×

Habari

JPM Awalilia Wafanyakazi 5 wa Azam TV Waliofariki Wakielekea Chato

RAIS  John Magufuli amemtumia salamu za pole Mwenyekiti wa Makampuni ya Bakhresa, Said Salim Bakhresa kufuatia vifo vya wafanyakazi watano...

READ MORE

Saba Wafariki Wakienda Chato, Watano Wafanyakazi wa Azam TV

WATU saba wakiwemo wafanyakazi watano wa kampuni ya Azam Media wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa...

READ MORE

NMB YAAHIDI KUENDELEA KUCHANGIA JAMII KATIKA SEKTA YA ELIMU NA AFYA 

      SERIKALI Imeishukuru Benki ya NMB kuendelea kusaidia katika Sekta ya Elimu kwa kuchangia madawati baadhi ya Shule...

READ MORE

DCB YAJIKITA KWENYE VIWANDA NA KILIMO, YAJA NA DCBSOKONI

Mkurugenzi wa Biashara wa Benki ya DCB, James Ngaluko, akizungumza wakati wa uzinduzi wa kiwanda cha kukoboa mpunga cha Kayuni...

READ MORE

KAMPUNI YA UUZAJI MAGARI KWA NJIA YA MTANDAO YAYATUA BONGO

  KAMPUNI ya uagizaji, usafirishaji na uuzaji magari  ya nchini Japan  ‘Nikkyo’ imeingia na  kuwekeza katika biashara hiyo nchini huku...

READ MORE

NMB Yajipanga kuhakikisha wafanyabiashara ngazi zote Wanakuza Mitaji Yao

      Benki ya NMB imejipanga kuhakikisha wafanyabiashara wa ngazi zote wanakuza mitaji yao, itakayowawezesha kuajiri Watanzania wengi na...

READ MORE

MRADI WA TLED KUWAFIKIA WAJASIRIAMALI KWA ASILIMIA 77 KATIKA MIKOA SITA

      OFISA Mawasiliano wa Mradi wa TLED ambao ni maalumu kwa ajili ya wajasiriamali wadogo na wakati Jemima...

READ MORE

Majembe yote Simba SC yaitwa fasta kambini

  KAMA Spoti Xtra lilivyokujulisha Alhamisi iliyopita, sasa ni rasmi kwamba Simba itaweka kambi Afrika Kusini kuanzia Julai 15 na...

READ MORE

Yanga Kumekucha, Kambi Ya Kishua Yaanzia Dar

YANGA leo Jumapili wanaanza kambi ya msimu ujao ambapo tangu juzi Ijumaa mastaa wapya wa klabu hiyo wamekuwa wakiingia mmoja...

READ MORE

Msaidizi wa Membe Adaiwa Kutekwa

KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Allan Kiluvya ambaye anatajwa kuwa ni msaidizi wa Waziri mstaafu wa Mambo ya Nje...

READ MORE

MAANDALIZI UJIO WAKE, MSHTUKO NYUMBANI KWA LISSU DAR

NI mshtuko wa aina yake! Wakati Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Antiphas Lissu akisubiriwa arejee nchini; nyumbani kwake Tegeta jijini...

READ MORE

SIMANZI NZITO MGODINI

NI simanzi nzito! Wachimbaji wawili wa dhahabu katika Kijiji cha Izumbi, Sangamba Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya wamefariki dunia baada...

READ MORE

TAPELI MREMBO WA NITUMIE KWA NAMBA HII ANASWA

MOROGORO: Mrembo mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, amenaswa katika tukio la utapeli wa fedha za mtandao.   ...

READ MORE

Makochi ya Mbowe Yakosa Wateja

ULE mnada wa kuuza vifaa na samani mbalimbali vya Kampuni ya Mbowe Limited, inayomilikiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia...

READ MORE

Gumzo la Faru Rajab Mtoto wa Faru John, Lazima Ucheke!

NINAAMINI utakuwa unamkumbuka Faru John, mnyamapori aliyekufa katika hifadhi ya Sasakwa Gruneti kwa kukosa matibabu alipoumwa.   Faru huyo aliacha mtoto...

READ MORE

Magori: Ishu ya Mo iko hivi…

BAADA ya kuzuka ghafla kwa taarifa kuwa ndani ya uongozi wa Klabu ya Simba hakuna maelewano huku ikidaiwa mwekezaji klabuni...

READ MORE

Rais Kenyatta Amaliza Ziara Yake Chato, Arejea Kenya – Video

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, ammaliza ziara yake ya siku mbili nchini Tanzania na kurejea nchini mwake. Katika ziara yake...

READ MORE

Shilole Ubonge Umembadili Jina

Chibonge! Staa wa filamu na Bongo Fleva ambaye pia ni mpishi wa madikodiko, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amesema ubonge umemfanya abadilishiwe...

READ MORE

NABII DKT. LUCY NATASHA AKONGA MAMIA WALIOJITOKEZA MKUTANO WA INJILI

NABII wa Kimataifa kutoka nchini Kenya, Dkt. Lucy Natasha amekonga mamia ya watu waliojitokeza katika  mkutano wa nje uliokuwa wa...

READ MORE

ASKARI AJIUA KISA MKWEWE

MOROGORO: Inasikitisha! Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya Setembo, Rajabu Athumani (60), anadaiwa kujiua kwa kujinyonga, kisa kikidaiwa ni mauaji...

READ MORE

Wananchi wa Singida Wanajua Lissu Yupo Wapi; Ndugai Hajui!

