×

Habari

LOWASSA, SUMAYE WAONGOZA HARAMBEE AZANIA FRONT

  Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa, leo ameongoza harambee ya uzinduzi wa Albamu ya Kwaya Kuu ya Kanisa la...

READ MORE

Waganga wa Kienyeji Sumbawanga Wasakwa, Mauaji ya Watoto Wawili

  Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo amemuagiza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa ACP Mathias Nyangi kuhakikisha anafanya...

READ MORE

WAZIRI MGUMBA AWATAKA VIJANA KUCHANGAMKIA FURSA KWENYE KILIMO

      VIJANA Mkoani Morogoro wametakiwa kuchangamkia fursa za kilimo zilizopo katika Mkoa huo ili kujiwezesha na kujiimarisha kiuchumi....

READ MORE

Majaliwa Atua Kambi ya Stars, Kamati Yaahidi 10m Kila Mchezaji

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametembelea kambi ya wachezaji wa timu ya Taifa na kuwaeleza kwamba Serikali na wananchi wanamatumaini makubwa...

READ MORE

Breaking: Bondia Hassan Mwakinyo Amtwanga Bondia wa Argentina

  BONDIA Bondia wa Tanzania, Hassan Mwakinyo amemtwanga kwa Knockout Bondia wa Argentina Sergio Gonzalez katika mzunguko wa 5 usiku...

READ MORE

Simanzi! Mazishi ya Kaka wa Mpiga Picha Mkuu wa Global – Pichaz

MPIGA Picha Mkuu wa Kampuni ya Global Publishers wachapishaji wa Magazeti ya Uwazi, Ijumaa, Risasi, Ijumaa Wikienda, Amani, Championi, Spoti...

READ MORE

TANZIA: MWANAHABARI CHARLES NGEREZA AFARIKI

Aliyekuwa Mwandishi wa habari wa Redio One, ITV, Idhaa ya Kiswahili ya DW na Makamu Mwenyekiti wa Arusha Press Club,...

READ MORE

Viongozi Wababe Afrika, Wala ‘Bata’ na Wapigaji – Video

ZAMANI tuliamini vijana wana mbio, wazee wanajua njia, tukawapa mamlaka ya kutuongoza tufike salama lakini wakatuingiza msituni, tukapoteana, tukaprove kumbe...

READ MORE

Rwanda yawataka raia mpakani kusitisha biashara na Burundi

  SERIKALI  ya Rwanda imewataka wananchi wake walio karibu na mpaka kati ya nchi hiyo na nchi ya Burundi kusitisha...

READ MORE

ASKARI ZIMAMOTO WADAIWA ‘KUWAPIGA’ WACHIMBAJI

MBEYA: Baadhi ya askari wa Jeshi la Zimamoto mkoani Mbeya wanatuhumiwa ‘kupiga’ tozo kwa vitisho wakitumia silaha na kuwaweka mahabusu...

READ MORE

GEITA: MAPACHA WALIOZALIWA WAMEUNGANA WAFARIKI

Watoto mapacha waliozaliwa wakiwa wameungana katika Hospitali ya Rufaa Geita, wamefariki dunia wakiwa njiani wakipelekwa Hospitali ya Rufaa Bugando. Watoto...

READ MORE

VIKOBA VYAZUA BALAA DAR !

KIKUNDI cha Vicoba cha Upendo chenye masikani yake huko Kibugumo-Kigamboni jijini Dar kimejikuta katika sintofahamu kufuatia mweka hazina wake aliyefahamika...

READ MORE

RC MAKONDA Ampa Siku 3 DC Ilala, La Sivyo…! – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametoa siku tatu tu kwa Mkuu wa wilaya ya Ilala, Sophia...

READ MORE

KISA KAULI YA UFISADI, AKAUNTI ZA RAIS KENYATTA ZAFUNGWA

  AKAUNTI  za mitandao ya kijamii za Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta,  za  Facebook, na Tweeter,  zimefutwa kwenye mitandao hiyo...

READ MORE

Rais mstaafu mbaroni kwa ufisadi Brazil

  RAIS mstaafu wa Brazil, Bw. Michel Temer, ametiwa mbaroni jijini Sao Paulo kwa tuhuma za rushwa na ufisadi.  ...

READ MORE

Waziri Mkuu mgeni rasmi Stars vs Uganda

  KAMATI ya Saidia Stars Ishinde chini ya Mwenyekiti, Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda, imemwalika Waziri Mkuu wa...

READ MORE

TETEMEKO LA ARDHI LAUA MMOJA SONGWE

MKAZI mmoja wa Kijiji cha Iyula, Kata ya Iyula wilaya ya Mbozi, SONGWE, Mwanji Mtega amefariki dunia kufuatia tetemeko la...

READ MORE

MAAJABU MAZITO FUNDI ALALA, AAMKA MLEMAVU

MSEMO wa hujafa hujaumbika una maana kubwa kwenye maisha ya binadamu kutokana na ukweli kwamba hali ya afya aliyonayo mtu...

READ MORE

KANSELA ANGELA MERKEL AMPIGIA SIMU RAIS MAGUFULI

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel jana tarehe 20 Machi, 2019 amezungumza kwa njia ya simu na Rais wa Jamhuri ya...

