×

Habari

BREAKING: Makamba Afanya Msako wa ‘Rambo’ Mitaani – Video

JUMAMOSI ya leo Juni Mosi ni siku ambayo marufuku ya kutumia mifuko ya plastiki maarufu kama mifuko ya rambo inaanza...

READ MORE

Tigo Yazindua Ofa Ya ‘Saizi Yako’ Inayokidhi Mahitaji Ya Kila Mteja

    Wateja wa Tigo sasa wana kila sababu ya kufurahi baada ya uzinduzi wa ofa mpya ya ‘Saizi Yako’...

READ MORE

Taasisi ya Doris Mollel Yatoa Msaada Bagamoyo

  TAASISI ya Doris Mollel kwa kushirikiana na Shirika la Kiserkali la Uturuki nchini Tanzania (TIKA) imetoa msaada  wa chakula...

READ MORE

ALIYEMUUA MKE, MKWE, JIRANI… UNDANI WAANIKWA

MOROGORO: Tukio la Michael John Mwandu, mkazi wa Dumila, Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro la kumuua mkewe, jirani na mkwewe...

READ MORE

LIVE: RC MAKONDA AKIFUTURISHA MUDA HUU DIAMOND JUBILEE – VIDEO

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo Mei 31, ameandaa Iftar maalum kwa ajili ya watu wenye...

READ MORE

MCHUNGAJI AZUA TAFRANI KARIAKOO

DAR ES SALAAM: Ukisikia neno mchungaji amezua tafrani na kufunga mtaa mchana kweupe lazima utabaki na maswali mengi, imekuwaje kwani...

READ MORE

INATISHA! MJAMZITO Ajipasua TUMBO Ajizalishe, RPC Asimulia! – Video

MWANAMKE mmoja aliyejulikana kwa jina la Joyce Kalinda anadaiwa kujipasua tumbo kwa kitu chenye ncha kali na kumtoa mtoto, wilayani...

READ MORE

Mwili wa Tshisekedi Wawasili DRC

Mwili wa kiongozi wa zamani wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Etienne Tshisekedi umewasili mji mkuu wa...

READ MORE

MBOZI: MILIONI 15.2 ZA MAUZO YA VITAMBULISHO VYA ‘WAMACHINGA’ HAZIONEKANI

Katibu tawala Wilaya ya Mbozi, Tusubilege Benjamin amesema Sh15.2milioni za mauzo ya vitambulisho vya wafanyabiashara wadogo 760 katika halmashauri ya...

READ MORE

Breaking: Mjumbe Wa Kamati Ya Utendaji Yanga Afariki

Klabu ya Yanga imepata pigo kufuatia kifo cha mjumbe wake wa kamati ya Utendaji Felix Kibodya. Kibodya amefariki usiku wa...

READ MORE

WAZIRI AIBUA KIKOMBE CHA BABU WA LOLIONDO

WAZIRI wa Nishati Dk. Medard Kalemani, mwishoni mwa wiki iliyopita aliibua upya ishu ya kikombe cha Babu wa Loliondo baada...

READ MORE

POLISI WAANIKA MAPYA WIZI KWA MENGI NYUMBANI

DAR ES SALAAM: Zikiwa zimepita takribani wiki mbili tangu watu wasiofahamika kudaiwa kuingia nyumbani kwa aliyekuwa mfanyabiashara na Mwenyekiti wa...

READ MORE

BAADA YA KUDHIBITI, SASA SERIKALI INAINGIZA MKWANJA KWENYE MADINI – VIDEO

SERIKALI imesema maono na mtazamo yakinifu wa Rais Dkt. John Magufuli katika usimamizi na ufuatiliaji wa sekta ya madini, umewezesha...

READ MORE

TAASISI YA CANADA YAIPA JKCI MASHINE YA MAGONJWA YA MOYO KWA WATOTO!

Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imepokea mashine ya Echo kutoka katika Taasisi ya Save a Child’s Heart kutoka...

READ MORE

Magufuli Amaliza Ziara Zimbabwe, Awasili Nchini – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli arejea nchini Tanzania akitokea Zimbabwe alikokuwa kwa ziara ya...

READ MORE

Mkuu wa Upelelezi Aliyehukumiwa Kunyongwa Aamua Haya

ALIYEKUWA Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Kinondoni, Mrakibu wa Polisi (SP), Christopher Bageni, aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kuwaua wafanyabiashara...

READ MORE

Kada wa CCM Arusha Mbaroni kwa Ujambazi

JESHI la polisi mkoani Arusha linamshikilia mtuhumiwa sugu wa ujambazi, Jumanne Mjuzi (J4) mkazi wa Ngarenaro jijini Arusha ambaye pia...

READ MORE

JPM Aitaka Jumuiya za Kimataifa Kuiondolea Vikwazo Zimbabwe – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amempongeza Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe Emmerson Mnangagwa kwa...

READ MORE

Wasomaji: Betika linatusaidia sana

WAKATI Gazeti la Betika likiwa limefikisha wiki 16 mtaani, wasomaji mbalimbali wamezidi kulipongeza kwa jinsi lilivyokuja tofauti.     Gazeti...