KAMA kuna jambo lililoshangaza wananchi wa kawaida kabisa wa Tanzania ni tamko la kumvua ubunge Mbunge wa Singida- Mashariki (Chadema),...

READ MORE

Yanga Yapindua Meza Usajili wa Gadiel

MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Dk Mshindo Msolla amezungumzia mjadala wa usajili wa beki wa pembeni, Gadiel Michael na kutoa...

READ MORE

WhatsApp Waja na Toleo Jipya Kushare Status na Mitandao Mingine

MTANDAO wa WhatsApp umefanikiwa kufanya majaribio ya toleo lake jipya ambalo unaweza kushare status kwenye mitandao mingine ya kijamii. Toleo...

READ MORE

Yanga: Zahera Ashindwe Mwenyewe

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umefunguka kuwa kwa asilimia 90 umefanikiwa kukamilisha usajili aliokuwa akiutaka Kocha Mwinyi Zahera baada ya...

READ MORE

Jeshi lote Simba kutua Sauzi wiki ijayo

  KOCHA wa Simba, Patrick Aussems anatua nchini wiki ijayo na timu inakwenda kambini nchini Afrika Kusini. Habari za uhakika...

READ MORE

NEC Yatangaza Tarehe ya Uchaguzi Jimbo la Lissu

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza  tarehe 31 Julai, 2019, kuwa siku ya kufanyika uchaguzi mdogo Jimbo la Singida...

READ MORE

Jogoo Afikishwa Mahakamani kwa Kosa Hili, Ajizolea Umaarufu!

JOGOO mmoja ambaye mmiliki wake amempatia jina la Maurice, amekuwa kero kwa majirani kwa kuwika kila alfajiri na hivyo kufikishwa...

READ MORE

NMB WASISITIZA MTOTO AKAUNTI NA CHIPUKIZI AKAUNTI SABASABA

  BENKI ya NMB imewashauri wazazi na walezi kuwafungulia watoto wao akaunti za watoto pamoja na Chipukizi akaunti kwa ajili ya...

READ MORE

Mwalimu Ajichinja Ili Afe Kisa Ugumu wa Maisha

MWALIMU wa Shule ya Msingi Rung’abure iliyopo Serengeti mkoani Mara, Godfrey Tarimo,  amejikata na chupa eneo lake la shingo katika...

READ MORE

JE, NI SAWA MWANAMKE KUMZIDI UMRI MPENZI WAKE

BILA shaka msomaji wangu umzima buheri wa afya. Karibu tena kwenye kona yetu hii tunapopeana elimu na maarifa kuhusu suala...

READ MORE

Makonda azuia Yondani, Nyoni kustaafu Stars

MWENYEKITI wa Hamasa wa Taifa Stars kwenye michuano ya Afcon, Paul Makonda amesitisha mipango ya wachezaji wakongwe Kelvin Yondani na...

READ MORE

Mzee Akilimali: Ajibu alikuwa kirusi Yanga

BAADA ya juzi Jumatano, Simba kumtangaza Ibrahim Ajibu kuwa mchezaji wao mpya, Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga, Ibrahim...

READ MORE

Tanzania Mwenyeji Mkutano Wa Shirika la Hakimiliki Duniani

Mratibu wa Mradi wa Uhamasishaji na Utoaji Elimu ya Haki Miliki ambaye pia ni Hakimu Mkazi na Msaidizi wa Msajili...

READ MORE

Mshtuko mali za Mbowe Kupigwa Mnada

TANGAZO la kupigwa mnada kwa mali za Kampuni ya Mbowe Limited inayomilikiwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, limeibua mshtuko...

READ MORE

Mke Asimulia Unyama wa Mumewe Alivyomlipua na Mtoto kwa Petroli

MKAZI wa Kijiji cha Mlazo, wilaya ya Chamwino, Mkami Mbarahi (19) na mwanaye wenye umri wa miezi mitatu wamelazwa katika...

READ MORE

Mwanaume Aaga Dunia Baada ya Kufanya Mapenzi kwa Mizunguko Saba

MWANAUME mmoja aliyefahamika kwa jina moja tu la Davy amefariki wakati akiwa kwenye mashindano ya kufanya mapenzi na mwanamke aitwaye...

READ MORE

Nabii Natasha wa Kenya Alivyopokelewa kwa Shagwe Bongo – Video

Nabii Lucy Natasha, kutoka nchini Kenya, ametua nchini usiku wa Julai 03, na kupokelewa kwa shangwe katika Uwanja wa Ndege...

READ MORE

JPM Kuzindua Hifadhi ya Taifa Burigi Chato, Julai 9

RAIS  John  Magufuli anatarajiwa kuzindua rasmi Hifadhi ya Taifa ya Burigi huko Chato siku ya Jumanne Julai 9,  mwaka huu,...

READ MORE

Faru Mweusi Afariki Akisafirishwa Kutoka Uingereza Kuja Tanzania

FARU dume aliyekuwa akisafirishwa kutoka hifadhi ya Port Lympne nchini Uingereza amefariki akiwa kwenye ndege wakati akisafirishwa kuja Tanzania.  ...

READ MORE

Kenya: Mtanzania Ahukumiwa Maisha Jela Shambulio Garissa

MAHAKAMA ya Kenya imemhukumu Mtanzania Rashid Mberesero kifungo cha maisha jela baada ya kumkuta na hatia ya kutekeleza shambulio la...

READ MORE