READ MORE

MAKONDA AHIMIZA USHINDI STARS, AAHIDI BONGE LA PATI – VIDEO

MWENYEKITI wa Kamati ya Uhamasishaji kuelekea mchezo wa ya Taifa Stars kufuzu michuano ya AFCON dhidi ya timu ya taifa...

READ MORE

MAGUFULI AKUTANA NA NAIBU WAZIRI MKUU WA QATAR

…Akiwa katika picha ya pamoja na mgeni wake. Wengine katika picha ni Waziri wa Mambo ya Nje Profesa Palamagamba Kabudi...

READ MORE

Tetemeko la Ardhi Laitikisa Mbeya na Rukwa

TETEMEKO  la ardhi lililodumu kwa takriban dakika moja leo mchana, Alhamisi Machi 21, 2019, limetokea mkoani Mbeya na kuzua taharuki...

READ MORE

Maalim Seif, Zitto Kabwe Watua Zanzibar

 KIONGOZI wa Chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe akiambatana na Maalim Seif Sharif Hamad pamoja na viongozi na wanachama...

READ MORE

Wanafunzi Watekwa, Basi Lao Lachomwa Moto

  BASI lililokuwa limebeba watoto wa shule wapatao 51 lilitekwa na kutiwa moto karibu na jiji  la Milan nchini Italia....

READ MORE

New Zealand Kuharamisha Silaha Zinazofanana na za Jeshi

  NEW ZEALAND itapiga marufuku silaha za aina yoyote zenye muundo wa kijeshi zilizotumika katika shambulio la mji wa Christchurch,...

READ MORE

Tanzania Yafanya Mazoezi ya Kijeshi India

Kikosi cha Wanajeshi kutoka nchi mbalimbali za Afrika ikiwemo Tanzania kinachoshiriki Mazoezi ya Kijeshi ya Pamoja nchini India yanayojulikana kama...

READ MORE

MAGEREZA YAKANUSHA KIFO CHA RUGEMARILA WA ESCROW

JESHI la Magereza nchini limekanusha taarifa za kifo cha mahabusu, James Rugemarila mwenye mashitaka ya uhujumu uchumi, na kusema kwamba...

READ MORE

WAZIRI WA JPM ANG’AKA RAIA KUNYWESHWA SUMU INATISHA

HALI inatisha! Waziri wa Madini, Dotto Mashaka Biteko ameng’aka kwa hasira baada ya kujionea maji yenye sumu yanayotiririka na kunywewa...

READ MORE

KAMATI YA PIC YASHAURI TAASISI ZA UMMA KUTUMIA HUDUMA ZA TTCL

  MWENYEKITI Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) Dk. Raphael Chegeni amezitaka Taasisi za...

READ MORE

MADAI YA KUKUTWA NA MKE WA MTU CHUMBANI, ASKARI AKATWA NYETI

KUNA unyama ambao ukisimuliwa unaweza kusisimkwa na mwili; mfano ni huu wa mtu kuchukua kitu chenye ncha kali na kumkata...

READ MORE

BENKI YA AZANIA YAPANUA MTAJI

      HABARI/PICHA: RICHARD BUKOS / GPL

READ MORE

NASSARI AMFUNGULIA MASHTAKA SPIKA, MAHAKAMA YAZUIA UCHAGUZI

ALIYEKUWA Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari,  amefungua shauri la madai dhidi ya Spika na Mwanasheria Mkuu wa Serikali...

READ MORE

Ukame Waua Waturkana, Mifugo Yafa kwa Njaa!

UKAME unaozidi kushika kasi katika maeneo mbalimbali yanayokaliwa na watu wa kabila la Waturkana nchini Kenya umesababisha kupoteza maisha ya...

READ MORE

Professa Awapa Mtihani Wanafunzi Kutafuta Marafiki 1,667, Ili Kufaulu

  PROFESA mmoja katika chuo cha uchumi na sheria nchini  China ametoa mtihani kwa wanafunzi wa chuo hicho wa kutafuta...

READ MORE

Waziri wa Ufaransa Asitisha ‘Kumbatiza’ Paka Wake

  WAZIRI katika serikali ya Ufaransa,  Nathalie Loiseau,  amesitisha hatua ya ‘kumbatiza’ au kumpa paka wake jina la Brexit kama...

READ MORE

MAKONDA KUSOMESHA WANAFUNZI WA KIKE 100 – VIDEO

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ametoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi wa kike 100 ambao wamehitimu...

READ MORE

Betika: Kilichotokea Leo Bunju, Boko na Tegeta, Tazama Mwenyewe

TANGU liingie mtaani takribani mwezi sasa, Gazeti la Betika leo Jumatano, Machi 20, 2019 limweka historia ya aina yake katika...

READ MORE

CHADEMA WAMPONGEZA JPM, WATAKA TUME IUNDWE KESI ZA MAUAJI – VIDEO

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimempongeza Rais Dkt John Magufuli kwa kumuagiza Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), Biswallo Mganga kuchunguza...

READ MORE