READ MORE

Magari Makali ya Bei Nafuu Haya Hapa! – Video

KAMA ilivyo kawaida, Kampuni ya Udalali ya Tambaza Auction Mart and General Brockers Ltd, inakuletea mnada mwingine mkubwa wa hadhara...

READ MORE

Makonda Atangaza Vita na Wasio na Vitambulisho Dar

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kuanzia June 3, mwaka 2019 ni marufuku kwa wafanyabiashara wadogo...

READ MORE

Samatta Aungana na Serikali Kufanya Jambo la Kihistoria

SERIKALI imesema itaendelea kumsaidia kwa hali na mali Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, anayechezea Klabu ya...

READ MORE

DCB yazindua akaunti ya muda maalum ijulikanayo kama ‘DCB Lamba Kwanza’

    Benki ya biashara ya DCB imezindua bidhaa maalumu kwa ajili ya wateja wa akaunti ya muda maalum (Fixed...

READ MORE

Rais Magufuli Apokelewa kwa Shangwe Zimbabwe – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Pohn Pombe Magufuli amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Robert...

READ MORE

Balaa la Wafugaji Walivyowashambulia Watendaji wa Serikali Londigo

MKUU wa wilaya ya Longido Ndugu Frank Mwaisumbe, ameliagiza jeshi la polisi wilayani hapo kuwakamata watu wote walio husika na...

READ MORE

KISUTU, DAR: DEREVA TAKSI KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KUMTEKA MO DEWJI

Dereva teksi, Mousa Twaleb (46) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Jumanne Mei 28, 2019 akikabiliwa na mashtaka...

READ MORE

BREAKING: NYALANDU, WENZAKE WAACHIWA KWA DHAMANA

  ALIYEKUWA Mbunge wa Singida Kaskazini na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Lazaro Nyalandu na wenzake wawili...

READ MORE

MAGUFULI AWEKA MAUA MAKABURI YA MASHUJAA NAMIBIA

Rais Magufuli akiwa ameongoza na Rais wa Namibia, Hage Geingob wa Namibia, amembelea na kuweka shada la maua katika eneo...

READ MORE

Breaking: Dereva wa Waliomteka Mo Dewji Afikishwa Kortini – Video

DEREVA teksi, Mousa Twaleb (46),  amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Jumanne Mei 28, 2019, akikabiliwa na mashtaka...

READ MORE

Mambosasa: Ole Wake Atakayekutwa na Mfuko wa Plastiki DAR! – Video

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema ifikapo Juni Mosi, mwaka huu oparesheni kali itaanza...

READ MORE

Polisi Dar Walivyoua Majambazi Watatu Akiwemo Mwanamke! – Video

JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam kupitia kikosi kazi cha kupambana na uhalifu, limefanikiwa kuwaua majambazi watatu akiwemo...

READ MORE

Breaking News: Lazaro Nyalandu Akamatwa na Polisi ‘Takukuru Watajwa’

ALIYEKUA Mbunge wa Singida Kaskazini (CCM) na Waziri wa Zamani wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kabla ya kuhamia Chadema,...

READ MORE

JPM Atua Namibia, Apokelewa na Rais Hage – Pichaz

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  John Magufuli amewasili nchini Namibia leo Jumatatu, Mei 27, 2019, na kupokewa na...

READ MORE

KESI YA MADAWA YA SHAMIM, MUMEWE ILIPOFIKIA KISUTU

KESI inayomkabiliwa blogger, Shamim Mwasha na mumewe, Abdul Nsembo,  imeahirishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutokana na upelelezi kutokamilika....

READ MORE

POLISI WAVAMIA MAPANGO YA AMBONI KUSAKA WAHALIFU – PICHAZ

KAMISHNA wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberatus Sabas, ameongoza Vikosi Maalum ya Kupambana na Uhalifu katika...

READ MORE

Askari Anaswa kwa Utapeli, Anatumia Jina la CCM – Video

POLISI jijini Mwanza imemkamata askari wa Magereza, Kibemba Warioba (27), mwenye namba za usajili B.9205 WDR, akiwa na simu tano...

READ MORE

Mtanzania Atunukiwa na Umoja wa Mataifa kwa Kutengeneza Chujio

MHANDISI mmoja nchini Tanzania, Dkt. Askwar Hilonga, ametambuliwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa uvumbuzi wake wa kifaa cha...

READ MORE

Mchimbaji Shinyanga Apata Almasi ya Bil. 3, Awa Bilionea!

BAHATI ya utajiri imemdondokea mchimbaji mdogo wa madini, Joseph Temba, baada ya hivi karibuni kuuza almasi yake yenye karati 512...

READ MORE

Baada 167 Kufa Maji DRC, Wengine 30 Wafariki

USAFIRI wa majini umeendelea kuwa jinamizi kwa wasafiri nchini nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) baada ya ajali ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Aifagilia NMB kwa kutoa Huduma Bora

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameitaja benki ya NMB kuwa ni taasisi inayopaswa kuigwa kwa ubora wa huduma akisifia namna walivyoweka...

READ MORE