasi yaharibu maisha...

READ MORE

Vita ya namba Yanga Usipime!

KUMEKUCHA Yanga! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya nahodha msaidizi wa timu hiyo, Juma Abdul kudai kuwa vita ya namba...

READ MORE

VIDEO: Mfanyabiashara wa Tanzania Afariki Shambulio la Al-Shabaab

MFANYABIASHARA Mtanzania,  Mahad Nur Gurguurte,  ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Maisha Supermarket amefariki dunia Julai 12, 2019 katika shambulio la...

READ MORE

Kagere Akimbilia Gym

Wakati  Yanga wakianza mazoezi ya pamoja Jumatatu iliyopita kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu Bara, mshambuliaji...

READ MORE

Kagere: Kwa Kahata, Simba subirieni moto

MSHAMBULIAJI wa Simba, Mnyarwanda, Meddie Kagere, amesema kitendo cha uongozi wa timu hiyo kumsajili kiungo Francis Kahata, basi mashabiki wa...

READ MORE

VIDEO: Rais MUSEVENI Apokelewa na Mwenyeji wake Rais JPM Chato

 Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni atafanya ziara binafsi ya siku moja nchini Tanzania, leo Julai 13, ambapo atamtembelea...

READ MORE

EXCLUSIVE: Mkuu Shule Iliyoongoza Kitaifa Kidato cha 6 Afunguka – Video

 MKUU wa Shule ya Sekondari Kisimiri, Valentine Tarimo, iliyoongoza kwa matokeo mazuri ya Kidato cha Sita 2019 kwa kuwa...

READ MORE

Jeshi Lazima Jaribio la Mapinduzi Sudan

JESHI  la Sudan limesema Baraza la Kijeshi la nchi hiyo limezima jaribio la mapinduzi. Kwa mujibu wa Jenerali Jamal Omar...

READ MORE

TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA UALIMU 2019

Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania leo Alhamisi Julai 11, 2019 limetangaza matokeo ya kidato cha sita ya...

READ MORE

MISS KINONDONI 2019…Nani Kumrithi Queen Elizabeth Leo?

MWAKA jana mshindi wa Taji la Miss Kinondoni alikuwa ni Queen Elizabeth Makune ambaye alivuka moja kwa moja hadi kuibuka...

READ MORE

Lukaku anukia Inter Milan

INTER Milan imethibitisha kuwa ipo kwenye harakati za kumsajili straika wa Manchester United, Romelu Lukaku. Kocha wa Inter Milan, Antonio...

READ MORE

FREEMASON, UCHAWI VYATEKA MAKANISA BONGO

DAR ES SALAAM: SIKU za mwisho watatokea manabii wengi wa uongo! Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na maandiko yaliyopo kwenye Biblia...

READ MORE

Mwenyekiti Afikishwa Mahakamani kwa Kughushi Cheti cha Ndoa

Aliyekuwa mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Wilaya ya Ilala, Norah Waziri maarufu Nora Mzeru amefikishwa katika Mahakama...

READ MORE

Bigirimana, Kalengo wamvuta fasta Zahera Morogoro

UWEPO wa mastaa wapya wa Yanga kambini mkoani Morogoro wakiwemo Issa Bigirimana na Maybin Kalengo, umefanya kocha mkuu wa timu...

READ MORE

Wanafunzi Kortini kwa Kusambaza Picha ya JPM Akiwa ‘Amevaa Hijab’

ASKARI Polisi, Anakreti Telesphory (32) wa kitengo cha upelelezi wa makosa ya mtandao ameieleza Mahakama ya Wilaya ya Ilala alivyowahoji...

READ MORE

MSANII APIGWA MIMBA YATOKA

DAR ES SALAAM: MAMBO mengine yanatafakarisha! Hivi inawezekanaje umkataze mtu atukane halafu ageuke mbogo na baadaye kukushushia kipigo hadi ujauzito...

READ MORE

WIZARA YA MADINI KUFUTA LESENI ZOTE AMBAZO HAZIFANYI KAZI, KUWAPA WACHIMBAJI WADOGO

    Wizara ya madini nchini imesema itaendelea kuzifuta leseni zote za utafiti ambazo hazifanyiwi kazi na zile ambazo hazilipiwi...

READ MORE

UVCCM Yawapiga Tafu Wanachuo Kupata Mkopo Elimu ya Juu – Video

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) umeanzisha mpango wa kuwasaidia wanachuo wanaotarajia kujiunga na vyuo vikuu jinsi ya...

READ MORE

Yanga Wampa Baraka Gadiel Kukipiga Simba

KATIKA kuonyesha kuwa hawana shida na aliyekuwa beki wao Gadiel Michael, uongozi wa Klabu ya Yanga umetoa baraka zake kwa...

READ MORE

Kocha Yanga aanza na stamina Morogoro

KATIKA kuhakikisha kikosi cha Yanga kinakuwa imara zaidi msimu ujao, Kocha Msaidizi wa timu hiyo, Noel Mwandila amewaanzisha tizi la...

READ MORE

Gadiel anusuru usajili wa rasta Yanga

USAJILI wa beki wa pembeni, Gadiel Michael Simba umemnusuru kiraka rasta wa Yanga, Jaffari Mohammed kuendelea kubakia kuichezea timu hiyo....

READ MORE

Rais Museveni Kutua Nchini Kesho

Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni atafanya ziara binafsi ya siku moja nchini Tanzania, kesho Julai 13, ambapo atamtembelea Rais...

READ MORE

Magori: Wasauz Wanaigombania Simba

IMEBAINIKA kuwa wakati Simba ikitarajiwa kuondoka kwenda Afrika Kusini kuweka kambi Jumatatu ijayo, klabu kibao za Sauz zimeomba kucheza mechi...

READ MORE

Walichokisema Vinara wa Matokeo Kidato cha Sita 2019 – Video

KATIBU Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), Dk Charles Msonde jana Julai 11, 2019 mjini Unguja Zanzibar alitangaza...

READ MORE

ST. MATTHEW YAFANYA MAAJABU MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2019

Shule ya St. Matthew yafanya maajabu matokeo ya kidato cha sita wanafunzi wote wanaenda Chuo Kikuu hakuna Divison 4 Wala...

READ MORE

Maskini Mtoto Huyu! Miaka 8 Anatembelea Tumbo – Video

Binti Warda mwenye umri wa miaka 8 anaetembea kwa kutumia tumbo, si kwa kupenda yeye bali hana uwezo wa kusimama...

READ MORE